Hatari ya kutokwa na damu wakati wa ujauzito

Hatari ya kutokwa na damu wakati wa ujauzito

Posti hii inahusu zaidi hatari za kutokwa na damu wakati wa ujauzito, hali hii utokea wakati wa ujauzito ambapo Kuna baadhi ya wajawazito utokwa na damu jambo ambalo hatupaswi kutarajia kwa sababu tunafahamu kabisa mama akishapata ujauzito na damu zinakom

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Hatari ya kupata ya kutokwa na damu wakati wa ujauzito.

1. Ikitokea mtu akapata damu kwenye kipindi cha ujauzito Kuna hatari ya mimba kuharibika na kutojifungua mtoto.kwa hiyo kama Mama ana mimba na akaona damu inatoka kawaida kama yupo kwenye siku za mwezi nai vizuri kabisa kuwahi hospital Ili kuangalia zaidi kwa sababu uenda kukatokea hatari ya mimba kuharibika kwa sababu dalili hii sio nzuri kwa mama Mjamzito.

 

2. Pia Kuna hatari ya kujifungua mtoto kabla ya wakati wake.

Na tatizo hili la kutokwa na damu wakati wa ujauzito Kuna hatari ya kujifungua mtoto kabla ya wakati wake, kwa sababu mimba ikishatungwa hakuna mfumo wowote wa urutubishaji unaotoka na mtu akatokwa na damu kama vile Hana mimba kwa hiyo kama ikitokea Mama akatokwa na damu labda inawezekana Kuna maambukizi zaidi ambayo usababisha damu kutoka na hali hiyo usababisha mtoto kuzaliwa kabla ya wakati.

 

3. Vile vile kutokwa na damu wakati wa ujauzito usababisha kuzaliwa kwa mtoto mwenye uziti wa chini.

Kwa kawaida uzito wa mtoto ni kuanzia kilo mbili na nusu mpaka kilo tatu na nusu, uzito wa mtoto ukianzia kilo tatu na nukta sita na  kuendelea hii nayo ni shida na ikitokea mtoto akazaliwa chini ya uzito wa kilo mbili na point nne ni uzito mdogo kwa hiyo Kuna sababu mbalimbali ambazo usababisha mtoto kuzaliwa akiwa na uzito mdogo ni kwa sababu ya kuwepo kwa kitendo cha kutokwa na damu wakati wa ujauzito, kwa hiyo ni vizuri kabisa kuwahi hospitals endapo tatizo hili likijitokeza Ili kuepukana na changamoto hii.

 

4. Tatizo lingine ambalo linaweza kutokea ni kupungukiwa na damu wakati wa kujifungua.

Kwa kawaida Mama akikaribia kujifungua ni vizuri kabisa kuwa na damu ya kutosha kwenye mwili Ili kuweza kujifungua salama kwa sababu wakati wa kujifungua utokea matatizo mbalimbali kama vile kumwaga damu au pengine mtoto anaweza kuwa amekaa vibaya na wakaamua kufanya upasuaji na damu umwagika kwa hiyo ni vizuri kabisa kuwepo kwa damu ya kutosha ila kwa sababu ya kuwepo kwa tatizo la kutokwa na damu wakati wa ujauzito usababisha damu kupungua mwilini.

Download Post hii hapa

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 1788

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 Bongolite - Game zone - Play free game    👉5 Kitabu cha Afya    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

Faida na hasara za Kufunga kizazi kwa Wanaume
Faida na hasara za Kufunga kizazi kwa Wanaume

Posti hii inazungumzia Faida, hasara, na madhara ya Kufunga kizazi kwa Wanaume.

Soma Zaidi...
Sababu za ugumba kwa wanawake
Sababu za ugumba kwa wanawake

Post hii inahusu zaidi sababu za ugumba kwa wanawake, ni sababu ambazo upelekea wanawake wengi kuwa wagumba ukizingatia kuwa wanazaliwa wakiwa na uwezo kabisa wa kupata watoto lakini kwa sababu mbalimbali za kimazingira wanakoswa watoto, zifuatazo ni saba

Soma Zaidi...
 Mambo ya kuzingatia kwa mama ili apate huduma endelevu.
Mambo ya kuzingatia kwa mama ili apate huduma endelevu.

Posti hii inazungumzia kuhusiana na huduma kwa mama wajawazito na waliojifungua.

Soma Zaidi...
Njia za uzazi wa mpango
Njia za uzazi wa mpango

Posti hii inahusu zaidi kuhusu njia za uzazi wa mpango, uzazi wa mpango ni njia za kupanga uzazi Ili kupata idadi ya watoto unaohitaji

Soma Zaidi...
Faida za Uzazi wa mpango
Faida za Uzazi wa mpango

Posti hii inazungumzia Faida za Uzazi wa mpango kwa watoto, mama, wanandoa, na jamii au JUMUIYA.

Soma Zaidi...
Nini husababisha uke kuwa mkavu
Nini husababisha uke kuwa mkavu

Post hii inakwenda kukupa sababu zinazoweza kupelekea uke kuwa mkavu yaani kukosa majimaji wakati wa kufanya tendo la ndoa.

Soma Zaidi...
Mimi imepita miezi mitatu sioni hedhi na wala sioni dalili ya kuwa na mimba unaweza ukaniambia tatizo la kuwa na hali hii
Mimi imepita miezi mitatu sioni hedhi na wala sioni dalili ya kuwa na mimba unaweza ukaniambia tatizo la kuwa na hali hii

Kama na wewe una tatizo la kupitiliza siku zako za hedhi hli ya kuwa huna ujauzito, soma post hii ina majibu yako.

Soma Zaidi...
Fahamu dalili za hatari kwa wajawazito.
Fahamu dalili za hatari kwa wajawazito.

Posti hii inahusu zaidi dalili za hatari kwa mama mjamzito, kwa sababu kuna baadhi ya Dalili zikitokea kwa mama mjamzito ni vizuri kabisa kuwahi hospitali mara moja.

Soma Zaidi...
Sababu za mwanamke kukosa hamu ya kushiriki tendo la ndoa
Sababu za mwanamke kukosa hamu ya kushiriki tendo la ndoa

Posti hii inazungumzia kuhusiana na sababu zinazosababisha kukosa hamu ya kushiriki tendo la ndoa.

Soma Zaidi...
Sababu za mfuko wa kizazi kushindwa kisinyaa.
Sababu za mfuko wa kizazi kushindwa kisinyaa.

Posti hii inahusu zaidi sababu za mfuko wa kizazi kushindwa kisinyaa, ni sababu ambazo utokea kwa akina Mama wengi kadri ya wataalamu wametafuta asilimia kuwa asilimia sabini ya wanawake mifuko yao ya kizazi kushindwa kisinyaa.

Soma Zaidi...