Sababu za mtoto kuzaliwa akiwa na uzito mkubwa

Posti hii inahusu zaidi sababu za mtoto mchanga kuzaliwa akiwa na uzito mkubwa, ni tatizo ambalo utokea kwa baadhi ya wajawazito kupata mtoto mwenye Uzito mkubwa, wengine uona kama ni sifa ila Kuna madhara yanaweza kujitokeza kwa Mama hasa wakati wa kujif

Zijue sababu za mtoto kuzaliwa akiwa na uzito mkubwa.

1. Kwanza kabisa tunapaswa kujua kuwa mtoto ili awe na uzito wa kawaida ni kuanzia kilo mbili na nusu mpaka kilo tatu na nusu, ikitokea mtoto akazaliwa na uzito chini ya kilo mbili na nusu atakaa hospital kwa uangalizi zaidi Ili aweze kufikisha kilo mbili na nusu au karibu yake,

 

Na pia Kuna tatizo lingine ambapo mtoto anazaliwa na uzito zaidi ya kilo nne na hii ni shida kwa sababu Mama anaweza kupata matatizo wakati wa kujifungua au kwa wakati mwingine kuchanika via vya uzazi au kufanyiwa upasuaji wakati wa kujifungua.

 

2. Sababu ya kwanza ya kuzaliwa kwa mtoto mwenye Uzito mkubwa ni sababu za kuridhi, unaweza kukuta familia nzima watu wote wanazaliwa wakiwa wanene na pia familia nzima ni wanene.

 

Kwa hiyo watu kama Hawa ujifungua kwa upasuaji au wakati wa kujifungua kuchanika kwa baadhi ya via vya  uzazi na hali hii usababisha maumivu na mateso makubwa kwa akina Mama, au pengine kama ni upasuaji usababisha kupata watoto Wachache ambapo si mategemeo ya wazazi.

 

3. Sababu nyingine utokea kwa akina Mama wenye kisukari kwa sababu kwenye damu ya Mama Kuna sukari ya kutosha kwa hiyo mtoto upata chakula cha kutosha akiwa tumboni.

 

Kwa hiyo watoto Hawa wakizaliwa uhitaji uangalizi kwa karibu kwa sababu wakitoka nje bila kupata au kuongezewa glucose wanaweza kuingia kwenye tatizo la kushuka kwa sukari, kwa akina Mama wenye tatizo la kuzaa watoto wenye kilo kubwa ni vizuri kuzalia hospital kwa uangalizi na huduma za karibu.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 3874

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 Bongolite - Game zone - Play free game    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

Madhara ya mtoto kuzaliwa akiwa na uzito mkubwa

Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea kama mtoto alizaliwa na uzito mkubwa.

Soma Zaidi...
Dalili za mimba kuanzia week mbili Hadi mwezi

Somo hili linakwenda kukueleza baadhi ya dalili za mimba kuanzia week mbili Hadi mwezi

Soma Zaidi...
Maumivu ya tumbo kwa chini upande wa kulia

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za maumivu ya tumbo chini upande wa kulia

Soma Zaidi...
Nini husababisha mtoto kukosa maji kabla ya kuzaliwa?

inaweza kutokea kuwa mtoto aliye tumboni akaishiwa maji hata kabla ya kuzaliwa. yes hali hii huweza kuwapata baadhiya watoto.

Soma Zaidi...
Nahitaji kufaham siku ya kumpatia mimba make wangu, yeye hedhi yake ilianza talehe22

Je na wewe ni moja kati ya wake ambao wanahitajivkujuwa siku za kupata mimba. Ama siku za competes mwanamke mimba. Post hii ni kwa ajili yako.

Soma Zaidi...
faida za tendo ka ndoa wakati wa ujauzito

Kufanya tendo la ndoa wakati wa ujauzito kina faida nyingi kwa mama na mtoto. Miongni mwa faida hizo ni kuimarisha mfumo wa kinga wa mama, kumuondolea stress na ukuajinmzuri wa mimba

Soma Zaidi...
Uchunguzi wa Nimonia kwa mtoto na Tiba

Posti hii inahusu namna unavyoweza kumtambua mtoto mwenye Ugonjwa wa Nimonia na tiba anayopaswa kupata mtoto mwenye Nimonia

Soma Zaidi...
Mambo yanayopunguza nguvu za kiume

Posti hii inaelezea kuhusiana na nguvu za kiume zinavyopungua na Ni Mambo gani yanayofanya zipungue

Soma Zaidi...
Mtoto anaanz kucheza kwa mda gan

Kuna watoto wengine huanza kucheza mapema kuliko watoto wengine. Tunapozungumzia kucheza kwa mtoto aliye tumboni yaani mimba hapa inatubidi tuangalie kwa undani zaidi, je ni muda gani mtoto ataanza kucheza?

Soma Zaidi...
je ute wa uzazi uanza kuonekana siku ya 14 tu au kabla ? Na je mimba ya siku tatu inaweza kucheza?

Miongoni mwa dalili zamwanzo za ujauzito ni maumivu ya tumbo ama kupatwa na damu kidogo. Mabadiliko ya ute ute sehemu za siri ni katika baadhi ya dalili. Endelea na makala hii utajifunza zaidi.

Soma Zaidi...