picha

Sababu za mtoto kuzaliwa akiwa na uzito mkubwa

Posti hii inahusu zaidi sababu za mtoto mchanga kuzaliwa akiwa na uzito mkubwa, ni tatizo ambalo utokea kwa baadhi ya wajawazito kupata mtoto mwenye Uzito mkubwa, wengine uona kama ni sifa ila Kuna madhara yanaweza kujitokeza kwa Mama hasa wakati wa kujif

Zijue sababu za mtoto kuzaliwa akiwa na uzito mkubwa.

1. Kwanza kabisa tunapaswa kujua kuwa mtoto ili awe na uzito wa kawaida ni kuanzia kilo mbili na nusu mpaka kilo tatu na nusu, ikitokea mtoto akazaliwa na uzito chini ya kilo mbili na nusu atakaa hospital kwa uangalizi zaidi Ili aweze kufikisha kilo mbili na nusu au karibu yake,

 

Na pia Kuna tatizo lingine ambapo mtoto anazaliwa na uzito zaidi ya kilo nne na hii ni shida kwa sababu Mama anaweza kupata matatizo wakati wa kujifungua au kwa wakati mwingine kuchanika via vya uzazi au kufanyiwa upasuaji wakati wa kujifungua.

 

2. Sababu ya kwanza ya kuzaliwa kwa mtoto mwenye Uzito mkubwa ni sababu za kuridhi, unaweza kukuta familia nzima watu wote wanazaliwa wakiwa wanene na pia familia nzima ni wanene.

 

Kwa hiyo watu kama Hawa ujifungua kwa upasuaji au wakati wa kujifungua kuchanika kwa baadhi ya via vya  uzazi na hali hii usababisha maumivu na mateso makubwa kwa akina Mama, au pengine kama ni upasuaji usababisha kupata watoto Wachache ambapo si mategemeo ya wazazi.

 

3. Sababu nyingine utokea kwa akina Mama wenye kisukari kwa sababu kwenye damu ya Mama Kuna sukari ya kutosha kwa hiyo mtoto upata chakula cha kutosha akiwa tumboni.

 

Kwa hiyo watoto Hawa wakizaliwa uhitaji uangalizi kwa karibu kwa sababu wakitoka nje bila kupata au kuongezewa glucose wanaweza kuingia kwenye tatizo la kushuka kwa sukari, kwa akina Mama wenye tatizo la kuzaa watoto wenye kilo kubwa ni vizuri kuzalia hospital kwa uangalizi na huduma za karibu.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2022/05/19/Thursday - 07:54:00 pm Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 4351

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉2 ai web app    👉3 web hosting    👉4 Madrasa kiganjani    👉5 Dua za Mitume na Manabii    👉6 Bongolite - Game zone - Play free game   

Post zinazofanana:

Vitu vilivyopo kwenye maji ya Amniotic fluid (majimaji yanayomzungruka mtoto aliyekuwepo tumboni wakati wa ujauzito)

Post hii inahusu zaidi viti vilivyopo kwenye maji ya Amniotic fluid, ni jumla ya vitu vyote vilivyopo kwenye maji ya Amniotic fluid.

Soma Zaidi...
Umuhimu wa kunyonyesha mtoto

Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kunyonyesha mtoto, kunyonyesha ni kitendo cha Mama kutumia titi lake Ili kuweza kumpatia mtoto lishe kwa kipindi chote ambacho Mama upaswa kutumia kwa kunyonyesha mtoto wake kwa hiyo Kuna faida ambazo mama uzipata kutoka

Soma Zaidi...
Sababu za mtoto kuzaliwa akiwa na uzito mkubwa

Post hii inahusu zaidi sababu mbalimbali za mtoto kuzaliwa akiwa na uzito mkubwa, mara nyingi tatizo hili uwakumba akina mama mbalimbali ambapo mtoto uzaliwa akiwa na uzito mkubwa

Soma Zaidi...
Habari nilitaka kujua kuhusu ugonjwa wa fungusi kwenye uume

Je na wewe unasumbuliwa na fangasi wenye uume. Post hii ni kwa ajili yako.

Soma Zaidi...
Hatua za Kuzuia Maambukizi ya Uvimbe kwenye ovari na mirija ya uzazi

Posti hii inazungumzia kuhusiana na hatua za kujikinga na Maambukizi ya Uvimbe kwenye ovari na kwenye mirija ya uzazi

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu fangasi za ukeni

Posti hii inahusu zaidi fangasi za ukeni, hili ni tatizo kubwa ambalo linawakumba watoto, akina dada na wanawake kwa hiyo na vizuri kujua Dalili zake na kuweza kuchukua hatua mapema.

Soma Zaidi...
Mambo ya kuangalia kwa mtoto mdogo

Posti hii inahusu zaidi mambo ya kuangalia kwa mtoto mdogo chini ya umri wa miaka mitano ili kuweza kuweka afya yake kwenye njia safi.

Soma Zaidi...
Chanzo cha tatizo la mvurugiko wa hedhi.

Posti hii inahusu zaidi chanzo cha mvurugiko wa hedhi, Kuna kipindi hedhi uvurugika kabisa, pengine unaweza kupata hedhi mara mbili kwa mwezi au kukosa au pengine siku kuwa zaidi ya tano mpaka Saba au kuwa chache, hali hii utokea kwa sababu mbalimbali tut

Soma Zaidi...