Posti hii inahusu zaidi sababu za mtoto mchanga kuzaliwa akiwa na uzito mkubwa, ni tatizo ambalo utokea kwa baadhi ya wajawazito kupata mtoto mwenye Uzito mkubwa, wengine uona kama ni sifa ila Kuna madhara yanaweza kujitokeza kwa Mama hasa wakati wa kujif
1. Kwanza kabisa tunapaswa kujua kuwa mtoto ili awe na uzito wa kawaida ni kuanzia kilo mbili na nusu mpaka kilo tatu na nusu, ikitokea mtoto akazaliwa na uzito chini ya kilo mbili na nusu atakaa hospital kwa uangalizi zaidi Ili aweze kufikisha kilo mbili na nusu au karibu yake,
Na pia Kuna tatizo lingine ambapo mtoto anazaliwa na uzito zaidi ya kilo nne na hii ni shida kwa sababu Mama anaweza kupata matatizo wakati wa kujifungua au kwa wakati mwingine kuchanika via vya uzazi au kufanyiwa upasuaji wakati wa kujifungua.
2. Sababu ya kwanza ya kuzaliwa kwa mtoto mwenye Uzito mkubwa ni sababu za kuridhi, unaweza kukuta familia nzima watu wote wanazaliwa wakiwa wanene na pia familia nzima ni wanene.
Kwa hiyo watu kama Hawa ujifungua kwa upasuaji au wakati wa kujifungua kuchanika kwa baadhi ya via vya uzazi na hali hii usababisha maumivu na mateso makubwa kwa akina Mama, au pengine kama ni upasuaji usababisha kupata watoto Wachache ambapo si mategemeo ya wazazi.
3. Sababu nyingine utokea kwa akina Mama wenye kisukari kwa sababu kwenye damu ya Mama Kuna sukari ya kutosha kwa hiyo mtoto upata chakula cha kutosha akiwa tumboni.
Kwa hiyo watoto Hawa wakizaliwa uhitaji uangalizi kwa karibu kwa sababu wakitoka nje bila kupata au kuongezewa glucose wanaweza kuingia kwenye tatizo la kushuka kwa sukari, kwa akina Mama wenye tatizo la kuzaa watoto wenye kilo kubwa ni vizuri kuzalia hospital kwa uangalizi na huduma za karibu.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Makala hii itakwenda kukufundisha baadhi ya dalili za uchungu kwa mama mjamzito.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za kutoka kwa mimba na dalili zake
Soma Zaidi...KUVIMBA VYA MIGUU KWA WAJAWAZITO Kuvimba kwa miguu ni hali inayowapara wengi katika wajawazito.
Soma Zaidi...Jifunze mengi kuhusu Afya, kuwa nasi kwenye makala hii hadi mwisho.
Soma Zaidi...Je kupata maumivu sehemu zinazoota mavuzi na kuwa namaumiv wakat wa haja ndogo na pia kwenye kichwa cha uume kunakua kama kunavimb hizo syo dalili moja wapi?
Soma Zaidi...Kuzaliwa kabla ya wakati humpa mtoto muda mdogo wa kukua tumboni. Watoto waliozaliwa kabla ya wakati, hasa wale waliozaliwa mapema, mara nyingi huwa na matatizo magumu ya matibabu.
Soma Zaidi...KubaleheΓΒ ni wakati mwili wa mtoto unapoanza kubadilika na kuwa wa mtu mzima (balehe) hivi karibuni. Kubalehe ambao huanza kabla ya umri wa miaka 8 kwa wasichana na kabla ya umri wa miaka 9 kwa wavulana.
Soma Zaidi...Hizi ni siku hatari kwa mwanamke ambazo ni ahisi kwake kubeba mimba, siku nitakueleza ni zipi na ni zipi sifa zake
Soma Zaidi...Post huu inahusu zaidi mambo yanayopelekea ugumba kwa wanaume, ni mambo ambayo uchangia au upelekea mwanaume kukosa uzazi.
Soma Zaidi...