Sababu za mtoto kuzaliwa akiwa na uzito mkubwa

Posti hii inahusu zaidi sababu za mtoto mchanga kuzaliwa akiwa na uzito mkubwa, ni tatizo ambalo utokea kwa baadhi ya wajawazito kupata mtoto mwenye Uzito mkubwa, wengine uona kama ni sifa ila Kuna madhara yanaweza kujitokeza kwa Mama hasa wakati wa kujif

Zijue sababu za mtoto kuzaliwa akiwa na uzito mkubwa.

1. Kwanza kabisa tunapaswa kujua kuwa mtoto ili awe na uzito wa kawaida ni kuanzia kilo mbili na nusu mpaka kilo tatu na nusu, ikitokea mtoto akazaliwa na uzito chini ya kilo mbili na nusu atakaa hospital kwa uangalizi zaidi Ili aweze kufikisha kilo mbili na nusu au karibu yake,

 

Na pia Kuna tatizo lingine ambapo mtoto anazaliwa na uzito zaidi ya kilo nne na hii ni shida kwa sababu Mama anaweza kupata matatizo wakati wa kujifungua au kwa wakati mwingine kuchanika via vya uzazi au kufanyiwa upasuaji wakati wa kujifungua.

 

2. Sababu ya kwanza ya kuzaliwa kwa mtoto mwenye Uzito mkubwa ni sababu za kuridhi, unaweza kukuta familia nzima watu wote wanazaliwa wakiwa wanene na pia familia nzima ni wanene.

 

Kwa hiyo watu kama Hawa ujifungua kwa upasuaji au wakati wa kujifungua kuchanika kwa baadhi ya via vya  uzazi na hali hii usababisha maumivu na mateso makubwa kwa akina Mama, au pengine kama ni upasuaji usababisha kupata watoto Wachache ambapo si mategemeo ya wazazi.

 

3. Sababu nyingine utokea kwa akina Mama wenye kisukari kwa sababu kwenye damu ya Mama Kuna sukari ya kutosha kwa hiyo mtoto upata chakula cha kutosha akiwa tumboni.

 

Kwa hiyo watoto Hawa wakizaliwa uhitaji uangalizi kwa karibu kwa sababu wakitoka nje bila kupata au kuongezewa glucose wanaweza kuingia kwenye tatizo la kushuka kwa sukari, kwa akina Mama wenye tatizo la kuzaa watoto wenye kilo kubwa ni vizuri kuzalia hospital kwa uangalizi na huduma za karibu.

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 3516

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
πŸ‘‰1 Simulizi za Hadithi Audio    πŸ‘‰2 Madrasa kiganjani    πŸ‘‰3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    πŸ‘‰4 Bongolite - Game zone - Play free game    πŸ‘‰5 Kitabu cha Afya    πŸ‘‰6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana:

dalili za uchungu kwa mama mjamzito

Makala hii itakwenda kukufundisha baadhi ya dalili za uchungu kwa mama mjamzito.

Soma Zaidi...
Sababu za kutoka kwa mimba na dalili zake

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za kutoka kwa mimba na dalili zake

Soma Zaidi...
Kondomu za kike

Posti hii inaonyesha Faida na hasara za Kondomu za kike

Soma Zaidi...
TATIZO LA KUVIMBA KWA USO NA MIGUU KWA WAJAWAZITO

KUVIMBA VYA MIGUU KWA WAJAWAZITO Kuvimba kwa miguu ni hali inayowapara wengi katika wajawazito.

Soma Zaidi...
DARASA LA AFYA NA AFYA YA UZAZI

Jifunze mengi kuhusu Afya, kuwa nasi kwenye makala hii hadi mwisho.

Soma Zaidi...
maumivu sehemu zinazoota mavuzi na kuwa namaumiv wakat wa haja ndogo na pia kwenye kichwa cha uume kunakua kama kunavimba

Je kupata maumivu sehemu zinazoota mavuzi na kuwa namaumiv wakat wa haja ndogo na pia kwenye kichwa cha uume kunakua kama kunavimb hizo syo dalili moja wapi?

Soma Zaidi...
Fahamu Mambo ya hatari yanayosababisha kuzaliwa kabla ya wakati (premature)

Kuzaliwa kabla ya wakati humpa mtoto muda mdogo wa kukua tumboni. Watoto waliozaliwa kabla ya wakati, hasa wale waliozaliwa mapema, mara nyingi huwa na matatizo magumu ya matibabu.

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusiana na kubalehe kwa msichana na mvulana.

Kubalehe ni wakati mwili wa mtoto unapoanza kubadilika na kuwa wa mtu mzima (balehe) hivi karibuni. Kubalehe ambao huanza kabla ya umri wa miaka 8 kwa wasichana na kabla ya umri wa miaka 9 kwa wavulana.

Soma Zaidi...
Siku za hatari, siku za kubeba mimba

Hizi ni siku hatari kwa mwanamke ambazo ni ahisi kwake kubeba mimba, siku nitakueleza ni zipi na ni zipi sifa zake

Soma Zaidi...
Mambo yanayopelekea ugumba.

Post huu inahusu zaidi mambo yanayopelekea ugumba kwa wanaume, ni mambo ambayo uchangia au upelekea mwanaume kukosa uzazi.

Soma Zaidi...