picha

Yajue mazoezi ya kegel

Posti inahusu zaidi mazoezi ya kegel, ni mazoezi ambayo ufanywa na watu wengi na sehemu yoyote yanaweza kufanywa kama vile chumbani, sebuleni, uwanjani na sehemu yoyote ile na kwa watu tofauti.

Faida ya mazoezi ya kegel.

1. Ni Mazoezi ambayo lengo lake kuu ni kuimarisha mifupa ya kwenye kiuno ambayo ushikilia kizazi hasa hasa mji wa mimba, kibofu cha mkojo, sehemu ya utumbo mpana na uke, kwa ujumla mazoezi haya huwa na faida zaidi kwa wanawake.

 

2. Lengo la mazoezi haya ni kuimarisha misuli kwa sababu misuli ya kwenye kiuno inaweza kuwa midhaifu kwa sababu ya ujauzito ila kama mtu anapiga mazoezi haya misuli hii uimarika kabisa na pia ikitokea mtu anafanyiwa upasuaji kama hapo mwanzoni alikuwa anafanya mazoezi haya ni rahisi kabisa kupona haraka.

 

3. Pia mazoezi haya usaidia kuimarisha njia ya mtoto wakati wa kujifungua kwa hiyo Mama kwenye kipindi cha ujauzito akifanya mazoezi haya ikifungua vizuri na mapema , kwa hiyo akina mama wanapaswa kujifunza mazoezi haya.

 

4. Usaidia pia wanawake wenye shida ya kuzuia mkojo kutoka, kuna wakati mwingine mkojo utoka kwenye kibofu bila mama mwenyewe kutoa mkojo huo na kwa hiyo kama mazozi haya yakifanyika vizuri na kwa usahihi yanasaidia akina mama kuweza kuhimili na kuzuia tatizo hili lisitokee.

 

5. Uongeza msisimko wa raha ya mapenzi kwa wapenzi wawili kwa mwanamke uweza kubana misuli ya kike  kwa umahiri zaidi wakati wa tendo usaidia wapenzi kufurahia tendo.

 

6. Kwa hiyo akina mama na wadada wanapaswa kujitahidi kufanya mazoezi haya ili kuweza kuhimalisha viungo vya uzazi ili wakati wa kujifungua iwe rahisi kwao na waepuke na matatizo mbalimbali yanayohusiana na uzazi

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2022/06/05/Sunday - 02:35:16 pm Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 2766

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 Dua za Mitume na Manabii    👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉4 Simulizi za Hadithi Audio    👉5 web hosting    👉6 Bongolite - Game zone - Play free game   

Post zinazofanana:

Vyakula hatari kwa mjamzito mwenye mimba na mimba changa

Vyakula hivi hapasi kuvila mwanamke mwenye ujauzito kwa kiasi kikubwa, hasa yule mwenye mimba chaga

Soma Zaidi...
Je kukosa hedhi kwa mwanmke anayenyonyesha ni dalili ya mimba

Kipimo cha mimba cha mkojo hakiwezi kyonyesha mimva changa sana. Hivyo kama ni mimba baada ya wikibpima tena itaweza kuonekana. Dalili hizobulizotaja pekee haziashirii mimba tu huwenda ni homoni zimebadilika kidogo, ama una uti.

Soma Zaidi...
Wanaopasawa kutumia PEP

PEP Ni dawa ambazo utumiwa na watu wanaojamiiana na watu wenye virus vya ukimwi ila wenyewe hawawezi kupata kwa sababu ya kutumia dawa hizo.

Soma Zaidi...
Mabadiliko kwenye uke wa Mama pale anapobeba mimba.

Posti hii inahusu zaidi mabadiliko kwenye uke wa Mama pale anapobeba tu mimba, Mama anapobeba mimba Kuna mabadiliko Katika uke wa Mama kama ifuayavyo.

Soma Zaidi...
Dalili za kifafa cha mimba.

Posti hii inahusu zaidi Dalili za Mama mwenye kifafa cha mimba, ili kifafa cha mimba kiweze kutokea lazima kuna dalili ambazo uweza kutokea kwa Mama kama ifuatavyo.

Soma Zaidi...
Sabau za maumivu ya uume baada ya tendo la ndoa

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za maumivu ya uume baada ya tendo la ndoa

Soma Zaidi...
Dawa hatari kwa mwenye ujauzito

Hii ni orodha ya dawa ambazo hutumiwa sana na watu kutoka maduka ya dawa lakini sio salama kwa wajawazito.

Soma Zaidi...
Ukifanya mapenzi siku hatari na ukameza P2 unaweza pata mimba?

Je umeshawahi kujiukiza kuwa, dawa ya P2 ni kweli inaweza kuzuia mimba, ukifanya mapenzi siku hatari?

Soma Zaidi...
Nimetoka kufanya tendo la ndoa ghafla tumbo likaanza kukaza upande wa kushoto na kutoka maji yenye uzito wa kawaida kama ute mengi je hii itakuwa ni nini

Maumivu yavtumbo huwenda yakachanganya sana, Keane yanahusianana sababu nyingi sana. Kina baadhi ya watu hupata na maumivu ya tumbo wakati wa tendo la ndoa ama punde tu baada ya kumaliza.

Soma Zaidi...
Namna za kujilinda na fangasi ukeni

Posti hii inahusu zaidi namna ya kuepuka fangasi za ukeni, ni njia ambazo usaidia kuepuka madhara ya fangasi za ukeni.

Soma Zaidi...