Yajue mazoezi ya kegel

Yajue mazoezi ya kegel

Posti inahusu zaidi mazoezi ya kegel, ni mazoezi ambayo ufanywa na watu wengi na sehemu yoyote yanaweza kufanywa kama vile chumbani, sebuleni, uwanjani na sehemu yoyote ile na kwa watu tofauti.

Download Post hii hapa

Faida ya mazoezi ya kegel.

1. Ni Mazoezi ambayo lengo lake kuu ni kuimarisha mifupa ya kwenye kiuno ambayo ushikilia kizazi hasa hasa mji wa mimba, kibofu cha mkojo, sehemu ya utumbo mpana na uke, kwa ujumla mazoezi haya huwa na faida zaidi kwa wanawake.

 

2. Lengo la mazoezi haya ni kuimarisha misuli kwa sababu misuli ya kwenye kiuno inaweza kuwa midhaifu kwa sababu ya ujauzito ila kama mtu anapiga mazoezi haya misuli hii uimarika kabisa na pia ikitokea mtu anafanyiwa upasuaji kama hapo mwanzoni alikuwa anafanya mazoezi haya ni rahisi kabisa kupona haraka.

 

3. Pia mazoezi haya usaidia kuimarisha njia ya mtoto wakati wa kujifungua kwa hiyo Mama kwenye kipindi cha ujauzito akifanya mazoezi haya ikifungua vizuri na mapema , kwa hiyo akina mama wanapaswa kujifunza mazoezi haya.

 

4. Usaidia pia wanawake wenye shida ya kuzuia mkojo kutoka, kuna wakati mwingine mkojo utoka kwenye kibofu bila mama mwenyewe kutoa mkojo huo na kwa hiyo kama mazozi haya yakifanyika vizuri na kwa usahihi yanasaidia akina mama kuweza kuhimili na kuzuia tatizo hili lisitokee.

 

5. Uongeza msisimko wa raha ya mapenzi kwa wapenzi wawili kwa mwanamke uweza kubana misuli ya kike  kwa umahiri zaidi wakati wa tendo usaidia wapenzi kufurahia tendo.

 

6. Kwa hiyo akina mama na wadada wanapaswa kujitahidi kufanya mazoezi haya ili kuweza kuhimalisha viungo vya uzazi ili wakati wa kujifungua iwe rahisi kwao na waepuke na matatizo mbalimbali yanayohusiana na uzazi

Download Post hii hapa

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 1857

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 Simulizi za Hadithi Audio    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 Bongolite - Game zone - Play free game   

Post zinazofanana:

Ugumu wa choo na tiba yake kwa wajawazito
Ugumu wa choo na tiba yake kwa wajawazito

Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa ugumu wa choo na tiba yake kwa wajawazito, ni ugonjwa unaowapata sana akina mama wajawazito na uisha tu pale Mama anapojifungua kwa hiyo tunapaswa kujua wazi sababu za ugumu wa choo na tiba yake kwa wajawazito.

Soma Zaidi...
Kiwango cha juu cha Androgen
Kiwango cha juu cha Androgen

Posti hii inahusu zaidi homoni ya androgen, ni homoni ambayo imo kwa wanaume na ikizidi kwa kiwango chake inaweza kuleta shida kwenye mwili wa binadamu kwa hiyo homoni hii inaweza kuleta shida iwapo ikiongezeka kwa kiasi kikubwa.

Soma Zaidi...
Dalili za kupasuka kwa mfuko wa uzazi.
Dalili za kupasuka kwa mfuko wa uzazi.

Posti hii inahusu zaidi dalili za kupasuka kwa mfuko wa uzazi,ni Dalili ambazo ujitokeza kwa Mama ambaye anakuwa amepasuka mfuko wa kizazi.

Soma Zaidi...
Wanaopasawa kutumia PEP
Wanaopasawa kutumia PEP

PEP Ni dawa ambazo utumiwa na watu wanaojamiiana na watu wenye virus vya ukimwi ila wenyewe hawawezi kupata kwa sababu ya kutumia dawa hizo.

Soma Zaidi...
Dalili kuu za mwanzo za mimba changa, kuanzia siku ya kwanza
Dalili kuu za mwanzo za mimba changa, kuanzia siku ya kwanza

Ni ngumu ila nitakujuza namna ya kuitambuwa mimba ya siku moja hadi 3, mimba ya wiki moja na mimba ya miezi mitatu kwa dalili.

Soma Zaidi...
Sababu za kutokea kwa saratani ya matiti
Sababu za kutokea kwa saratani ya matiti

Saratani ya matiti ji moja kati ya saratani zinazosumbuwa wqnawake wengi. Katika somo hili utajifunza chanzo cha kutokea saratani ya matiti

Soma Zaidi...
Maambukizi katika mfumo wa Uzazi wa mwanamke
Maambukizi katika mfumo wa Uzazi wa mwanamke

Maambukizi kwenye Njia ya Uzazi kwa kifupi hujulikana Kama PID.ni Maambukizi ya mfumo wa Uzazi yanayoathiri wanawake, Maambukizi haya kwa Kawaida huhusisha sehemu Kama shingo ya uzazi,nyuma ya mfuko wa Uzazi na mirija ya uzazi.

Soma Zaidi...
Malengo kwa Akina Mama na wachumba kabla ya kubeba mimba.
Malengo kwa Akina Mama na wachumba kabla ya kubeba mimba.

Posti hii inahusu zaidi malengo kwa akina Mama na wachumba kabla ya kubeba mimba, ni malengo ambayo yametolewa ili kuweza kusaidia mtoto azaliwe vizuri na mambo mengine kama tutakavyoona.

Soma Zaidi...
Lazima matiti kuuma ka mimba changa?
Lazima matiti kuuma ka mimba changa?

Kuuma mwa matiti ni moka ya Ichiro kuwa huwenda ni ujauzito. Hii haimaanishi etindio mjamzito, zipo dalili nyingi za ujauzito. Hata hivyo kuona dalili za ujauzito haimaanishi umepata tayari ujauzito. Kwanza fanya vipimondipo Upate uhakika

Soma Zaidi...
Dalili za saratani kwa watoto.
Dalili za saratani kwa watoto.

Posti hii inahusu zaidi Dalili za saratani kwa watoto, ni Dalili ambazo ujitokeza kwa watoto na ikiwa mlezi au mzazi akiziona tu anaweza kutambua mara moja kwamba hii ni saratani au la na kama bado ana wasiwasi anaweza kupata msaada zaidi kutoka kwa wataa

Soma Zaidi...