YAJUE MAZOEZI YA KEGEL


image


Posti inahusu zaidi mazoezi ya kegel, ni mazoezi ambayo ufanywa na watu wengi na sehemu yoyote yanaweza kufanywa kama vile chumbani, sebuleni, uwanjani na sehemu yoyote ile na kwa watu tofauti.


Faida ya mazoezi ya kegel.

1. Ni Mazoezi ambayo lengo lake kuu ni kuimarisha mifupa ya kwenye kiuno ambayo ushikilia kizazi hasa hasa mji wa mimba, kibofu cha mkojo, sehemu ya utumbo mpana na uke, kwa ujumla mazoezi haya huwa na faida zaidi kwa wanawake.

 

2. Lengo la mazoezi haya ni kuimarisha misuli kwa sababu misuli ya kwenye kiuno inaweza kuwa midhaifu kwa sababu ya ujauzito ila kama mtu anapiga mazoezi haya misuli hii uimarika kabisa na pia ikitokea mtu anafanyiwa upasuaji kama hapo mwanzoni alikuwa anafanya mazoezi haya ni rahisi kabisa kupona haraka.

 

3. Pia mazoezi haya usaidia kuimarisha njia ya mtoto wakati wa kujifungua kwa hiyo Mama kwenye kipindi cha ujauzito akifanya mazoezi haya ikifungua vizuri na mapema , kwa hiyo akina mama wanapaswa kujifunza mazoezi haya.

 

4. Usaidia pia wanawake wenye shida ya kuzuia mkojo kutoka, kuna wakati mwingine mkojo utoka kwenye kibofu bila mama mwenyewe kutoa mkojo huo na kwa hiyo kama mazozi haya yakifanyika vizuri na kwa usahihi yanasaidia akina mama kuweza kuhimili na kuzuia tatizo hili lisitokee.

 

5. Uongeza msisimko wa raha ya mapenzi kwa wapenzi wawili kwa mwanamke uweza kubana misuli ya kike  kwa umahiri zaidi wakati wa tendo usaidia wapenzi kufurahia tendo.

 

6. Kwa hiyo akina mama na wadada wanapaswa kujitahidi kufanya mazoezi haya ili kuweza kuhimalisha viungo vya uzazi ili wakati wa kujifungua iwe rahisi kwao na waepuke na matatizo mbalimbali yanayohusiana na uzazi



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Hadiythi za alif lela u lela       ðŸ‘‰    2 Mafunzo ya html kwa kiswahili       ðŸ‘‰    3 Madrasa kiganjani       ðŸ‘‰    4 Maktaba ya vitabu       ðŸ‘‰    5 Magonjwa na afya       ðŸ‘‰    6 Mafunzo ya php    


Je! una maswali, mapendekezo ama maoni? tuma ujumbe wa meseji SMS hapo chini ili kuunganishwa na muhusika au bofya hapa

SMS SMS



Post Nyingine


image Dalili za Maambukizi kwenye kitovu cha mtoto
Posti hii inahusu zaidi Dalili ambazo ujitokeza kama kuna Maambukizi yoyote kwenye kitovu cha mtoto mdogo, kwa kawaida kitovu cha mtoto kama kiko vizuri kinapona kwa mda mchache na kinakauka mapema iwezekanavyo bila kuwa na tatizo lolote ila kama kuna Dalili zifuatazo kwenye kitovu cha mtoto jua kubwa kuna Maambukizi. Soma Zaidi...

image Sababu za mama kutokwa na damu nyingi baada ya kujifungua.
Posti hii inahusu zaidi sababu za mama kutokwa na damu nyingi baada ya kujifungua, hili ni tatizo ambalo uwapata akina Mama wengi wanapomaliza kujifungua kwa hiyo tutaweza kuziona sababu zinazosababishwa na tatizo hili. Soma Zaidi...

image Zifahamu fibroids (uvimbe kwenye via vya uzazi)
Posti hii inahusu zaidi fibroids au uvimbe kwenye via vya uzazi hasa hasa utokea kwenye tumbo la uzazi ambapo kwa kitaalamu huitwa uterusi, uvimbe huu ulitokea watu wengine huwa hawawezi kutambua Dalili zake mapema kwa hiyo leo tunapaswa kujua Dalili zake kama ifuatavyo. Soma Zaidi...

image Sababu za mtoto kuzaliwa akiwa na uzito mkubwa
Posti hii inahusu zaidi sababu za mtoto mchanga kuzaliwa akiwa na uzito mkubwa, ni tatizo ambalo utokea kwa baadhi ya wajawazito kupata mtoto mwenye Uzito mkubwa, wengine uona kama ni sifa ila Kuna madhara yanaweza kujitokeza kwa Mama hasa wakati wa kujifungua. Soma Zaidi...

image Napenda kuuliza mke wangu anamuda wa wiki moja . tumbo na maziwa vinauma je dalili hizo zinawekuwa ni ujauzito...?
Maumivu ya tumbo kwa mjamzito huweza kuanaa kuonekana mwanzoni kabisa mwaujauzito, ndani ya mwezi mmoja. Ikabidi si dalili pekee ya kuwa ni mjamzito. Soma Zaidi...

image Kondo la nyuma kuwa mbele ya mlango wa kizazi
Posti hii inahusu zaidi sababu za kondo la nyuma kuwa mbele ya mlango wa kizazi, kwa kawaida kondo la nyuma huwa nyuma ya mlango wa kizazi ila Kuna wakati kondo la nyuma ujishikisha mbele ya mlango wa kizazi. Soma Zaidi...

image Vipi kuhusu kibofu kukaza sana na unapokula unahisi kama tumbo kujaa zaidi je hii nidall yamimba?
Dalili za mimba zinaweza kuwa tata sana kuzijua mpaka upate vipimo. Kwa mfano unaweza kupatwa na maumivu yakibofu. Je unadhani nayo ni dalili ya mimba? Soma Zaidi...

image Niharisha siku ya pili baada ya tendo. Jana hadi leo sijapata choo inawezakua nimeshika ujauzito?
Hivi unadhani kuharisha ni katika dalili za mimba, vipi kuhusu kutopata choo pia inaweza kuwa ni ujauzito? Soma Zaidi...

image Dalili za vidonda vya tumbo
Vidonda vya tumbo no tatizo linalotokea baada ya kuta za tumbo au utumbo mdogo kuwa na vidonda,hutokea baada ya ukuta wenye ute unaozuia kemikali za kuyeyusha chakula unaitwa mucus kuharibika. Vidonda vya tumbo (peptic ulcers) imegawanyika katika makundi mawili ambayo n 1.vidonda vya tumbo mkumbwa(Gastric ulcers) ambapo hukaa ndani kabisa na hivi tuna hugundulika kama n chronic 2.vidonda vya utumbo mdogo (duodenal ulcers) hukaa njee ya ukuta Soma Zaidi...

image Sababu za mimba kutoka
Post hii inahusu zaidi sababu za mimba kutoka, hili ni tatizo ambalo linawakumba wanawake wengi ambapo mimba utoka kabla ya kumfikisha mda wake, kwa kawaida Ili kawaida mimba nyingi utoka zikiwa na miezi chini ya Saba au wengine wanaweza kusema kwamba mimba utoka zikiwa na wiki ishilini na nne. Kwa hiyo zifuatazo ni baadhi ya sababu zinazochangia mimba kutoka. Soma Zaidi...