Posti hii inahusu zaidi sababu za mimba ya miezi kuanzia minne mpaka sita kutoka , Kuna kipindi mimba kuanzia miezi mimne mpaka sita utoka kwa sababu mbalimbali.
1. Kuwepo kwa lishe mbaya.
Kuna wakati mwingine akina Mama wakibeba mimba uanza kula mambo ya ajabu ambayo ni pamoja na kula udongo, mkaa,pemba na vitu kama hivyo na kuanza kuacha kutumia vyakula vya maana ambavyo vinaleta afya kwenye miili yao , kama vile folic acid na vyakula vyenye madini.
2. Kuwepo kwa matatizo kwenye tezi.
Kuna wakati mwingine kitendo cha kuwepo kwa tezi bila kitibiwa usababisha mimba kutoka hasa kwenye kipindi cha miezi minne mpaka sita.
3. Pia kama Kuna maambukizi kwenye njia ya uzazi.
Kwa sababu magonjwa mengine mama uyapata akiwa tayari ana mimba na pia kwa kuwa akina Mama wengi upima siku za mwanzo kwa hiyo usababisha mimba kutoka.
4. Pengine msongo wa mawazo.
Kuna kipindi kunakuwepo na msongo wa mawazo kwa akina Mama wakiwa na mimba na kusababisha mpaka mimba kutoka, msongo wa mawazo inawezekana ni kwa sababu Mama hapati matumizi ya kutosha au mme wake anamsumbua na mambo kama hayo.
5. Uzito mkubwa kupita kiasi.
Nii vizuri kupunguza Uzito wakati wa ujauzito Ili kuepuka tatizo la mimba kuharibika.
6. Kuwepo kwa maambukizi kwenye mlango wa kizazi.
Na hili ni tatizo kwa Sababu usababisha kuenea kwenye sehemu mbalimbali kwa mtoto na sehemu aliyojishikiza na kusababisha mimba kutoka.
7. Kulegea kwa mfuko wa mimba.
Kuna kipindi kwa sababu mbalimbali utokea ambapo usababisha mfuko wa uzazi kulegea na kusababisha mimba kutoka.
8. Shinikizo la damu kuwa juu.
Kwa hiyo akina Mama kila udhulio wanapaswa kupima kiwango cha shinikizo la damu Ili kuepuka mimba kutoka.
9. Matumizi ya dawa pasipo daktari.
Na hilo ni tatizo ambapo madawa mengine unakuta hayaruhusiwi kutumiwa na akina Mama wakati wa ujauzito ila wao wanatumia tu.
10. Matumizi ya chakula chenye Sumu.
Kuna wakati mwingine akina Mama wanaweza kutumia vyakula vyenye Sumu na kusababisha mimba kutoka.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Abali mkuu Nina mdogo wangu anawashwa Sana sehemu ya Siri mpaka anatoka vipele vingi kwenye mapaja korodani zake zimebadilika kuwa nyekundu na zenye kutisha uume wake nao umekuwa unakama mabaka umebabuka aisee nime angaika Sana kumtibia mpaka nakata tamaa
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi njia ambazo unaweza kuzitumia ili kuweza kupunguza homoni za kiume kwa akina dada.
Soma Zaidi...Mdau anauliza ni muda gani mwanamke anaweza kujijuwa kuwa amepata ujauzito.
Soma Zaidi...Ni kweli kuwa kutema mate mara kwa mara inaweza kuwa ni dlili za ujauzito. Lakini itambulije kuwa pekee sio kithibitishi cha ujauzito.
Soma Zaidi...Hivi unadhani kuharisha ni katika dalili za mimba, vipi kuhusu kutopata choo pia inaweza kuwa ni ujauzito?
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi njia ambazo zinaweza kutumika ili kuweza kutunza joto la mtoto mara tu anapozaliwa,tunajuwa wazi kuwa Mama anaweza kujifungulia sehemu yoyote ile kabla hajafika hospitalini kwa hiyo mtoto anapaswa kuwa na joto la mwili la kutosha i
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi kuwepo kwa maziwa kwa akina Mama wakati wa ujauzito ni kawaida kwa sababu ya kuzaliwa kwa homoni ambayo usaidia kutoa maziwa.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za mimba kuanzia siku ya 7 Hadi ya 14
Soma Zaidi...Mtoto huweza kuzaliwa ndani ya miezi 6 na unaweza kupona. Na huyu mdoe mtoto njiti. Na anaweza kuzliwa kwa njia ya kawaida. Hakuna ushahidi unaiinyesha kuwa njiti hukabiliwanamatatizo ya kitalima kwenye ukubwa wako.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu za kuwepo kwa hedhi zaidi ya mara moja kwa mwezi mmoja, mara nyingi kuna Watu ambao huwa wanalalamika kwa sababu ya kupata hedhi za mara kwa mara kwa mwezi mmoja.
Soma Zaidi...