Posti hii inahusu zaidi huduma ambazo wajawazito wanaweza kuzipata wakiwa na Dalli au tayari wana kifafa cha mimba.
1. Kwanza kabisa Mama anapaswa kuhakikisha anahudhuria mahudhurio ya mara kwa mara ili kupima kiwango cha presha na pia kuangalia kiwango cha protini kwenye mkojo na pia kuzingatia mda wa kujifungua na ajitahidi kujifungulia hospitalini ili kuweza kuwa na uhakika wa huduma wakati wa kujifungua, akijifungua mitaani anaweza kupatwa na matatizo ambayo wahudumu wa pale wanaweza kushindwa kuyafanyia kazi na kulingana na tatizo.
2. Pia Mama anapaswa kupata mda wa kutosha kupumzika, pia huduma zota anapaswa kuzipata akiwa kitandani kwa hiyo akikaribia kujifungua aepukane na kutembea huku na huko bila sababu ya msingi na pia anapaswa kufundishwa jinsi ya kulala kwenye kitandani ili kuhakikisha kubwa damu inatembelea kwenye mfuko wa uzazi kwa kiwango cha kutosha pia kuhakikisha kubwa na miguu kama imevimba inatoka na kuwa kwenye hali ya kawaida.
3. Vile vile mkojo wa Mama unapaswa kuangaliwa kila mara ili kuweza kutambua kama kiwango cha protini kwenye mkojo kimepungua au kinaendelea kuongezeka na kuweza kutoa huduma za msingi ili kupunguza kiwango cha protini kwenye mkojo.
4. Kwa mama mjamzito kiwango cha vimiminika vinavyoingia na kutoka vinapaswa kupimwa, ikionekana kwamba kiwango cha kimiminika kinachotoka ni kikubwa tunajua wazi figo linafanya kazi vizuri ila kama ni kidogo tunajua wazi kubwa kuna tatizo kwenye figo.
5. Kupima mara kwa mara kiasi cha presha kwa sababu ili kuweza kutambua kuwa kiwango kinaongezeka au kina pungua kupima mara nne kwa saa.
6. Kuendelea kuangalia tumbo mara kwa mara walau mara mbili kwa siku moja ili kuweza kuangalia kama kuna maumivu kwenye tumbo au kitu chochote kisicho cha kawaida.
7. Kuangalia mara kwa mara mapigo ya mtoto kama yapo sawa kwa sababu tatizo hili kama halijaangaliwa vizuri usababisha matatizo makubwa kwa mtoto
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Swali langu ni hili doktaJe siku sahihi yakufanya tendo la ndoa niipi ukipata siku zake za hatari?
Soma Zaidi...Kama na wewe unasumbuliwa na hali ya kupitiliza siku zako post hii itakusaidia.
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia Faida za Uzazi wa mpango kwa watoto, mama, wanandoa, na jamii au JUMUIYA.
Soma Zaidi...Utajifunza dalili za mwanzoni za mimba changa kuanzia wiki moja baada ya tendo la ndoa
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dalili ambazo zinaweza kutokea iwapo Kuna upungufu wa homoni ya progesterone.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi maji ya Amniotic ni maji ambayo uzunguka mtoto na kufanya kazi mbalimbali kama ifuayavyo.
Soma Zaidi...Post hii itakwenda kuangalia madhara ya tumbaku na sigara anayoweza kuyapata mvutaji
Soma Zaidi...Majimaji msule sehemu za siriyanaweza kuashiria mambo mengi ka mwanamke. Ikiwemo ujauzitina maradhi. Pia yanaweza kuashiria kuwa mwanamke unaweza kuoatavujauzito amalaa.
Soma Zaidi...Je ungependa kuijuwa Njia ya kuzuia mimba wakati wa tendo la ndoa?. Posti hii itakwenda kukufundisha ujanja huu.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi Dalili ambazo anaweza kuzipata mwenye Ugonjwa wa tezi dume, sio Dalili zote mtu anaweza kuzipata kwa sababu dalili kama hizi zinaweza kujitokeza hata kwa magonjwa mengine.
Soma Zaidi...