Huduma kwa mama mwenye kifafa cha mimba.

Posti hii inahusu zaidi huduma ambazo wajawazito wanaweza kuzipata wakiwa na Dalli au tayari wana kifafa cha mimba.

Huduma kwa wanawake wenye kifafa cha mimba.

1. Kwanza kabisa Mama anapaswa kuhakikisha anahudhuria mahudhurio ya mara kwa mara ili kupima kiwango cha presha na pia kuangalia kiwango cha protini kwenye mkojo na pia kuzingatia mda wa kujifungua na ajitahidi kujifungulia hospitalini ili kuweza kuwa na uhakika wa huduma wakati wa kujifungua, akijifungua mitaani anaweza kupatwa na matatizo ambayo wahudumu wa pale wanaweza kushindwa kuyafanyia kazi na kulingana na tatizo.

 

2. Pia Mama anapaswa kupata mda wa kutosha kupumzika, pia huduma zota anapaswa kuzipata akiwa kitandani kwa hiyo akikaribia kujifungua aepukane na kutembea huku na huko bila sababu ya msingi na pia anapaswa kufundishwa jinsi ya kulala kwenye kitandani ili kuhakikisha kubwa damu inatembelea kwenye mfuko wa uzazi kwa kiwango cha kutosha pia kuhakikisha kubwa na miguu kama imevimba inatoka na kuwa kwenye hali ya kawaida.

 

3. Vile vile mkojo wa Mama unapaswa kuangaliwa kila mara ili kuweza kutambua kama kiwango cha protini kwenye mkojo kimepungua au kinaendelea kuongezeka na kuweza kutoa huduma za msingi ili kupunguza kiwango cha protini kwenye mkojo.

 

4. Kwa mama mjamzito kiwango cha vimiminika vinavyoingia na kutoka vinapaswa kupimwa, ikionekana kwamba  kiwango cha kimiminika kinachotoka ni kikubwa tunajua wazi figo linafanya kazi vizuri ila kama ni kidogo tunajua wazi kubwa kuna tatizo kwenye figo.

 

5. Kupima mara kwa mara kiasi cha presha kwa sababu ili kuweza kutambua kuwa kiwango kinaongezeka au kina pungua kupima mara nne kwa saa.

 

6. Kuendelea kuangalia tumbo mara kwa mara walau mara mbili kwa siku moja ili kuweza kuangalia kama kuna maumivu kwenye tumbo au kitu chochote kisicho cha kawaida.

 

7. Kuangalia mara kwa mara mapigo ya mtoto kama yapo sawa kwa sababu tatizo hili kama halijaangaliwa vizuri usababisha matatizo makubwa kwa mtoto

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 1891

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 Madrasa kiganjani    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 kitabu cha Simulizi   

Post zinazofanana:

Dalili za ongezeko la homoni ya estrogen

Posti hii inahusu zaidi dalili ambazo mtu anaweza kupata ikiwa homoni ya estrogen imeongezeka, hizi dalili zikitokea mama anapaswa kuwahi hospital ili kuweza kupata matibabu au ushauri zaidi.

Soma Zaidi...
Zifahamu fibroids (uvimbe kwenye via vya uzazi)

Posti hii inahusu zaidi fibroids au uvimbe kwenye via vya uzazi hasa hasa utokea kwenye tumbo la uzazi ambapo kwa kitaalamu huitwa uterusi, uvimbe huu ulitokea watu wengine huwa hawawezi kutambua Dalili zake mapema kwa hiyo leo tunapaswa kujua Dalili zake

Soma Zaidi...
Sababu za kuvunjika kwa mtoto wakati wa kuzaliwa.

Post hii inahusu zaidi sababu za kuvunjika kwa mtoto wakati wa kuzaliwa, kuna wakati mtoto anapozaliwa anaweza kuvunjika kwenye sehemu mbalimbali kwa sababu zifuatazo.

Soma Zaidi...
Dalili za Ujauzito mchanga Siku Saba Baada ya Ovulation

Unaweza kujiuliza ikiwa inawezekana kupata dalili za ujauzito mchanga kama siku 7 baada ya kudondoshwa kwa yai (DPO yaani Days Past Ovulation).

Soma Zaidi...
Mambo yanayopelekea Mjamzito kutokwa na damu

Posti hii inahusu zaidi mambo mbalimbali ambayo yanapelekea Mjamzito kutokwa na damu, hizi ni baadhi ya sababu ambazo usababisha Mjamzito kutokwa na damu.

Soma Zaidi...
Tatizo la muingiliano wa majimaji ya Amniotic au seli za Mtoto kwenye Damu ya mama mjamzito.

posti hii inaelezea kuhusiana tatizo la muingiliano wa majimaji ya seli za Mtoto kwenye Damu ya mama mjamzito ambao hujulikana Kama Amniotic Fluid Embolism ni hali adimu lakini mbaya ambayo hutokea wakati Maji ya amniotiki Majimaji ambayo huzunguka mtot

Soma Zaidi...
DALILI ZA TEZI DUME

Tezi dume hii ni tezi inayopatikana katika katika mfumo wa uzazi wa mwanaume Ila hujulikana kama PROSTATE GLAND. pia hukua karibu na kibofu Cha mkojo na mirija ya mkojo hutumika kuzalisha majimaji (simen) yanayobeba mbegu hivyo bas mk

Soma Zaidi...
Uchunguzi wa Nimonia kwa mtoto na Tiba

Posti hii inahusu namna unavyoweza kumtambua mtoto mwenye Ugonjwa wa Nimonia na tiba anayopaswa kupata mtoto mwenye Nimonia

Soma Zaidi...
Mke Wang Ana tatizo la tumbo kuuma chini upande wa kushoto akishika ni pagumu ,anapatwa na kichefuchef tumbo kujaa ges na kujiisi kusiba he mtanisaidije ili kuondoa tatizo Hilo Ila anaujauzito wa wiki mbili

Miongoni mwa changamoto za ujauzito ni maumivu ya tumbo. Maumivu haya yanawezakuwaya kawaida ama makali zaidi. Vyema kufika Kituo cha Afya endapoyatakuwa makali.

Soma Zaidi...