Hutokea uchungu wa kujifunguwa ukakati. Unadhani ni kitugani kinatokea.
ðŸ€ðŸ€ swali
Je mjamzito Uchungu ukikata inakuwaje
👉Jibu
Ndio hali hii huweza kutokea. Ipo hivi unapokuwa unahisi uchungu uwe makini. Hakikisha unawauliza walio na uzoefu na hali hiyo.
👉 Tambua kuwa hutokea kukawa na uchungu fake. Uchungu fake kwa maana unaweza kuhisi ni uchungu kumbe sio uchungu.
🚑 Hivyo basi endapo uchungu utapotea ina maana huo haukuwa uchungu wa kiukweli ulikuwa ni fake. Fika kituo cha afya endapo unahisi hali kama hiyo.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Jifunze namna ya kuthibitisha dalili za ujauzito kuwa ni za kweli. Tambuwa namna ya kupima mimba na muda mujarabu wa kupima
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu maumivu ya uume baada ya tendo la ndoa
Soma Zaidi...Inaweza kutokea ukapima mimbaikawa ipo, na baada ya wiki kadhaa unapima tena haipo. Hali hii unadhani inaweza kusababishwa na nini?
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi sababu za mimba kutoka, hili ni tatizo ambalo linawakumba wanawake wengi ambapo mimba utoka kabla ya kumfikisha mda wake, kwa kawaida Ili kawaida mimba nyingi utoka zikiwa na miezi chini ya Saba au wengine wanaweza kusema kwamba mim
Soma Zaidi...Kondo la nyuma ni sehemu ya mwili wa mama anapokuwa mjamziti,kondo la nyuma husaidia katika kazi mbalimbali katika ukuaji wa mtoto.
Soma Zaidi...Post hii itakujulishs kwa namna gani mwanaune anaweza kupata fangasi kwenye uume wake
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi njia ambazo unaweza kuzitumia ili kuweza kupunguza homoni za kiume kwa akina dada.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu mwanamke mwenye HIV akiwa mjamzito ama anaenyonyesha
Soma Zaidi...Makala hii itakwenda kukufundisha dalili za kujifunguwa, hatuwa za kujifunguwa na kuzalisha, pia utajifunza mabo muhimu kabla na wakatii wa kujifungua.
Soma Zaidi...