MADHARA YA MWILI KUSHINDWA KUTENGENEZA PROJESTRON YA KUTOSHA


image


Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo mtu anaweza kupata ikiwa mwili utaeweza kutengeneza progesterone ya kutosha.


Madhara ya mwili kushindwa kutengeneza projestron ya kutosha..

1. Kwanza kabisa tunafahamu wazi kwamba mwili wa binadamu unapaswa kuwa na homoni sawa kwa hiyo homoni Moja ikiwa nyingi kupita nyingine usababisha Ile homoni iliyotawala kufanya kazi zaidi kuliko nyingine na sifa za nje  na za ndani ufanana na Ile homoni ambayo utawala nyingine.

 

2. Kuna wakati mwingine mwilini huwa Kuna kipindi cha homoni ya estrogen uwa nyingi kuzidi homoni ya progesterone  hali ambayo usababisha kiwango cha estrogen kuongezeka na kwa kiasi kikubwa sana na kusababisha matatizo mbalimbali kwenye mwili .

 

3.Kwa hiyo kama Kuna tatizo hili la kupunguza kwa homoni ya progesterone Kuna madhara ambayo yanaweza kutokea kwa mfano kwa upande wa akina dada homoni hii inatoa mchango mkubwa sana hasa wakati wa uchevushaji wa mayai kwa hiyo homoni hii ikikosekana Kuna uwezekano wa hedhi kutoenda sawa au kwa wakati mwingine kushindwa kubeba mimba.

 

4. Kwa upande wa akina Mama wenye mimba homoni hii usaidia katika makuzi ya mtoto na katika kuonyesha dalili zote za mimba kwa hiyo kama mama mwenye mimba akikosa homoni hii Kuna uwezekano wa kupata shida katika ukuaji wa mtoto kwa sababu ya kutegemea homoni Moja tu yaani homoni ya estrogen badala ya kuwepo kwa homoni zote mbili.

 

5 .kwa hiyo tunapaswa kuchukua hatua na kupata matibabu ikitokea tatizo la Namna hii hii Ili kuweza kuokoa maisha ya Mama na mtoto au kuepuka ugumba na matatizo mengine kama hayo.



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Jifunze fiqh       ðŸ‘‰    2 Mafunzo ya php       ðŸ‘‰    3 Madrasa kiganjani       ðŸ‘‰    4 Maktaba ya vitabu       ðŸ‘‰    5 Mafunzo ya html kwa kiswahili       ðŸ‘‰    6 Magonjwa na afya    


Je! una maswali, mapendekezo ama maoni? tuma ujumbe wa meseji SMS hapo chini ili kuunganishwa na muhusika au bofya hapa

SMS SMS



Post Nyingine


image Vyakula vya kuongeza hamu ya tendo la ndoa
Posti hii inahusu zaidi vyakula mbalimbali vya kuongeza tendo la ndoa, kwa kawaida kuna vyakula mbalimbali ambavyo watu ukitumia ili kuweza kuongeza tendo la ndoa vyakula hivyo ni kama tutakavyoona hapo baadaye Soma Zaidi...

image Sababu za kutoka kwa mimba na dalili zake
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za kutoka kwa mimba na dalili zake Soma Zaidi...

image Mimba iliyotunga nje
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu mimba iliyotunga nje na madhara yake kiafya Soma Zaidi...

image Mimba huonekana katka mkojo baada ya muda gan tangu itungwe
Kipimo cha mimba kwa mkojo kimekuwa kikitumika sana kuangalia ujauzito. Kipimo hiki kinapotumika vibaya kinaweza kukupa majibu ya uongo. Kuwa makini na ujue muda sahihi. Soma Zaidi...

image Zifahamu fibroids (uvimbe kwenye via vya uzazi)
Posti hii inahusu zaidi fibroids au uvimbe kwenye via vya uzazi hasa hasa utokea kwenye tumbo la uzazi ambapo kwa kitaalamu huitwa uterusi, uvimbe huu ulitokea watu wengine huwa hawawezi kutambua Dalili zake mapema kwa hiyo leo tunapaswa kujua Dalili zake kama ifuatavyo. Soma Zaidi...

image Habari, naomba kuulizia, nimadhara gani atayapata mwanamke akitolewa bikra bila kukusudia
Je unawaza nini endapo bikra itatolewa bila wewe kukusudia, je imetolewa kwa njia ya kawaida yaani uume ama ilikuwa ni ajali? Soma Zaidi...

image Siku za kupata mimba
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu siku za kupata mimba Soma Zaidi...

image Mambo ya kuzingatia iwapo mimba imetoka.
Post hii inahusu zaidi mambo ya kuzingatia iwapo mimba imetoka mambo haya yanaweza yakawahusu akina Mama wenyewe, familia na jamii kwa ujumla. Soma Zaidi...

image Fahamu dalili za hatari kwa wajawazito.
Posti hii inahusu zaidi dalili za hatari kwa mama mjamzito, kwa sababu kuna baadhi ya Dalili zikitokea kwa mama mjamzito ni vizuri kabisa kuwahi hospitali mara moja. Soma Zaidi...

image Nahitaji kufaham siku ya kumpatia mimba make wangu, yeye hedhi yake ilianza talehe22
Je na wewe ni moja kati ya wake ambao wanahitajivkujuwa siku za kupata mimba. Ama siku za competes mwanamke mimba. Post hii ni kwa ajili yako. Soma Zaidi...