Madhara ya mwili kushindwa kutengeneza projestron ya kutosha

Madhara ya mwili kushindwa kutengeneza projestron ya kutosha

Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo mtu anaweza kupata ikiwa mwili utaeweza kutengeneza progesterone ya kutosha.

Download Post hii hapa

Madhara ya mwili kushindwa kutengeneza projestron ya kutosha..

1. Kwanza kabisa tunafahamu wazi kwamba mwili wa binadamu unapaswa kuwa na homoni sawa kwa hiyo homoni Moja ikiwa nyingi kupita nyingine usababisha Ile homoni iliyotawala kufanya kazi zaidi kuliko nyingine na sifa za nje  na za ndani ufanana na Ile homoni ambayo utawala nyingine.

 

2. Kuna wakati mwingine mwilini huwa Kuna kipindi cha homoni ya estrogen uwa nyingi kuzidi homoni ya progesterone  hali ambayo usababisha kiwango cha estrogen kuongezeka na kwa kiasi kikubwa sana na kusababisha matatizo mbalimbali kwenye mwili .

 

3.Kwa hiyo kama Kuna tatizo hili la kupunguza kwa homoni ya progesterone Kuna madhara ambayo yanaweza kutokea kwa mfano kwa upande wa akina dada homoni hii inatoa mchango mkubwa sana hasa wakati wa uchevushaji wa mayai kwa hiyo homoni hii ikikosekana Kuna uwezekano wa hedhi kutoenda sawa au kwa wakati mwingine kushindwa kubeba mimba.

 

4. Kwa upande wa akina Mama wenye mimba homoni hii usaidia katika makuzi ya mtoto na katika kuonyesha dalili zote za mimba kwa hiyo kama mama mwenye mimba akikosa homoni hii Kuna uwezekano wa kupata shida katika ukuaji wa mtoto kwa sababu ya kutegemea homoni Moja tu yaani homoni ya estrogen badala ya kuwepo kwa homoni zote mbili.

 

5 .kwa hiyo tunapaswa kuchukua hatua na kupata matibabu ikitokea tatizo la Namna hii hii Ili kuweza kuokoa maisha ya Mama na mtoto au kuepuka ugumba na matatizo mengine kama hayo.

Download Post hii hapa

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 1552

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 Bongolite - Game zone - Play free game    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

Dalili za uvimbe kwenye kizazi
Dalili za uvimbe kwenye kizazi

Posti hii inahusu zaidi Dalili za uvimbe kwenye kizazi,hizi ni Dalili ambazo ujitokeza kwa akina mama ambao wana uvimbe kwenye kizazi kwa hiyo endapo mama ameona Dalili kama hizi anapaswa kuwahi hospitali mara moja kwa uangalizi zaidi.

Soma Zaidi...
Zijue Athari za kuweka vitu ukeni.
Zijue Athari za kuweka vitu ukeni.

Posti hii inahusu zaidi athari za kuweka vitu ukeni, tunajua kwa wakati huu kadri ya kukua kwa sayansi na teknolojia watu wanaendelea kugundua mbinu mbalimbali ili waweze kuwafurahisha wapenzi wao wakati wa kufanya tendo la ndoa.

Soma Zaidi...
Tofauti za ute kwa mwanamke
Tofauti za ute kwa mwanamke

Posti hii inahusu zaidi tofauti mbalimbali za uke, kwa sababu ya kuwepo kwa matatizo mbalimbali kwenye mwili wa binadamu kuna tofauti mbalimbali za ute kutegemea na hali iliyopo.

Soma Zaidi...
Nia za kupima ujauzito ukiwa nyumbani, Njia kuu 10 za kiasili za kupima mimba changa
Nia za kupima ujauzito ukiwa nyumbani, Njia kuu 10 za kiasili za kupima mimba changa

Kuna njia nyingi zinatajwa zinapima mimba kama chumvi, sukari, mafuta na sabuni. Hata hivyo zipo njia zaidi ya 10 za kiasili za kupima ujauzito. Utajifunza hapa zote

Soma Zaidi...
Dalili za saratani kwa watoto.
Dalili za saratani kwa watoto.

Posti hii inahusu zaidi Dalili za saratani kwa watoto, ni Dalili ambazo ujitokeza kwa watoto na ikiwa mlezi au mzazi akiziona tu anaweza kutambua mara moja kwamba hii ni saratani au la na kama bado ana wasiwasi anaweza kupata msaada zaidi kutoka kwa wataa

Soma Zaidi...
Dalili za ujauzito: Nini kinatokea kwanza
Dalili za ujauzito: Nini kinatokea kwanza

Je, unafahamu dalili za mwanzo za ujauzito? Kutoka kwa kichefuchefu hadi uchovu, ujue nini cha kutarajia.

Soma Zaidi...
Kuwepo kwa mabonge ya damu wakati wa hedhi
Kuwepo kwa mabonge ya damu wakati wa hedhi

Posti hii inahusu zaidi kuwepo kwa mabonge ya damu wakati wa hedhi, tunajua kabisa wakati wa hedhi damu inapaswa kuwa nyepesi na ya kawaida ila kuna wakati mwingine inakuwa na mabonge zifuatazo ni sababu za kuwepo kwa mabonge ya damu wakati wa hedhi.

Soma Zaidi...
Unakuta siku imefka ya hedhi kabla haijaanza kutoka hedhi yanatoka maji meupe clean kabisa hii Ina naamisha nini?
Unakuta siku imefka ya hedhi kabla haijaanza kutoka hedhi yanatoka maji meupe clean kabisa hii Ina naamisha nini?

Kutoka na majimaji ka uchache kwa mwanamke sio jambo lakishangaa sana. Damu hii inawezapiabkikbatana damu na maumivu makali.

Soma Zaidi...
Dawa ya chango na dawa maumivu ya tumbo la hedhi
Dawa ya chango na dawa maumivu ya tumbo la hedhi

Nitakujiza dawa ya chango na maumivu ya tumbo lahedhi, dalili zake na njia za kukabiliana na maumivu ya tumbo la chango.

Soma Zaidi...