Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo mtu anaweza kupata ikiwa mwili utaeweza kutengeneza progesterone ya kutosha.
1. Kwanza kabisa tunafahamu wazi kwamba mwili wa binadamu unapaswa kuwa na homoni sawa kwa hiyo homoni Moja ikiwa nyingi kupita nyingine usababisha Ile homoni iliyotawala kufanya kazi zaidi kuliko nyingine na sifa za nje na za ndani ufanana na Ile homoni ambayo utawala nyingine.
2. Kuna wakati mwingine mwilini huwa Kuna kipindi cha homoni ya estrogen uwa nyingi kuzidi homoni ya progesterone hali ambayo usababisha kiwango cha estrogen kuongezeka na kwa kiasi kikubwa sana na kusababisha matatizo mbalimbali kwenye mwili .
3.Kwa hiyo kama Kuna tatizo hili la kupunguza kwa homoni ya progesterone Kuna madhara ambayo yanaweza kutokea kwa mfano kwa upande wa akina dada homoni hii inatoa mchango mkubwa sana hasa wakati wa uchevushaji wa mayai kwa hiyo homoni hii ikikosekana Kuna uwezekano wa hedhi kutoenda sawa au kwa wakati mwingine kushindwa kubeba mimba.
4. Kwa upande wa akina Mama wenye mimba homoni hii usaidia katika makuzi ya mtoto na katika kuonyesha dalili zote za mimba kwa hiyo kama mama mwenye mimba akikosa homoni hii Kuna uwezekano wa kupata shida katika ukuaji wa mtoto kwa sababu ya kutegemea homoni Moja tu yaani homoni ya estrogen badala ya kuwepo kwa homoni zote mbili.
5 .kwa hiyo tunapaswa kuchukua hatua na kupata matibabu ikitokea tatizo la Namna hii hii Ili kuweza kuokoa maisha ya Mama na mtoto au kuepuka ugumba na matatizo mengine kama hayo.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Abali mkuu Nina mdogo wangu anawashwa Sana sehemu ya Siri mpaka anatoka vipele vingi kwenye mapaja korodani zake zimebadilika kuwa nyekundu na zenye kutisha uume wake nao umekuwa unakama mabaka umebabuka aisee nime angaika Sana kumtibia mpaka nakata tamaa
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi kuvunjika kwa mtoto wakati wa kuzaliwa, hali hii utokea kwa watoto wadogo wakati wa kuzaliwa kwa sababu maalum kama tutakavyoona.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa uzazi wa mpango kwa watoto, sio akina Mama peke yao wanaofaidika na uzazi wa mpango vile vile na watoto wanafaidika na uzazi wa mpango kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi kuwepo kwa maziwa kwa akina Mama wakati wa ujauzito ni kawaida kwa sababu ya kuzaliwa kwa homoni ambayo usaidia kutoa maziwa.
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na Dalili pamoja na mambo yanayosababisha nguvu za kiume kupungua kwa Wanaume
Soma Zaidi...Kupungua kwa idadi ya mbegu za kiume kunamaanisha kuwa Majimaji (shahawa) unayotoa wakati wa kufika kileleni huwa na mbegu chache kuliko kawaida. Hesabu yako ya manii inachukuliwa kuwa chini kuliko kawaida ikiwa una chini ya mbegu milioni 15. Kuwa na idad
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi vyanzo vya kuharibika kwa mimba kuanzia miezi zero mpaka miezi mitatu, kwa sababu hii ni miezi ya kwanza kabisa Kuna sababu au vyanzo vya kuharibika kwa mimba katika kipindi hiki.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi saratani zinazowashambulia watoto. Hizi ni aina mbalimbali za saratani ambazo upenda kuwasumbua watoto ambao ni chini ya umri wa miaka mitano na uleta madhara katika kipindi cha makuzi yao.
Soma Zaidi...Kutokwa na damu baada ya tendo la ndoabkunaweza kuashiria kuwa kuna majeraha yametokea huwenda ni michubuko ilitokea ndio ikavujisha damu. Lakini kwa nini hali kama hii itokee. Posti hii itakwwnda mujibu swali hili.
Soma Zaidi...Hii ni hali inayowapata sana wanaume huwa wanamaliza hamu ya tendo la ndoa mapema kabla ya mwenza kuridhika.
Soma Zaidi...