Madhara ya kutotoa huduma kwa Mama anayevuja damu baada ya kujifungua

Madhara ya kutotoa huduma kwa Mama anayevuja damu baada ya kujifungua

Posti hii inahusu zaidi Madara ya kutomsaidia mama anayetokwa na damu nyingi baada ya kujifungua.

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Madhara ya kutokwa dama baada ya kujifungua.

1. Kwanza kabisa tunafahamu kwamba mwili wa binadamu umejengwa na damu, damu ikipungua madhara mengi yanaweza kutokea, pia kwa akina Mama wakiwa na mimba usababisha damu kupungua kwa sababu ya matumizi ya Mama na mtoto. Kwa hiyo wakati wa kujifungua Mama upoteza damu na damu ikipotea zaidi usababisha madhara makubwa kama vile,

 

2. Kuwepo kwa upungufu wa damu ambapo kwa kitaalamu huitwa Anemia.

Kwa hiyo ikitokea Mama akapoteza damu nyingi anaweza kupata upungufu wa damu mwilini ni vizuri kabisa hali hii ikitokea Mama anapaswa kuongezewa damu haraka Ili kuepuka tatizo hili la upungufu wa damu. Kwa hiyo wahudumu wa afya wanapaswa kufahamu hilo na kuacha uzembe ambao usababisha kupoteza damu.

 

3. Mama akipoteza damu anaweza kuzimia na kuishiwa madini mwilini.

Kwa kawaida tunajua madini mbalimbali yapo kwenye damu ambayo usambazwa kutoka sehemu mbalimbali za mwili na kuweza kuupatia mwili nguvu.kwa hiyo damu ilipungua usababisha nguvu kuisha mwilini hali inayoweza kusababisha mama kuzimia baada ya kupungukiwa kwa kiwango kikubwa cha damu.

 

4. Kifo kinaweza kutokea ikiwa Mama hajahudumiwa ipasavyo.

Kwa wakati mwingine kama Mama ana matatizo ya kutokwa na damu kwa mda mrefu bila msaada wowote, mama anaweza kufariki.

Kwa hiyo wauguzi na wahudumu wa afya wanapaswa kufahamu hilo na kuhakikisha kuwa Mama anapata dawa zote na huduma zote ili kuweza kuokoa maisha ya Mama na mtoto.

 

5. Kwa hiyo ni vizuri kabisa kuhakikisha kuwa ikiwa Mama ataonyesha dalili yoyote ya kutokwa kwa damu anapaswa kuhudumiwa kwa nguvu zote ili kuokoa maisha yake na pia kwa wale wenye sababu zinazoeleweka wanapaswa kutibiwa mapema ipasavyo

Download Post hii hapa

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 1201

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉3 Simulizi za Hadithi Audio    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 Bongolite - Game zone - Play free game   

Post zinazofanana:

Zijue Dalili za hatari kwa Mama mjamzito
Zijue Dalili za hatari kwa Mama mjamzito

Posti hii inahusu zaidi dalili za hatari kwa Mama mjamzito, ni Dalili ambazo ujitokeza kwa Mama mjamzito, hizi Dalili zisipofanyiwa kazi mapema zinaweza kuleta shida kwa Mama kwa hiyo jamii nzima inapaswa kujua Dalili hizi na kuchukua hatua endapo zitajio

Soma Zaidi...
Dalili za mimba kuanzia week mbili Hadi mwezi
Dalili za mimba kuanzia week mbili Hadi mwezi

Somo hili linakwenda kukueleza baadhi ya dalili za mimba kuanzia week mbili Hadi mwezi

Soma Zaidi...
Sifa za siku za kupata mimba
Sifa za siku za kupata mimba

Somo hili linakwenda kukueleza baadhi ya sifa za siku za kupata mimba

Soma Zaidi...
Njia za kuongeza nguvu za kiume
Njia za kuongeza nguvu za kiume

Somo hili linakwenda kukueleza njia za kuongeza nguvu za kiume

Soma Zaidi...
Mwanaune anapataje fangasi kwenye uume
Mwanaune anapataje fangasi kwenye uume

Post hii itakujulishs kwa namna gani mwanaune anaweza kupata fangasi kwenye uume wake

Soma Zaidi...
Sabau za maumivu ya uume baada ya tendo la ndoa
Sabau za maumivu ya uume baada ya tendo la ndoa

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za maumivu ya uume baada ya tendo la ndoa

Soma Zaidi...
Je kukosa hedhi kwa mwanmke anayenyonyesha ni dalili ya mimba
Je kukosa hedhi kwa mwanmke anayenyonyesha ni dalili ya mimba

Kipimo cha mimba cha mkojo hakiwezi kyonyesha mimva changa sana. Hivyo kama ni mimba baada ya wikibpima tena itaweza kuonekana. Dalili hizobulizotaja pekee haziashirii mimba tu huwenda ni homoni zimebadilika kidogo, ama una uti.

Soma Zaidi...
Mapendekezo  muhimu kwa wajawazito
Mapendekezo muhimu kwa wajawazito

Posti hii inahusu zaidi mapendekezo muhimu kwa wajawazito, haya ni mapendekezo yaliyotolewa na wataalamu wa afya ili wajawazito waweze kule mimba zao vizuri na kuweza kujifungua vizuri na kupata watoto wenye afya njema na makuzi mazuri pasipokuwepo na ule

Soma Zaidi...
Utaratibu wa chakula kwa Mama mjamzito.
Utaratibu wa chakula kwa Mama mjamzito.

Post huu inahusu zaidi utaratibu wa chakula kwa Mama mjamzito, ni chakula anachopaswa kutumia na ambavyo hapaswi kutumia kwa Mama mjamzito mzito, kwa sababu Mama mjamzito anapaswa kuwa makini katika matumizi ya chakula ili kuweza kuongeza vitu muhimu mwil

Soma Zaidi...