picha

Madhara ya kutotoa huduma kwa Mama anayevuja damu baada ya kujifungua

Posti hii inahusu zaidi Madara ya kutomsaidia mama anayetokwa na damu nyingi baada ya kujifungua.

Madhara ya kutokwa dama baada ya kujifungua.

1. Kwanza kabisa tunafahamu kwamba mwili wa binadamu umejengwa na damu, damu ikipungua madhara mengi yanaweza kutokea, pia kwa akina Mama wakiwa na mimba usababisha damu kupungua kwa sababu ya matumizi ya Mama na mtoto. Kwa hiyo wakati wa kujifungua Mama upoteza damu na damu ikipotea zaidi usababisha madhara makubwa kama vile,

 

2. Kuwepo kwa upungufu wa damu ambapo kwa kitaalamu huitwa Anemia.

Kwa hiyo ikitokea Mama akapoteza damu nyingi anaweza kupata upungufu wa damu mwilini ni vizuri kabisa hali hii ikitokea Mama anapaswa kuongezewa damu haraka Ili kuepuka tatizo hili la upungufu wa damu. Kwa hiyo wahudumu wa afya wanapaswa kufahamu hilo na kuacha uzembe ambao usababisha kupoteza damu.

 

3. Mama akipoteza damu anaweza kuzimia na kuishiwa madini mwilini.

Kwa kawaida tunajua madini mbalimbali yapo kwenye damu ambayo usambazwa kutoka sehemu mbalimbali za mwili na kuweza kuupatia mwili nguvu.kwa hiyo damu ilipungua usababisha nguvu kuisha mwilini hali inayoweza kusababisha mama kuzimia baada ya kupungukiwa kwa kiwango kikubwa cha damu.

 

4. Kifo kinaweza kutokea ikiwa Mama hajahudumiwa ipasavyo.

Kwa wakati mwingine kama Mama ana matatizo ya kutokwa na damu kwa mda mrefu bila msaada wowote, mama anaweza kufariki.

Kwa hiyo wauguzi na wahudumu wa afya wanapaswa kufahamu hilo na kuhakikisha kuwa Mama anapata dawa zote na huduma zote ili kuweza kuokoa maisha ya Mama na mtoto.

 

5. Kwa hiyo ni vizuri kabisa kuhakikisha kuwa ikiwa Mama ataonyesha dalili yoyote ya kutokwa kwa damu anapaswa kuhudumiwa kwa nguvu zote ili kuokoa maisha yake na pia kwa wale wenye sababu zinazoeleweka wanapaswa kutibiwa mapema ipasavyo

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Uzazi Main: Post File: Download PDF Views 1546

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game     👉2 Kitau cha Fiqh     👉3 web hosting     👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉5 ai web app     👉6 Madrasa kiganjani    

Post zinazofanana:

Mabadiliko kwenye uke wa Mama pale anapobeba mimba.

Posti hii inahusu zaidi mabadiliko kwenye uke wa Mama pale anapobeba tu mimba, Mama anapobeba mimba Kuna mabadiliko Katika uke wa Mama kama ifuayavyo.

Soma Zaidi...
Mm tumbo linaniuma mara kwa mara na linakua kama linages alaf kichwa kinauma mara kwa mara na nakosa choo wakati mwingine na kiuno kinauma je?inawezakua n ujauzito? Maana nilshirki tendo la ndoa siku ya tano baada ya kutoka hedhi

Dalili za mwanzo za ujauzito zinaweza kuwa ni changamoto kwamwanamke hasa ikiwa ndio mimba yake ya kwanza. Maumivu ya tumbo, kujaa kwa tumbo gesi, kukosa choo ama hamu ya kula na kadhalika huweza pia kuambatana na ujauzito.

Soma Zaidi...
Zijue sababu zinazosababisha kupungua kwa idadi ya mbegu za kiume

Kupungua kwa idadi ya mbegu za kiume kunamaanisha kuwa Majimaji (shahawa) unayotoa wakati wa kufika kileleni huwa na mbegu chache kuliko kawaida. Hesabu yako ya manii inachukuliwa kuwa chini kuliko kawaida ikiwa una chini ya mbegu milioni 15. Kuwa na idad

Soma Zaidi...
SABABU ZA KUKOSA HAMU YA TENDO LANDOA

Hii ni hali inayompata mtu kukosa hamu kabisa ya kushiriki kitendo chochote kinachohusiana na kufanya tendo landoa au bunyeto.

Soma Zaidi...
Je siku ya kwanza kabisa ya ovulation mimba inakuwa ni uhakika kupata mimba?

Watu wengi wanadhania kuwa kufanya tendo la ndoa katika siku hatari ni lazima kuwa utapata ujauzito. Hili sio sahihi kabisa. Post hii itakwenda kuangalia jambo hili zaidi.

Soma Zaidi...
Jinsi ya kuacha kupiga punyeto.

Post hii inakwenda kukupa njia za kukusaidia kuacha punyeto.

Soma Zaidi...