Madhara ya kutotoa huduma kwa Mama anayevuja damu baada ya kujifungua
Posti hii inahusu zaidi Madara ya kutomsaidia mama anayetokwa na damu nyingi baada ya kujifungua.
Madhara ya kutokwa dama baada ya kujifungua.
1. Kwanza kabisa tunafahamu kwamba mwili wa binadamu umejengwa na damu, damu ikipungua madhara mengi yanaweza kutokea, pia kwa akina Mama wakiwa na mimba usababisha damu kupungua kwa sababu ya matumizi ya Mama na mtoto. Kwa hiyo wakati wa kujifungua Mama upoteza damu na damu ikipotea zaidi usababisha madhara makubwa kama vile,
2. Kuwepo kwa upungufu wa damu ambapo kwa kitaalamu huitwa Anemia.
Kwa hiyo ikitokea Mama akapoteza damu nyingi anaweza kupata upungufu wa damu mwilini ni vizuri kabisa hali hii ikitokea Mama anapaswa kuongezewa damu haraka Ili kuepuka tatizo hili la upungufu wa damu. Kwa hiyo wahudumu wa afya wanapaswa kufahamu hilo na kuacha uzembe ambao usababisha kupoteza damu.
3. Mama akipoteza damu anaweza kuzimia na kuishiwa madini mwilini.
Kwa kawaida tunajua madini mbalimbali yapo kwenye damu ambayo usambazwa kutoka sehemu mbalimbali za mwili na kuweza kuupatia mwili nguvu.kwa hiyo damu ilipungua usababisha nguvu kuisha mwilini hali inayoweza kusababisha mama kuzimia baada ya kupungukiwa kwa kiwango kikubwa cha damu.
4. Kifo kinaweza kutokea ikiwa Mama hajahudumiwa ipasavyo.
Kwa wakati mwingine kama Mama ana matatizo ya kutokwa na damu kwa mda mrefu bila msaada wowote, mama anaweza kufariki.
Kwa hiyo wauguzi na wahudumu wa afya wanapaswa kufahamu hilo na kuhakikisha kuwa Mama anapata dawa zote na huduma zote ili kuweza kuokoa maisha ya Mama na mtoto.
5. Kwa hiyo ni vizuri kabisa kuhakikisha kuwa ikiwa Mama ataonyesha dalili yoyote ya kutokwa kwa damu anapaswa kuhudumiwa kwa nguvu zote ili kuokoa maisha yake na pia kwa wale wenye sababu zinazoeleweka wanapaswa kutibiwa mapema ipasavyo
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉2 kitabu cha Simulizi 👉3 Kitau cha Fiqh 👉4 Madrasa kiganjani 👉5 web hosting 👉6 Kitabu cha Afya
Post zinazofanana:
Mimi imepita miezi mitatu sioni hedhi na wala sioni dalili ya kuwa na mimba unaweza ukaniambia tatizo la kuwa na hali hii
Kama na wewe una tatizo la kupitiliza siku zako za hedhi hli ya kuwa huna ujauzito, soma post hii ina majibu yako.
Soma Zaidi...Sababu za kutangulia kwa kitovu wakati Mtoto anazaliwa
Posti hii inahusu zaidi sababu za kutangulia kwa kitovu wakati wa mtoto anapozaliwa.
Soma Zaidi...Unakuta siku imefka ya hedhi kabla haijaanza kutoka hedhi yanatoka maji meupe clean kabisa hii Ina naamisha nini?
Kutoka na majimaji ka uchache kwa mwanamke sio jambo lakishangaa sana. Damu hii inawezapiabkikbatana damu na maumivu makali.
Soma Zaidi...Dalili na sababu za Kukosa hedhi
Post hii inaongelea kuhusiana na Kukosa hedhi ambapo kitaalamu hujulikana Kama Amenorrhea ni kutokuwepo kwa hedhi - hedhi moja au zaidi ya kukosa. Wanawake ambao wamekosa angalau hedhi tatu mfululizo wana amenorrhea, kama vile wasichana ambao hawajaanz
Soma Zaidi...Mambo yanayosababisha nguvu za kiume kupungua
Posti hii inazungumzia kuhusiana na Dalili pamoja na mambo yanayosababisha nguvu za kiume kupungua kwa Wanaume
Soma Zaidi...Je ukitokea mchubuko wakati wa ngono unaweza pata ukimwi?
Kupata Ukimwi ama HIV hufungamana na mambo mengi. Si kila anayefanya ngono zembe nabmuathiria naye lazima aathirike. Hiivsibkweli, ila tangu kuwa hali hii ni hatari kwani kupata maambukizi ni rahisi sana.
Soma Zaidi...