picha

Madhara ya kutumia vidonge kwa akina dada vya uzazi wa mpango

Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea kwa sababu ya kutumia vidonge vya uzazi wa mpango kwa akina dada.

Madhara ya kutumia vidonge kwa akina dada.

1. Kwa kawaida jinsi tunavyoelewa ni kwamba watu wenye familia ndio wenye haki ya kutumia vidonge vya uzazi wa mpango ila Kuna kipindi na akina dada wanajiingiza kwenye huduma hii mapema kabisa na kwa mda mrefu bila ya kuwa na mda wa kupata watoto hivi karibuni kwa hiyo akina dada tunapenda kuwapatia baadhi ya madhara yanayoweza kutokea kama ifuatavyo.

 

2. Kuharibu mfuko wa kizazi nakuwepo kwa uvimbe.

Kwa sababu ya matumizi ya mara Kwa mara yanaweza kusababisha mfuko wa kizazi kuharibika na baadae uvimbe hali inayosababisha mimba kukosa hapo baadae.

 

3  kuongezeka kwa uzito usio wa kawaida.

Kwa sababu ya meongezeko wa homoni hali ambayo usababisha Wadada kuwa na unene usio wa kawaida .

 

4. Maumivu ya kichwa ya mara Kwa mara.

Kwa sababu ya kubadilika kwa hali ya mwili usababisha kuwepo kwa maumivu ya kichwa ya mara Kwa mara.

 

5. Pengine kutopata hedhi kwa mda mrefu.

Kuna kipindi matumizi yakiwa ya mda mrefu na hedhi pia ukoma hali inayosababisha mrundikano wa uchafu mwilini na kusababisha magonjwa yasiyotarajiwa.

 

6. Kubadilika kwa hedhi.

Kuna wakati mwingine hedhi uja zaidi ya mara Moja kwa mwezi au kutumia mda mrefu na nzito au nyepesi hali inayosababisha upungufu wa damu mwilini.

 

7. Kuharibika kwa ini.

Kwa kawaida ini uchuja sumu na dawa na uchafu mwingine kwa hiyo inn likichuja dawa kwa mda mrefu usababisha kuchoka na kuharibika.

 

8 kupooza upande mmoja wa mwili kwa sababu ya kuwepo kwa Sumu nyingi mwilini hali I ayosababisha damu kushindwa kusafiri na kusababisha kupooza.

 

9. Kuwepo kwa magonjwa ya moyo.

Kwa sababu ya kuongezeka kwa Sumu mwilini kwa hiyo moyo ushindwa kusukuma damu hivyo kuwepo kwa magonjwa.

 

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2022/07/07/Thursday - 05:15:42 pm Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 3449

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
πŸ‘‰1 Kitau cha Fiqh    πŸ‘‰2 kitabu cha Simulizi    πŸ‘‰3 Dua za Mitume na Manabii    πŸ‘‰4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    πŸ‘‰5 Madrasa kiganjani    πŸ‘‰6 web hosting   

Post zinazofanana:

Mambo yanayopunguza nguvu za kiume

Posti hii inaelezea kuhusiana na nguvu za kiume zinavyopungua na Ni Mambo gani yanayofanya zipungue

Soma Zaidi...
Kondomu za kike

Posti hii inaonyesha Faida na hasara za Kondomu za kike

Soma Zaidi...
Fahamu Faida za Uzazi wa mpango

Posti hii inazungumzia kuhusiana na Faida za Uzazi wa mpango. Uzazi wa mpango ni huduma ambazo hutoa chaguo kwa familia kuwa na idadi ya watoto wanaotaka katika muda maalum, wanahisi na mbinu iliyoamuliwa.

Soma Zaidi...
Zijuwe Dalili za minyoo na dalili kuu 9 za minyoo

Utajifunza dalili za minyoo, sababu za minyoo na namna ya kujiepusha na minyoo. Dalili kuu 5 za minyoo mwilini

Soma Zaidi...
Je ukitokea mchubuko wakati wa ngono unaweza pata ukimwi?

Kupata Ukimwi ama HIV hufungamana na mambo mengi. Si kila anayefanya ngono zembe nabmuathiria naye lazima aathirike. Hiivsibkweli, ila tangu kuwa hali hii ni hatari kwani kupata maambukizi ni rahisi sana.

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusiana na kubalehe kwa msichana na mvulana.

Kubalehe ni wakati mwili wa mtoto unapoanza kubadilika na kuwa wa mtu mzima (balehe) hivi karibuni. Kubalehe ambao huanza kabla ya umri wa miaka 8 kwa wasichana na kabla ya umri wa miaka 9 kwa wavulana.

Soma Zaidi...
Magonjwa madogo madogo kwa Mama wajawazito.

Posti hii inahusu zaidi magonjwa madogo madogo kwa akina Mama wajawazito, ni magonjwa ambayo hayawezi kupelekea kupoteza maisha kwa Mama mjamzito, magonjwa haya upotea ikiwa Mama atajifungua.

Soma Zaidi...
Mwanaune anapataje fangasi kwenye uume

Post hii itakujulishs kwa namna gani mwanaune anaweza kupata fangasi kwenye uume wake

Soma Zaidi...
Post hii inahusu zaidi umuhimu wa kondo la nyuma

Kondo la nyuma ni sehemu ya mwili wa mama anapokuwa mjamziti,kondo la nyuma husaidia katika kazi mbalimbali katika ukuaji wa mtoto.

Soma Zaidi...
Je bado unasumbuliwa na nguvu za kiume?

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kuondoa tatizo la nguvu za kiume

Soma Zaidi...