Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea kwa sababu ya kutumia vidonge vya uzazi wa mpango kwa akina dada.
1. Kwa kawaida jinsi tunavyoelewa ni kwamba watu wenye familia ndio wenye haki ya kutumia vidonge vya uzazi wa mpango ila Kuna kipindi na akina dada wanajiingiza kwenye huduma hii mapema kabisa na kwa mda mrefu bila ya kuwa na mda wa kupata watoto hivi karibuni kwa hiyo akina dada tunapenda kuwapatia baadhi ya madhara yanayoweza kutokea kama ifuatavyo.
2. Kuharibu mfuko wa kizazi nakuwepo kwa uvimbe.
Kwa sababu ya matumizi ya mara Kwa mara yanaweza kusababisha mfuko wa kizazi kuharibika na baadae uvimbe hali inayosababisha mimba kukosa hapo baadae.
3 kuongezeka kwa uzito usio wa kawaida.
Kwa sababu ya meongezeko wa homoni hali ambayo usababisha Wadada kuwa na unene usio wa kawaida .
4. Maumivu ya kichwa ya mara Kwa mara.
Kwa sababu ya kubadilika kwa hali ya mwili usababisha kuwepo kwa maumivu ya kichwa ya mara Kwa mara.
5. Pengine kutopata hedhi kwa mda mrefu.
Kuna kipindi matumizi yakiwa ya mda mrefu na hedhi pia ukoma hali inayosababisha mrundikano wa uchafu mwilini na kusababisha magonjwa yasiyotarajiwa.
6. Kubadilika kwa hedhi.
Kuna wakati mwingine hedhi uja zaidi ya mara Moja kwa mwezi au kutumia mda mrefu na nzito au nyepesi hali inayosababisha upungufu wa damu mwilini.
7. Kuharibika kwa ini.
Kwa kawaida ini uchuja sumu na dawa na uchafu mwingine kwa hiyo inn likichuja dawa kwa mda mrefu usababisha kuchoka na kuharibika.
8 kupooza upande mmoja wa mwili kwa sababu ya kuwepo kwa Sumu nyingi mwilini hali I ayosababisha damu kushindwa kusafiri na kusababisha kupooza.
9. Kuwepo kwa magonjwa ya moyo.
Kwa sababu ya kuongezeka kwa Sumu mwilini kwa hiyo moyo ushindwa kusukuma damu hivyo kuwepo kwa magonjwa.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Post hii itakwenda kuangalia madhara ya tumbaku na sigara anayoweza kuyapata mvutaji
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mambo ambayo Mama mjamzito anaweza kuulizwa pindi anapokuja kwenye kliniki ya uzazi ,ni mambo muhimu na ya lazima yanayopaswa kuongea na Mama mjamzito ili kuweza kuona maendeleo yake kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu za kutangulia kwa kitovu wakati wa mtoto anapozaliwa.
Soma Zaidi...Kama na wewe unasumbuliwa na hali ya kupitiliza siku zako post hii itakusaidia.
Soma Zaidi...Nina swali langu:-je maumivu ya nyonga na tumbo la chini ni dalili ya mimba?
Soma Zaidi...Maumivu wakati wa tendo la ndoa kitaalamu huitwa dyspareunia.
Soma Zaidi...Hii ni orodha ya dawa ambazo hutumiwa sana na watu kutoka maduka ya dawa lakini sio salama kwa wajawazito.
Soma Zaidi...Kuuma mwa matiti ni moka ya Ichiro kuwa huwenda ni ujauzito. Hii haimaanishi etindio mjamzito, zipo dalili nyingi za ujauzito. Hata hivyo kuona dalili za ujauzito haimaanishi umepata tayari ujauzito. Kwanza fanya vipimondipo Upate uhakika
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo mtu anaweza kupata ikiwa mwili utaeweza kutengeneza progesterone ya kutosha.
Soma Zaidi...