Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea kwa sababu ya kutumia vidonge vya uzazi wa mpango kwa akina dada.
1. Kwa kawaida jinsi tunavyoelewa ni kwamba watu wenye familia ndio wenye haki ya kutumia vidonge vya uzazi wa mpango ila Kuna kipindi na akina dada wanajiingiza kwenye huduma hii mapema kabisa na kwa mda mrefu bila ya kuwa na mda wa kupata watoto hivi karibuni kwa hiyo akina dada tunapenda kuwapatia baadhi ya madhara yanayoweza kutokea kama ifuatavyo.
2. Kuharibu mfuko wa kizazi nakuwepo kwa uvimbe.
Kwa sababu ya matumizi ya mara Kwa mara yanaweza kusababisha mfuko wa kizazi kuharibika na baadae uvimbe hali inayosababisha mimba kukosa hapo baadae.
3 kuongezeka kwa uzito usio wa kawaida.
Kwa sababu ya meongezeko wa homoni hali ambayo usababisha Wadada kuwa na unene usio wa kawaida .
4. Maumivu ya kichwa ya mara Kwa mara.
Kwa sababu ya kubadilika kwa hali ya mwili usababisha kuwepo kwa maumivu ya kichwa ya mara Kwa mara.
5. Pengine kutopata hedhi kwa mda mrefu.
Kuna kipindi matumizi yakiwa ya mda mrefu na hedhi pia ukoma hali inayosababisha mrundikano wa uchafu mwilini na kusababisha magonjwa yasiyotarajiwa.
6. Kubadilika kwa hedhi.
Kuna wakati mwingine hedhi uja zaidi ya mara Moja kwa mwezi au kutumia mda mrefu na nzito au nyepesi hali inayosababisha upungufu wa damu mwilini.
7. Kuharibika kwa ini.
Kwa kawaida ini uchuja sumu na dawa na uchafu mwingine kwa hiyo inn likichuja dawa kwa mda mrefu usababisha kuchoka na kuharibika.
8 kupooza upande mmoja wa mwili kwa sababu ya kuwepo kwa Sumu nyingi mwilini hali I ayosababisha damu kushindwa kusafiri na kusababisha kupooza.
9. Kuwepo kwa magonjwa ya moyo.
Kwa sababu ya kuongezeka kwa Sumu mwilini kwa hiyo moyo ushindwa kusukuma damu hivyo kuwepo kwa magonjwa.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Post hii inakwenda kukufundisha kuhusu nadharia ya kupata mtoto wa kiume.
Soma Zaidi...Makala hii itakwenda kukupa dalili ambazo zinaonyesha kuwa mimba ni ya mapacha. Dalili hizi zitahitajika kuthibitishwa na kipimo cha daktari ili kujuwa kuwa ni kweli.
Soma Zaidi...Kipimo chamimba cha mkojo, huonyesha nestory miwili kuwa una mimba, na mmoja kuwa huna mimba. Sasa je ukitokea mmoja umekoleana mwingine hafifu? Endelea na pasti Γ’ΕΒΓ―ΒΈΒ hadi mwisho
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi sababu za ugumba kwa Mwanaume, ni sababu ambazo umfanye mwanaume ashindwe kumpatia mwanamke mimba.
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za kujaa tmgesi tumbon
Soma Zaidi...Posti hii inaelezea namna mwanamke anavyoweza kupata Ugonjwa wa Maambukizi ya mfumo wa Uzazi.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi tatizo la kutanuka kwa tezi dume, ni tatizo ambalo linawakumba wanaume wengi kwa wakati huu kwa sababu ya kuwepo kwa maaambukizi kwenye tezi ambayo Usababishwa na vitu mbalimbali kama tulivyoona.
Soma Zaidi...Tezi dume hii ni tezi inayopatikana katika katika mfumo wa uzazi wa mwanaume Ila hujulikana kama PROSTATE GLAND. pia hukua karibu na kibofu Cha mkojo na mirija ya mkojo hutumika kuzalisha majimaji (simen) yanayobeba mbegu hivyo bas mk
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za mimba katika mwezi was kwanza
Soma Zaidi...Kupungua kwa idadi ya mbegu za kiume kunamaanisha kuwa Majimaji (shahawa) unayotoa wakati wa kufika kileleni huwa na mbegu chache kuliko kawaida. Hesabu yako ya manii inachukuliwa kuwa chini kuliko kawaida ikiwa una chini ya mbegu milioni 15. Kuwa na idad
Soma Zaidi...