Download Kitabu cha elimu ya Ujauzito na malezi ya mimba.
DALILI 10 ZA KUKARIBIA KUJIFUNGUA
Kwa muda mreefu mwanamke amesubiria siku ya kujifungua na mtoto mpya kutokea duniani. Wanawake wanahitaji kuitambua siku hii vyema ili yasijetokea mengine mabaya. Kwa kuwa dalili hizi zinakuja kwa namna tofauti anaweza kujikuta mjamzito akamzalia mwanae kwenye tundu la choo. Makala hii itakuorodheshea dalili 10 za uchungu wa kujifungua
Dalili 10 za kukaribia kujifungua
1.mtoto anaanza kushuka maeneo ya kwenye nyonga. Kwa wanawake wengi wanaanza kuona hali hii wiki mbili ama nne kabla ya kujifungua.
2.Njia ya mimba (cervix) huanza kuachia. Hii ni sehemu inayounganisha uke na sehemu ya ndani ya mfuko wa mimba.
3.maumivu ya tumbo yanaongezeka pamoja na ya mgongo
4.Viungio vyako utaviona kama vinaachiana
5.Unaweza kuharisha
6.Kuongezeka kwa uzito kutakata kabisa uzito utakuwa hauongezeki
7.Uchovu unakuwa mkali zaidi
8.Uke unaanza kutoa uteleziutelezi
9.Maumivu ya tumbo ya mara kwa mara kuongezeka
10.Kutokwa na maji kwenye uke.
Download Kitabu cha elimu ya Ujauzito na malezi ya mimba.
Bofya hapa
Umeionaje Makala hii.. ?
Dalili za mwanzo za ujauzito zinaweza kuwa ni changamoto kwamwanamke hasa ikiwa ndio mimba yake ya kwanza. Maumivu ya tumbo, kujaa kwa tumbo gesi, kukosa choo ama hamu ya kula na kadhalika huweza pia kuambatana na ujauzito.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu mimba iliyotunga nje na madhara yake kiafya
Soma Zaidi...Mimba inapotoka ina dalili, na zipo sababu kadhaa za kutoka kwa mimba. Je utazuiaje mimba kutoka. Soma makala hii
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi kazi ya homoni ya testosterone, hii homoni kwa kiwango kikubwa ukutwa kwa wanaume ndiyo homoni ambayo umfanya mwanaume aonekane jinsi alivyokuwa na sifa zake zote.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi chanzo cha mvurugiko wa hedhi, Kuna kipindi hedhi uvurugika kabisa, pengine unaweza kupata hedhi mara mbili kwa mwezi au kukosa au pengine siku kuwa zaidi ya tano mpaka Saba au kuwa chache, hali hii utokea kwa sababu mbalimbali tut
Soma Zaidi...Majimaji yanayitoka kwenye uke yanafungamana na taarifa nyingi kuhusu afya vya mwanamke. Ujauzito, maradhi, mabadiliko ya homoni na zaidi.
Soma Zaidi...Kupata Ukimwi ama HIV hufungamana na mambo mengi. Si kila anayefanya ngono zembe nabmuathiria naye lazima aathirike. Hiivsibkweli, ila tangu kuwa hali hii ni hatari kwani kupata maambukizi ni rahisi sana.
Soma Zaidi...KUVIMBA VYA MIGUU KWA WAJAWAZITO Kuvimba kwa miguu ni hali inayowapara wengi katika wajawazito.
Soma Zaidi...Kipimo chamimba cha mkojo, huonyesha nestory miwili kuwa una mimba, na mmoja kuwa huna mimba. Sasa je ukitokea mmoja umekoleana mwingine hafifu? Endelea na pasti Γ’ΕΒΓ―ΒΈΒ hadi mwisho
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi njia za kutibu mbegu dhaifu, ni njia ambazo utumika kutibu mbegu ambazo ni dhaifu ili kuweza kuondoa tatizo hili ambalo limewakumba wanaume wengi na kusababisha madhara makubwa kwenye ndoa au familia.
Soma Zaidi...