picha

Madhara ya vidonge vya P2

Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea kwa sababu ya kutumia mara kwa mara vidonge vya P2,

Madhara ya vidonge vya P2.

1. Kwaza kabisa tunapaswa kujua maana ya P2 ni vidonge ambavyo utumiwa Ili kuweza kuzuia mimba isitungwe baada ya masaa sabini na mawili baada ya kujamiiana bila kutumia kinga. Vidonge hivi upenda kutumiwa sana na akina dada na Mama wengi wakiwa na lengo la kuzuia mimba. Yafuatayo ni madhara ya matumizi ya mara Kwa mara ya P2.

 

2. Matiti kuuma na kuvimba.

Kuna wakati mwingine matiti yanauma na kuvimba kwa sababu ya matumizi ya mara Kwa mara ya P2 hii ni kwa sababu ya kuwepo kwa muingiliano wa homoni za ndani ya mwili na zile za P2 kwa hali hii usababisha maumivu kwa akina Mama na dada .

 

3. Kujisikia vibaya yaani mwili kukosa nguvu pamoja na kulegea na kuhisi kuwa umeboreka na kila kitu kwa watu wengine ufanana kama wameugua kabisa kwa sababu ya kuwepo kwa kiwango kikubwa cha P2 mwilini.

 

4. Kuhisi kichefuchefu na kitapika.

Kuna wakati mwingine watumiaji uhisi kichefuchefu na pengine kutapika Kabisa, wengine upata mda mfupi baada ya kutumia lakini wengine upata mda mrefu baada ya kutumia, hali hii ya kutapika usababisha mwili kulegea na kukosa nguvu.

 

5. Pia vidonge hivi vina tabia ya kibadilisha mzunguko wa hedhi, Kuna wakati mwingine hedhi uchelewa au kurefuka na kuzidi siku Saba  au pengine hedhi inaweza kuwa nzito au nyepesi.

 

6. Usababisha ugumba.

Kwa sababu kazi ya P2 ni kuzuia mji wa mimba kuharibiwa Ili mimba isitungwe au kuzuia yai lililochevuswa kutokomaa kwa kufanya hivyo usababisha madhara makubwa ikiwa kila mara hali hii inatokea hatimaye mama Akita kubeba mimba mji wa mimba unaharibika wenyewe kwa sababu ya kuwepo kwa mazoea ya P2.

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Uzazi Main: Post File: Download PDF Views 8409

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
πŸ‘‰1 Kitabu cha Afya     πŸ‘‰2 web hosting     πŸ‘‰3 Bongolite - Game zone - Play free game     πŸ‘‰4 Madrasa kiganjani     πŸ‘‰5 ai web app     πŸ‘‰6 kitabu cha Simulizi    

Post zinazofanana:

Je ?kipimo kikionyesha misitar miwili mmoja hafifu mwingine umekolea ni mimba au sio

Kipimo chamimba cha mkojo, huonyesha nestory miwili kuwa una mimba, na mmoja kuwa huna mimba. Sasa je ukitokea mmoja umekoleana mwingine hafifu? Endelea na pasti Òœï¸ hadi mwisho

Soma Zaidi...
Njia za kugundua kama mtoto amevunjika baada ya kuzaliwa

Post hii inahusu zaidi njia mbalimbali ambazo mtoa huduma anaweza kuzitumia kuangalia kama mtoto amevunjika baada ya kuzaliwa.

Soma Zaidi...
Zifahamu sababu za kuziba kwa mrija wa kizazi.

Posti hii inahusu zaidi sababu za kuziba kwa mrija wa kizazi ambayo kwa kitaalamu huitwa follapian tube, ni sababu ambazo ufanya mirija ya follapian tube kuziba.

Soma Zaidi...
Nini husababisha maumivu ya uume

Kama uume wako unauma ama unahisi kuwa unaunguza ama kuchoma choma, post hii imekuandalia somo hili.

Soma Zaidi...
Dalili za kupasuka kwa mfuko wa uzazi.

Posti hii inahusu zaidi dalili za kupasuka kwa mfuko wa uzazi,ni Dalili ambazo ujitokeza kwa Mama ambaye anakuwa amepasuka mfuko wa kizazi.

Soma Zaidi...