Menu



Madhara ya vidonge vya P2

Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea kwa sababu ya kutumia mara kwa mara vidonge vya P2,

Madhara ya vidonge vya P2.

1. Kwaza kabisa tunapaswa kujua maana ya P2 ni vidonge ambavyo utumiwa Ili kuweza kuzuia mimba isitungwe baada ya masaa sabini na mawili baada ya kujamiiana bila kutumia kinga. Vidonge hivi upenda kutumiwa sana na akina dada na Mama wengi wakiwa na lengo la kuzuia mimba. Yafuatayo ni madhara ya matumizi ya mara Kwa mara ya P2.

 

2. Matiti kuuma na kuvimba.

Kuna wakati mwingine matiti yanauma na kuvimba kwa sababu ya matumizi ya mara Kwa mara ya P2 hii ni kwa sababu ya kuwepo kwa muingiliano wa homoni za ndani ya mwili na zile za P2 kwa hali hii usababisha maumivu kwa akina Mama na dada .

 

3. Kujisikia vibaya yaani mwili kukosa nguvu pamoja na kulegea na kuhisi kuwa umeboreka na kila kitu kwa watu wengine ufanana kama wameugua kabisa kwa sababu ya kuwepo kwa kiwango kikubwa cha P2 mwilini.

 

4. Kuhisi kichefuchefu na kitapika.

Kuna wakati mwingine watumiaji uhisi kichefuchefu na pengine kutapika Kabisa, wengine upata mda mfupi baada ya kutumia lakini wengine upata mda mrefu baada ya kutumia, hali hii ya kutapika usababisha mwili kulegea na kukosa nguvu.

 

5. Pia vidonge hivi vina tabia ya kibadilisha mzunguko wa hedhi, Kuna wakati mwingine hedhi uchelewa au kurefuka na kuzidi siku Saba  au pengine hedhi inaweza kuwa nzito au nyepesi.

 

6. Usababisha ugumba.

Kwa sababu kazi ya P2 ni kuzuia mji wa mimba kuharibiwa Ili mimba isitungwe au kuzuia yai lililochevuswa kutokomaa kwa kufanya hivyo usababisha madhara makubwa ikiwa kila mara hali hii inatokea hatimaye mama Akita kubeba mimba mji wa mimba unaharibika wenyewe kwa sababu ya kuwepo kwa mazoea ya P2.

Download app yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiw ana App yetu. Bofya liln hapo chini kuweza ku download

Download Now Bongoclass

           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu image Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: Uzazi Main: Post File: Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Views 5680


Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 kitabu cha Simulizi     👉3 Madrasa kiganjani     👉4 Simulizi za Hadithi Audio     👉5 Kitabu cha Afya     👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    

Post zifazofanana:-

Sababu za mfuko wa kizazi kushindwa kisinyaa.
Posti hii inahusu zaidi sababu za mfuko wa kizazi kushindwa kisinyaa, ni sababu ambazo utokea kwa akina Mama wengi kadri ya wataalamu wametafuta asilimia kuwa asilimia sabini ya wanawake mifuko yao ya kizazi kushindwa kisinyaa. Soma Zaidi...

Dalili Za hatari ambayo zinaweza kusababisha ugumba
Posti hii inahusu zaidi dalili ambazo zilijitokeza zinaweza kusababisha ugumba hasa kwa wanawake, kwa hiyo ni vizuri kabisa kuwa makini kwa Dalili hizi hasa kwa wadada, kama kuna uwezekano wa matibabu tibu mapema ili kuepuka tatizo la kuwa mgumba. Soma Zaidi...

Je matiti kujaa na chuchu kuuma inakua ni dalili za hedhi?
Kuunda na kujaa kwa matiti ni miongoni mwa dalili za ujauzito lakini pia ni dalili za kukaribia hedhi kwa baadhi ya wanawake. Posti hii itakwenda kufafanuabutofauti wa dalili hizi na kipi ni sahihibkatibya hedhi ama ujauzito. Soma Zaidi...

Kukosa Ute wakati wa tendo la ndoa.
Posti hii inahusu zaidi sababu za kukosa Ute wakati wa tendo la ndoa,ni Dalili ya kuwepo kwa kiwango kikubwa cha estrogen kwenye mwili ukilinganisha na homoni ya projestoren. Soma Zaidi...

Malezi ya mtoto mchanga na mama mjamzito
Post hii itakwenda kukuletea mambo kadhaa yanayohusiana na malezi bora ya mama mjamzito na mtoto mchanga Soma Zaidi...

Tofauti za ute kwa mwanamke
Posti hii inahusu zaidi tofauti mbalimbali za uke, kwa sababu ya kuwepo kwa matatizo mbalimbali kwenye mwili wa binadamu kuna tofauti mbalimbali za ute kutegemea na hali iliyopo. Soma Zaidi...

Fahamu Faida za Uzazi wa mpango
Posti hii inazungumzia kuhusiana na Faida za Uzazi wa mpango. Uzazi wa mpango ni huduma ambazo hutoa chaguo kwa familia kuwa na idadi ya watoto wanaotaka katika muda maalum, wanahisi na mbinu iliyoamuliwa. Soma Zaidi...

Namna ya kutunza uke
Posti hii inahusu zaidi namna ya kutunza uke, tunajua wazi kuna magonjwa mbalimbali yanayoweza kutokea iwapo uke hautaweza kutunzwa vizuri na pia uke ukitunzwa vizuri kuna faida ya kuepuka maradhi ya wanawake kwa njia ya kutunza uke. Soma Zaidi...

Tatizo la kutokwa na majimaji kwenye uume.
Posti hii inahusu zaidi tatizo la kutokwa na majimaji kwenye uume, ni tatizo ambalo uwakumba baadhi ya wanaume kwa sababu mbalimbali na pia Ugonjwa huu unatibika hasa kwa wale wanaowahi kupata matibabu. Soma Zaidi...

Je nitahakikisha vipi Kama Nina ujauzito
Somo hili linakwenda kukueleza njia za kuhakiki Kama u-mjamzito Soma Zaidi...