Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea kwa sababu ya kutumia mara kwa mara vidonge vya P2,
1. Kwaza kabisa tunapaswa kujua maana ya P2 ni vidonge ambavyo utumiwa Ili kuweza kuzuia mimba isitungwe baada ya masaa sabini na mawili baada ya kujamiiana bila kutumia kinga. Vidonge hivi upenda kutumiwa sana na akina dada na Mama wengi wakiwa na lengo la kuzuia mimba. Yafuatayo ni madhara ya matumizi ya mara Kwa mara ya P2.
2. Matiti kuuma na kuvimba.
Kuna wakati mwingine matiti yanauma na kuvimba kwa sababu ya matumizi ya mara Kwa mara ya P2 hii ni kwa sababu ya kuwepo kwa muingiliano wa homoni za ndani ya mwili na zile za P2 kwa hali hii usababisha maumivu kwa akina Mama na dada .
3. Kujisikia vibaya yaani mwili kukosa nguvu pamoja na kulegea na kuhisi kuwa umeboreka na kila kitu kwa watu wengine ufanana kama wameugua kabisa kwa sababu ya kuwepo kwa kiwango kikubwa cha P2 mwilini.
4. Kuhisi kichefuchefu na kitapika.
Kuna wakati mwingine watumiaji uhisi kichefuchefu na pengine kutapika Kabisa, wengine upata mda mfupi baada ya kutumia lakini wengine upata mda mrefu baada ya kutumia, hali hii ya kutapika usababisha mwili kulegea na kukosa nguvu.
5. Pia vidonge hivi vina tabia ya kibadilisha mzunguko wa hedhi, Kuna wakati mwingine hedhi uchelewa au kurefuka na kuzidi siku Saba au pengine hedhi inaweza kuwa nzito au nyepesi.
6. Usababisha ugumba.
Kwa sababu kazi ya P2 ni kuzuia mji wa mimba kuharibiwa Ili mimba isitungwe au kuzuia yai lililochevuswa kutokomaa kwa kufanya hivyo usababisha madhara makubwa ikiwa kila mara hali hii inatokea hatimaye mama Akita kubeba mimba mji wa mimba unaharibika wenyewe kwa sababu ya kuwepo kwa mazoea ya P2.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Je unasumbuliwa na Majimaji kwenye uume. Je unapata miwasho, ama maumivu wakati wakukojoa.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dawa ya tetracycline katika kupambana na bakteria,ni mojawapo ya antibiotics au anti bacteria ambayo upambana na bakteria kama tutakavyoona hapo mbeleni.
Soma Zaidi...Tofauti na mambo matano yaliyotajwa hapo juu kuwa yanapelekea ujauzito kutoka, kuna mambo mengine ambayo yanaweza kuuweka ujauzito kuwa hatarini.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kunyonyesha mtoto, kunyonyesha ni kitendo cha Mama kutumia titi lake Ili kuweza kumpatia mtoto lishe kwa kipindi chote ambacho Mama upaswa kutumia kwa kunyonyesha mtoto wake kwa hiyo Kuna faida ambazo mama uzipata kutoka
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukuletea hatua za ukuaji mimba na dalili zake
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za kujaa tmgesi tumbon
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi Dalili za uvimbe kwenye kizazi,hizi ni Dalili ambazo ujitokeza kwa akina mama ambao wana uvimbe kwenye kizazi kwa hiyo endapo mama ameona Dalili kama hizi anapaswa kuwahi hospitali mara moja kwa uangalizi zaidi.
Soma Zaidi...Korodani ni kiungo muhimu kwa mwanaume, katika afya ya uzazi. Unaweza kusema ni kiwanda cha kutengeneza mbegu za kiume. Kiungo hiki ni sawa na ovari kwa mwanamke.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kunyonyesha kwa akina Mama, kunyonyesha ni kitendo ambacho Mama utumia maziwa yake na kumlisha mtoto pindi tu anapozaliwa mpaka wakati anapoachishwa titi, kunyonyesha huwa na faida kubwa kwa wote yaani Mama na mtoto, zif
Soma Zaidi...Kamaumeshawahi kujiuliza kuhusu kutokwaba damu tofautivna siku za hedhi, base mwaka hii ni kwaajiki yako.
Soma Zaidi...