Posti hii inahusu zaidi sababu za mwanamke kukosa tendo la ndoa, ni sababu ambazo uwakuta wanawake wengi unakuta mama yuko kwenye ndoa ila hana hata hamu ya lile tendo la ndoa hali ambayo umfanya mwanamke kuona kitendo cha tendo la ndoa ni unyanyasaji au
1. Sababu ya kwanza ni kuwepo kwa Maambukizi kwenye via vya uzazi kwa kitaalamu huitwa pelvic inflammation disease ni ugonjwa unaoshambulia ovary, mirija ya kwenye follapian tube kwenye kwenye uke na mlango wa kizazi kwa hiyo Usababisha hata na homoni zile zinazousika na utengenezaji wa Ute na hamu ya tendo la ndoa kuharibika pia.
2.Mabadiliko katika mfumo wa homoni.
Kuna wakati mwingine kuna mabadiliko kwenye mfumo wa homoni kama vile kukoma hedhi hali ambayo upelekea na tendo la hamu ya ndoa kupungua pia.
3. Matatizo ya kisaikolojia.
Kuna wakati mwingine matatizo ya kisaikolojia ni tatizo mojawapo la kufanya tendo la ndoa lisiwe na faida au hamu kupotea kabisa kwa mfano kama mama ana tatizo au amegombana na mme wake anaweza kupata tatizo hilo au kama mama hapati matumizi nyumbani na hali ya maisha ni ngumu kabisa na lenyewe ni tatizo au mama ana watoto wengi na wanafuata na mme wake hajali kila mda tendo kwa hiyo akili za mama ni kufikilia labda atabeba Mimba nyingine.
4. Kuwepo kwa ukavu kwenye uke.
Kuna wakati mwingine ukavu kwenye uke usababisha Mama hasipate hamu ya tendo la ndoa kwa sababu kuwepo kwa ukavu usababisha maumivu makali wakati wa tendo la ndoa kwa hiyo kila mama akifikilia maumivu hayo anakosa hamu ya tendo la ndoa.
5. Maumivu wakati wa tendo la ndoa.
Kuna wakati mwingine mama uhisi maumivu makali wakati wa tendo la ndoa kwa sababu au kuna vipengele au uke wake na uume havilingani kwa sababu uuume ni mkubwa na uke mdogo.
6. Kwa hiyo ni vizuri kabisa wachumba au wanandoa wenyewe wanapaswa kabisa kuelewana kama mtu ana tatizo lolote kuhusu kutofurahia tendo la ndoa ni vizuri kukaa na kujadiliana au kama kuna matibt ni vizuri kutibu tatizo.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Maumivu wakati wa tendo la ndoa kitaalamu huitwa dyspareunia.
Soma Zaidi...Kama unadhani una tatizo la kuwahi kufika kileleni basi post hii ni kwa ajili yako.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa uzazi wa mpango kwa watoto, sio akina Mama peke yao wanaofaidika na uzazi wa mpango vile vile na watoto wanafaidika na uzazi wa mpango kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu msaada kwa mwenye maumivu ya tumbo la hedhi, hizi ni huduma ambazo utolewa kwa wale wenye maumivu ya tumbo la hedhi.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za kujifungua hatua kwa hatua
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dalili za mimba kutoka, hizi ni dalili ambazo ujitokeza kwa mimba zote ambazo utaka kutoka kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza baadhi ya dalili za mimba kuanzia week mbili Hadi mwezi
Soma Zaidi...Kama uume wako unauma ama unahisi kuwa unaunguza ama kuchoma choma, post hii imekuandalia somo hili.
Soma Zaidi...