Posti hii inahusu zaidi sababu za mwanamke kukosa tendo la ndoa, ni sababu ambazo uwakuta wanawake wengi unakuta mama yuko kwenye ndoa ila hana hata hamu ya lile tendo la ndoa hali ambayo umfanya mwanamke kuona kitendo cha tendo la ndoa ni unyanyasaji au
1. Sababu ya kwanza ni kuwepo kwa Maambukizi kwenye via vya uzazi kwa kitaalamu huitwa pelvic inflammation disease ni ugonjwa unaoshambulia ovary, mirija ya kwenye follapian tube kwenye kwenye uke na mlango wa kizazi kwa hiyo Usababisha hata na homoni zile zinazousika na utengenezaji wa Ute na hamu ya tendo la ndoa kuharibika pia.
2.Mabadiliko katika mfumo wa homoni.
Kuna wakati mwingine kuna mabadiliko kwenye mfumo wa homoni kama vile kukoma hedhi hali ambayo upelekea na tendo la hamu ya ndoa kupungua pia.
3. Matatizo ya kisaikolojia.
Kuna wakati mwingine matatizo ya kisaikolojia ni tatizo mojawapo la kufanya tendo la ndoa lisiwe na faida au hamu kupotea kabisa kwa mfano kama mama ana tatizo au amegombana na mme wake anaweza kupata tatizo hilo au kama mama hapati matumizi nyumbani na hali ya maisha ni ngumu kabisa na lenyewe ni tatizo au mama ana watoto wengi na wanafuata na mme wake hajali kila mda tendo kwa hiyo akili za mama ni kufikilia labda atabeba Mimba nyingine.
4. Kuwepo kwa ukavu kwenye uke.
Kuna wakati mwingine ukavu kwenye uke usababisha Mama hasipate hamu ya tendo la ndoa kwa sababu kuwepo kwa ukavu usababisha maumivu makali wakati wa tendo la ndoa kwa hiyo kila mama akifikilia maumivu hayo anakosa hamu ya tendo la ndoa.
5. Maumivu wakati wa tendo la ndoa.
Kuna wakati mwingine mama uhisi maumivu makali wakati wa tendo la ndoa kwa sababu au kuna vipengele au uke wake na uume havilingani kwa sababu uuume ni mkubwa na uke mdogo.
6. Kwa hiyo ni vizuri kabisa wachumba au wanandoa wenyewe wanapaswa kabisa kuelewana kama mtu ana tatizo lolote kuhusu kutofurahia tendo la ndoa ni vizuri kukaa na kujadiliana au kama kuna matibt ni vizuri kutibu tatizo.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowJe umeipenda post hii ?
Posti hii inahusu zaidi faida za uzazi wa mpango kwa jamii, tunapaswa kujua kuwa uzazi wa mpango ukitumiwa vizuri na jamii nayo inapata faida kwa hiyo zifuatazo ni faida za uzazi wa mpango kwa jamii.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dalili za hatari kwa mama mjamzito, kwa sababu kuna baadhi ya Dalili zikitokea kwa mama mjamzito ni vizuri kabisa kuwahi hospitali mara moja.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mtoto aliyetanguliza matako wakati wa kuzaliwa, kwa kawaida tunajua kwamba mtoto wakati wa kuzaliwa ni lazima atangulize kichwa ila Kuna kipindi mtoto anatanguliza matako, kuna aina nne za mtoto kutanguliza matako.
Soma Zaidi...Kunyonyesha ni moja katika njia za asili za kuzuia upatikanaji wa miba nyingine. Hata hivyo hii haimaanishi kuwa huwezi kupata mimba ukiwa unavyonyesha.
Soma Zaidi...Je ni kweli kupima kimoja cha mloka kinaweza kupima mimba zaidi ya mara moka?
Soma Zaidi...Post hii itakwenda kukuletea mambo kadhaa yanayohusiana na malezi bora ya mama mjamzito na mtoto mchanga
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi vyanzo vya kuharibika kwa mimba kuanzia miezi zero mpaka miezi mitatu, kwa sababu hii ni miezi ya kwanza kabisa Kuna sababu au vyanzo vya kuharibika kwa mimba katika kipindi hiki.
Soma Zaidi...Mimba haipatikani kila siku, na pia mimba huingia kwa siku moja na katika muda mmoja. Baada ya mimba kutungwa hakuna tena nafasi ya kutungwa mimba nyingine.
Soma Zaidi...Kipimo cha mimba kwa mkojo kimekuwa kikitumika sana kuangalia ujauzito. Kipimo hiki kinapotumika vibaya kinaweza kukupa majibu ya uongo. Kuwa makini na ujue muda sahihi.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu za mimba ya miezi kuanzia minne mpaka sita kutoka , Kuna kipindi mimba kuanzia miezi mimne mpaka sita utoka kwa sababu mbalimbali.
Soma Zaidi...