picha

Sababu za mwanamke kukosa hamu ya tendo la ndoa.

Posti hii inahusu zaidi sababu za mwanamke kukosa tendo la ndoa, ni sababu ambazo uwakuta wanawake wengi unakuta mama yuko kwenye ndoa ila hana hata hamu ya lile tendo la ndoa hali ambayo umfanya mwanamke kuona kitendo cha tendo la ndoa ni unyanyasaji au

Sababu za mwanamke kutofurahia tendo la ndoa.

1. Sababu ya kwanza ni kuwepo kwa Maambukizi kwenye via vya uzazi kwa kitaalamu huitwa pelvic inflammation disease ni ugonjwa unaoshambulia ovary, mirija ya kwenye follapian tube kwenye kwenye uke na mlango wa kizazi kwa hiyo Usababisha hata na homoni zile zinazousika na utengenezaji wa Ute na hamu ya tendo la ndoa kuharibika pia.

 

2.Mabadiliko katika mfumo wa homoni.

Kuna wakati mwingine kuna mabadiliko kwenye mfumo wa homoni kama vile  kukoma hedhi hali ambayo upelekea na tendo la hamu ya ndoa kupungua pia.

 

3. Matatizo ya kisaikolojia.

Kuna wakati mwingine matatizo ya kisaikolojia ni tatizo mojawapo la kufanya tendo la ndoa lisiwe na faida au hamu kupotea kabisa kwa mfano kama mama ana tatizo au amegombana na mme wake anaweza kupata tatizo hilo au kama mama hapati matumizi nyumbani na hali ya maisha ni ngumu kabisa na lenyewe ni tatizo au mama ana watoto wengi na wanafuata na mme wake hajali kila mda tendo kwa hiyo akili za mama ni kufikilia labda atabeba Mimba nyingine.

 

4. Kuwepo kwa ukavu kwenye uke.

Kuna wakati mwingine ukavu kwenye uke usababisha Mama hasipate hamu ya tendo la ndoa kwa sababu kuwepo kwa ukavu usababisha maumivu makali wakati wa tendo la ndoa kwa hiyo kila mama akifikilia maumivu hayo anakosa hamu ya tendo la ndoa.

 

5. Maumivu wakati wa tendo la ndoa.

Kuna wakati mwingine mama uhisi maumivu makali wakati wa tendo la ndoa kwa sababu au kuna vipengele au uke wake na uume havilingani kwa sababu uuume ni mkubwa na uke mdogo.

 

6. Kwa hiyo ni vizuri kabisa wachumba au wanandoa wenyewe wanapaswa kabisa kuelewana kama mtu ana tatizo lolote kuhusu kutofurahia tendo la ndoa ni vizuri kukaa na kujadiliana au kama kuna matibt ni vizuri kutibu tatizo.

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 5468

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani    👉2 Dua za Mitume na Manabii    👉3 Kitau cha Fiqh    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 web hosting    👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina   

Post zinazofanana:

Hatua za Kuzuia Maambukizi ya Uvimbe kwenye ovari na mirija ya uzazi

Posti hii inazungumzia kuhusiana na hatua za kujikinga na Maambukizi ya Uvimbe kwenye ovari na kwenye mirija ya uzazi

Soma Zaidi...
Sababu za mfuko wa kizazi kushindwa kisinyaa.

Posti hii inahusu zaidi sababu za mfuko wa kizazi kushindwa kisinyaa, ni sababu ambazo utokea kwa akina Mama wengi kadri ya wataalamu wametafuta asilimia kuwa asilimia sabini ya wanawake mifuko yao ya kizazi kushindwa kisinyaa.

Soma Zaidi...
Maumivu ya uume baada ya tendo la ndoa

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu maumivu ya uume baada ya tendo la ndoa

Soma Zaidi...
Je, wajua sababu zinazopelekea maumivu ya Matiti kwa wanawake?

Maumivu ya matiti ni malalamiko ya kawaida miongoni mwa wanawake yanaweza kujumuisha uchungu wa matiti, maumivu makali ya kuungua au kubana kwenye tishu zako za matiti. Maumivu yanaweza kuwa ya mara kwa mara au yanaweza kutokea mara kwa mara tu. Maumiv

Soma Zaidi...
Dali za udhaifu wa mbegu za kiume.

Posti hii inahusu zaidi Dalili ambazo zinaweza kujitokeza na zikaonesha kwamba mbegu za kiume ni dhaifu au ni chache.

Soma Zaidi...
Mwanamke mwenye HIV akiwa mjamzito ama ananyonyesha

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu mwanamke mwenye HIV akiwa mjamzito ama anaenyonyesha

Soma Zaidi...
Sababu za za ugumba kwa Mwanaume

Post hii inahusu zaidi sababu za ugumba kwa Mwanaume, ni sababu ambazo umfanye mwanaume ashindwe kumpatia mwanamke mimba.

Soma Zaidi...
Sabau za maumivu ya uume baada ya tendo la ndoa

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za maumivu ya uume baada ya tendo la ndoa

Soma Zaidi...
tuseme nilifanya ngono jana na leo nipata period,je kuna uwezekano wa kupata mimba

Mimba inatungwa katika siku maalumu na hazizidi 10. Sio kila ukishiriki tendo unaweza pata mimba. Je unaweza kupata mimba baada ya kushiriki tendo wiki moja kabla ya kuingia hedhi?

Soma Zaidi...
mkewang alikuwa anasumbuliwa na tumbo kama siku tatu lika tuliya saivi analalamika kiuno na mgongo vina muuma nini tatizo tockt

Maumivu ya tumbo nakiuno kwa mwanamke yanahitaji uangalizi wakina. Kwani kuna sababu nyingi ambazo zinawezakuwa ni chanzo.

Soma Zaidi...