Sababu za mwanamke kukosa hamu ya tendo la ndoa.
Posti hii inahusu zaidi sababu za mwanamke kukosa tendo la ndoa, ni sababu ambazo uwakuta wanawake wengi unakuta mama yuko kwenye ndoa ila hana hata hamu ya lile tendo la ndoa hali ambayo umfanya mwanamke kuona kitendo cha tendo la ndoa ni unyanyasaji au
Sababu za mwanamke kutofurahia tendo la ndoa.
1. Sababu ya kwanza ni kuwepo kwa Maambukizi kwenye via vya uzazi kwa kitaalamu huitwa pelvic inflammation disease ni ugonjwa unaoshambulia ovary, mirija ya kwenye follapian tube kwenye kwenye uke na mlango wa kizazi kwa hiyo Usababisha hata na homoni zile zinazousika na utengenezaji wa Ute na hamu ya tendo la ndoa kuharibika pia.
2.Mabadiliko katika mfumo wa homoni.
Kuna wakati mwingine kuna mabadiliko kwenye mfumo wa homoni kama vile kukoma hedhi hali ambayo upelekea na tendo la hamu ya ndoa kupungua pia.
3. Matatizo ya kisaikolojia.
Kuna wakati mwingine matatizo ya kisaikolojia ni tatizo mojawapo la kufanya tendo la ndoa lisiwe na faida au hamu kupotea kabisa kwa mfano kama mama ana tatizo au amegombana na mme wake anaweza kupata tatizo hilo au kama mama hapati matumizi nyumbani na hali ya maisha ni ngumu kabisa na lenyewe ni tatizo au mama ana watoto wengi na wanafuata na mme wake hajali kila mda tendo kwa hiyo akili za mama ni kufikilia labda atabeba Mimba nyingine.
4. Kuwepo kwa ukavu kwenye uke.
Kuna wakati mwingine ukavu kwenye uke usababisha Mama hasipate hamu ya tendo la ndoa kwa sababu kuwepo kwa ukavu usababisha maumivu makali wakati wa tendo la ndoa kwa hiyo kila mama akifikilia maumivu hayo anakosa hamu ya tendo la ndoa.
5. Maumivu wakati wa tendo la ndoa.
Kuna wakati mwingine mama uhisi maumivu makali wakati wa tendo la ndoa kwa sababu au kuna vipengele au uke wake na uume havilingani kwa sababu uuume ni mkubwa na uke mdogo.
6. Kwa hiyo ni vizuri kabisa wachumba au wanandoa wenyewe wanapaswa kabisa kuelewana kama mtu ana tatizo lolote kuhusu kutofurahia tendo la ndoa ni vizuri kukaa na kujadiliana au kama kuna matibt ni vizuri kutibu tatizo.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 kitabu cha Simulizi 👉2 Dua za Mitume na Manabii 👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉5 Bongolite - Game zone - Play free game 👉6 Simulizi za Hadithi Audio
Post zinazofanana:
Sababu za kutokea kwa saratani ya matiti
Saratani ya matiti ji moja kati ya saratani zinazosumbuwa wqnawake wengi. Katika somo hili utajifunza chanzo cha kutokea saratani ya matiti
Soma Zaidi...Dalili Za hatari ambayo zinaweza kusababisha ugumba
Posti hii inahusu zaidi dalili ambazo zilijitokeza zinaweza kusababisha ugumba hasa kwa wanawake, kwa hiyo ni vizuri kabisa kuwa makini kwa Dalili hizi hasa kwa wadada, kama kuna uwezekano wa matibabu tibu mapema ili kuepuka tatizo la kuwa mgumba.
Soma Zaidi...Maumivu ya Uke na Uume baada ya tendo la ndoa na wakati wa tendo la ndoa
Utajifunza sababu za maumivu ya uume na uke wakati wa tendo la ndoa na baada ya tendo la ndoa na matibabu yake.
Soma Zaidi...NAMNA YA KUITAMBUA SIKU HATARI YA KUPATA MIMBA (UJAUZITO)
SIKU YA KUPATA UJAUZITO Mimba hutokea pindi mbegu ya kiume (sperm) inapokutana na yai la mwanamke (ova) na kuungana kwa pamoja kutengeneza selli moja iitwayo zygote.
Soma Zaidi...Malengo kwa Akina Mama na wachumba kabla ya kubeba mimba.
Posti hii inahusu zaidi malengo kwa akina Mama na wachumba kabla ya kubeba mimba, ni malengo ambayo yametolewa ili kuweza kusaidia mtoto azaliwe vizuri na mambo mengine kama tutakavyoona.
Soma Zaidi...Kwa mjamzito kuumia wakati wa tendo la ndoa tatizo linaweza kuwa ni nini?
Je unaweza kunielezaKwa mjamzito kuumia wakati wa tendo la ndoa tatizo linaweza kuwa ni nini?
Soma Zaidi...