Posti hii inahusu zaidi sababu za kuwepo kwa harufu mbaya kwenye uke ukizingatia usafi huwa unafanyika mara kwa mara ila harufu bado inaendelea kuwa mbaya kwa hiyo tutaona sababu hapo chini.
1. Sababu ya kwanza ni uharibifu wa ph kwenye uke unaosababishwa na vitu mbalimbali kama vile kutumia sabuni za harufu nzuri ambazo zina chemikali kubwa na kusababisha ph kuharibiwa hali inayosababisha kuendelea kukua na kuongezeka kwa bakteria na virusi na kusababisha uke kutoa harufu mbaya kwa sababu ya walinzi wa uke ambao ni bakteria wazuri wameharibiwa na sabuni na kemikali
2. Kukosekana kwa hewa safi ya oksijeni kwenye uke.kuna wakati mwingine oxgeni inakosa sana kwa sababu uke unabanwa na nguo zilizobana na kwa wakati mwingine wakati wa usiku tunalala na nguvu nyingi hatimaye kulala tukiwa tumevaa chupi na kuzuia hewa kuingia kwenye uke hali inayosababisha uke kutoa harufu mbaya.
3. Magonjwa ya zinaa.
Vile vile naagonjwa ya zinaa usababisha kuwepo kwa harufu mbaya kwenye uke, kwa sababu ya hali ya maambukizi bwana,na pia inaseenekave
Kwamba magonjwa ya zinaa ndicho chanzo kikubwa cha kupata harufu mbaya ukeni.
4. Upungufu wa kinga mwilini.
Kwa kawaida mgonjwa mwenye kinga kidogo ya mwili usababisha kila nyemelezi, yaani ugonjwa huu unaweza kumshambulia kwa hiyo ni vizuri kabisa kumpa nafasi ya kupumzika.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Makala hii itakwenda kukupa dalili ambazo zinaonyesha kuwa mimba ni ya mapacha. Dalili hizi zitahitajika kuthibitishwa na kipimo cha daktari ili kujuwa kuwa ni kweli.
Soma Zaidi...Je umeshawahi kujiukiza kuwa, dawa ya P2 ni kweli inaweza kuzuia mimba, ukifanya mapenzi siku hatari?
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mabadiliko kwenye ngozi wakati wa ujauzito, ni mabadiliko yanayotokea kwenye ngozi ya Mama wakati wa ujauzito.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi chanzo cha mvurugiko wa hedhi, Kuna kipindi hedhi uvurugika kabisa, pengine unaweza kupata hedhi mara mbili kwa mwezi au kukosa au pengine siku kuwa zaidi ya tano mpaka Saba au kuwa chache, hali hii utokea kwa sababu mbalimbali tut
Soma Zaidi...Je anapatwa maumivu Γ°ΕΈΛΒ makali wakati wa tendo la ndoa ama ukiwa katika hedhi? Soma makala hii hadi mwisho
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu za kuwepo kwa Ugonjwa wa fangasi,ni sababu mbalimbali ambazo zinaweza kusababisha fangasi.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mtoto aliyetanguliza matako wakati wa kuzaliwa, kwa kawaida tunajua kwamba mtoto wakati wa kuzaliwa ni lazima atangulize kichwa ila Kuna kipindi mtoto anatanguliza matako, kuna aina nne za mtoto kutanguliza matako.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi Dalili za uvimbe kwenye kizazi,hizi ni Dalili ambazo ujitokeza kwa akina mama ambao wana uvimbe kwenye kizazi kwa hiyo endapo mama ameona Dalili kama hizi anapaswa kuwahi hospitali mara moja kwa uangalizi zaidi.
Soma Zaidi...Kuuma mwa matiti ni moka ya Ichiro kuwa huwenda ni ujauzito. Hii haimaanishi etindio mjamzito, zipo dalili nyingi za ujauzito. Hata hivyo kuona dalili za ujauzito haimaanishi umepata tayari ujauzito. Kwanza fanya vipimondipo Upate uhakika
Soma Zaidi...