Posti hii inahusu zaidi sababu za kuwepo kwa harufu mbaya kwenye uke ukizingatia usafi huwa unafanyika mara kwa mara ila harufu bado inaendelea kuwa mbaya kwa hiyo tutaona sababu hapo chini.
1. Sababu ya kwanza ni uharibifu wa ph kwenye uke unaosababishwa na vitu mbalimbali kama vile kutumia sabuni za harufu nzuri ambazo zina chemikali kubwa na kusababisha ph kuharibiwa hali inayosababisha kuendelea kukua na kuongezeka kwa bakteria na virusi na kusababisha uke kutoa harufu mbaya kwa sababu ya walinzi wa uke ambao ni bakteria wazuri wameharibiwa na sabuni na kemikali
2. Kukosekana kwa hewa safi ya oksijeni kwenye uke.kuna wakati mwingine oxgeni inakosa sana kwa sababu uke unabanwa na nguo zilizobana na kwa wakati mwingine wakati wa usiku tunalala na nguvu nyingi hatimaye kulala tukiwa tumevaa chupi na kuzuia hewa kuingia kwenye uke hali inayosababisha uke kutoa harufu mbaya.
3. Magonjwa ya zinaa.
Vile vile naagonjwa ya zinaa usababisha kuwepo kwa harufu mbaya kwenye uke, kwa sababu ya hali ya maambukizi bwana,na pia inaseenekave
Kwamba magonjwa ya zinaa ndicho chanzo kikubwa cha kupata harufu mbaya ukeni.
4. Upungufu wa kinga mwilini.
Kwa kawaida mgonjwa mwenye kinga kidogo ya mwili usababisha kila nyemelezi, yaani ugonjwa huu unaweza kumshambulia kwa hiyo ni vizuri kabisa kumpa nafasi ya kupumzika.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Kuna uwezekano una ujauzito ila hujajijuwa, huwenda hujapata dalili zozote. Unataka kujuwa kama una ujauzito baada ya tendo la ndoa.
Soma Zaidi...Kupata ujauzito hufungamana na mambo mengi ikiwepo afya vya wawili yaani me na mume na mengineyo. Unaweza kushiriki sikuvhatari na usiupate mimba. Postivhii ibakwendavkukufahamisha undani wa jambo hili.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu mbalimbali ambazo zinafanya wajawazito kupata ugonjwa wa Bawasili, kwa sababu tatizo hili linawapa wakina mama wajawazito, kwa hiyo tutaona kwa nini wajawazito wanapatwa na tatizo hili sana.
Soma Zaidi...Mtoto huweza kuzaliwa ndani ya miezi 6 na unaweza kupona. Na huyu mdoe mtoto njiti. Na anaweza kuzliwa kwa njia ya kawaida. Hakuna ushahidi unaiinyesha kuwa njiti hukabiliwanamatatizo ya kitalima kwenye ukubwa wako.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dalili za hatari kwa Mama mjamzito, ni Dalili ambazo ujitokeza kwa Mama mjamzito, hizi Dalili zisipofanyiwa kazi mapema zinaweza kuleta shida kwa Mama kwa hiyo jamii nzima inapaswa kujua Dalili hizi na kuchukua hatua endapo zitajio
Soma Zaidi...Idadi ya siku hatari za kupata mimba hutofautiana kutoka kwa mwanamke mmoja namwinhine. Kinda ambao idadivyavsikuvzao za hatari ni nyingi kuliko wengine.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kumpeleka mtoto kliniki, kliniki nisehemu ambayo mtoto hupelekwa Ili kujua maendeleo ya mtoto akiwa chini ya umri wa miaka mitano
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mambo mbalimbali yanayodhoofisha afya za wanaume, kwa wakati mwingine wanaume ukosa kujiamini kwa sababu ya mambo ambayo yanaadhiri afya za wanaume.
Soma Zaidi...Kipimo cha Mlimba huweza kuonyesha mimba changa mapema sana. Pia ni rahisi kutumia na kinapatikana kwa bei nafuu. Je ungeoendavkujuwa ni muda gani kinatoa majibu sahihi?
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi namna ya kuongea na Mama mjamzito ili kuweza kugundua tatizo lake na kutoa msaada pale penye uhitaji.
Soma Zaidi...