Posti hii inahusu zaidi siku za kubeba mimba na zisizo za kubeba mimba , tunapaswa kujua hivi Ili kuweza kupanga uzazi na kuepuka njia ambazo ni hatarishi kwa afya zetu.
1. Kwanza kabisa kunapaswa kuwepo na makubaliano kati ya mwanamke na mwanaume Ili kutumia njia hii , kwa kufanya hivyo njia hii itaweza kuleta faida kubwa kwa mwanamke na mwanaume.
2. Siku ya kwanza mpaka ya kumi ni siku salama kabisa , Ina maana siku ya kwanza kuingia hedhi ndipo unaanza kuhesabu mpaka siku kumi.
3. Kuanzia siku ya kumi na moja mpaka siku ya nane usithubutu kujamiiana ni siku mbaya kabisa au kama unataka kubeba mimba ndizo siku nzuri.hasa siku ya kumi na mbili mpaka kumi na sita ni hatarishi.
4. Kuanzia siku ya kumi na tisa mpaka siku ya ishilini na nane ni siku nzuri na hakuna kubeba mimba yoyote hapo.
5.ila kuja kutumia njia hizi ni kujua una mzunguko wa siku ngapi? Ni ishilini na Moja, ishilini na nane, thelathini au thelathini na mbili inategemea na mzunguko wako
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Kipimo cha Mlimba huweza kuonyesha mimba changa mapema sana. Pia ni rahisi kutumia na kinapatikana kwa bei nafuu. Je ungeoendavkujuwa ni muda gani kinatoa majibu sahihi?
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi hatua ambazo unaweza kuzitumia ili kuweza kutibu uvimbe au kwa kitaalamu huitwa fibroids. Hizi hatua zikitumika uweza kusaidia kupunguza kiwango cha kupata au kuwepo kwa uvimbe kwenye kizazi.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi Magonjwa yanayoshambulia sana ovari na Dalili zake, haya ni magonjwa ambayo yanashambulia sana ovari ni kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...Post hii itakwenda kuangalia madhara ya tumbaku na sigara anayoweza kuyapata mvutaji
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sifa za Ute wa ovulation, ni Ute ambao utokea siku za ovulation yaani siku ambazo ni tayari kwa kubeba mimba, yaani siku za upevishaji wa yai.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi huduma kwa mama ambaye mimba inataka kutoka, mimba za aina hiyo kwa kitaalamu huitwa inevitable pregnant ni lazima itoke tu hata kama kuna juhudi mbalimbali za wataalamu mimba hii utoka kabisa.
Soma Zaidi...Utajifunza sababu za kuweo kwa maumivu ya uume wbaada ya tendo la ndoa na wakati wa tendo la ndoa.
Soma Zaidi...Hutokea uchungu wa kujifunguwa ukakati. Unadhani ni kitugani kinatokea.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi imani potofu kwa mwanamke mwenye mimba, ni Imani ambazo zimekuwepo kwenye jamii kuhusu wanawake wenye mimba.
Soma Zaidi...