picha

Nataka nijue siku ya kubeba mimba mwanamke

Nataka nijue siku ya kubeba mimba mwanamke

Naomba unisaidie:-
Nataka nijue siku ya kubeba mimba mwanamke



Namba ya swali 063

Unataka kujuwa siku ya kubeba mimba mwanamke, Mzunguuko wake wa siku zake una siku ngapi?



Namba ya swali 063

Ana umri wa miaka 21, na anapata hedhi kila tarehe 17 ama 21 ya kila mwezi.



Namba ya swali 063

Inamaana siku za mzunguko wa hedhi ni 30 au 34. Hivyo siku hatari zinawwza kuwa ni kati ya siku ya 14 mpaka 22 toka upate hedhi. Moja karmti ya siku hizo upo uwezekano wa kupata mimba.
Siku hiyo itakuwa na sifa hizi:-
1. Joto la mwili litaongezeka ila si homa
2. Utakuwa na hamu sana ya kukutana na mumeo
3. Majimaji ya ukeni yataongezeka.



Namba ya swali 063



Namba ya swali 063



Namba ya swali 063



Namba ya swali 063



Namba ya swali 063



Namba ya swali 063
-->

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Uzazi Main: Post File: Download PDF Views 4000

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Dua za Mitume na Manabii     👉2 Kitabu cha Afya     👉3 kitabu cha Simulizi     👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉5 web hosting     👉6 ai web app    

Post zinazofanana:

Uchungu usio wa kawaida kwa akina Mama.

Posti hii inahusu zaidi uchungu usio wa kawaida kwa akina Mama, kwa kawaida uchungu unapaswa kuwa ndani ya masaa Kumi na mawili ila Kuna wakati mwingine uchungu unaweza kuwa zaidi ya masaa Kumi na mawili na kusababisha madhara yasiyo ya kawaida kwa Mama n

Soma Zaidi...
Dalili za mwanzo za ujauzito katika wiki ya kwanza

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za mwanzo za ujauzito katika wiki ya kwanza

Soma Zaidi...
Mimi imepita miezi mitatu sioni hedhi na wala sioni dalili ya kuwa na mimba unaweza ukaniambia tatizo la kuwa na hali hii

Kama na wewe una tatizo la kupitiliza siku zako za hedhi hli ya kuwa huna ujauzito, soma post hii ina majibu yako.

Soma Zaidi...
Fahamu Ute unaotoka wakati wa ujauzito

Posti hii inahusu zaidi Ute unaotoka wakati wa ujauzito, kwa kawaida wakati wa ujauzito Kuna Ute ambao utoka na ni tofauti na kawaida pale mwanamke akiwa Hana mimba.

Soma Zaidi...
Wajibu wa mjamzito katika utaratibu wa uleaji wa mimba

Posti hii inahusu zaidi wajibu wa Mama mjamzito katika kileo mimba sio yeye tu Bali na wote waliomzunguka wanapaswa kuhakikisha kuwa mama mjamzito anapaswa kufanyiwa huduma zote Ili kuweza kujifungua salama na bila shida yoyote.

Soma Zaidi...
Niharisha siku ya pili baada ya tendo. Jana hadi leo sijapata choo inawezakua nimeshika ujauzito?

Hivi unadhani kuharisha ni katika dalili za mimba, vipi kuhusu kutopata choo pia inaweza kuwa ni ujauzito?

Soma Zaidi...