Namna ya kutunza uke

Namna ya kutunza uke

Posti hii inahusu zaidi namna ya kutunza uke, tunajua wazi kuna magonjwa mbalimbali yanayoweza kutokea iwapo uke hautaweza kutunzwa vizuri na pia uke ukitunzwa vizuri kuna faida ya kuepuka maradhi ya wanawake kwa njia ya kutunza uke.

Download Post hii hapa

Namna ya kutunza uke.

1. Kwa kawaida epuka kutumia sabuni kuosha uke au vitu vyovyote vya manukato au vyema kemikali kwenye uke daima tumia sabuni ya kawaida wakati wa kusafirisha uke.

 

2. Daima asubuhi ukiamka Isha uke kwa kutumia maji safi na sabuni na maji yanayopaswa kutumika ni maji ya baridi, epuka kutumia maji ya moto wakati wa kuosha uke kwa sababu maji ya moto ulegeza uke na kufanya uke kupoteza ubora wake kwenye ubora wake.

 

3. Tumia chupi za pamba kwasababu zina uwezo wa kufyonza maji vizuri na kusababisha uke kuwa kwenye hali yake ya kawaida kwa hiyo chupi hizi zina uwezo wa kufyonza maji.

 

4. Vaa skeni taiti mda wote au mda mwingi hasa ukiwa kwenye period kwa sababu usmfanya sehemu ya uke kuwa na asili yake ya kuwa mweusi,

 

5. Wakati wa kuosha uke daima anza mbele kwenda nyuma kwa sababu ukianza nyuma kwenda mbele itasababisha vijidudu kutoka kwenye kinyesi kuja kwenye uke na kusababisha madhara mbalimbali ambayo ni pamoja na Maambukizi kwenye sehemu za mkojo.

 

6. Usipende kuingiza vidole kwenye uke 

Kwa kawaida vidole ufanya kazi mbalimbali na pengine huwa na uchafu kwa hiyo kuiingiza vidole kwenye uke usababisha Maambukizi kwenye uke.

 

7. Siku zote safisha uke baada ya kujifungua kwa maji na sabuni ili kuweza kuondoa uchafu ambao unaweza kusababisha Maambukizi kwa mda wowote ule.

 

8. Tumia maziwa ya mtindi kila siku kadiri upendavyo kwa sababu kwa kupitia maziwa hayo unaweza kupata faida nyingi ambazo ulikuwa bado haujazijua.

 

9. Badilisha pedi mara kwa mara hasa ukiwa kwenye period daima pedi isizidi masaa mawili kabla haijabadilishwa, maana inaweza kusababisha Maambukizi.

 

10. Kwa kufanya hivyo utaweza kuufanya uke wako uwe safi na kuwa mbali na magonjwa mbalimbali ambayo yanaweza kuwa chanzo chaugumba na matatizo mbalimbali ya uzazi.

Download Post hii hapa

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 5370

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 kitabu cha Simulizi   

Post zinazofanana:

Tiba mbadala ya fangasi wa uumeni
Tiba mbadala ya fangasi wa uumeni

Somo hili linakwenda kukuletea tiba mbadala ya fangasi wa uumeni

Soma Zaidi...
Malengo ya huduma za uzazi kwa akina Mama.
Malengo ya huduma za uzazi kwa akina Mama.

Posti huu inahusu zaidi malengo ya huduma za uzazi kwa akina Mama, ni huduma muhimu ambazo zimetolewa kwa akina Mama ili kuweza kuepuka hatari mbalimbali zinazowakumba akina Mama wakati wa ujauzito, kujifu na malezi ya watoto chini ya miaka mitano.

Soma Zaidi...
Kukosa Ute wakati wa tendo la ndoa.
Kukosa Ute wakati wa tendo la ndoa.

Posti hii inahusu zaidi sababu za kukosa Ute wakati wa tendo la ndoa,ni Dalili ya kuwepo kwa kiwango kikubwa cha estrogen kwenye mwili ukilinganisha na homoni ya projestoren.

Soma Zaidi...
Kushiriki tendo la ndoa wakati wa ujauzito
Kushiriki tendo la ndoa wakati wa ujauzito

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu kushiriki tendo la ndoa wakati wa ujauzito faida na hasara zake

Soma Zaidi...
CHANGAMOTO ZA UJAUZITO, NA DALILI ZAKE NA NAMNA YA KUKABILIANA NAZO
CHANGAMOTO ZA UJAUZITO, NA DALILI ZAKE NA NAMNA YA KUKABILIANA NAZO

Utawezaje kukabiliana na changamoto za ujauzito, je ni zipi changamoto hizo. Hapa nitakujuza.

Soma Zaidi...
Wajibu wa mjamzito katika utaratibu wa uleaji wa mimba
Wajibu wa mjamzito katika utaratibu wa uleaji wa mimba

Posti hii inahusu zaidi wajibu wa Mama mjamzito katika kileo mimba sio yeye tu Bali na wote waliomzunguka wanapaswa kuhakikisha kuwa mama mjamzito anapaswa kufanyiwa huduma zote Ili kuweza kujifungua salama na bila shida yoyote.

Soma Zaidi...
Mabaka yanayowasha chini ya matiti.
Mabaka yanayowasha chini ya matiti.

Posti hii inahusu zaidi mabaka yanayowasha chini ya matiti, ni ugonjwa ambao uwapata wanawake walio wengi na wengine hawajapata jibu Sababu zake ni zipi na pengine uchukua hatua za kutumia miti shamba wakidai juwa hospitalini nugonjwa huu hautibiwa, ila n

Soma Zaidi...
 SABABU ZA KUKOSA HAMU YA TENDO LANDOA
SABABU ZA KUKOSA HAMU YA TENDO LANDOA

Hii ni hali inayompata mtu kukosa hamu kabisa ya kushiriki kitendo chochote kinachohusiana na kufanya tendo landoa au bunyeto.

Soma Zaidi...
 Mambo yanayosababisha nguvu za kiume kupungua
Mambo yanayosababisha nguvu za kiume kupungua

Posti hii inazungumzia kuhusiana na Dalili pamoja na mambo yanayosababisha nguvu za kiume kupungua kwa Wanaume

Soma Zaidi...
mkewang alikuwa anasumbuliwa na tumbo kama siku tatu lika tuliya saivi analalamika kiuno na mgongo  vina muuma nini tatizo tockt
mkewang alikuwa anasumbuliwa na tumbo kama siku tatu lika tuliya saivi analalamika kiuno na mgongo vina muuma nini tatizo tockt

Maumivu ya tumbo nakiuno kwa mwanamke yanahitaji uangalizi wakina. Kwani kuna sababu nyingi ambazo zinawezakuwa ni chanzo.

Soma Zaidi...