Namna ya kutunza uke

Posti hii inahusu zaidi namna ya kutunza uke, tunajua wazi kuna magonjwa mbalimbali yanayoweza kutokea iwapo uke hautaweza kutunzwa vizuri na pia uke ukitunzwa vizuri kuna faida ya kuepuka maradhi ya wanawake kwa njia ya kutunza uke.

Namna ya kutunza uke.

1. Kwa kawaida epuka kutumia sabuni kuosha uke au vitu vyovyote vya manukato au vyema kemikali kwenye uke daima tumia sabuni ya kawaida wakati wa kusafirisha uke.

 

2. Daima asubuhi ukiamka Isha uke kwa kutumia maji safi na sabuni na maji yanayopaswa kutumika ni maji ya baridi, epuka kutumia maji ya moto wakati wa kuosha uke kwa sababu maji ya moto ulegeza uke na kufanya uke kupoteza ubora wake kwenye ubora wake.

 

3. Tumia chupi za pamba kwasababu zina uwezo wa kufyonza maji vizuri na kusababisha uke kuwa kwenye hali yake ya kawaida kwa hiyo chupi hizi zina uwezo wa kufyonza maji.

 

4. Vaa skeni taiti mda wote au mda mwingi hasa ukiwa kwenye period kwa sababu usmfanya sehemu ya uke kuwa na asili yake ya kuwa mweusi,

 

5. Wakati wa kuosha uke daima anza mbele kwenda nyuma kwa sababu ukianza nyuma kwenda mbele itasababisha vijidudu kutoka kwenye kinyesi kuja kwenye uke na kusababisha madhara mbalimbali ambayo ni pamoja na Maambukizi kwenye sehemu za mkojo.

 

6. Usipende kuingiza vidole kwenye uke 

Kwa kawaida vidole ufanya kazi mbalimbali na pengine huwa na uchafu kwa hiyo kuiingiza vidole kwenye uke usababisha Maambukizi kwenye uke.

 

7. Siku zote safisha uke baada ya kujifungua kwa maji na sabuni ili kuweza kuondoa uchafu ambao unaweza kusababisha Maambukizi kwa mda wowote ule.

 

8. Tumia maziwa ya mtindi kila siku kadiri upendavyo kwa sababu kwa kupitia maziwa hayo unaweza kupata faida nyingi ambazo ulikuwa bado haujazijua.

 

9. Badilisha pedi mara kwa mara hasa ukiwa kwenye period daima pedi isizidi masaa mawili kabla haijabadilishwa, maana inaweza kusababisha Maambukizi.

 

10. Kwa kufanya hivyo utaweza kuufanya uke wako uwe safi na kuwa mbali na magonjwa mbalimbali ambayo yanaweza kuwa chanzo chaugumba na matatizo mbalimbali ya uzazi.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 6224

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 web hosting    👉4 Simulizi za Hadithi Audio    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

Upungufu wa homoni ya estrogen

Posti hii inahusu zaidi upungufu wa homoni ya estrogen na dalili zake, aina hii ya homoni ikipungua mwilini uleta madhara na matatizo mbalimbali kwenye mwili.

Soma Zaidi...
Mambo ya kuzingatia kwa Mama mwenye mimba

Posti hii inahusu zaidi mambo ya kuzingatia kwa Mama mwenye mimba, ni kipindi ambacho Mama uhitahi uangalizi wa karibu zaidi.

Soma Zaidi...
Vyakula vinavyosaidia katika uzalishaji wa homoni ya testosterone

Posti hii inahusu zaidi vyakula ambavyo usaidia katika uzalishaji wa homoni ya testosterone.

Soma Zaidi...
Faida na hasara za Kufunga kizazi kwa wanawake.

Posti hii inazungumzia kuhusiana na Kufunga kizazi kwa wanawake.

Soma Zaidi...
Mimi ni mama ninaye nyonyesha toka nimejefunguwa sijawai kuziona siku zangu lakini nilipo choma sindano za yutiai nikaaza kutokwa na tamu kama siku tano na mwanangu ana mwaka moja je ninahatali ya kubeba mimba

Kunyonyesha ni moja katika njia za asili za kuzuia upatikanaji wa miba nyingine. Hata hivyo hii haimaanishi kuwa huwezi kupata mimba ukiwa unavyonyesha.

Soma Zaidi...
Nini kinasababisha uume kutoa maji meupe bila muwasho,na tiba yake ni ipi

Je unasumbuliwa na Majimaji kwenye uume. Je unapata miwasho, ama maumivu wakati wakukojoa.

Soma Zaidi...
Fahamu madhara ya Maambukizi ya mfumo wa Uzazi wa mwanamke PID

Posti hii inazungumzia kuhusiana na mathara yanayosababisha Ugonjwa wa Maambukizi ya mfumo wa Uzazi wa mwanamke

Soma Zaidi...
Vipimo muhimu wakati wa ujauzito

Post hii inahusu zaidi vipimo muhimu wakati wa ujauzito ni vipimo ambavyo vinapaswa kupimwa na Mama ili kuangalia mambo mbalimbali katika damu au sehemu yoyote, pia vipimo hivi umsaidia sana Mama kujua afya yake.

Soma Zaidi...
Dalili ya mimba ya wiki moja(1)

Mwanaume na mwanamke wanapo kutana na kujamiina kama mwanamke yupo kwenye ferlile process ni rahisi kupata mbimba. Sparm Zaid ya million moja huingia kwenye mfuko wa lakin sparm moja ndio huweza kuingia kwenye ovum(yai)lakin nyingine hubaki kwenye follopi

Soma Zaidi...