Namna ya kutunza uke
Posti hii inahusu zaidi namna ya kutunza uke, tunajua wazi kuna magonjwa mbalimbali yanayoweza kutokea iwapo uke hautaweza kutunzwa vizuri na pia uke ukitunzwa vizuri kuna faida ya kuepuka maradhi ya wanawake kwa njia ya kutunza uke.
Namna ya kutunza uke.
1. Kwa kawaida epuka kutumia sabuni kuosha uke au vitu vyovyote vya manukato au vyema kemikali kwenye uke daima tumia sabuni ya kawaida wakati wa kusafirisha uke.
2. Daima asubuhi ukiamka Isha uke kwa kutumia maji safi na sabuni na maji yanayopaswa kutumika ni maji ya baridi, epuka kutumia maji ya moto wakati wa kuosha uke kwa sababu maji ya moto ulegeza uke na kufanya uke kupoteza ubora wake kwenye ubora wake.
3. Tumia chupi za pamba kwasababu zina uwezo wa kufyonza maji vizuri na kusababisha uke kuwa kwenye hali yake ya kawaida kwa hiyo chupi hizi zina uwezo wa kufyonza maji.
4. Vaa skeni taiti mda wote au mda mwingi hasa ukiwa kwenye period kwa sababu usmfanya sehemu ya uke kuwa na asili yake ya kuwa mweusi,
5. Wakati wa kuosha uke daima anza mbele kwenda nyuma kwa sababu ukianza nyuma kwenda mbele itasababisha vijidudu kutoka kwenye kinyesi kuja kwenye uke na kusababisha madhara mbalimbali ambayo ni pamoja na Maambukizi kwenye sehemu za mkojo.
6. Usipende kuingiza vidole kwenye uke
Kwa kawaida vidole ufanya kazi mbalimbali na pengine huwa na uchafu kwa hiyo kuiingiza vidole kwenye uke usababisha Maambukizi kwenye uke.
7. Siku zote safisha uke baada ya kujifungua kwa maji na sabuni ili kuweza kuondoa uchafu ambao unaweza kusababisha Maambukizi kwa mda wowote ule.
8. Tumia maziwa ya mtindi kila siku kadiri upendavyo kwa sababu kwa kupitia maziwa hayo unaweza kupata faida nyingi ambazo ulikuwa bado haujazijua.
9. Badilisha pedi mara kwa mara hasa ukiwa kwenye period daima pedi isizidi masaa mawili kabla haijabadilishwa, maana inaweza kusababisha Maambukizi.
10. Kwa kufanya hivyo utaweza kuufanya uke wako uwe safi na kuwa mbali na magonjwa mbalimbali ambayo yanaweza kuwa chanzo chaugumba na matatizo mbalimbali ya uzazi.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 kitabu cha Simulizi 👉2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉3 Dua za Mitume na Manabii 👉4 Kitau cha Fiqh 👉5 ai web app 👉6 Kitabu cha Afya
Post zinazofanana:
Mwanamke anatema mate mara kwa mara je inaweza kuwa ni ujauzito?
Ni kweli kuwa kutema mate mara kwa mara inaweza kuwa ni dlili za ujauzito. Lakini itambulije kuwa pekee sio kithibitishi cha ujauzito.
Soma Zaidi...Vyakula vinavyosaidia katika uzalishaji wa homoni ya testosterone
Posti hii inahusu zaidi vyakula ambavyo usaidia katika uzalishaji wa homoni ya testosterone.
Soma Zaidi...Samahani nauliza mjamzito akiwa na presha140/90 Kuna madhara?
Presha ya kupanda hypertension huweza kuzumbuwa watu kwa jinsia zote, na umri wote. Wajawazito pia wamekuwa wakisumbuliwa na presha hii mara kwa mara.
Soma Zaidi...Imani potofu kuhusu uzazi wa mpango
Post hii inahusu zaidi imani potofu kuhusu uzazi wa mpango, ni imani walizonazo Watu kuhusu matumizi ya uzazi wa mpango.
Soma Zaidi...Dalili za uchungu
Uchungu wa uzazi hutokana na kubana nakuachia kwa misuli hii husababishwa kufunhuka kwa mlango wa tumbo la uzazi pamoja na shingo ya kizazi na kumuongezea mama uchungu wakati wa kujifungua(during labour) Pia kubana na kuachia huanza polepole wakati wa
Soma Zaidi...