image

Namna ya kutunza uke

Posti hii inahusu zaidi namna ya kutunza uke, tunajua wazi kuna magonjwa mbalimbali yanayoweza kutokea iwapo uke hautaweza kutunzwa vizuri na pia uke ukitunzwa vizuri kuna faida ya kuepuka maradhi ya wanawake kwa njia ya kutunza uke.

Namna ya kutunza uke.

1. Kwa kawaida epuka kutumia sabuni kuosha uke au vitu vyovyote vya manukato au vyema kemikali kwenye uke daima tumia sabuni ya kawaida wakati wa kusafirisha uke.

 

2. Daima asubuhi ukiamka Isha uke kwa kutumia maji safi na sabuni na maji yanayopaswa kutumika ni maji ya baridi, epuka kutumia maji ya moto wakati wa kuosha uke kwa sababu maji ya moto ulegeza uke na kufanya uke kupoteza ubora wake kwenye ubora wake.

 

3. Tumia chupi za pamba kwasababu zina uwezo wa kufyonza maji vizuri na kusababisha uke kuwa kwenye hali yake ya kawaida kwa hiyo chupi hizi zina uwezo wa kufyonza maji.

 

4. Vaa skeni taiti mda wote au mda mwingi hasa ukiwa kwenye period kwa sababu usmfanya sehemu ya uke kuwa na asili yake ya kuwa mweusi,

 

5. Wakati wa kuosha uke daima anza mbele kwenda nyuma kwa sababu ukianza nyuma kwenda mbele itasababisha vijidudu kutoka kwenye kinyesi kuja kwenye uke na kusababisha madhara mbalimbali ambayo ni pamoja na Maambukizi kwenye sehemu za mkojo.

 

6. Usipende kuingiza vidole kwenye uke 

Kwa kawaida vidole ufanya kazi mbalimbali na pengine huwa na uchafu kwa hiyo kuiingiza vidole kwenye uke usababisha Maambukizi kwenye uke.

 

7. Siku zote safisha uke baada ya kujifungua kwa maji na sabuni ili kuweza kuondoa uchafu ambao unaweza kusababisha Maambukizi kwa mda wowote ule.

 

8. Tumia maziwa ya mtindi kila siku kadiri upendavyo kwa sababu kwa kupitia maziwa hayo unaweza kupata faida nyingi ambazo ulikuwa bado haujazijua.

 

9. Badilisha pedi mara kwa mara hasa ukiwa kwenye period daima pedi isizidi masaa mawili kabla haijabadilishwa, maana inaweza kusababisha Maambukizi.

 

10. Kwa kufanya hivyo utaweza kuufanya uke wako uwe safi na kuwa mbali na magonjwa mbalimbali ambayo yanaweza kuwa chanzo chaugumba na matatizo mbalimbali ya uzazi.





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 3967


Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 kitabu cha Simulizi     👉4 Kitabu cha Afya    

Post zifazofanana:-

Vyanzo vya kuharibika kwa mimba ya miezi kuanzia 0-3
Posti hii inahusu zaidi vyanzo vya kuharibika kwa mimba kuanzia miezi zero mpaka miezi mitatu, kwa sababu hii ni miezi ya kwanza kabisa Kuna sababu au vyanzo vya kuharibika kwa mimba katika kipindi hiki. Soma Zaidi...

Faida za uzazi wa mpango kwa watoto.
Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa uzazi wa mpango kwa watoto, sio akina Mama peke yao wanaofaidika na uzazi wa mpango vile vile na watoto wanafaidika na uzazi wa mpango kama ifuatavyo. Soma Zaidi...

Aina mbalimbali za mimba kutoka.
Post hii inahusu zaidi aina mbalimbali za mimba kutoka, hizi ni jinsi mimba inavyoonyesha dalili za kutoka na nyingine zinaweza kuonyesha dalili Ila kwa sababu ya huduma mbalimbali za kwanza hizo mimba zinaweza kudhibiiwa na mtoto akazaliwa. Soma Zaidi...

Madhara ya kiafya ya kupiga punyeto
Post hii inakwenda kukutania madhara ya kuoiga punyeto kwa afya yako. Soma Zaidi...

Mambo ambayo mama anapaswa kujua akiwa mjamzito
Posti hii inahusu zaidi mambo anyopaswa kujua akiwa mjamzito. Ni mambo muhimu ya kuzingatia kwa mama akiwa mjamzito. Soma Zaidi...

Hatua za Kuzuia Maambukizi ya Uvimbe kwenye ovari na mirija ya uzazi
Posti hii inazungumzia kuhusiana na hatua za kujikinga na Maambukizi ya Uvimbe kwenye ovari na kwenye mirija ya uzazi Soma Zaidi...

Tatizo la kutokwa na majimaji kwenye uume.
Posti hii inahusu zaidi tatizo la kutokwa na majimaji kwenye uume, ni tatizo ambalo uwakumba baadhi ya wanaume kwa sababu mbalimbali na pia Ugonjwa huu unatibika hasa kwa wale wanaowahi kupata matibabu. Soma Zaidi...

SABABU ZA KUTOKA KWA MIMBA (sababu za kuharibika kwa ujauzito)
Tafiti zinaonesha kuwa karibia asilimia 10% mpaka 25% ya wanawake wanaopata ujauzito, mimba zao hutoka. Soma Zaidi...

Njia za uzazi wa mpango kwa watu wenye Ukimwi
Posti hii inahusu zaidi njia za uzazi wa mpango kwa watu waliopata maambukizi ya Virusi vya Ukimwi. Soma Zaidi...

Njia za uzazi wa mpango kwa akina Mama kuanzia miezi sita baada ya kujifungua mpaka mwaka mmoja
Posti hii inahusu zaidi njia za uzazi wa mpango kwa mama aliyejifungua kuanzia miezi sita mpaka mwaka mmoja. Soma Zaidi...

Nimetoka kufanya tendo la ndoa ghafla tumbo likaanza kukaza upande wa kushoto na kutoka maji yenye uzito wa kawaida kama ute mengi je hii itakuwa ni nini
Maumivu yavtumbo huwenda yakachanganya sana, Keane yanahusianana sababu nyingi sana. Kina baadhi ya watu hupata na maumivu ya tumbo wakati wa tendo la ndoa ama punde tu baada ya kumaliza. Soma Zaidi...

Mambo ya kuangalia kwa mtoto mdogo
Posti hii inahusu zaidi mambo ya kuangalia kwa mtoto mdogo chini ya umri wa miaka mitano ili kuweza kuweka afya yake kwenye njia safi. Soma Zaidi...