Njia za kugundua kama mtoto amevunjika baada ya kuzaliwa


image


Post hii inahusu zaidi njia mbalimbali ambazo mtoa huduma anaweza kuzitumia kuangalia kama mtoto amevunjika baada ya kuzaliwa.


Njia za kugundua kama mtoto amevunjika baada ya kuzaliwa.

1. Tunafahamu kabisa kwamba mtoto mdogo hawezi kujieleza chochote ila njia yake kuu ni kulia tu inawezekana kabisa mtoto kavunjika ila haujui kavunjika wapi kwa hiyo kitu cha kwanza kabisa ni kuangalia sehemu zote kuanzia kichwani hadi miguuni ili kuweza kujua kama mtoto yuko salama au kwa wakati mwingine unapaswa kugusa kiungo kimoja hadi kingine hasa hasa kama mtoto amepata shida wakati wa kuzaliwa hapo utaweza kugundua mapema kwa sababu utakapomgusa mtoto akalia ni hapo hapo unapaswa kupaangalia kwa karibu zaidi.

 

2. Kuna sehemu nyingine sio rahisi kuzigundua mara moja mpaka mtoto afikishe masaa sabini na mbili ambapo ni sawa na siku tatu, hapa kwa wamama waliowengi wanakuwa wameshauri nyumbani kwa hiyo mtoa huduma anapaswa kumwelekeza Mama namna ya kumwangalia mtoto wake na kuhakikisha kwamba ikiwa amepata shida arudishwe hospitalini mara moja.

 

3. Kuna sehemu nyingine kama zimevunjika kupona huwa zinatumia siku chache au nyingine siku nyingi kwa mfano kwenye sehemu ya kiuno utumia masaa sabini na mawili kupona na kwenye sehemu nyingine utmia wiki mbili au tatu.



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Tunakukaribisha kwenye Maktaba yetu       ðŸ‘‰    2 Download App zetu hapa ujifunze zaidi       ðŸ‘‰    3 Jifunze Fiqh       ðŸ‘‰    4 Madrasa kiganjani offline    


Je una maswali, maoni ama ushauri, tutumie sms ✉ bofya hapa hapa, ama wasiliana nasi kwa WhatsApp bofya hapa



Post Nyingine


image Sababu za mtoto kuzaliwa akiwa na uzito mkubwa
Post hii inahusu zaidi sababu mbalimbali za mtoto kuzaliwa akiwa na uzito mkubwa, mara nyingi tatizo hili uwakumba akina mama mbalimbali ambapo mtoto uzaliwa akiwa na uzito mkubwa Soma Zaidi...

image Sababu za mimba kutoka
Post hii inahusu zaidi sababu za mimba kutoka, hili ni tatizo ambalo linawakumba wanawake wengi ambapo mimba utoka kabla ya kumfikisha mda wake, kwa kawaida Ili kawaida mimba nyingi utoka zikiwa na miezi chini ya Saba au wengine wanaweza kusema kwamba mimba utoka zikiwa na wiki ishilini na nne. Kwa hiyo zifuatazo ni baadhi ya sababu zinazochangia mimba kutoka. Soma Zaidi...

image Dalili za uvimbe kwenye kizazi
Posti hii inahusu zaidi Dalili za uvimbe kwenye kizazi,hizi ni Dalili ambazo ujitokeza kwa akina mama ambao wana uvimbe kwenye kizazi kwa hiyo endapo mama ameona Dalili kama hizi anapaswa kuwahi hospitali mara moja kwa uangalizi zaidi. Soma Zaidi...

image Je, wajua sababu zinazopelekea maumivu ya Matiti kwa wanawake?
Maumivu ya matiti ni malalamiko ya kawaida miongoni mwa wanawake yanaweza kujumuisha uchungu wa matiti, maumivu makali ya kuungua au kubana kwenye tishu zako za matiti. Maumivu yanaweza kuwa ya mara kwa mara au yanaweza kutokea mara kwa mara tu. Maumivu ya matiti yanaweza kuanzia kidogo hadi makali. Inaweza kukuathiri siku chache tu kwa mwezi, kwa mfano kabla tu ya kipindi chako, au inaweza kudumu kwa siku saba au zaidi kila mwezi. Soma Zaidi...

image Madhara ya kutotoa huduma kwa Mama anayevuja damu baada ya kujifungua
Posti hii inahusu zaidi Madara ya kutomsaidia mama anayetokwa na damu nyingi baada ya kujifungua. Soma Zaidi...

image Fahamu mapacha wanavyounganishwa.
Mapacha walioungana ni watoto wawili wanaozaliwa wakiwa wameunganishwa kimwili. Mapacha walioungana hukua wakati kiinitete cha mapema kinapojitenga na kuunda watu wawili. Ingawa vijusi viwili vitakua kutoka kwa kiinitete hiki, wataendelea kushikamana mara nyingi kwenye kifua, fupanyonga au matako. Mapacha walioungana wanaweza pia kushiriki kiungo kimoja au zaidi za ndani. Mapacha wengi walioungana huzaliwa wakiwa wamekufa au hufariki muda mfupi baada ya kuzaliwa.Mapacha wengine walio hai walioungana wanaweza kutenganishwa kwa upasuaji.Mafanikio ya upasuaji wa kuwatenganisha mapacha walioungana hutegemea mahali pacha hao wameunganishwa na wangapi na viungo gani vinashirikiwa, pamoja na uzoefu. na ujuzi wa timu ya upasuaji. Soma Zaidi...

image Vipi kuhusu kibofu kukaza sana na unapokula unahisi kama tumbo kujaa zaidi je hii nidall yamimba?
Dalili za mimba zinaweza kuwa tata sana kuzijua mpaka upate vipimo. Kwa mfano unaweza kupatwa na maumivu yakibofu. Je unadhani nayo ni dalili ya mimba? Soma Zaidi...

image Jinsi ya kushusha homoni za kiume.
Posti hii inahusu zaidi njia ambazo unaweza kuzitumia ili kuweza kupunguza homoni za kiume kwa akina dada. Soma Zaidi...

image Sababu za kutangulia kwa kitovu wakati Mtoto anazaliwa
Posti hii inahusu zaidi sababu za kutangulia kwa kitovu wakati wa mtoto anapozaliwa. Soma Zaidi...

image Madhara ya fangasi ukeni
Maambukizi ya fangasi katika sehemu za Siri za mwanamke husababishwa na fangasi wanaoitwa CANDIDA ALBICANS pia maambukizi haya hujulikana kama YEAST INFECTION. Pia hupatikana katika midomo, mpira wa kupitisha chakula,kibofu Cha mkojo ,uume na uke. Soma Zaidi...