picha

Njia za kugundua kama mtoto amevunjika baada ya kuzaliwa

Post hii inahusu zaidi njia mbalimbali ambazo mtoa huduma anaweza kuzitumia kuangalia kama mtoto amevunjika baada ya kuzaliwa.

Njia za kugundua kama mtoto amevunjika baada ya kuzaliwa.

1. Tunafahamu kabisa kwamba mtoto mdogo hawezi kujieleza chochote ila njia yake kuu ni kulia tu inawezekana kabisa mtoto kavunjika ila haujui kavunjika wapi kwa hiyo kitu cha kwanza kabisa ni kuangalia sehemu zote kuanzia kichwani hadi miguuni ili kuweza kujua kama mtoto yuko salama au kwa wakati mwingine unapaswa kugusa kiungo kimoja hadi kingine hasa hasa kama mtoto amepata shida wakati wa kuzaliwa hapo utaweza kugundua mapema kwa sababu utakapomgusa mtoto akalia ni hapo hapo unapaswa kupaangalia kwa karibu zaidi.

 

2. Kuna sehemu nyingine sio rahisi kuzigundua mara moja mpaka mtoto afikishe masaa sabini na mbili ambapo ni sawa na siku tatu, hapa kwa wamama waliowengi wanakuwa wameshauri nyumbani kwa hiyo mtoa huduma anapaswa kumwelekeza Mama namna ya kumwangalia mtoto wake na kuhakikisha kwamba ikiwa amepata shida arudishwe hospitalini mara moja.

 

3. Kuna sehemu nyingine kama zimevunjika kupona huwa zinatumia siku chache au nyingine siku nyingi kwa mfano kwenye sehemu ya kiuno utumia masaa sabini na mawili kupona na kwenye sehemu nyingine utmia wiki mbili au tatu.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2022/11/15/Tuesday - 06:06:33 am Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 1417

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
πŸ‘‰1 Kitabu cha Afya    πŸ‘‰2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    πŸ‘‰3 Bongolite - Game zone - Play free game    πŸ‘‰4 ai web app    πŸ‘‰5 Madrasa kiganjani    πŸ‘‰6 web hosting   

Post zinazofanana:

Kwa mjamzito kuumia wakati wa tendo la ndoa tatizo linaweza kuwa ni nini?

Je unaweza kunielezaKwa mjamzito kuumia wakati wa tendo la ndoa tatizo linaweza kuwa ni nini?

Soma Zaidi...
Siku za kupata ujauzito

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu siku za kupata ujauzito

Soma Zaidi...
Sabau za maumivu ya uume baada ya tendo la ndoa

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za maumivu ya uume baada ya tendo la ndoa

Soma Zaidi...
Jinsi mimba inavyotungwa na namna ambavyo jinsia ya mtoto inavyotokea

Posti hii hasa inahusu kasoro ,utatuzi,na jinsi ya kutunga mimba kwa upande wa mwanamke na mwanaumeΒ  .itatupelekea jinsi ya kuangalia kasoro na jinsi ya kutatua hizo kasoro katika jamii zetu.

Soma Zaidi...
Madhara ya sindano za kuzuia mimba kwa vijana.

Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea kwa sababu ya matumizi ya sindano za kuzuia mimba kwa vijana ambao hawajafikilia mpango wa kuanza kujifungua watoto.

Soma Zaidi...
Maumivu ya tumbo wakati wa tendo la ndoa

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za maumivu ya tumbo wakati wa tendo la ndoa

Soma Zaidi...
Je, mwanamke anapataje Ugonjwa wa Maambukizi ya mfumo wa Uzazi PID?

Posti hii inaelezea namna mwanamke anavyoweza kupata Ugonjwa wa Maambukizi ya mfumo wa Uzazi.

Soma Zaidi...
Napenda kuuliza mke wangu anamuda wa wiki moja . tumbo na maziwa vinauma je dalili hizo zinawekuwa ni ujauzito...?

Maumivu ya tumbo kwa mjamzito huweza kuanaa kuonekana mwanzoni kabisa mwaujauzito, ndani ya mwezi mmoja. Ikabidi si dalili pekee ya kuwa ni mjamzito.

Soma Zaidi...
tuseme nilifanya ngono jana na leo nipata period,je kuna uwezekano wa kupata mimba

Mimba inatungwa katika siku maalumu na hazizidi 10. Sio kila ukishiriki tendo unaweza pata mimba. Je unaweza kupata mimba baada ya kushiriki tendo wiki moja kabla ya kuingia hedhi?

Soma Zaidi...