picha

Njia za kugundua kama mtoto amevunjika baada ya kuzaliwa

Post hii inahusu zaidi njia mbalimbali ambazo mtoa huduma anaweza kuzitumia kuangalia kama mtoto amevunjika baada ya kuzaliwa.

Njia za kugundua kama mtoto amevunjika baada ya kuzaliwa.

1. Tunafahamu kabisa kwamba mtoto mdogo hawezi kujieleza chochote ila njia yake kuu ni kulia tu inawezekana kabisa mtoto kavunjika ila haujui kavunjika wapi kwa hiyo kitu cha kwanza kabisa ni kuangalia sehemu zote kuanzia kichwani hadi miguuni ili kuweza kujua kama mtoto yuko salama au kwa wakati mwingine unapaswa kugusa kiungo kimoja hadi kingine hasa hasa kama mtoto amepata shida wakati wa kuzaliwa hapo utaweza kugundua mapema kwa sababu utakapomgusa mtoto akalia ni hapo hapo unapaswa kupaangalia kwa karibu zaidi.

 

2. Kuna sehemu nyingine sio rahisi kuzigundua mara moja mpaka mtoto afikishe masaa sabini na mbili ambapo ni sawa na siku tatu, hapa kwa wamama waliowengi wanakuwa wameshauri nyumbani kwa hiyo mtoa huduma anapaswa kumwelekeza Mama namna ya kumwangalia mtoto wake na kuhakikisha kwamba ikiwa amepata shida arudishwe hospitalini mara moja.

 

3. Kuna sehemu nyingine kama zimevunjika kupona huwa zinatumia siku chache au nyingine siku nyingi kwa mfano kwenye sehemu ya kiuno utumia masaa sabini na mawili kupona na kwenye sehemu nyingine utmia wiki mbili au tatu.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2022/11/15/Tuesday - 06:06:33 am Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 1488

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 web hosting    👉4 Madrasa kiganjani    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 Dua za Mitume na Manabii   

Post zinazofanana:

Vyakula vya kuongeza hamu ya tendo la ndoa

Posti hii inahusu zaidi vyakula mbalimbali vya kuongeza tendo la ndoa, kwa kawaida kuna vyakula mbalimbali ambavyo watu ukitumia ili kuweza kuongeza tendo la ndoa vyakula hivyo ni kama tutakavyoona hapo baadaye

Soma Zaidi...
Sabau za maumivu ya uume baada ya tendo la ndoa

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za maumivu ya uume baada ya tendo la ndoa

Soma Zaidi...
VYAKULA VYA KUONGEZA HAMU YA TENDO LA NDOA NA NGUVU ZA KIUME

Matatizo yahusianayo na nguvu za kume na kukosa hamu ya tendo la ndoa kwahuweza kuchangiwa sana na mpangilio mbovu wa vyakula pamoja na saikolojia ya mtu.

Soma Zaidi...
Hatua za Kuzuia Maambukizi ya Uvimbe kwenye ovari na mirija ya uzazi

Posti hii inazungumzia kuhusiana na hatua za kujikinga na Maambukizi ya Uvimbe kwenye ovari na kwenye mirija ya uzazi

Soma Zaidi...
Dalili za ujauzito: Nini kinatokea kwanza

Je, unafahamu dalili za mwanzo za ujauzito? Kutoka kwa kichefuchefu hadi uchovu, ujue nini cha kutarajia.

Soma Zaidi...
Dalili za mimba kuanzia week mbili Hadi mwezi

Somo hili linakwenda kukueleza baadhi ya dalili za mimba kuanzia week mbili Hadi mwezi

Soma Zaidi...
Dalili za tezi dume na sababu za kutokea kwa tezi dume.

dalili za ugonjwa wa tezi dume, na sababu za kutokea kwa tezi dume, maana ya tezi dume na athari zake

Soma Zaidi...
Maumivu ya tumbo kabla ya kupata hedhi

Je unasumbuliwa na maumivu ya tumbo. Unadhani ni dalili za mimba na ukapima hakuna mimba.

Soma Zaidi...
Njia za kumsafisha Mama aliyetoa mimba.

Post hii inahusu njia safi za kumsafisha Mama ambaye ametoa mimba au mtoto amefia tumboni.

Soma Zaidi...
Vipimo muhimu wakati wa ujauzito

Post hii inahusu zaidi vipimo muhimu wakati wa ujauzito ni vipimo ambavyo vinapaswa kupimwa na Mama ili kuangalia mambo mbalimbali katika damu au sehemu yoyote, pia vipimo hivi umsaidia sana Mama kujua afya yake.

Soma Zaidi...