picha

Kondo la nyuma kuwa mbele ya mlango wa kizazi

Posti hii inahusu zaidi sababu za kondo la nyuma kuwa mbele ya mlango wa kizazi, kwa kawaida kondo la nyuma huwa nyuma ya mlango wa kizazi ila Kuna wakati kondo la nyuma ujishikisha mbele ya mlango wa kizazi.

Sababu za kondo la nyuma kuwa mbele ya mlango wa kizazi.

1. Kwanza kabisa tunapaswa kujua kuwa mtoto akija kuzaliwa utanguliza kichwa na kutoka kwenye tumbo la Mama ila Kuna wakati mwingine kondo la nyuma ndilo utangulia na kufuatia mtoto hii ni hatari kwa mtoto kwa Sababu hii kesi kama haijakutana na myaalamu wa kuzalisha mtoto anaweza kufia tumboni kwa hiyo ni vizuri kumtambua dalili na kumsaidia mama akaweza kujifungua salama.

 

2. Sababu ya kutanguliza kondo la nyuma badala ya mtoto pengine nikwa sababu ya kuwepo kwa maambukizi in kwenye mfuko wa kizazi kwa hiyo kondo la nyuma uweza kujishikisha sehemu ambayo Haina maambukizi na kusababisha kondo la nyuma kutangulia mapema wakati mtoto anapozaliwa.

 

3. Kuwepo kwa makovu kwenye mfuko wa uzazi.

Pengine kwenye mfuko wa kizazi panakuwepo na jeraha na jeraha hilo kwa wakati mwingine uwa kwenye sehemu ambayo kondo la nyuma linapasaw kujishikiza kwa hiyo ujishikiza sehemu yoyote ambayo ni tofauti na sehemu ya kawaida.

 

4. Kuwepo kwa upasuaji ambao umefanyika kabla ya mimba haijatungwa na yenyewe usababisha kuwepo kwa kitendo cha kondo la nyuma kujishikiza chini ya mlango wa kizazi na kusababisha madhara makubwa wakati wa kujifungua.

 

5.  Mwonekano wa tumbo la uzazi kutokuwa la kawa, Kuna wakati mwingine tunaweza kumwona mtu yupo anatembea na ameumbika kawaida kwa nje ila ukija kuangalia kwa ndani mfuko wa uzazi ni tofauti na wengine kwa kitaalamu huitwa abnormally of uterus, kwa hiyo kama hauko kawaida usababisha kondo la nyuma kujishikiza sehemu yoyote isiyokuwa ya kawaida na kusababisha kondo la nyuma kutangulia mtoto.

 

6. Kwa kawaida kuja kumtambua kuwa Mama ana tatizo hili ni kufuatana na ujuzi wa muuguzi kwa sababu Mama anakuwa na uchungu kawaida na sifa zote za kujifungua ila shida kilichotangulia ndicho hakieleweki, kwa hiyo hali hii ikigundulika ni vizuri kumpeleka mama hospital Ili kuweza kumsaidia zaidi maana kama hakuna huduma mtoto anaweza kufia tumboni

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Uzazi Main: Post File: Download PDF Views 4358

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio     👉2 Kitabu cha Afya     👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉4 Bongolite - Game zone - Play free game     👉5 Madrasa kiganjani     👉6 kitabu cha Simulizi    

Post zinazofanana:

Upungufu wa homoni ya estrogen

Posti hii inahusu zaidi upungufu wa homoni ya estrogen na dalili zake, aina hii ya homoni ikipungua mwilini uleta madhara na matatizo mbalimbali kwenye mwili.

Soma Zaidi...
Sababu za kutokea uvimbe kwenye kizazi.

Posti hii inahusu zaidi sababu za kuwepo kwa uvimbe kwenye kizazi,kwa kawaida tumesikia akina mama wengi wanalalamika kuhusu kuwepo kwa uvimbe kwenye kizazi na wengine hawajui sababu zake kwa hiyo sababu zifuatazo ni za kuwepo kwa uvimbe kwenye kizazi.

Soma Zaidi...
Namna ya kutunza joto la mtoto mara tu baada ya kuzaliwa.

Posti hii inahusu zaidi njia ambazo zinaweza kutumika ili kuweza kutunza joto la mtoto mara tu anapozaliwa,tunajuwa wazi kuwa Mama anaweza kujifungulia sehemu yoyote ile kabla hajafika hospitalini kwa hiyo mtoto anapaswa kuwa na joto la mwili la kutosha i

Soma Zaidi...
Sababu za kupata hedhi zaidi ya mara moja kwa mwezi mmoja

Posti hii inahusu zaidi sababu za kuwepo kwa hedhi zaidi ya mara moja kwa mwezi mmoja, mara nyingi kuna Watu ambao huwa wanalalamika kwa sababu ya kupata hedhi za mara kwa mara kwa mwezi mmoja.

Soma Zaidi...
NAMNA YA KUITAMBUA SIKU HATARI YA KUPATA MIMBA (UJAUZITO)

SIKU YA KUPATA UJAUZITO Mimba hutokea pindi mbegu ya kiume (sperm) inapokutana na yai la mwanamke (ova) na kuungana kwa pamoja kutengeneza selli moja iitwayo zygote.

Soma Zaidi...
Madhara ya vidonge vya P2

Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea kwa sababu ya kutumia mara kwa mara vidonge vya P2,

Soma Zaidi...