Post hii inahusu zaidi watoto mapacha wanaofanana,ni watoto wanaozaliwa wakiwa wanaofanana kwa sura na hata group la damu huwa ni Moja.
Mapacha wanaofanana.
Ni mapacha ambao uzaliwa kutokana na yai Moja,kwa kwaida tunafahamu kwamba yai likitoka urutubishwa na mbegu na baadae mtoto anaweza kuzaliwa,ila Kuna Kipindi ambapo yai Moja likitolewa mbegu urutubishwa na baadae yai hilo upasuka na kutoa mtoto Zaidi ya mmoja na watoto hao kwa kawaida kwenye sehemu Moja na makuzi yao huwa ni kwa pamoja,kwa hiyo watoto hao ufanana sana kwa sura na pia huwa na kundi Moja la damu na wakati mwingine ni vigumu kuwatofatisha.
Kwa hiyo hawa watoto mapacha wanaofanana hawatokani na sababu za urithi kwa kuthani kwamba kama ukoo Fulani una mapacha wanaofanana ni lazima na watoto wengine kwenye ukoo huo huo kupata watoto mapacha wanaofanana,ila kwa mapacha wasiofanana inawezekana kwa hiyo ni mambo ya kibiologia na sio sababu za ki urithi,kwa hiyo watu wanapaswa kupata elimu kwa sababu Kuna watu wanatumia mbinu Ili kuweza kupata mapacha wanaofanana.
Kuna hadithi au simulizi mbalimbali ambazo usemwa na watu mbalimbali kuhusu mapacha wanaofanana kwamba akiugua mmoja na mwingine anaugua hata kama wako sehemu tofauti, kwa hiyo hii haijafanyiwa utafiti kuona kama ni kweli au vipi. Kwa hiyo kwa wale ambao wanapigana na kutumia mbinu mbalimbali Ili kuweza kupata mapacha wanaofanana ni vigumu kwa sababu wengine wanatumia hata na dawa mbalimbali Ili kupata mapacha wanaofanana ila kwa wasiofanana inawezekana,lakini kwa wanaofanana kwa kutumia dawa ni vigumu.
Kwa hiyo jamii inapaswa kuelimishwa na kuachana na matumizi ya dawa mbalimbali ambazo usadiki kwamba ukizitumia utapata mapacha wanaofanana.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inaelezea ugonjwa wa kisukari wakati mama akiwa mjamzito.na yafuatayo ni Mambo hatari yanayotokea wakati Mama akiwa na ujauzito.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi faida za uzazi wa mpango kwa watu waliopata maambukizi ya ugonjwa wa Ukimwi, ni faida wanazozipata waathirika wa ugonjwa wa Ukimwi.
Soma Zaidi...Maumivu yavtumbo huwenda yakachanganya sana, Keane yanahusianana sababu nyingi sana. Kina baadhi ya watu hupata na maumivu ya tumbo wakati wa tendo la ndoa ama punde tu baada ya kumaliza.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo mtu anaweza kupata ikiwa mwili utaeweza kutengeneza progesterone ya kutosha.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi kazi za homoni katika Mzunguko wa hedhi, katika kipindi hiki kuna homoni mbalimbali ambazo ufanya kazi kama tutakavyoona.
Soma Zaidi...Posti hii inakwenda kukueleza jinsi ya kuwjuwa kama mtoto ni wa kike ama wa kiume.
Soma Zaidi...Post hii itakwenda kuangalia madhara ya tumbaku na sigara anayoweza kuyapata mvutaji
Soma Zaidi...Mimba inatungwa katika siku maalumu na hazizidi 10. Sio kila ukishiriki tendo unaweza pata mimba. Je unaweza kupata mimba baada ya kushiriki tendo wiki moja kabla ya kuingia hedhi?
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi mambo muhimu ambayo tunapaswa kujua au kufahamu kuhusu mbegu za kiume, kwa kuwa mbegu za kiume usaidia katika utungaji wa mimba kwa hiyo ni vizuri kabisa kuzitunza Ili kuweza kuepuka matatizo mbalimbali ambayo yanaweza kutokea kwa s
Soma Zaidi...