image

Fahamu kuhusu mapacha wanaofanana

Post hii inahusu zaidi watoto mapacha wanaofanana,ni watoto wanaozaliwa wakiwa wanaofanana kwa sura na hata group la damu huwa ni Moja.

Mapacha wanaofanana.

Ni mapacha ambao uzaliwa kutokana na yai Moja,kwa kwaida tunafahamu kwamba yai likitoka urutubishwa na mbegu na baadae mtoto anaweza kuzaliwa,ila Kuna Kipindi ambapo yai Moja likitolewa mbegu urutubishwa na baadae yai hilo upasuka na kutoa mtoto Zaidi ya mmoja na watoto hao kwa kawaida kwenye sehemu Moja na makuzi yao huwa ni kwa pamoja,kwa hiyo watoto hao ufanana sana kwa sura na pia huwa na kundi Moja la damu na wakati mwingine ni vigumu kuwatofatisha.

 

Kwa hiyo hawa watoto mapacha wanaofanana hawatokani na sababu za urithi kwa kuthani kwamba kama ukoo Fulani una mapacha wanaofanana ni lazima na watoto wengine kwenye ukoo huo huo kupata watoto mapacha wanaofanana,ila kwa mapacha wasiofanana inawezekana kwa hiyo ni mambo ya kibiologia na sio sababu za ki urithi,kwa hiyo watu wanapaswa kupata elimu kwa sababu Kuna watu wanatumia mbinu Ili kuweza kupata mapacha wanaofanana.

 

Kuna hadithi au simulizi mbalimbali ambazo usemwa na watu mbalimbali kuhusu mapacha wanaofanana kwamba akiugua mmoja na mwingine anaugua hata kama wako sehemu tofauti, kwa hiyo hii haijafanyiwa utafiti kuona kama ni kweli au vipi. Kwa hiyo kwa wale ambao wanapigana na kutumia mbinu mbalimbali Ili kuweza kupata mapacha wanaofanana ni vigumu kwa sababu wengine wanatumia hata na dawa mbalimbali Ili kupata mapacha wanaofanana ila kwa wasiofanana inawezekana,lakini kwa wanaofanana kwa kutumia dawa ni vigumu.

 

Kwa hiyo jamii inapaswa kuelimishwa na kuachana na matumizi ya dawa mbalimbali ambazo usadiki kwamba ukizitumia utapata mapacha wanaofanana.





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 734


Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya     👉2 kitabu cha Simulizi     👉3 Madrasa kiganjani     👉4 Kitau cha Fiqh    

Post zifazofanana:-

Mimba iliyotunga nje
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu mimba iliyotunga nje na madhara yake kiafya Soma Zaidi...

Madhara ya kutoka kwa mimba
Post hii inahusu zaidi madhara ya kutoka kwa mimba, kwa kawaida tunafahamu kwamba mimba ikitungwa na mwili mzima huwa na wajibu wa kutunza kilichotungwa kwa hiyo ikitokea mimba ikatoka usababisha madhara yafuatayo. Soma Zaidi...

Tatizo la kutokwa na majimaji kwenye uume.
Posti hii inahusu zaidi tatizo la kutokwa na majimaji kwenye uume, ni tatizo ambalo uwakumba baadhi ya wanaume kwa sababu mbalimbali na pia Ugonjwa huu unatibika hasa kwa wale wanaowahi kupata matibabu. Soma Zaidi...

Mbinu za kuwakinga watoto na saratani.
Posti hii inahusu zaidi mbinu ambazo tunaweza kuzitumia ili kuwakinga watoto dhidi ya saratani, kama tulivyotangulia kusema kwamba saratani ya watoto mara nyingi Usababishwa na akina Mama hasa kwa sababu ya mtindo wa maisha wakati wa ujauzito kwa hiyo tun Soma Zaidi...

Vipimo muhimu kabla ya kubeba mimba
Posti hii inahusu zaidi vipimo muhimu kabla ya kubeba mimba,ni vipimo vya moja kwa moja kutoka maabara na vingine sio vya maabara. Soma Zaidi...

Endapo nina dalili za mimba na nikipima sina mimba, je, tatizo ni nini?
dalili za mimba zinaweza kuwa na mkanganyiko kwani zinafanana na shida nyingine za kiafya. Hali hii utaigunduwa endapo utakuwa na dalili za mimba lakini kila ukipima hakuna mimba. Soma Zaidi...

Mimba huonekana katka mkojo baada ya muda gan tangu itungwe
Kipimo cha mimba kwa mkojo kimekuwa kikitumika sana kuangalia ujauzito. Kipimo hiki kinapotumika vibaya kinaweza kukupa majibu ya uongo. Kuwa makini na ujue muda sahihi. Soma Zaidi...

Sababu za mfuko wa kizazi kushindwa kisinyaa.
Posti hii inahusu zaidi sababu za mfuko wa kizazi kushindwa kisinyaa, ni sababu ambazo utokea kwa akina Mama wengi kadri ya wataalamu wametafuta asilimia kuwa asilimia sabini ya wanawake mifuko yao ya kizazi kushindwa kisinyaa. Soma Zaidi...

Nna mimba ya miez miezi mitano 5 naruhusiwa kula papai kwa wing
Miongoni mwa matunda yenye virutubisho vingi ni pamoja na papai, nanasi, tikiti, palachichi, pera, karoti, hindi na boga. Lakini katika matunda haya yapo ambayo kwa mimba changa anatakiwa awe makini, kama papai na nanasi. Sasa vipi kuhusu mimba ya Soma Zaidi...

mimi mara ya mwisho kubleed ilikuwa tareh 3/9 nilisex tarehe 4 je ni kwel nna mimba maana hadi sasa sijableed au ni kawaida tu
Je unaijuwa siku yako hatari ya kupata mimba. Na itakuwaje kama tayari umebeba mimba changa. Nakala hii inakwenda kukushauri machache kuhusu maswali haya. Soma Zaidi...

Sababu za maumivu wakati wa tendo la ndoa
Kama unapata maumivu wakati wa tendo la ndoa, suluhisho lako lipo kwenye makala hii Soma Zaidi...

Fahamu siku za kubeba mimba na zisizo za kubeba mimba.
Posti hii inahusu zaidi siku za kubeba mimba na zisizo za kubeba mimba , tunapaswa kujua hivi Ili kuweza kupanga uzazi na kuepuka njia ambazo ni hatarishi kwa afya zetu. Soma Zaidi...