picha

Fahamu kuhusu mapacha wanaofanana

Post hii inahusu zaidi watoto mapacha wanaofanana,ni watoto wanaozaliwa wakiwa wanaofanana kwa sura na hata group la damu huwa ni Moja.

Mapacha wanaofanana.

Ni mapacha ambao uzaliwa kutokana na yai Moja,kwa kwaida tunafahamu kwamba yai likitoka urutubishwa na mbegu na baadae mtoto anaweza kuzaliwa,ila Kuna Kipindi ambapo yai Moja likitolewa mbegu urutubishwa na baadae yai hilo upasuka na kutoa mtoto Zaidi ya mmoja na watoto hao kwa kawaida kwenye sehemu Moja na makuzi yao huwa ni kwa pamoja,kwa hiyo watoto hao ufanana sana kwa sura na pia huwa na kundi Moja la damu na wakati mwingine ni vigumu kuwatofatisha.

 

Kwa hiyo hawa watoto mapacha wanaofanana hawatokani na sababu za urithi kwa kuthani kwamba kama ukoo Fulani una mapacha wanaofanana ni lazima na watoto wengine kwenye ukoo huo huo kupata watoto mapacha wanaofanana,ila kwa mapacha wasiofanana inawezekana kwa hiyo ni mambo ya kibiologia na sio sababu za ki urithi,kwa hiyo watu wanapaswa kupata elimu kwa sababu Kuna watu wanatumia mbinu Ili kuweza kupata mapacha wanaofanana.

 

Kuna hadithi au simulizi mbalimbali ambazo usemwa na watu mbalimbali kuhusu mapacha wanaofanana kwamba akiugua mmoja na mwingine anaugua hata kama wako sehemu tofauti, kwa hiyo hii haijafanyiwa utafiti kuona kama ni kweli au vipi. Kwa hiyo kwa wale ambao wanapigana na kutumia mbinu mbalimbali Ili kuweza kupata mapacha wanaofanana ni vigumu kwa sababu wengine wanatumia hata na dawa mbalimbali Ili kupata mapacha wanaofanana ila kwa wasiofanana inawezekana,lakini kwa wanaofanana kwa kutumia dawa ni vigumu.

 

Kwa hiyo jamii inapaswa kuelimishwa na kuachana na matumizi ya dawa mbalimbali ambazo usadiki kwamba ukizitumia utapata mapacha wanaofanana.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2023/03/28/Tuesday - 08:52:27 am Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 2310

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 web hosting    👉2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉3 Dua za Mitume na Manabii    👉4 Madrasa kiganjani    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

Dalili za uvimbe kwenye kizazi

Posti hii inahusu zaidi Dalili za uvimbe kwenye kizazi,hizi ni Dalili ambazo ujitokeza kwa akina mama ambao wana uvimbe kwenye kizazi kwa hiyo endapo mama ameona Dalili kama hizi anapaswa kuwahi hospitali mara moja kwa uangalizi zaidi.

Soma Zaidi...
Sababu za kutangulia kwa kitovu wakati Mtoto anazaliwa

Posti hii inahusu zaidi sababu za kutangulia kwa kitovu wakati wa mtoto anapozaliwa.

Soma Zaidi...
Umuhimu wa kumpeleka mtoto kliniki

Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kumpeleka mtoto kliniki, kliniki nisehemu ambayo mtoto hupelekwa Ili kujua maendeleo ya mtoto akiwa chini ya umri wa miaka mitano

Soma Zaidi...
Fahamu mtoto aliyetanguliza matako wakati wa kuzaliwa

Posti hii inahusu zaidi mtoto aliyetanguliza matako wakati wa kuzaliwa, kwa kawaida tunajua kwamba mtoto wakati wa kuzaliwa ni lazima atangulize kichwa ila Kuna kipindi mtoto anatanguliza matako, kuna aina nne za mtoto kutanguliza matako.

Soma Zaidi...
SIKU HATARI ZA KUPATA UJAUZITO KWA MWENYE MZUNGURUKO WA SIKU KIDONGO AU NYUNGI

SIKU YA KUPATA UJAUZITO Kawaida wanawake walio wengi mzunguruko wa siku zao ni siku 28 lakini wapo ambao ni zaidi ya hapo na wapo ambao ni chini ya hapo.

Soma Zaidi...
Je matiti kujaa na chuchu kuuma inakua ni dalili za hedhi?

Kuunda na kujaa kwa matiti ni miongoni mwa dalili za ujauzito lakini pia ni dalili za kukaribia hedhi kwa baadhi ya wanawake. Posti hii itakwenda kufafanuabutofauti wa dalili hizi na kipi ni sahihibkatibya hedhi ama ujauzito.

Soma Zaidi...
SABABU ZA KUKOSA NGUVU ZA KIUME AMA KUWA NA UWEZO MDOGO WA KUHIMILI TENDO LA NDOA

Hii ni hali inayowapata wanaume kushindwa kuhimili tendo la ndoa.

Soma Zaidi...
Nimetoka kufanya tendo la ndoa ghafla tumbo likaanza kukaza upande wa kushoto na kutoka maji yenye uzito wa kawaida kama ute mengi je hii itakuwa ni nini

Maumivu yavtumbo huwenda yakachanganya sana, Keane yanahusianana sababu nyingi sana. Kina baadhi ya watu hupata na maumivu ya tumbo wakati wa tendo la ndoa ama punde tu baada ya kumaliza.

Soma Zaidi...
Kushiriki tendo la ndoa wakati wa ujauzito

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu kushiriki tendo la ndoa wakati wa ujauzito faida na hasara zake

Soma Zaidi...
Mambo muhimu kuhusu mbegu za kiume

Post hii inahusu zaidi mambo muhimu ambayo tunapaswa kujua au kufahamu kuhusu mbegu za kiume, kwa kuwa mbegu za kiume usaidia katika utungaji wa mimba kwa hiyo ni vizuri kabisa kuzitunza Ili kuweza kuepuka matatizo mbalimbali ambayo yanaweza kutokea kwa s

Soma Zaidi...