Post hii inahusu zaidi watoto mapacha wanaofanana,ni watoto wanaozaliwa wakiwa wanaofanana kwa sura na hata group la damu huwa ni Moja.
Mapacha wanaofanana.
Ni mapacha ambao uzaliwa kutokana na yai Moja,kwa kwaida tunafahamu kwamba yai likitoka urutubishwa na mbegu na baadae mtoto anaweza kuzaliwa,ila Kuna Kipindi ambapo yai Moja likitolewa mbegu urutubishwa na baadae yai hilo upasuka na kutoa mtoto Zaidi ya mmoja na watoto hao kwa kawaida kwenye sehemu Moja na makuzi yao huwa ni kwa pamoja,kwa hiyo watoto hao ufanana sana kwa sura na pia huwa na kundi Moja la damu na wakati mwingine ni vigumu kuwatofatisha.
Kwa hiyo hawa watoto mapacha wanaofanana hawatokani na sababu za urithi kwa kuthani kwamba kama ukoo Fulani una mapacha wanaofanana ni lazima na watoto wengine kwenye ukoo huo huo kupata watoto mapacha wanaofanana,ila kwa mapacha wasiofanana inawezekana kwa hiyo ni mambo ya kibiologia na sio sababu za ki urithi,kwa hiyo watu wanapaswa kupata elimu kwa sababu Kuna watu wanatumia mbinu Ili kuweza kupata mapacha wanaofanana.
Kuna hadithi au simulizi mbalimbali ambazo usemwa na watu mbalimbali kuhusu mapacha wanaofanana kwamba akiugua mmoja na mwingine anaugua hata kama wako sehemu tofauti, kwa hiyo hii haijafanyiwa utafiti kuona kama ni kweli au vipi. Kwa hiyo kwa wale ambao wanapigana na kutumia mbinu mbalimbali Ili kuweza kupata mapacha wanaofanana ni vigumu kwa sababu wengine wanatumia hata na dawa mbalimbali Ili kupata mapacha wanaofanana ila kwa wasiofanana inawezekana,lakini kwa wanaofanana kwa kutumia dawa ni vigumu.
Kwa hiyo jamii inapaswa kuelimishwa na kuachana na matumizi ya dawa mbalimbali ambazo usadiki kwamba ukizitumia utapata mapacha wanaofanana.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi sababu za kukosa Ute wakati wa tendo la ndoa,ni Dalili ya kuwepo kwa kiwango kikubwa cha estrogen kwenye mwili ukilinganisha na homoni ya projestoren.
Soma Zaidi...Utajifunza dalili za minyoo, sababu za minyoo na namna ya kujiepusha na minyoo. Dalili kuu 5 za minyoo mwilini
Soma Zaidi...Swali langu ni hili doktaJe siku sahihi yakufanya tendo la ndoa niipi ukipata siku zake za hatari?
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi wajibu wa Mama mjamzito katika kileo mimba sio yeye tu Bali na wote waliomzunguka wanapaswa kuhakikisha kuwa mama mjamzito anapaswa kufanyiwa huduma zote Ili kuweza kujifungua salama na bila shida yoyote.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi changamoto ya tendo la ndoa kwa wanaume,wanaume wamekuwa wakipata changamoto ya tendo la ndoa na kuwafanya kushindwa kujiamini na kukosa kabisa raha kwenye maisha yao
Soma Zaidi...Posti hii inahusu namna unavyoweza kumtambua mtoto mwenye Ugonjwa wa Nimonia na tiba anayopaswa kupata mtoto mwenye Nimonia
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi umuhimu wa maji yaliyomo kwenye mfuko wa mtoto akiwa tumboni. Ni maji ambayo kwa kitaalamu huitwa (Amniotic fluid)
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu za mimba ya miezi kuanzia minne mpaka sita kutoka , Kuna kipindi mimba kuanzia miezi mimne mpaka sita utoka kwa sababu mbalimbali.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mabaka yanayowasha chini ya matiti, ni ugonjwa ambao uwapata wanawake walio wengi na wengine hawajapata jibu Sababu zake ni zipi na pengine uchukua hatua za kutumia miti shamba wakidai juwa hospitalini nugonjwa huu hautibiwa, ila n
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za mwanzo za ujauzito katika wiki ya kwanza
Soma Zaidi...