CHANGAMOTO ZA KWENYE NDOA KWA WALIOTOA MIMBA MARA KWA MARA


image


Posti hii inahusu zaidi changamoto za kwenye ndoa kwa wale waliotoa mimba mara Kwa mara,hizi ni changamoto za wakati wa kufanya tendo na mme wake au mtu mwingine kwa ajili ya kupata mtoto.


Changamoto za kwenye ndoa kwa wale waliotoa mimba mara Kwa mara.

1. Kwanza kabisa tunapaswa kujua kuwa wale waliotoa mimba mara Kuna kipindi wakati wakiwa tayari kwenye maisha yao na kutaka kuanza maisha Kuna mambo ambayo wanakutana nayo katika tendo la ndoa changamoto hizo ni kama zifuatazo.

.

2. Uke kuwa mkavu.

Kwa wale waliotoa mimba mara Kwa mara Kuna uwezekano wa uke kuwa mkavu hii inawezekana kwa sababu mbalimbali au ni kwa sababu ya kuwepo kwa maambukizi kwa sababu ya kutembea na waume wengi au pengine ni kwa sababu ya matumizi ya madawa mbalimbali yenye kemikali yanayoingizwa kwenye uke kwa sababu ya kutoa mimba , kwa hiyo mama hawezi kufurahia tendo kwa sababu ya kuwepo kwa uke mkavu na pia mwanaume anaweza kutoka nje ya ndoa kwa sababu ya kukutana na ukavu kila siku.

 

3. Kuwepo kwa hali ya kupungua kwa hamu ya kushiriki tendo la ndoa.

Kwa Sababu kwenye uke Kuna ukavu na pia wakati wa tendo la ndoa ni lazima kunakuwepo na maumivu makali sana kwa hiyo inakuwa vigumu sana na pia mama au dada anakosa hamu ya kushiriki tendo la ndoa hali inayopelekea kuwepo kwa kutoelewana katika familia na vile vile usababisha mwanaume kutoka nje ya ndoa hali inayopelekea kuwepo kwa magonjwa mbalimbali kwenye familia , yaani kama vile kisonono, kaswende na magonjwa mbalimbali ya ngono kwa sababu ya kutoka nje ya ndoa.

 

4. Kwa mara nyingine kunakuwepo na hali ya kushindwa kufika kileleni na pia na kuwepo kwa maumivu wakati wa tendo la ndoa, kwa hiyo ni vizuri kabisa kwa akina dada kuwa makini katika maandalizi ya kuwa Mama kwa sababu kitendo cha siku Moja usababisha matatizo ya kudumu kwa hiyo ni vizuri kabisa walau kitumia niia za uzazi wa mpango kuliko kutumia ngono zembe na kusababisha kujiletea matatizo mbalimbali na kuweza kupata shida na masikitiko maisha Yako yote.



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Jifunze fiqh       ðŸ‘‰    2 Magonjwa na afya       ðŸ‘‰    3 Mafunzo ya html kwa kiswahili       ðŸ‘‰    4 Hadiythi za alif lela u lela       ðŸ‘‰    5 Madrasa kiganjani       ðŸ‘‰    6 Mafunzo ya php    


Je! una maswali, mapendekezo ama maoni? tuma ujumbe wa meseji SMS hapo chini ili kuunganishwa na muhusika au bofya hapa

SMS SMS



Post Nyingine


image Fahamu kuhusu michubuko kwa watoto wakati wa kuzaliwa
Post hii inahusu zaidi michubuko ambayo mara nyingi utokea kwa watoto wakati wa kuzaliwa,na mara nyingi uweza kupona baada ya masaa ishilini na manne au ndani ya masaa ishilini na manne. Soma Zaidi...

image dawa ya kutibu infection kwenye kizazi nisaidie doctor
Je unasumbuliwa na maambukizi na mashambulizi ya virusi na bakteria kwenye sehemu za siri ama via vya uzazi?. Posti hii inakwenda kuupa ushauri. Soma Zaidi...

image Njia za kuongeza nguvu za kiume
Somo hili linakwenda kukueleza njia za kuongeza nguvu za kiume Soma Zaidi...

image Madhara kwa wasiofanya mazoezi
Posti hii inahusu zaidi madhara mbalimbali ambayo yanaweza kutokea kwa watu wasiofanya mazoezi, mazoezi ni kama tiba kwa namna Moja au nyingine ila Kuna madhara ambayo yanaweza kutokea kwa wale ambao hawafanyi mazoezi. Soma Zaidi...

image Dalili za mimba ya watoto mapacha
Makala hii itakwenda kukupa dalili ambazo zinaonyesha kuwa mimba ni ya mapacha. Dalili hizi zitahitajika kuthibitishwa na kipimo cha daktari ili kujuwa kuwa ni kweli. Soma Zaidi...

image Njia za kuondoa fangasi sehemu za siri
Makala hii itakujuza baadhi ya njia utakaoweza kuzifuata ili kukabiliana na fangasi sehemu za siri kwa wanaume Soma Zaidi...

image Ay ni iv kipimo cha mimb uanz kutoa majb ndan ya mda gan wik mwez au iko vipi?
Kipimo cha Mlimba huweza kuonyesha mimba changa mapema sana. Pia ni rahisi kutumia na kinapatikana kwa bei nafuu. Je ungeoendavkujuwa ni muda gani kinatoa majibu sahihi? Soma Zaidi...

image Dalili za mimba kuanzia siku 7 Hadi 14
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za mimba kuanzia siku ya 7 Hadi ya 14 Soma Zaidi...

image Je tumbo huanza kukua baada ya mda gan?
Ni Swali kila mjamzito anataka kujiuliza hasa akiwa katika mimba ya kwanza. Wengine wanataka kujuwa ni muda gani anujuwe mavazi makubwa. Kama na wewe unataka kujuwa muda ambao tumbo huwa kubwa, endelea kusoma. Soma Zaidi...

image UUME KUWASHA
Post yetu imebeba mada inayohusiana na wanaume wanaowashwa Uume embu tuone dalili zinazopelekea kuwashwa kwa penis. Uume(penis) ni party ya mwanaume ya sehemu za siri.pia wanaume ambao hawajatahiriwa(unsircumside) kwasababu Ile ngozi ya juu husababishwa kupata magonjwa kwa haraka Kama vile phimosis, paraphimosis, Epididymitis na mengineyo mengi .', ' Soma Zaidi...