image

Changamoto za kwenye ndoa kwa waliotoa mimba mara Kwa mara

Posti hii inahusu zaidi changamoto za kwenye ndoa kwa wale waliotoa mimba mara Kwa mara,hizi ni changamoto za wakati wa kufanya tendo na mme wake au mtu mwingine kwa ajili ya kupata mtoto.

Changamoto za kwenye ndoa kwa wale waliotoa mimba mara Kwa mara.

1. Kwanza kabisa tunapaswa kujua kuwa wale waliotoa mimba mara Kuna kipindi wakati wakiwa tayari kwenye maisha yao na kutaka kuanza maisha Kuna mambo ambayo wanakutana nayo katika tendo la ndoa changamoto hizo ni kama zifuatazo.

.

2. Uke kuwa mkavu.

Kwa wale waliotoa mimba mara Kwa mara Kuna uwezekano wa uke kuwa mkavu hii inawezekana kwa sababu mbalimbali au ni kwa sababu ya kuwepo kwa maambukizi kwa sababu ya kutembea na waume wengi au pengine ni kwa sababu ya matumizi ya madawa mbalimbali yenye kemikali yanayoingizwa kwenye uke kwa sababu ya kutoa mimba , kwa hiyo mama hawezi kufurahia tendo kwa sababu ya kuwepo kwa uke mkavu na pia mwanaume anaweza kutoka nje ya ndoa kwa sababu ya kukutana na ukavu kila siku.

 

3. Kuwepo kwa hali ya kupungua kwa hamu ya kushiriki tendo la ndoa.

Kwa Sababu kwenye uke Kuna ukavu na pia wakati wa tendo la ndoa ni lazima kunakuwepo na maumivu makali sana kwa hiyo inakuwa vigumu sana na pia mama au dada anakosa hamu ya kushiriki tendo la ndoa hali inayopelekea kuwepo kwa kutoelewana katika familia na vile vile usababisha mwanaume kutoka nje ya ndoa hali inayopelekea kuwepo kwa magonjwa mbalimbali kwenye familia , yaani kama vile kisonono, kaswende na magonjwa mbalimbali ya ngono kwa sababu ya kutoka nje ya ndoa.

 

4. Kwa mara nyingine kunakuwepo na hali ya kushindwa kufika kileleni na pia na kuwepo kwa maumivu wakati wa tendo la ndoa, kwa hiyo ni vizuri kabisa kwa akina dada kuwa makini katika maandalizi ya kuwa Mama kwa sababu kitendo cha siku Moja usababisha matatizo ya kudumu kwa hiyo ni vizuri kabisa walau kitumia niia za uzazi wa mpango kuliko kutumia ngono zembe na kusababisha kujiletea matatizo mbalimbali na kuweza kupata shida na masikitiko maisha Yako yote.





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1080


Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 Kitabu cha Afya     👉3 kitabu cha Simulizi     👉4 Madrasa kiganjani    

Post zifazofanana:-

mimi mara ya mwisho kubleed ilikuwa tareh 3/9 nilisex tarehe 4 je ni kwel nna mimba maana hadi sasa sijableed au ni kawaida tu
Je unaijuwa siku yako hatari ya kupata mimba. Na itakuwaje kama tayari umebeba mimba changa. Nakala hii inakwenda kukushauri machache kuhusu maswali haya. Soma Zaidi...

Madhara ya tumbaku na sigara
Post hii itakwenda kuangalia madhara ya tumbaku na sigara anayoweza kuyapata mvutaji Soma Zaidi...

Nini husababisha korodani moja kuwa kubwa kuliko nyingine
kama pumbu moja ni kubwa uliko jingine post hii ni kwa ajili yako. Hapa tutakwend akuangalia vinavyoweza kusababisha korodani moja kuw akubwa zaidi ya lingine Soma Zaidi...

Zijue Dalili za hatari kwa Mama mjamzito
Posti hii inahusu zaidi dalili za hatari kwa Mama mjamzito, ni Dalili ambazo ujitokeza kwa Mama mjamzito, hizi Dalili zisipofanyiwa kazi mapema zinaweza kuleta shida kwa Mama kwa hiyo jamii nzima inapaswa kujua Dalili hizi na kuchukua hatua endapo zitajio Soma Zaidi...

Nahitaji kufaham siku ya kumpatia mimba make wangu, yeye hedhi yake ilianza talehe22
Je na wewe ni moja kati ya wake ambao wanahitajivkujuwa siku za kupata mimba. Ama siku za competes mwanamke mimba. Post hii ni kwa ajili yako. Soma Zaidi...

Dalili ya mimba ya wiki moja(1)
Mwanaume na mwanamke wanapo kutana na kujamiina kama mwanamke yupo kwenye ferlile process ni rahisi kupata mbimba. Sparm Zaid ya million moja huingia kwenye mfuko wa lakin sparm moja ndio huweza kuingia kwenye ovum(yai)lakin nyingine hubaki kwenye follopi Soma Zaidi...

Kwa mjamzito kuumia wakati wa tendo la ndoa tatizo linaweza kuwa ni nini?
Je unaweza kunielezaKwa mjamzito kuumia wakati wa tendo la ndoa tatizo linaweza kuwa ni nini? Soma Zaidi...

Kutokwa maji yan seminal swhemu za siri kwa mwanamke nidalili ya ugojwa gan?
Kutokwa Majimaji sehemu za siri kwa mwanamke sio jambo la kushangaza na kuhisivunaumwa. Majimajivhaya ndio huboresha afya ya uzazi kwa kusafisha na kulinda via vya uzazi. Lakini majimajivhaya yakiwa mengi, ama yanawasha ama yanaharufu haa ndipo kwenye tat Soma Zaidi...

Mishipa ya machozi kufunga kwa mtoto.
Posti inahusu nzaidi kufunga kwa mishipa ya machozi ya mtoto kwa kawaida mishipa ya mtoto inapaswa kufunguka baada ya mwaka mmoja lakini kwa wengine ubaki imefungwa hata baada ya mwaka mmoja na kusababisha madhara mbalimbali kwa mtoto. Soma Zaidi...

Yajue mazoezi ya kegel
Posti inahusu zaidi mazoezi ya kegel, ni mazoezi ambayo ufanywa na watu wengi na sehemu yoyote yanaweza kufanywa kama vile chumbani, sebuleni, uwanjani na sehemu yoyote ile na kwa watu tofauti. Soma Zaidi...

Kwa nini hujapata siku zako za hedhi.
Unaweza kupitiliza siku zako za hedhi kwa sababu nyingi. Post hii itakueleza ni kwa nini umechelewa kupata siku zako. Soma Zaidi...

Dalili za Utasa wa wanaume
Posti hii inazungumzia kuhusiana na Utasa wa Mwanaume hutokana na uzalishaji mdogo wa mbegu za kiume, utendakazi usio wa kawaida wa manii au kuziba kwa manii ambayo huzuia utoaji wa mbegu za kiume. Magonjwa, majeraha, matatizo ya kiafya sugu, u Soma Zaidi...