Changamoto za kwenye ndoa kwa waliotoa mimba mara Kwa mara

Posti hii inahusu zaidi changamoto za kwenye ndoa kwa wale waliotoa mimba mara Kwa mara,hizi ni changamoto za wakati wa kufanya tendo na mme wake au mtu mwingine kwa ajili ya kupata mtoto.

Changamoto za kwenye ndoa kwa wale waliotoa mimba mara Kwa mara.

1. Kwanza kabisa tunapaswa kujua kuwa wale waliotoa mimba mara Kuna kipindi wakati wakiwa tayari kwenye maisha yao na kutaka kuanza maisha Kuna mambo ambayo wanakutana nayo katika tendo la ndoa changamoto hizo ni kama zifuatazo.

.

2. Uke kuwa mkavu.

Kwa wale waliotoa mimba mara Kwa mara Kuna uwezekano wa uke kuwa mkavu hii inawezekana kwa sababu mbalimbali au ni kwa sababu ya kuwepo kwa maambukizi kwa sababu ya kutembea na waume wengi au pengine ni kwa sababu ya matumizi ya madawa mbalimbali yenye kemikali yanayoingizwa kwenye uke kwa sababu ya kutoa mimba , kwa hiyo mama hawezi kufurahia tendo kwa sababu ya kuwepo kwa uke mkavu na pia mwanaume anaweza kutoka nje ya ndoa kwa sababu ya kukutana na ukavu kila siku.

 

3. Kuwepo kwa hali ya kupungua kwa hamu ya kushiriki tendo la ndoa.

Kwa Sababu kwenye uke Kuna ukavu na pia wakati wa tendo la ndoa ni lazima kunakuwepo na maumivu makali sana kwa hiyo inakuwa vigumu sana na pia mama au dada anakosa hamu ya kushiriki tendo la ndoa hali inayopelekea kuwepo kwa kutoelewana katika familia na vile vile usababisha mwanaume kutoka nje ya ndoa hali inayopelekea kuwepo kwa magonjwa mbalimbali kwenye familia , yaani kama vile kisonono, kaswende na magonjwa mbalimbali ya ngono kwa sababu ya kutoka nje ya ndoa.

 

4. Kwa mara nyingine kunakuwepo na hali ya kushindwa kufika kileleni na pia na kuwepo kwa maumivu wakati wa tendo la ndoa, kwa hiyo ni vizuri kabisa kwa akina dada kuwa makini katika maandalizi ya kuwa Mama kwa sababu kitendo cha siku Moja usababisha matatizo ya kudumu kwa hiyo ni vizuri kabisa walau kitumia niia za uzazi wa mpango kuliko kutumia ngono zembe na kusababisha kujiletea matatizo mbalimbali na kuweza kupata shida na masikitiko maisha Yako yote.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 1571

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 Simulizi za Hadithi Audio    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 Bongolite - Game zone - Play free game   

Post zinazofanana:

Kuwepo kwa maziwa wakati wa ujauzito.

Posti hii inahusu zaidi kuwepo kwa maziwa kwa akina Mama wakati wa ujauzito ni kawaida kwa sababu ya kuzaliwa kwa homoni ambayo usaidia kutoa maziwa.

Soma Zaidi...
Njia za uzazi wa mpango zinazomhusisha mwanaume

Posti hii inahusu zaidi njia za uzazi wa mpango unavyofanya na mwanaume kushiriki, ni njia ambayo umfanye mwanaume awe mhusika hasa wakati wa kujamiiana.

Soma Zaidi...
Saratani zinazowasumbua watoto.

Posti hii inahusu zaidi saratani zinazowashambulia watoto. Hizi ni aina mbalimbali za saratani ambazo upenda kuwasumbua watoto ambao ni chini ya umri wa miaka mitano na uleta madhara katika kipindi cha makuzi yao.

Soma Zaidi...
mambo HATARI KWA UJAUZITO (MIMBA) mambo yanayopelekea kujauzito kuwa hatarini kutoka

Tofauti na mambo matano yaliyotajwa hapo juu kuwa yanapelekea ujauzito kutoka, kuna mambo mengine ambayo yanaweza kuuweka ujauzito kuwa hatarini.

Soma Zaidi...
Mabadiliko kwenye uke wa Mama pale anapobeba mimba.

Posti hii inahusu zaidi mabadiliko kwenye uke wa Mama pale anapobeba tu mimba, Mama anapobeba mimba Kuna mabadiliko Katika uke wa Mama kama ifuayavyo.

Soma Zaidi...
Dalili za kupasuka kwa mfuko wa uzazi.

Posti hii inahusu zaidi dalili za kupasuka kwa mfuko wa uzazi,ni Dalili ambazo ujitokeza kwa Mama ambaye anakuwa amepasuka mfuko wa kizazi.

Soma Zaidi...
Sababu za mfuko wa kizazi kushindwa kisinyaa.

Posti hii inahusu zaidi sababu za mfuko wa kizazi kushindwa kisinyaa, ni sababu ambazo utokea kwa akina Mama wengi kadri ya wataalamu wametafuta asilimia kuwa asilimia sabini ya wanawake mifuko yao ya kizazi kushindwa kisinyaa.

Soma Zaidi...
Njia za kuzuia ugumba

Posti hii inahusu zaidi njia za kuzuia ugumba, ni njia ambazo utumiwa na wapenzi ambao wameshindwa kupata watoto hasa kwa wale ambao wamezaliwa wakiwa na uwezo wa kupata watoto lakini kwa sababu tofauti tofauti wanashindwa kupata watoto kwa hiyo njia zifu

Soma Zaidi...
Dalili za kifafa cha mimba.

Posti hii inahusu zaidi Dalili za Mama mwenye kifafa cha mimba, ili kifafa cha mimba kiweze kutokea lazima kuna dalili ambazo uweza kutokea kwa Mama kama ifuatavyo.

Soma Zaidi...
Dalili za mimba changa

Zijuwe dalili 17 za mimba na mimba changa, kuanzia siku ya kwanza mpaka mwezi mmoja

Soma Zaidi...