picha

Fahamu kuhusu fangasi za ukeni

Posti hii inahusu zaidi fangasi za ukeni, hili ni tatizo kubwa ambalo linawakumba watoto, akina dada na wanawake kwa hiyo na vizuri kujua Dalili zake na kuweza kuchukua hatua mapema.

Fangasi za ukeni

1. Dalili ya kwanza ya kuwepo kwa fangasi za ukeni ni kukojoa mara kwa mara, kwa kawaida tunajua wazi ili mtu akojoe ni lazima awe amekunywa kimiminika chochote,ila kuna kipindi mtu anakojoa mara kwa mara bila kunywa chochote cha zaidi.

 

2. Mkojo kuwa na harufu mbaya.

Kwa kawaida mkojo huwa na harufu yake ya kawaida ila kuna kipindi mkojo unakuwa na harufu mbaya sana, kwa hiyo ni vizuri kuangalia tatizo mapema.

 

3. Maumivu ya misuli ya tumbo hasa chini ya kitovu.kuna wakati mwingine tumbo linauma hasa kitovuni ingawa inaweza kuwa ni Dalili ya magonjwa mbalimbali lakini ni vizuri kufanya uangalizi.

 

4. Maumivu ya kiuno.

Kwa sababu ya kusambaa kwa fangasi mara nyingi kunakuwepo na maumivu ya kiuno kwa hiyo ni vizuri kuangalia mapema ili kuweza kufahamu tatizo ni nini.

 

5. Kuwepo kwa miwasho kwenye sehemu za siri.

Hii ni Dalili kubwa sana ambayo inatokea kwa walio wengi kwa sababu kuna kipindi mtu anawashwa sana kwenye sehemu za siri hasa hasa baada tu ya kukojoa.

 

6. Maumivu wakati wa kujamiiana.

Kuna wakati mwingine kunakuwepo na maumivu makali wakati wa kujamiiana, kwa sababu ya kuwepo kwa vidonda au majeraha yaliyosababishwa na fangasi kwa hiyo ni lazima maumivu kuwepo wakati wa tendo.

 

7. Kuwepo kwa vidonda ukenu.

Kwa sababu ya kuwepo kwa fangasi hasa wa mda mrefu usababisha vidonda ukeni na kusababisha mgonjwa awe anajikuna mara kwa mara.

 

8. Kuwepo kwa moto baada ya kujamiiana.

Kwa sababu ya kuwepo kwa fangasi usababisha kuwepo kwa moto baada ya kujamiiana.

 

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Uzazi Main: Post File: Download PDF Views 2805

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 web hosting     👉4 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉6 Simulizi za Hadithi Audio    

Post zinazofanana:

Zijuwe Dalili za minyoo na dalili kuu 9 za minyoo

Utajifunza dalili za minyoo, sababu za minyoo na namna ya kujiepusha na minyoo. Dalili kuu 5 za minyoo mwilini

Soma Zaidi...
Njia za uzazi wa mpango zinazomhusisha mwanaume

Posti hii inahusu zaidi njia za uzazi wa mpango unavyofanya na mwanaume kushiriki, ni njia ambayo umfanye mwanaume awe mhusika hasa wakati wa kujamiiana.

Soma Zaidi...
Namna ya kuongeza na mjamzito ili kupata taarifa zake na kutoa msaada

Posti hii inahusu zaidi namna ya kuongea na Mama mjamzito ili kuweza kugundua tatizo lake na kutoa msaada pale penye uhitaji.

Soma Zaidi...
TATIZO LA KUVIMBA KWA USO NA MIGUU KWA WAJAWAZITO

KUVIMBA VYA MIGUU KWA WAJAWAZITO Kuvimba kwa miguu ni hali inayowapara wengi katika wajawazito.

Soma Zaidi...
Ugonjwa wa kisukari wakati wa ujauzito.

Posti hii inaelezea ugonjwa wa kisukari wakati mama akiwa mjamzito.na yafuatayo ni Mambo hatari yanayotokea wakati Mama akiwa na ujauzito.

Soma Zaidi...
Dalili kuu za mwanzo za mimba changa, kuanzia siku ya kwanza

Ni ngumu ila nitakujuza namna ya kuitambuwa mimba ya siku moja hadi 3, mimba ya wiki moja na mimba ya miezi mitatu kwa dalili.

Soma Zaidi...