Fahamu kuhusu fangasi za ukeni
Posti hii inahusu zaidi fangasi za ukeni, hili ni tatizo kubwa ambalo linawakumba watoto, akina dada na wanawake kwa hiyo na vizuri kujua Dalili zake na kuweza kuchukua hatua mapema.
Fangasi za ukeni
1. Dalili ya kwanza ya kuwepo kwa fangasi za ukeni ni kukojoa mara kwa mara, kwa kawaida tunajua wazi ili mtu akojoe ni lazima awe amekunywa kimiminika chochote,ila kuna kipindi mtu anakojoa mara kwa mara bila kunywa chochote cha zaidi.
2. Mkojo kuwa na harufu mbaya.
Kwa kawaida mkojo huwa na harufu yake ya kawaida ila kuna kipindi mkojo unakuwa na harufu mbaya sana, kwa hiyo ni vizuri kuangalia tatizo mapema.
3. Maumivu ya misuli ya tumbo hasa chini ya kitovu.kuna wakati mwingine tumbo linauma hasa kitovuni ingawa inaweza kuwa ni Dalili ya magonjwa mbalimbali lakini ni vizuri kufanya uangalizi.
4. Maumivu ya kiuno.
Kwa sababu ya kusambaa kwa fangasi mara nyingi kunakuwepo na maumivu ya kiuno kwa hiyo ni vizuri kuangalia mapema ili kuweza kufahamu tatizo ni nini.
5. Kuwepo kwa miwasho kwenye sehemu za siri.
Hii ni Dalili kubwa sana ambayo inatokea kwa walio wengi kwa sababu kuna kipindi mtu anawashwa sana kwenye sehemu za siri hasa hasa baada tu ya kukojoa.
6. Maumivu wakati wa kujamiiana.
Kuna wakati mwingine kunakuwepo na maumivu makali wakati wa kujamiiana, kwa sababu ya kuwepo kwa vidonda au majeraha yaliyosababishwa na fangasi kwa hiyo ni lazima maumivu kuwepo wakati wa tendo.
7. Kuwepo kwa vidonda ukenu.
Kwa sababu ya kuwepo kwa fangasi hasa wa mda mrefu usababisha vidonda ukeni na kusababisha mgonjwa awe anajikuna mara kwa mara.
8. Kuwepo kwa moto baada ya kujamiiana.
Kwa sababu ya kuwepo kwa fangasi usababisha kuwepo kwa moto baada ya kujamiiana.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Dua za Mitume na Manabii 👉2 web hosting 👉3 Kitabu cha Afya 👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉5 ai web app 👉6 Kitau cha Fiqh
Post zinazofanana:
Mambo muhimu kwa wanawake kabla ya kubeba mimba
Posti hii inahusu zaidi mambo muhimu kwa wanawake kabla ya kubeba mimba,Ni mambo ya kuzingatia ili mama akija kubeba mimba awe mzima kimwili, ki afya na kisaikolojia na hivyo hivyo Mtoto atakayezaliwa atakuwa salama.
Soma Zaidi...Vyanzo vya kuharibika kwa mimba ya miezi kuanzia 0-3
Posti hii inahusu zaidi vyanzo vya kuharibika kwa mimba kuanzia miezi zero mpaka miezi mitatu, kwa sababu hii ni miezi ya kwanza kabisa Kuna sababu au vyanzo vya kuharibika kwa mimba katika kipindi hiki.
Soma Zaidi...Kaka nasumbuliwa saan na tatizo la kuwasha kwenye kichwa Cha uume Sijui nifanyaje
Je kichwa cha uume wako kinawasha, na je kinatoa majimaji kwenye njia ya mkojo, una muda ganinavtatizo hili. Na je ulishiriki ngono zembe siku za hivi karibuni?
Soma Zaidi...Utaratibu wa chakula kwa Mama mjamzito.
Post huu inahusu zaidi utaratibu wa chakula kwa Mama mjamzito, ni chakula anachopaswa kutumia na ambavyo hapaswi kutumia kwa Mama mjamzito mzito, kwa sababu Mama mjamzito anapaswa kuwa makini katika matumizi ya chakula ili kuweza kuongeza vitu muhimu mwil
Soma Zaidi...Mwanamke mwenye HIV akiwa mjamzito ama ananyonyesha
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu mwanamke mwenye HIV akiwa mjamzito ama anaenyonyesha
Soma Zaidi...Je mwanamke anaweza pata mimba ikiwa wakati watendo la ndoa hakukojoa Wala kusikia raha yoyote ya sex wakati watendo landoa
Je wewe ni mwanmake unayepata shida kufika kileleni? (Kukojoa wakati wa tendo lwa ndoa). Post hii itakujibu baadhi ya maswali yako.
Soma Zaidi...