Posti hii inahusu zaidi vyanzo vya kuharibika kwa mimba kuanzia miezi zero mpaka miezi mitatu, kwa sababu hii ni miezi ya kwanza kabisa Kuna sababu au vyanzo vya kuharibika kwa mimba katika kipindi hiki.
1. Sababu ya kwanza ni kitendo cha homoni kutokuwa sawa kwa sababu katika kipindi hiki ni wakati ambao homoni nyingi uwepo Ili kuhakikisha kazi mbalimbali zinafanyika kama vile kutengeneza kondo la nyuma kama homoni haziko sawa mimba inaweza kutoka.
2. Sababu za vinasa Saba
Hizi ni sababu ambazo uchangiwa na wazazi wenyewe anaweza kuwa baba au mama , ndio usababisha mimba kutoka kwa kipindi hiki.
3. Matumizi ya dawa kiholela.
Kuna tabia ya kutumia dawa kiholela bila kupata ushauri wa daktari katika kipindi hiki hasa akina Mama wengi uchanganya madawa Kuna madaw ya kienyeji na ya hospital hasa matumizi ya madawa ya malaria , usababisha mimba kutoka.
4. Maambukizi ya magonjwa.
Kuna tabia ya maambukizi ya magonjwa kama vile kisonono, kaswende na maambukizi kwenye mlango wa kizazi kama maambukizi haya hayakugundukika mapema na kitibiea usababisha mimba kutoka.
5. Pia Kuna maambukizi kwenye mfuko wa uzazi.
Kuna wakati mwingine maambukizi kwenye mfuko wa uzazi usababisha mimba kutoka kwa sababu unakuta sehemu mbalimbali za kizazi zimeshambuliwa hali ambayo usababisha mimba kutoka.
6. Kuwepo kwa uvimbe.
Pia na hili ni Mojawapo ya tatizo kwa Sababu kama kwenye mfuko wa uzazi Kuna uvimbe mama hawezi kubeba mtoto kwenye mfuko huo kwa sababu utakuta uvimbe huo unashika sehemu mbalimbali ambapo mtoto anapaswa kuwepo.
7. Uvutaji wa sigara kupita kiasi na unywaji wa pombe kupita kiasi usababisha mimba kutoka kwa sababu ya kuwepo kwa nicotine na kemikali mbalimbali za pombe.
8. Kufanya kazi ngumu na kubeba mizigo mizito.
Pia kazi ngumu Nazo usababisha kutoka kwa mimba kwa sababu ni vigumu kabisa mimba kustahimili kwa mama anayefanya kazi hizo ngumu.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi sifa ambazo mtoto mchanga anapaswa kuwa Nazo,ni sifa ambazo lazima zionekane kwa mtoto mchanga pale anapozaliwa na zikikosa ni lazima kuja kuwa mtoto ana matatizo mbalimbali kwa hiyo zifuatazo ni sifa za mtoto mchanga kama ifuatavy
Soma Zaidi...Maambukizi kwenye Njia ya Uzazi kwa kifupi hujulikana Kama PID.ni Maambukizi ya mfumo wa Uzazi yanayoathiri wanawake, Maambukizi haya kwa Kawaida huhusisha sehemu Kama shingo ya uzazi,nyuma ya mfuko wa Uzazi na mirija ya uzazi.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi madhara ya kutumia madawa ya shida ya upumuaji, ni madhara madogo madogo ambayo utokea kwa watumiaji wa matatizo ya kupumua.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi ukweli kuhusu njia za uzazi wa mpango, sio kwa imani potofu ambazo Watu utumia kuelezea uzazi wa mpango.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu za mimba ya miezi kuanzia minne mpaka sita kutoka , Kuna kipindi mimba kuanzia miezi mimne mpaka sita utoka kwa sababu mbalimbali.
Soma Zaidi...Mtoto huweza kuzaliwa ndani ya miezi 6 na unaweza kupona. Na huyu mdoe mtoto njiti. Na anaweza kuzliwa kwa njia ya kawaida. Hakuna ushahidi unaiinyesha kuwa njiti hukabiliwanamatatizo ya kitalima kwenye ukubwa wako.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi fibroids au uvimbe kwenye via vya uzazi hasa hasa utokea kwenye tumbo la uzazi ambapo kwa kitaalamu huitwa uterusi, uvimbe huu ulitokea watu wengine huwa hawawezi kutambua Dalili zake mapema kwa hiyo leo tunapaswa kujua Dalili zake
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mambo ya kuzingatia kwa Mama mwenye mimba, ni kipindi ambacho Mama uhitahi uangalizi wa karibu zaidi.
Soma Zaidi...Tendo la ndoa wakati wa siku za hedhi ni halia mbayo jamii nying zinakataza. Katika vitabu vya dini pia haviruhusu, hata ki saikolojia utaona kuwa sio jambo jema. Hata hivyo hapa ninakuletea madhara yake kiafya
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi aina mbalimbali za uvimbe kwenye kizazi, uvimbe unatokea kwenye kizazi ila utofautiana kulingana na sehemu ambazo uvimbe huo umepata.
Soma Zaidi...