SIRA

picha
HISTORIA YA VIJANA WA PANGONI

Makafiri wa Kiquraish walikuwa na tabia ya kumghasi Mtume(s.
picha
HISTORIA YA BANI ISRAIL

Nabii Musa na Harun walikuwa na kazi kubwa mbili; kwanza, kuwakomboa Bani Israil kutokana na dhuluma waliyokuwa wakifanyiwa na Firaun na Serikali yake, na pili, kuwarudisha kwenye nchi yao takatifu ya Palestina.
picha
BANI ISRAIL KUABUDU NDAMA

Wakati Nabii Musa(a.
picha
MUSA(A.S) KUWAONGOZA BANI ISRAIL HADI PALESTINA

Baada ya matukio haya ndipo Musa(a.
picha
HISTORIA NA MAISHA YA MTUME IDRISA (A.S)

Mtume aliyemfuatia Nabii Adam(a.
picha
HISTORIA YA WATU WA MAHANDAKI YA MOTO.

Katika Suratul Buruj, kumetajwa kisa cha makafiri waliowatesa wafuasi wa Mitume waliotangulia kabla ya Mtume Muhammad(s.
picha
WATU WALIOVUNJA AMRI YA KUHESHIMU SIKU YA JUMAMOSI.

Katika zama za kale Mayahudi walikatazwa kufanya kazi siku ya Jumamosi.
picha
HISTORIA YA FIRAUN, QARUN NA HAMANA

Karun na Hamana waliishi zama za Mtume Musa(a.
picha
MAFUNZO YATOKANAYO NA HISTORIA YA NABII ISA(A.S)

Kutokana na Historia ya Nabii Isa(a.
picha
JE, NABII ISA(A.S) NI MTOTO WA MUNGU?

Mwenyezi Mungu si kiumbe.
picha
SI YESU ALIYESULUBIWA (YESU HAKUFA MSALABANI WALA HAKUSULUBIWA

Katika Qur,an tukufu, Mwenyezi Mungu aliye muweza na mjuzi wa mambo anathibitisha kuwa aliyesulubiwa si Nabii Isa(a.
picha
NJAMA ZA MAYAHUDI KUTAKA KUMUUA NABII ISA(A.S)

Njama za kutaka kumuua Nabii Isa(a.
picha
KULINGANIA WATU WAKE NA MIUJIZA ALIYOONYESHA NABII ISA(A.S)

Mwenyezi Mungu pekee ndiye aliyewawezesha Mitume na Manabii kufanya miujiza.
picha
NABII ISA(A.S) AZUNGUMZA AKIWA MTOTO MCHANGA

Maryam akamtwaa mwanawe, akaenda naye kwa jamaa zake amembeba.
picha
MARYAM APEWA HABARI YA KUMZAA ISA(A.S)

Baada ya maandalizi hayo ya kimalezi pamoja na hifadhi ya Allah(s.
picha
ZAKARIA(A.S) AKABIDHIWA ULEZI WA MARYAM

Baada ya kupigwa kura juu ya nani awe mlezi wa Maryam, Nabii Zakaria akachaguliwa kuwa mlezi wa Maryam.
picha
HISTORIA YA VIJANA WA PANGONI

Makafiri wa Kiquraish walikuwa na tabia ya kumghasi Mtume(s.
picha
HISTORIA YA LUQMAN MTU ALIYESIFIKA KUWA NA HIKMA

Luqman ni katika watu wema kabisa waliopita zama za nyuma.
picha
HISTORIA YA DHULQARNAIN

Dhulqarnain sio jina la mtu bali cheo, maana yake ikiwa: “Mwenye Pembe Mbili”.
picha
HISTORIA YA AL-KHIDHRI

Jina Al-Khidhri halikutajwa mahali popote katika Qur’an.
picha
MTUME AMEZALIWA MWAKA GANI?

Na tumemuusia mwanaadamu afanye wema kwa wazazi wake.
picha
MAFUNZO YATOKANAYO NA HISTORIA YA ZAKARIA(A.S) NA YAHYA(A.S)

Kutokana na Historia ya Nabii Zakaria (a.
picha
NABII YUNUS(A.S) AMUOMBA ALLAH(S.W) MSAMAHA

Ndani ya tumbo la samaki, Nabii Yunus(a.
picha
MAFUNZO YATOKANAYO NA HISTORIA YA NABII SULAIMAN(A.S)

Kutokana na histoira ya Nabii Sulaiman (a.
picha
KIFO CHA NABII SULAIMAN

Pamoja na utukufu na umadhubuti wa ufalme wake Nabii Sulaiman muda wake wa kuishi ulipokwisha aliondoka kama walivyoondoka Mitume,wafalme na wanaadamu wengine.
picha
KISA CHA MALKIA WA SABAA.

Sabaa ulikuwa mji katika nchi inayojulikana leo kama Yemen.
picha
KUSINGIZIWA NABII SULAIMAN UCHAWI

Pamoja na Ucha-Mungu aliokuwa nao Nabii Sulaiman watu hawakuacha kumsingizia mambo machafu.
picha
MAFUNZO YATOKANAYO NA HISTORIA YA NABII DAUD(A.S)

Kutokana historia ya Nabii Daud (a.
picha
MAFUNZO YATOKANAYO NA HISTORIA YA NABII MUSA(A.S) NA HARUN(A.S)

Kutokana na Historia ya Nabii Musa na Harun(a.
picha
KUSILIMU KWA WACHAWI WA FIRAUN

Mawaziri waliokuwa washauri wakuu wa Firauni wakataka wakusanywe magwiji waliobobea katika uchawi nchi nzima, kisha wapambanishwe na Nabii Musa(as).
picha
MUSA(A.S)KUPEWA UTUME RASMI

Musa alipotimiza muda, alifunga safari na ahali zake kurejea Misri.
picha
MUSA(A.S) AHAMIA MADIANI

Mchana wa siku moja Musa(a.
picha
MAFUNZO YATOKANAYO NA HISTORIA YA NABII SHU’AYB(A.S).

Kutokana na kisa cha Nabii Shu’ayb(a.
picha
VITIMBI VYA WAPINZANI DHIDI YA UJUMBE WA NABII SHU’AYB(A.S)

Kama ilivyokuwa katika kaumu zilizotangulia, waliomuamini Shu’ayb(a.
picha
MAFUNZO YATOKANAYO NA HISTORIA YA NABII YUSUFU(A.S)

“Kwa yakini katika (kisa cha) Yusufu na ndugu zake yako mazingatio mengi kwa wanaouliza (mambo wapate kujua)”.
picha
YUSUFU(A.S.) AKUTANA NA NDUGU ZAKE

Njaa ilitokea na ikawa hapana sehemu nyingine yoyote yenye chakula ila Misri.
picha
MAFUNZO YATOKANAYO NA HISTORIA YA NABII AYYUUB(A.S)

Kutokana na kisha hiki cha Nabii Ayyuub(a.
picha
YUSUFU(A.S) ATUPWA AFUNGWA GEREZANI

Mkewe Al-Aziz hakumkatia tamaa Yusufu(a.
picha
MUHUTASARI WA SIFA ZA WANAFIKI

Kwa kuzingatia aya zote tulizozipitia juu ya wanafikitunaweza kutoa majumuisho ya sifa za wanafiki kama ifuatavyo:- (1)Hutenda kinyume cha imani wanaodai kuwa nayo.
picha
MAFUNZO YATOKANAYO NA HISTORIA YA ADAM(A.S)

(i) Utukufu wa mtu katika Uislamu hautokani na nasaba, rangi,kabila,utajiri ila uwajibikaji kwa Allah(s.
picha
IJUWE DUA YA AYYUUB(A.S)

Nabii Ayyuub(a.
picha
YUSUFU AOKOTWA NA KUUZWA NCHINI MISRI

Huko nyuma wapita njia walikisogelea kisima kwa lengo la kuteka maji.
picha
NJAMA ZA KUMUUA NABII YUSUFU(A.S)

Kwa tabia zake njema Yusufu(a.
picha
HISTORIA YA WATOTO WAWILI WA NABII ADAM

“Na wasomee khabari za watoto wawili wa Adam kwa kweli, walipotoa sadaka, ikakubaliwa ya mmoja wao na ya mwingine haikukubaliwa Akasema (yule asiyekubaliwa sadaka yake): “Nitakuua”.
picha
MAFUNZO YATOKANAYO NA HISTORIA YA NABII SALIH(A.S)

Mafunzo tuyapatayo hayatofautiani na yale yatokanayo na Historia ya Nabii Hud(a.
picha
MAFUNZO YATOKANAYO NA HISTORIA YA HUD(A.S)

(i) Tuanze kulingania kwa kuonesha upweke wa Allah(s.
picha
NABII IBRAHIIM(A.S) AFANYWA KIONGOZI WA HARAKATI ZA UISLAMU ULIMWENGUNI

“Na (kumbukeni habari hii) Mola wake alipomfanyia mtihani (Nabii) Ibrahiim kwa amri nyingi; naye akazitimiza.
picha
IBRAHIIM(A.S) AOMBA KUPATA KIZAZI CHEMA

Nabii Ibrahiim na mkewe Sarah walikaa mpaka wakawa wazee bila ya kupata mtoto.
picha
SHUKURANI ZA NABII IBRAHIIM(A.S) KWA ALLAH(S.W)

Kwa neema hii ya kuruzukiwa watoto wawili - Ismail na Is- haqa(a.
picha
ALLAH(S.W) AMNUSURU IBRAHIM (A.S) NA HILA ZA MAKAFIRI

Pamoja na kudhihirikiwa na ukweli wa udhaifu wa miungu wa kisanamu, watu wa NabiiIbrahiim(a.
picha
VITIMBI VYA MAKAFIRI DHIDI YA NABII SALIH(A.S) NA WAUMINI NA KUANGAMIZWA KWAO

Makafiri wa Kithamud hawakuishia tu kwenye kuukataa ujumbe wa Nabii Salih(a.
picha
MITIHANI ALIYOPEWA NABII IBRAHIMU KUTOKA KWA ALLAH

Tumeona katika historia yake kuwa Nabii Ibrahiim(a.
picha
KIBRI CHA IBILIS NA UADUI WAKE DHIDI YA BINADAMU

Ibilis ni katika jamii ya majini aliyekuwa pamoja na Malaika wakati amri ya kumsujudia Adam inatolewa.
picha
MAFUNZO YATOKANAYO NA HISTORIA YA NABII NUHU(A.S)

(i) Tuanze kulingania kwa Tawhiid – kumjua Allah(s.
picha
WAPINZANI WA UJUMBE WA NABII SALIH(A.S)

Baada ya Nabii Salih(a.
picha
KUANGAMIA KWA MTOTO NA MKE WA NUHU(A.S)

Tukirejea Qur’an (11:36-48) na (23:26 -29) tunapata maelezo juu ya mchakato wa kuangamizwa makafiri na kuokolewa waumini katika kaumu ya Nabii Nuhu(a.
picha
MSIMAMO WA NABII HUD(A.S) DHIDI YA MAKAFIRI WA KAUMU YAKE

Pamoja na kwamba alipingwa na nguvu za Dola ya makafiri wa kaumu yake, Mtume Hud(a.
picha
MAFUNZO YATOKANAYO NA HISTORIA YA NABII ISMAIL(A.S)

Kutokana na Historia ya Nabii Ismail(a.
picha
MAFUNZO YATOKANAYO NA HISTORIA YA NABII LUT (A.S)

(i) Tujitahidi kwa kadiri ya uwezo wetu kuondoa maovu katika jamii kwa mikono yetu na ikiwa hatuwezi tuyakemee kama alivyofanya Nabii Lut(a.
picha
WALIOMUAMINI NABII NUHU(A.S)

Waliomuamini Nuhu(a.
picha
MBINU ZA MTUME SALIH(A.S) KATIKA KULINGANIA UISLAMU

Kama Mitume waliotangulia, Nabii Salih(a.
picha
MSIMAMO WA NABII NUHU(A.S) DHIDI YA MAKAFIRI

Pamoja na upinzani mkali alioupata kutoka kwa viongozi wa makafiri, Nabii Nuhu(a.
picha
HISTORIA YA KUJENGWA KWA ALKABAH (MAKA)

Kama tulivyoona katika maisha ya Mtume Ibrahim(a.
picha
WAPINZANI WA UJUMBE WA HUD(A.S)

Waliomuamini Mtume Hud(a.
picha
MBINU ZA DA’WAH ALIZOTUMIA NUHU(A.S)

Katika kufikisha ujumbe huu kwa watu wake Nuhu(a.
picha
CHOKOCHOKO NA UPINZANI WAKATI WA KHALIFA UTHMAN KHALIFA WA TATU

KUPOROMOKA KWA DOLA YA KIISLAMU ALIYOICHA MTUME(S.
picha
UASI KATIKA DOLA YA KIISLAMU NA MATOKEO YAKE

Uasi katika dola ya kiislamu na matokeo yake.
picha
UGONJWA WA MTUME(S.A.W) NA KUFARIKI KWAKE

Miezi miwili baada ya Hijjat-al-Wada, Mtume(s.
picha
HIJA YA KUAGA KWA MTUME, NA HUTUBA YA MWISHO ALIYOTOWA MTUME KATIKA HIJA

Mwaka mmoja baada ya msafara wa Tabuuk Bara Arab zima ilikuwa chini ya Dola ya Kiislamu.
picha
MSAFARA WA VITA VYA TABUK DHIDI YA WARUMI

Ukombozi wa mji wa Makka (Fat-h Makka) mwaka 8 A.
picha
KAZI NA WAJIBU WA KHALIFA KATIKA DOLA YA KIISLAMU

Kazi na Wajibu wa KhalifaKhalifa katika Serikali ya Kiislamu ndiye mtendaji mkuu wa Serikali kama alivyokuwa Mtume(s.
picha
MAPAMBANO YA WAISLAMU DHIDI YA MAADUI WA KIYAHUDI MADINA

Mayahud Mwanzoni Mayahud walipoona kuwa Waislamu wanafunga siku ya Ashura pamoja nao na wanaelekea Qibla cha Baitul- Muqaddas pamoja nao hawakuonyesha chuki ya dhahiri dhidi ya Mtume(s.
picha
MBINU WALIZOTUMIA MAKAFIRI WA KIQUREISH KATIKA KUUPINGA UISLAMU MAKKAH.

Mbinu walizotumia Makafiri wa Kiqureish katika kuupinga Uislamu Makkah.
picha
MAFUNZO YATOKANAYO NA MAMBO ALIYOFANYA MTUME (S.A.W) KATIKA KUANZISHA DOLA YA KIISLAMU

Kwanza, ili tuweze kusimamisha Uislamu katika jamii hatunabudi kuanzisha na kuendeleza vituo vya harakati, misikiti ikiwa ndio vitovu.
picha
VITA VYA AHZAB, SABABU YA KUTOKEA VITA HIVI NA MAFUNZO TUNAYOYAPATA

Vita vya Ahzab- Maquraish waliungana na mayahudi, wanafiki na makabila mengine ya waarabu baada ya kuona kuwa wao peke yao hawawezi kuufuta Uislamu.
picha
UCHAGUZI WA OMAR (UMAR) KUWA KHALIFA WA PILI BAADA YA MTUME

Uchaguzi wa ‘Umar bin Khattab kuwa Khalifa wa Pili.
picha
JINSI TUKIO LA KARATASI LILIVYOTOKEA WAKATI WA MTUME SIKU CHACHE KABLA YA KIFO CHAKE

Tukio la kartasiTukio la ‘kartasi’ lililonakiliwa katika vitabu vya Muslim na Bukhari kuwa siku tatu kabla ya kutawafu Mtume (s.
picha
HIJRA YA MTUME(S.A.W) KWENDA MADINAH

Njama za Kumuua Mtume(s.
picha
KUHAJIRI WAISLAMU WA MAKKA KWENDA MADINAH

Baada ya mikataba miwili ya ‘Aqabah na baada ya Waislamu 75 kufika Yathrib salama, Mtume(s.
picha
KISA CHA ISRAA NA MIRAJI NA KUFARADHISHWA SWALA TANO

Safari ya Mi'rajKatika mwaka wa 12 B.
picha
KULINGANIA UISLAMU KWA JAMII NZIMA

Baada ya miaka mitatu ya Utume, Muhammad(s.
picha
MTUME(S.A.W) KULINGANIA UISLAMU MAKKA

Historia ya harakati za Mtume(s.
picha
MAANDALIZI YA KIMAFUNZO ALIYOANDALIWA MTUME MUHAMMAD

(i) Suratul- ‘Alaq (96:1-5)“Soma kwa jina la Mola wako aliyeumba Aliyemuumba mwanaadamu kwa ‘alaq.
picha
KIKAO CHA KUMFUKUZA MTUME MUHAMMAD KUTOKA MAKKAH (MAKA), KIKAO ALICHOHUDHURIA IBLISI

KIKAO CHAKALIWA KUJADILI HATMA YA MUHAMMAD KATIKA MJI WA MAKAHiki ni kikao kizito hakijapata kutokea toka muhammad katika ji wa maka.