Mafunzo Yatokanayo na Historia ya Hud(a.s)
(i) Tuanze kulingania kwa kuonesha upweke wa Allah(s.
Mafunzo Yatokanayo na Historia ya Hud(a.s)
(i) Tuanze kulingania kwa kuonesha upweke wa Allah(s.w) na lengo la binaadamu hapa ulimwenguni.
(ii) Kutomchelea yeyote katika kufanyakazi ya kulingania
Uislamu na kuusimamisha katika jamii.
(iii) Katika kufanyakazi ya kuhuisha Uislamu katika jamii tutarajie malipo kutoka kwa Allah(s.w) peke yake.
(iv) Katika kufanya kazi ya kulingania na kusimamisha Uislamu katika jamii tumtegemee Allah(s.w) peke yake.
(v) Waislamu wakijizatiti ipasavyo, watawashinda makafiri.
Pamoja na nguvu kubwa walizonazo.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
π1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) π2 Dua za Mitume na Manabii π3 ai web app π4 Kitau cha Fiqh π5 Madrasa kiganjani π6 kitabu cha Simulizi
Post zinazofanana:
Maandalizi ya Kimafunzo aliyoandaliwa Mtume Muhammad
(i) Suratul- βAlaq (96:1-5)βSoma kwa jina la Mola wako aliyeumba Aliyemuumba mwanaadamu kwa βalaq.
Soma Zaidi...Tukio la kupasuliwa kifua Mtume Muhammad S.A.W
Sura na historia ya Mtume Muhammad S.A.W, sehemu ya 7
Soma Zaidi...Mbinu za Daβwah Alizotumia Nuhu(a.s)
Katika kufikisha ujumbe huu kwa watu wake Nuhu(a.
Soma Zaidi...