Sahaba wa kwanz akufariki akiwa shahidi, alifariki kwa sababu ya mateso aliyoyapata kutoka kwa Makafiri wa ki Quraysh
Swahaba wa kwanza kufariki kutokana na mateso katika Uislamu alikuwa Sumayyah bint Khabbat (رضي الله عنها).
Baada ya kuuawa kwake, mume wake Yasir bin Amir pia alifariki kutokana na mateso, na mwana wao Ammar bin Yasir (رضي الله عنه) aliendelea kuwa miongoni mwa Maswahaba mashuhuri wa Mtume Muhammad (SAW).
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Dola ya kiislamu madinah (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Dola ya uislamu madinah (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...KUCHIMBWA UPYA KISIMA CHA ZAMZAMKwa kifupi ni kuwa Abdul-Muttalib alipata agizo kutoka ndotoni kuwa achimbe kisima cha zamzam, na akaelekezwa sehemu ya kupachimba.
Soma Zaidi...Sira na historia ya Mtume Muhammad s.a.w, sehemu ya 17. Historia ya Bi Khadija na familia yake.
Soma Zaidi...Kwanza, ili tuweze kusimamisha Uislamu katika jamii hatunabudi kuanzisha na kuendeleza vituo vya harakati, misikiti ikiwa ndio vitovu.
Soma Zaidi...