Sahaba wa kwanz akufariki akiwa shahidi, alifariki kwa sababu ya mateso aliyoyapata kutoka kwa Makafiri wa ki Quraysh
Swahaba wa kwanza kufariki kutokana na mateso katika Uislamu alikuwa Sumayyah bint Khabbat (رضي الله عنها).
Baada ya kuuawa kwake, mume wake Yasir bin Amir pia alifariki kutokana na mateso, na mwana wao Ammar bin Yasir (رضي الله عنه) aliendelea kuwa miongoni mwa Maswahaba mashuhuri wa Mtume Muhammad (SAW).
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Dola ya kiislamu madinah (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...(i) Tuanze kulingania kwa Tawhiid – kumjua Allah(s.
Soma Zaidi...Makafiri wa Kiquraish walikuwa na tabia ya kumghasi Mtume(s.
Soma Zaidi...Sara na historia ya Mtume Muhammad s.a.w sehemu ya 16. Hapa utajifunza maandalizi wa mjadala wa ndoa hizi.
Soma Zaidi...Kuanzishwa kwa Polisi.
Soma Zaidi...Sura na historia ya Mtume Muhammad S.A.W sehemu ya 8. Hapa utajifunza malezi ya Mtume kutokakwa Halimavkuja kwa mama yake.
Soma Zaidi...