Sahaba wa kwanz akufariki akiwa shahidi, alifariki kwa sababu ya mateso aliyoyapata kutoka kwa Makafiri wa ki Quraysh
Swahaba wa kwanza kufariki kutokana na mateso katika Uislamu alikuwa Sumayyah bint Khabbat (رضي الله عنها).
Baada ya kuuawa kwake, mume wake Yasir bin Amir pia alifariki kutokana na mateso, na mwana wao Ammar bin Yasir (رضي الله عنه) aliendelea kuwa miongoni mwa Maswahaba mashuhuri wa Mtume Muhammad (SAW).
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Pamoja na upinzani mkali alioupata kutoka kwa viongozi wa makafiri, Nabii Nuhu(a.
Soma Zaidi...Sira na historia ya Mtume Muhammad s.a.w, sehemu ya 17. Historia ya Bi Khadija na familia yake.
Soma Zaidi...