Fat-h Makkah (Kukombolewa Makkah).
Fat-h Makkah (Kukombolewa Makkah).
- Mtume (s.a.w) aliandaa askari 10,000 mwezi 10 Ramadhani, 8 A.H (Januari 1, 630 A.D) kuelekea Makkah.
- Kukombolewa Makkah kulipelekea kusilimu Abu Sufyan na viongozi wengine wa Makka na kuwa kishawishi kusilimu watu na makabila mengi pia.
- Baada ya Fat-h Makka, waislamu waliyashinda makabila ya Waarabu yenye nguvu kama; Banu Thaqif na Banu Hawazin katika vita vya Hunain.
Rejea Qurβan (17:81).
- Dola ya Kiislamu chini ya uongozi wa Mtume (s.a.w) ilienea Bara Arab nzima na aliigawanya katika majimbo na kuteuwa Walii, Kadhi na Amil kama viongozi kwa kila jimbo.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Kuanzishwa kwa Polisi.
Soma Zaidi...Pamoja na upinzani mkali alioupata kutoka kwa viongozi wa makafiri, Nabii Nuhu(a.
Soma Zaidi...