Fat-h Makkah (Kukombolewa Makkah).
Fat-h Makkah (Kukombolewa Makkah).
- Mtume (s.a.w) aliandaa askari 10,000 mwezi 10 Ramadhani, 8 A.H (Januari 1, 630 A.D) kuelekea Makkah.
- Kukombolewa Makkah kulipelekea kusilimu Abu Sufyan na viongozi wengine wa Makka na kuwa kishawishi kusilimu watu na makabila mengi pia.
- Baada ya Fat-h Makka, waislamu waliyashinda makabila ya Waarabu yenye nguvu kama; Banu Thaqif na Banu Hawazin katika vita vya Hunain.
Rejea Qur’an (17:81).
- Dola ya Kiislamu chini ya uongozi wa Mtume (s.a.w) ilienea Bara Arab nzima na aliigawanya katika majimbo na kuteuwa Walii, Kadhi na Amil kama viongozi kwa kila jimbo.
Umeionaje Makala hii.. ?
Upinzani dhidi ya Dola ya Kiislamu Madinah.
Soma Zaidi...Sura na historia ya Mtume Muhammad s.sa. w, sehemu ya 5. Hapa utajifunza kuhusu kuzaliwa kwa Mtume.
Soma Zaidi...Kutokana na Historia ya Nabii Musa na Harun(a.
Soma Zaidi...KUKUTANA NA BAHIRA (MTAWA) WA KIYAHUDIMzee Abu talib alikuwa ni mfanya biashara, hivyoslikuwa akimchukuwa kijana wake kwenda kwenye biashara.
Soma Zaidi...Musa alipotimiza muda, alifunga safari na ahali zake kurejea Misri.
Soma Zaidi...Sara na historia ya Mtume Muhammad s.a.w, sehemu ya 15. Hapa utajifunza kuhusu chimbuko la ndoa ya Mtume s.a.w na bi Khadija.
Soma Zaidi...Dhulqarnain sio jina la mtu bali cheo, maana yake ikiwa: “Mwenye Pembe Mbili”.
Soma Zaidi...