picha

Mchango wa Waislamu Katika Kuleta Uhuru Tanganyika

i.

Mchango wa Waislamu Katika Kuleta Uhuru Tanganyika

Mchango wa Waislamu Katika Kuleta Uhuru Tanganyika

i. Harakati zote za kung’oa tawala na serikali za kikoloni Tanganyika ziliongozwa na kusimamiwa na Machifu na waislamu wakiwemo;
- Chifu Mkwawa wa Uhehe, Kalenga, Iringa na vita vya maji maji

- Chifu Isike wa Unyanyembe, Tabora, n.k

- Ali Songea Mbano na Suleman Mamba (Kinjekitile) wa Songea -.Ruvuma



ii. Waislamu ndio walioanzisha migomo kazini kupinga dhulma za serikali za kikoloni katika bandari za Tanga na Dar es Salaam miaka ya 1939 na 1947 mpaka vikaanzishwa vyama vya wafanya kazi ili kutetea haki zao.


iii. Kwa kutumia fursa ya vyama vya wafanyakazi, waislamu walianzisha jumuiya

(vyama viwili) ambavyo ni;

- Al-Jamia’tul Isilamiyya Fiy Tanganyika na

- Da’awat Al-Islamiyya



iv. Mwaka 1929, Tanganyika African Association (TAA) iliyopelekea kuundwa TANU mwaka 1954 kilianzishwa na viongozi wake walikuwa ni wale wale wa Jumuiya mbili za waislamu.



v. Sheikh Suleiman Takadir alikuwa mwenyekiti wa Baraza la wazee la TANU ambapo kabla ya Nyerere kukaribishwa na kuchukua uongozi wa chama ambapo ubaguzi wake ulidhiri dhidi ya Suleiman Takadir na waislamu wenzake.



vi. Mnamo mwaka 1957, waislamu walianzisha chama kingine cha siasa cha Kiislamu kiitwaco “All Muslim National Union of Tanganyika” (AMNUT) kwa lengo la kupigania haki kwa wote baada ya kupoteza imani na TANU.



vii. Kwa vile wakristo wengi ndio walionekana ndio wasomi, walihodhi nafasi nyeti za uongozi serikalini huku wakiwashadidia waislamu kutochanganya “dini na siasa” na kuhakikisha waislamu hawazidiki kamwe.

viii. Waislamu kupitia jumuiya ya East African Muslim Welfair Society (EAMWS) walianzimia kuanzisha chuo kikuu cha kwanza cha Kiislamu Afrika Mashariki baada ya kufanikiwa kumiliki idadi kadhaa ya shule za msingi na sekondari.



                   

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2018-08-01 Topic: Sira Main: Dini File: Download PDF Views 2669

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 ai web app    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 Bongolite - Game zone - Play free game    👉4 Madrasa kiganjani    👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉6 web hosting   

Post zinazofanana:

vita vya ahzab, sababu ya kutokea vita hivi na mafunzo tunayoyapata

Vita vya Ahzab- Maquraish waliungana na mayahudi, wanafiki na makabila mengine ya waarabu baada ya kuona kuwa wao peke yao hawawezi kuufuta Uislamu.

Soma Zaidi...
Vitimbi vya Wapinzani Dhidi ya Ujumbe wa Nabii Shu’ayb(a.s)

Kama ilivyokuwa katika kaumu zilizotangulia, waliomuamini Shu’ayb(a.

Soma Zaidi...
Zakaria(a.s) Akabidhiwa Ulezi wa Maryam

Baada ya kupigwa kura juu ya nani awe mlezi wa Maryam, Nabii Zakaria akachaguliwa kuwa mlezi wa Maryam.

Soma Zaidi...
MTUME MUHAMMAD (S.A.W) KULELEWA NA BABA YAKE MDOGO MTUME (ABU TALIB)

KULELEWA NA BABA YAKE MDOGOBaada ya kufariki kwa mzee huyu, kiongozi mkubwa wa maquraysh na makkah, kiongozi ambaye jeshi la Abrah liliangamizwa ndani ya utawala wake.

Soma Zaidi...
Ni jitihada gan alizo zifanya sayyidna othman katika kuihifadh qur an ?

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Jitihada alizozifanya Khalifa wa Tatu katika kuilinda Quran

Soma Zaidi...
Kwanini mwanadamu hawezi kuunda dini sahihi

Dini anayostahiki kufuata mwanadamu (EDK form 2 dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...