Mchango wa Waislamu Katika Kuleta Uhuru Tanganyika

i.

Mchango wa Waislamu Katika Kuleta Uhuru Tanganyika

Mchango wa Waislamu Katika Kuleta Uhuru Tanganyika

i. Harakati zote za kung’oa tawala na serikali za kikoloni Tanganyika ziliongozwa na kusimamiwa na Machifu na waislamu wakiwemo;
- Chifu Mkwawa wa Uhehe, Kalenga, Iringa na vita vya maji maji

- Chifu Isike wa Unyanyembe, Tabora, n.k

- Ali Songea Mbano na Suleman Mamba (Kinjekitile) wa Songea -.Ruvuma



ii. Waislamu ndio walioanzisha migomo kazini kupinga dhulma za serikali za kikoloni katika bandari za Tanga na Dar es Salaam miaka ya 1939 na 1947 mpaka vikaanzishwa vyama vya wafanya kazi ili kutetea haki zao.


iii. Kwa kutumia fursa ya vyama vya wafanyakazi, waislamu walianzisha jumuiya

(vyama viwili) ambavyo ni;

- Al-Jamia’tul Isilamiyya Fiy Tanganyika na

- Da’awat Al-Islamiyya



iv. Mwaka 1929, Tanganyika African Association (TAA) iliyopelekea kuundwa TANU mwaka 1954 kilianzishwa na viongozi wake walikuwa ni wale wale wa Jumuiya mbili za waislamu.



v. Sheikh Suleiman Takadir alikuwa mwenyekiti wa Baraza la wazee la TANU ambapo kabla ya Nyerere kukaribishwa na kuchukua uongozi wa chama ambapo ubaguzi wake ulidhiri dhidi ya Suleiman Takadir na waislamu wenzake.



vi. Mnamo mwaka 1957, waislamu walianzisha chama kingine cha siasa cha Kiislamu kiitwaco “All Muslim National Union of Tanganyika” (AMNUT) kwa lengo la kupigania haki kwa wote baada ya kupoteza imani na TANU.



vii. Kwa vile wakristo wengi ndio walionekana ndio wasomi, walihodhi nafasi nyeti za uongozi serikalini huku wakiwashadidia waislamu kutochanganya “dini na siasa” na kuhakikisha waislamu hawazidiki kamwe.

viii. Waislamu kupitia jumuiya ya East African Muslim Welfair Society (EAMWS) walianzimia kuanzisha chuo kikuu cha kwanza cha Kiislamu Afrika Mashariki baada ya kufanikiwa kumiliki idadi kadhaa ya shule za msingi na sekondari.



                   

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Sira Main: Dini File: Download PDF Views 1139

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 Simulizi za Hadithi Audio    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

Mafunzo yatokanayo na mkataba wa aqabah katika kuandaa ummah

Bara arabu zama za jahiliyyah (EDK form 2 dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
vita vya ahzab, sababu ya kutokea vita hivi na mafunzo tunayoyapata

Vita vya Ahzab- Maquraish waliungana na mayahudi, wanafiki na makabila mengine ya waarabu baada ya kuona kuwa wao peke yao hawawezi kuufuta Uislamu.

Soma Zaidi...
Hatua mbili kuu za kushuka kwa Quran

Quran (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
tarekh11

KUKUTANA NA BAHIRA (MTAWA) WA KIYAHUDIMzee Abu talib alikuwa ni mfanya biashara, hivyoslikuwa akimchukuwa kijana wake kwenda kwenye biashara.

Soma Zaidi...
Ukasha bin Mihsan ni Sahaba aliyechangamkia Fursa

Katika somo hili utakwnda kujifunz anamna nambavyo Sahaba Ukasha alivyochangamkia fursa katika mambo ya heri

Soma Zaidi...
NINI MAANA YA SWALA (SALA AU KUSWALI), KILUGHA NA KISHERIA KATIKA UISLAMU

Maana ya Swala Maana ya Swala kilugha(a) Kilugha Katika lugha ya Kiarabu neno Swalaat lina maana ya ombi au dua.

Soma Zaidi...