picha

Muhutasari wa sifa za wanafiki

Kwa kuzingatia aya zote tulizozipitia juu ya wanafikitunaweza kutoa majumuisho ya sifa za wanafiki kama ifuatavyo:- (1)Hutenda kinyume cha imani wanaodai kuwa nayo.

Muhutasari wa sifa za wanafiki

Muhutasari wa sifa za wanafiki


Kwa kuzingatia aya zote tulizozipitia juu ya wanafikitunaweza kutoa majumuisho ya sifa za wanafiki kama ifuatavyo:-
(1)Hutenda kinyume cha imani wanaodai kuwa nayo.


(2)Hujaribu kumdanganya Mwenyezi Mungu pamoja na waumini wakidhani kuwa yaliyo nyoyoni mwao hayajulikani.


(3)Hufanya maovu katika ardhi huku wakidai kuwa wanatenda mema.


(4)Huwaona waumini wa kweli kuwa ni wajinga kwa kufuata kwao Uislamu inavyotakikana.


(5)Huwacheza shere Waislamu.


(6)Hujiiona kuwa wao ni bora kuliko waumini


(7)Hujikomba kwa viongozi wa kitwaaghuti.


(8)Huwafanya makafiri na Washirikina kuwa marafiki zao wa ndani badala ya Allah(s.w) Mtume wake na waumini.


(9)Huyapenda zadi maslahi ya dunia kuliko ya akhera.


(10)Hukataa kuhukumiwa na sheria za Allah (s.w).


(11)Hutumia viapo kama kifuniko cha maovu yao.


(12)Huchanganya haki na batili, kufuru na Uislamu.


(13)Huendea swala kwa uvivu.


(14)Hawamtaji Allah ila kidogo sana.


(15)Huwafitinisha Waislamu.


(16)Huchukia Waislamu wanapofikwa na kheri na kufurahia wanapofikwa na msiba.


(17)Hawako tayari kutoa mali zao katika njia ya Allah (s.w) na wakitoa chochote hutoa kwa ria


(18)Huwazuia watu kutoka katika njia ya Allah.


(19)Huzifanyia stihizai (shere) aya za Qur-an.


(20)Huamrisha maovu na kukataza mema.


(21)Husema uongo na kuvunja ahadi.


(22)Huwa vunja moyo na kuwakatisha tamaa Waislamu wa kweli ili wabakie katika ukafiri sawa na wao.


(23)Hufanya hiyana katika mambo ya kheri na kuchagua mambo mepesi mepesi.


(24)Wanawaogopa na kuwachelea watu zaidi kuliko Allah (s.w).


(25)Hush irikiana na maadui kuupiga vita Uislamu na Waislamu.



                   

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2018-08-01 Topic: Sira Main: Dini File: Download PDF Views 1102

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 Bongolite - Game zone - Play free game    👉5 Dua za Mitume na Manabii    👉6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana:

Mapambano ya waislamu dhidi ya maadui wa kiyahudi madina

Mayahud Mwanzoni Mayahud walipoona kuwa Waislamu wanafunga siku ya Ashura pamoja nao na wanaelekea Qibla cha Baitul- Muqaddas pamoja nao hawakuonyesha chuki ya dhahiri dhidi ya Mtume(s.

Soma Zaidi...
Ukasha bin Mihsan ni Sahaba aliyechangamkia Fursa

Katika somo hili utakwnda kujifunz anamna nambavyo Sahaba Ukasha alivyochangamkia fursa katika mambo ya heri

Soma Zaidi...
NI UPI MKATABA WA AL-FUDHUL NA ASILI YAKE, ATHARI ZAKE NA WALOHUSIKA

MKATABA WA AL-FUDHULBaada ya vita hivi viongozi wa pande mbili hizi waliamuwa wakae chini na wakubaliane kuweka kanun i na utaratibu utakaozuia kutotokea uonevu kama huuu tena.

Soma Zaidi...