Upinzani Dhidi ya Dola ya Kiislamu Wakati wa Makhalifa

Upinzani Dhidi ya Dola ya Kiislamu Wakati wa Makhalifa

Upinzani Dhidi ya Dola ya Kiislamu Wakati wa Makhalifa

Katika kipindi cha Makhalifa wanne wa Mtume (s.a.w), maadui wa Dola ya Kiislamu ni wale wale waliokabiliana na Mtume na kuainishwa katika Qur-an japo walitofautiana kimbinu kulingana na mazingira. Maadui wakubwa walioainishwa katika Qur-an ni:

(i) Adui mkubwa – Sheitwaan (katika Majini na Watu) anayepambana kwa kuishawishi na kuipambia nafsi ya mtu ili imuasi Mola wake.

(ii) Makafiri na Washirikina – Wanaotaka mifumo yao ya maisha iwe juu ya Uislamu.

(iii) Wanafiki – wanaotaka kuishi maisha ya mseto baina ya Uislamu na ukafiri kwa ajili ya maslahi ya dunia.

(iv)Mayahudi - husuda na chuki yao dhidi ya Uislamu ilibainika tangu wakati wa Mtume(s.a.w) - kwa ajili ya kuipenda dunia kuliko akhera.

(v) Wakristo wanachuki na husuda dhidi ya Uislamu kama Mayahudi.



                   

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Sira Main: Dini File: Download PDF Views 1598

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
πŸ‘‰1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    πŸ‘‰2 Bongolite - Game zone - Play free game    πŸ‘‰3 Dua za Mitume na Manabii    πŸ‘‰4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    πŸ‘‰5 web hosting    πŸ‘‰6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

MTUME MUHAMMAD (S.A.W) KULELEWA NA BABA YAKE MDOGO MTUME (ABU TALIB)

KULELEWA NA BABA YAKE MDOGOBaada ya kufariki kwa mzee huyu, kiongozi mkubwa wa maquraysh na makkah, kiongozi ambaye jeshi la Abrah liliangamizwa ndani ya utawala wake.

Soma Zaidi...
Mtume Muhammad alelewa na mama yake mzazi akiwa na umri wa miaka 4.

Sura na historia ya Mtume Muhammad S.A.W sehemu ya 8. Hapa utajifunza malezi ya Mtume kutokakwa Halimavkuja kwa mama yake.

Soma Zaidi...
Maana ya Funga ya ramadhani kisheria na Aina za funga

Amesema mtume (s.a.w) kuwa Allah (s.w) amesema: kila amali ya mwanaadamu ni kwa ajili yake isipokuwa funga.

Soma Zaidi...
Historia ya Dhulqarnain

Dhulqarnain sio jina la mtu bali cheo, maana yake ikiwa: β€œMwenye Pembe Mbili”.

Soma Zaidi...