Mafunzo Yatokanayo na Historia ya Nabii Shu’ayb(a.s).

Kutokana na kisa cha Nabii Shu’ayb(a.

Mafunzo Yatokanayo na Historia ya Nabii Shu’ayb(a.s).

Mafunzo Yatokanayo na Historia ya Nabii Shu’ayb(a.s).



Kutokana na kisa cha Nabii Shu’ayb(a.s) tunajifunza yafuatayo:



(i) Waislamu tunadhima ya kusimamisha uchumi halali katika jamii pamoja na kuamrisha mema na kukataza maovu kwa ujumla.



(ii) Tusimchelee yeyote katika harakati za kuhuisha na kusimamisha Uislamu katika jamii.



(iii) Tukisimama kidete kuifuata na kuisimamisha Dini ya Allah (s.w)katika jamii Allah(s.w) atatunusuru na kuthubutisha miguu yetu juu ya makafiri.



(iv) Waislamu wakijizatiti kusimamisha Uislamu katika jamii watawashinda makafiri pamoja na nguvu kubwa za kiuchumi na kijeshi walizonazo.



                   

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Sira Main: Dini File: Download PDF Views 1292

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana: