Kutokana na kisa cha Nabii Shu’ayb(a.
Kutokana na kisa cha Nabii Shu’ayb(a.s) tunajifunza yafuatayo:
(i) Waislamu tunadhima ya kusimamisha uchumi halali katika jamii pamoja na kuamrisha mema na kukataza maovu kwa ujumla.
(ii) Tusimchelee yeyote katika harakati za kuhuisha na kusimamisha Uislamu katika jamii.
(iii) Tukisimama kidete kuifuata na kuisimamisha Dini ya Allah (s.w)katika jamii Allah(s.w) atatunusuru na kuthubutisha miguu yetu juu ya makafiri.
(iv) Waislamu wakijizatiti kusimamisha Uislamu katika jamii watawashinda makafiri pamoja na nguvu kubwa za kiuchumi na kijeshi walizonazo.
Umeionaje Makala hii.. ?
Bara arabu zama za jahiliyyah (EDK form 2 dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Kama Mitume waliotangulia, Nabii Salih(a.
Soma Zaidi...Bara arabu zama za jahiliyyah (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...“Na (kumbukeni habari hii) Mola wake alipomfanyia mtihani (Nabii) Ibrahiim kwa amri nyingi; naye akazitimiza.
Soma Zaidi...Mbinu walizotumia Makafiri wa Kiqureish katika kuupinga Uislamu Makkah.
Soma Zaidi...Musa alipotimiza muda, alifunga safari na ahali zake kurejea Misri.
Soma Zaidi...Dini anayostahiki kufuata mwanadamu (EDK form 2 dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...