Imam Tirmidh na Jami'u At-Tirmidh
Imam Tirmidh
Imamu Tirmidh alikuwa mwanazuoni mkubwa. Pamoja na kitabu chake cha Hadith aliandika vitabu vingine vya Sharia na Tarekh. Alisafiri sana katika kukusanya Hadith katika nchi za Khurasan, Iraq na Hijaz.
Kitabu chake cha Hadith kinachojulikana kwa jina la Jamiโu kimemfanya kuwa maarufu sana. Alikuwa mwanazuoni wa kwanza kuchambua Hadith kutokana na majina ya wasimulizi. Alizingatia majina yao, majina yao ya ukoo, majina ya utani, n.k. Jami'u ina Hadith chache zaidi ukilinganisha na Sahihi Bukhari na Sahihi Muslim.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
๐1 ai web app ๐2 kitabu cha Simulizi ๐3 Madrasa kiganjani ๐4 Dua za Mitume na Manabii ๐5 Tafasiri ya Riyadh Swalihina ๐6 Kitau cha Fiqh
Post zinazofanana:
Jinsi tukio la Karatasi lilivyotokea wakati wa Mtume siku chache kabla ya kifo chake
Tukio la kartasiTukio la โkartasiโ lililonakiliwa katika vitabu vya Muslim na Bukhari kuwa siku tatu kabla ya kutawafu Mtume (s.
Soma Zaidi...Vitimbi vya Wapinzani Dhidi ya Ujumbe wa Nabii Shuโayb(a.s)
Kama ilivyokuwa katika kaumu zilizotangulia, waliomuamini Shuโayb(a.
Soma Zaidi...