MAGONJWA

picha
UGONJWA WA KASWENDE

Kaswende ni maambukizi ya bakteria kawaida huenezwa kwa kujamiiana pia ugonjwa huu hujulikana kama syphilis. Ugonjwa huu huanza kama kidonda kisicho na maumivu kwa kawaida kwenye sehemu zako za siri, rektamu au mdomo
picha
FAHAMU KUHUSU UGONJWA WA VIDONDA VYA TUMBO (PEPTIC ULCERS)

Vidonda vya tumbo ni vidonda vilivyo wazi vinavyotokea kwenye utando wa ndani wa umio, tumbo na sehemu ya juu ya utumbo wako. Dalili ya kawaida ya Peptic ulcer ni maumivu ya tumbo. Vidonda vya tumbo ni pamoja na: Vidonda vya tumbo vinavyotokea ndani
picha
AINA ZA VYAKULA SOMO LA 13: FAIDA ZA BAMIA

Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu faida za bamia mwilini
picha
DALILI NA SABABU ZA MAWE KWENYE IN YAANI LIVER STONE AU INTRAHEPATIC STONES

Katika post hii utakwend akujifunza kuhusu tatizo la kuwa na vijiwe kwenye ini vijiwe hivi hufahamika kama intrahepatic stones.
picha
DALILI ZA HOMA YA INI

Kaika post hii utakwenda kujifunz akuhusu dalili za homa ya ini. Dalili hizi sio lazima zitokee zote. Zinaweza zikatokea baadhi tu na ikatosha kuonjesha kuw auna homa ya ini.
picha
ZIJUWE KAZI ZA INI MWILINI

Katika somo hili na yanayofuata utajifunz akuhusu ini. Post hii ina muendelezo wa post zinazofuat. Katika mfululizo huuutajifunz akuhusu ini na maradhi yake na kujiking nayo.
picha
JINSI YA KUJILINDA NA MARADHI YA INI

Hapa nitakueleza namna ambavyounaweza kupunguza hatari ya kupata maradhi ya ini. Kwa njia hizi unaweza kujikina wewe na wengineo na maradhi haya hatari ya ini.
picha
YAJUWE MARADHI MBALMBALI YA INI NA CHANO CHAKE

Ini ni moja ya ogani za mwili ambazo husumbuliwa na maradhi hatari sana. Katika post hii utakwend akuyajuwa maradh hatari ambayo hushambulia ini. Pia utajifunza jinsi a kujikinga na maradhi hayo.
picha
HOMA YA INI NINI NINI, NA HUSABABISHWA NA NINI

Katika post hii utajifunza maana ya homa ya ini. Pia utajifunza chanzo kinachosababisha homa ya ini. Makala hii itakuwa endelevu hivyo usikose muendelezo wake.
picha
UGONJWA WA MALARIA DALILI ZAKE NA CHANZO CHAKE.

Malaria ni moja ya magonjwa hatari yanayoongoza katika vifo vya watoto wengi duniani walio chni ya umri wa miaka 5. Katika post hii utakwend akujifunza kuhusuugonjwa huu jinsi unavyotokea, hatuwa zake na dalili zake.
picha
UJUWE UGONJWA WA GOUT NA ATHARI ZAKE MWILINI

Post hii itakwenda kuzungumzia ugonjwa wa gout unaosababishwa na ongezeko la asidi mwilini.
picha
DALILI, CHANZO, SABABU NA VMAMBO HATARI KUHUSU KIFUA KIKUU

Katika makala hii utajifunza kuhusu kifua kikuu, dalili zake, sababu zake, chanzo chake na mambo hatari kwa mgonjwa.
picha
UGONJWA WA VITILIGO, CHANZO, DALILI NA MATIBABU YAKE

Katika post hii utajifunza kuhusu ugonjwa wa vitiligo, chanzo chake, dalili zake na matibabu yaje
picha
SABABU ZA MAUMIVU YA TUMBO

hapa utajifunza maradhi mbalimbali yanatopelekea kuwepo kwa maumivu ya tumbo
picha
DALILI ZA MKOJO MCHAFU NA RANGI ZA MKOJO NA MKOJO MCHAFU

Hapautajifunza rangi kuu za mkojo na dalili zako kiafya, mkojo mchafu na dalili zake
picha
UFAHAMU UGONJWA WA UTI NA DALILI ZAKE HASA KWA WAJAWAZITO

Wajawazito wanaposumbuliwa na ugonjwa wa UTI, dalili za UTI na namna ya Kujikinga na UTI
picha
SABABU ZA MAUMIVU YA TUMBO KWA CHINI UAPANDE WA KUSHOTO

Zijuwe sababu kuu zinazokufanya ukahisi maumivu makali ya tumbo kwa chini upande wa kushoto
picha
MAUMIVU YA TUMBO KITOMVUNI, SABABU ZAKE NA DALILI ZAKE

Hapa utajifunza sababu za kuwepo na maumovu ya tumbe kitomvuni.
picha
UGONJWA WA MALARIA NA TAKWIMU ZA ATHARI YAKE KIDUNIA

Malaria ni katika maradhi ambayo husambazwa na na mbu jike aina ya anopheles.
picha
MJUE MBU, NA YAJUWE MARADHI MAKUU MATANO (5) HATARI YANAYOAMBUKIZWA NA MBU, MALARIA KUKAMATA NAMBA MOJA KWENYE MARADHI HAYO)

Mbu ni katika wadudu ambao husababisja vifo vya maelfu kila mwaka, na mamilioni ya watu wanaathirika na maradhi yaletwayo na mbu.
picha
MATIBABU YA FANGASI

Karibia fangasi wote hawa wanatibika bila ya ugumu wowote maka mgonjwa atakamilisha dozi.
picha
MATIBABU YA VIDONDA VYA TUMBO

MWISHO Vidonda vya tumbo vinatibika bila ya shaka.
picha
KUJIANDAA KWA AJILI YA KUMUONA DAKTARI

KUJIANDAA KWA AJILI YA KUMUONA DAKTARI Fanya miadi na daktari wako wa kawaida ikiwa una ishara au dalili zinazokupa wasiwasi.
picha
FIKRA POTOFY KUHUSU VIDONDA VYA TUMBO

FIKRA POTOFY KUHUSU VIDONDA VYA TUMBO Vidonda vya tumbo huja na maoni mengi potofu.
picha
NAMNA YA KUISHI NA VIDONDA VYA TUMBO

NAMNA YA KUISHI NA VIDONDA VYA TUMBO Unaweza kupata nafuu kutoka kwa maumivu ya kidonda cha tumbo ikiwa utafata taratibu za kiafya kama:- 1.
picha
MTAMBUE MDUDU MBU ILI UWEZE KUJIKINGA NA UGONJWA WA MALARIA (YAJUWE MAAJABU MAKUBWA YA MDUDU MBU)

Mbu ni katika wadudu wanaopatikana maeneo yenye joto hususan maeneo ynye hali ya hewa ya kitropik.
picha
DAWA MBADALA ZA VIDONDA VYA TUMBO

DAWA MBADALA ZA VIDONDA VYA TUMBO Dawa za kukabiliana na zaidi ambazo zina calcium carbonate (Tums, Rolaids), zinaweza kusaidia kutibu vidonda vya tumbo lakini hazipaswi kutumiwa kama matibabu ya msingi.
picha
FANGASI WANAOJULIKANA KAMA BLASTOMYCES

Fangasi wanaojulikana kama Blastomyces, hawa ni fangasi wanaosababisha maradhi yajulikanayo kama blastomycosis.
picha
VIDONDA VYA TUMBO SUGU

VIDONDA VYA TUMBO SUGU Matibabu ya vidonda vya tumbo mara nyingi hufanikiwa, na kusababisha uponyaji wa vidonda.
picha
WATU WALIO HATARINI KWA UGONJWA WA MALARIA (WAZEE, WATOTO, WAJAWAZITO, WAGENI N.K)

Malaria inaweza kumpata mtu yeyote bila ya kujali mri.
picha
ATHARI ZA KIAFYA ZA KUTOTIBU MALARIA AU KUCHELEWA KUTIBU MALARIA

Pindi malaria isipotibiwa inaweza kufanya dalili ziendelee na hatimaye kusababisha kifo.
picha
MATIBABU YA VIDONDA VYA TUMBO

MATIBABU YA VIDONDA VYA TUMBO Matibabu ya vidonda vya tumbo inategemea sababu.
picha
FANGASI WATAMBULIKAO KAMA INVASIVE CANDIDIASIS

Hawa huweza kuingia kwenye mfumo wa damu na kuenda maeneo mengine nyeti sana ya mwili.
picha
NAMNA YA KUGUNDUA VIDONDA VYA TUMBO

NAMNA YA KUGUNDUA VIDONDA VYA TUMBO Ili kugundua vidonda, daktari wako anaweza kwanza kuchukua historia ya matibabu na kufanya uchunguzi wa mwili.
picha
FAIDA ZA KIAFYA ZA MINYOO: KUPUNGUZA ALEJI, KUCHOCHEA UTUNGAJI WA MIMBA, KUPONA KWA VIDONDA VYA NDANI

FAIDA ZA KIAFYA ZA MINYOO Wakati mwingine kuwa na aina flani ya minyoo kunaweza kuwa na faida katika afya.
picha
NJIA ZA KUKABILIANA NA MINYOO: KUOSHA MIKONO, KUWA MSAFI, KUVAA VIATU, MAJI SAFI, KUIVISHA NYAMA VYEMA

NJIA ZA KUKABILIANA NA MINYOO Kwa kuwa tumekwisha kuona namna ambavyo minyoo huenezwa, hivyo basi ni rahisi sasa kutaja namna ya kubambana na minyoo.
picha
ATHARI ZA KUTOTIBIWA VIDONDA VYA TUMBO

ATHARI ZA KUTOTIBIWA VIDONDA VYA TUMBO Kuachwa kwa vidonda vya tumbo bila kutibiwa, vinaweza kusababisha: Kutokwa na damu kwa ndani.
picha
FANGASI WA KWENYE UKE.

Fangasi hawa kitaalamu wanafahamika kama vagina yeast infection na majina mengine ya kitaalamu ni kama vagina candidiasis, u vulvovaginal candidiasis au candidal vaginitis.
picha
MAMBO HATARI KWA MWENYE VIDONDA VYA TUMBO

MAMBO HATARI KWA MWENYE VIDONDA VYA TUMBO Tukiachia mbali kuchukua dawa aina ya NSAIDs, unaweza kuwa na hatari ya kuongezeka kwa vidonda vya tumbo ikiwa: Utakuwa ni mvutaji wa sigara.
picha
TIBA YA MINYOO AU DAWA YA MINYOO: PRAZIQUANTEL (BILTRICIDE) MEBENDAZOLE (VERMOX, EMVERM) NA ALBENDAZOLE (ALBENZA).

TIBA YA MINYOO Moja katika sifa za minyoo ni kuwa wanatibika kwa urahisi pindi mgonjwa akipewa dawa husika.
picha
MALARIA INATOKEAJE? (NAMNA AMBAVYO MALARIA INATOKEA, INAANZA NA INAVYOATHIRI AFYA)

Kama tulivyokwisha kuona kuwa malaria inaweza kuambukizwa kwa kung'atwa na mbu aina ya anophelesi.
picha
VIPIMO VYA MINYOO (UTAJUAJE KAMA UNA MINYOO)? FECAL TEST, BLOOD TEST, COLONOSCOPY TAPE TEST X-RAY, MRI NA CT SCAN.

VIPIMO VYA MINYOO Haitoshelezi kuwa na dalili pekee ukathibitisha kuwa una minyoo.
picha
HATUA ZA KUJIKINGA NA VIDONDA VYA TUMBO

HATUA ZA KUJIKINGA NA VIDONDA VYA TUMBO Unaweza kupunguza hatari yako ya vidonda vya tumbo ikiwa unafuata mikakati sawa inayopendekezwa kama tiba ya nyumbani kutibu vidonda.
picha
FANGASI AINA YA CANDIDA

Huu ni ugonjwa wa fangasi wanaosababishwa na mashambulizi ya fangani aia ya yeast waitwao candida.
picha
VIPI VIDONDA VYA TUMBO VINATOKEA

VIPI VIDONDA VYA TUMBO VINATOKEA 1.
picha
ATHARI ZA KUTOKUTIBU MINYOO: MAUMIVU YA TUMBO, KICHWA, KUTAPIKA DAMU, KICHEFUCHEFU, MIWASHO

ATHARI ZA KUTOKUTIBU MINYOO Kukaa na minyoo na kutoitibu kwa muda mrefu kunaweza kusababisha madhara mengi hususani kwenye ini na maeneo mengine ya mfumo wa kumeng’enya chakula.
picha
FANGASI WANAOSABABISHA MAPUNYE DALILI ZAO NA JINSI YA KUPAMBANA NAO

Fangasi hawa ni maarufu sana kwa mapunye ya kichwani ama kwenye ngozi mikononi ama miguuni.
picha
NINI CHANZO CHA UGONJWA WA MALARIA? NI YUPI MBU ANAYESAMBAZA MALARIA

Malaria husababishwa na vimelea (parasite) ambavyo husambazwa ama kubebwa na mbu aina ya anopheles.
picha
SABABU ZA KUTOKEA KWA VIDONDA VYA TUMBO

SABABU ZA KUTOKEA KWA VIDONDA VYA TUMBO Sababu za kawaida za vidonda vya tumbo ni maambukizo na bakteria Helicobacter pylori (H.
picha
DALILI ZA MINYOO: MAUMIVU YA TUMBO, KICHWA, KUWASHWA, KUTAPIKA DAMU, MOYO KUUMWA, UKUAJI HAFIFU, UDHAIFU NA KUCHOKA

DALILI ZA MINYOO Wakati mwingine ni vigumu sana kujua kama una minyoo, kwani minyoo wanaweza kukaa ndani ya mwili kwa muda mrefu bila ya kuonesha dalili yeyote, ama madhara yeyote.
picha
FANGASI WA KWENYE KUCHA: DALILI ZAKE, NA KUMBAMBANA NAO

Hawa ni fangasi ambao wanashambulia sana kwenye kucha za vidole vya mikonobna miguu.
picha
VYANZO VYA MINYOO: NYAMA ISIYOWIVA, MAJI MACHAFU, KINYESI, UCHAFU WA MAZINGIRA, UDONGO

VYNZO VYA MINYOO Kama tulivyoona hapo mwanzo kuusu aina za minyoo, pia tumeona vyanzo vya minyoo hao kulingana na aina zao.
picha
NINI SABABU YA VIDONDA VYA TUMBO

NENO LA AWALI Hapa utaweza kujifunza mambo mengi kuhusu vidonda vyatumbo.
picha
WAJUE FANGASI, AINA ZAKE, DALILI ZAKE NA MATIBABU YAKE

Fangasi huweza kuishi na kuathiri maeneo mbalimbali ndani ya mwili.
picha
AINA ZA MINYOO: TAPEWORM, LIVEFLUKE, ROUNDWORM, HOOKWORM, FLATWORM

AINA ZA MINYOO Minyoo ambao wanaweza kuishi ndani ya mwili wa binadamu wapo aina nying, lakini hapa nitakueleza aina kuu tatu za minyoo hawa.
picha
JE..! NAWEZA KUAMBUKIZWA FANGASI KWA KUJAMIIANA NA MTU MWENYE FANGASI?

Je ukifanya mapenz na mtu mweny aina hi ya fangasi na akawa anayo maambukizi ya ukimwi.
picha
MAUMIVU MAKALI SANA JUU YA TUMBO YN KAMA KUNA MOTO HIVI NA MGONGON KAMA UNADUNGWA SINDANO HIVI JE HIZO NI DALILI ZA VIDONDA VYA TUMBO?

Dr huwa nasikia maumivu makali sana juu ya tumbo yn kama kuna moto hivi na mgongon kama unadungwa sindano hivi je hizo ni dalili za vidonda vya tumbo?
picha
JE MTU ANAWEZA KUSHIRIKI MAPENZI NA MTU MWENYE MAAMBUKIZI YA UKIMWI PASIPO KUAMBUKIZWA?

Naomba kuuliza swaliJe mtu anaweza kushiriki mapenzi na mtu mwenye maambukizi ya ukimwi pasipo kuambukizwa?
picha
MAPIGO YA MOYO KWENDA MBIO, MWILI KUCHOKA,KICHEFUCHEFU, KIZUNGUNGU, JOTO KIASI.

Je, mtu mwenye dalili zifuatazo Kama, Mapigo ya moyo kwenda mbio, mwili kuchoka,kichefuchefu, kizungungu, joto kiasi.
picha
NINA MAAMBUKIZI YA ZINAHA MAUMIVU WAKATI WA KUKOJOA NA USAHA

Mimi nilifanya ngono isiyo salama Tar 14/07 mwaka huu, nilikutana tu na mwanamke ambae sikuwa hata na background yake yoyote hivyo baada ya siku tatu nilijikuta nina maambukizi ya zinaha (maumivu wakati wa kukojoa na usaha), hivyo nilienda hospital na kup
picha
NAHIS MIGUU PAMOJA NA MIKONO KUISHIWA NGUVU NI MGONGO KUUMA NI DALILI ZA UGONJWA GAN ?

mm nahis miguu pamoja na mikono kuishiwa nguvu ni mgongo kuuma ni dalili za ugonjwa gan ?
picha
FANGASI WANAOJULIKANA KAMA BLASTOMYCES

Fangasi wanaojulikana kama Blastomyces, hawa ni fangasi wanaosababisha maradhi yajulikanayo kama blastomycosis.
picha
FANGASI WANAOJULIKANA KAMA BLASTOMYCES

Fangasi wanaojulikana kama Blastomyces, hawa ni fangasi wanaosababisha maradhi yajulikanayo kama blastomycosis.
picha
UKIWA NA ALEJI , AFU KUPATA MUWASHO KORODANI UNAPO JIKUNA UNGA KUTOKA NAYO FANGASI?

Swali langu: Ukiwa na areji , afu kupata muwasho korodani unapo jikuna unga kutoka nayo fangasi?
picha
TATIZO LA KUJAA MATE MDOMONI NIMEAMBIWA NINA MINYOO

Mie ni kijana wa kiume umri 33, nna tatizo la kujaa mate mdomoni nimeambiwa nna minyoo lakini hata nikinywa dawa sioni afadhali, niliona labda ni pombe nikapumzika kunywa tatizo lipo pale pale japo nisipokunywa haliwi kwa ukubwa ule ila lipo.
picha
NINASUMBULIWA SANA NA MAPUNYE YA KICHWANI NIMETUMIA DAWA TAKRIBANI MIAKA 3

Habari, samahani ninasumbuliwa Sana na mapunye ya kichwani nimetumia dawa takribani miaka 3 ila yanapona Tena baada ya Muda flani yanatokea.
picha
MALARIA NI NINI? NI WATU WANGAPI WANAKUFA KWA MALARIA DUNIANI

Malaria ni katika maradhi yanayosumbua sana na kusababisha maradhi ya watu wengi sana duniani.
picha
DONDOO 100

Basi tambua haya;- 1.
picha
UGNJWA WA UTI

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
picha
KISUKARI

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
picha
KISUKARI

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
picha
MARADHI YA MOYO

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
picha
AFYA NA MAGONJWA

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
picha
MARADHI YA MOYO: KUPALALAIZI, PRESHA, SHAMBULIZI LA MOYO, ATHEROSCLEROSIS;

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
picha
MARADHI MENGINE 10 YANAYOTOKANA NA MBU ( MATENDE, NGIRIMAJI, HOMA YA MANJANO, N.K

Tofauti na maradhi yaliyotajwa hapo juu pia tafiti za kisayansi zimethibitisha kuwepo kwa maradhi mengine hatari yanayosambazwa na mbu, kama vile ngirimaji pamoja na matende.
picha
SABABU ZA MDOMO KUWA MCHUNGU

Hapa utajifunza sababu zinzopelekea mdomo kubadilika ladha na kuwa mchungu, ama mchachu.
picha
DALILI ZA VIDONDA VYA TUMBO, MATIBABU NA DAWA ZAKE, SABABU ZA KUTOKEA KWAKE

Utajifunza chanzo cha vidonda vya tumbo, dalili zake, dawa na matibabu yake pamoja na njia za kujilinda na vidonda vya tumbo
picha
SABABU KUU ZA MAUMIVU YA TUMBO CHINI YA KITOMVU, TUMBO LA NGIRI NA CHANGO

Makala hii inakwenda kukuletea somo linalozungumzia maumivu ya tumbo chini ya kitomvu, na tumbo la ngiri kwa wanaume, na tumbo la chango kwa wanawake
picha
DALILI ZA UKIMWI HUCHUKUA MUDA GANI?

Makala hii itakwenda kukupa elimu juu ya maradhi haya ya ukimwi, dalili zake, tiba na kinga zake na mengineyo zaidi.
picha
NI NINI HUSABABISHA MATE KUJAA MDOMONI, NA NI YAPI MATIBABU YAKE

Hapa tutaangalia baadhi ya sababu zinazopelekea mdomo kujaa mate na namna ya kutibu tatizo la kujaa kwa mate mdomoni
picha
FIGO NI NINI, NI YAPI MARADHI YAKE NA NITAJIEPUSHA VIPI NA MARADHI YA FIGO

Makala hii itakwenda kukueleza ni nini hasa hizi figo, na ni yapi maradhi yake na ni kwa namna ggani utaweza kujilinda na maradhi ya figo.
picha
DALILI ZA UKIMWI SIKU ZA MWANZO

Makala hii inakwenda kukupa majibu ya maswali mengi kuhusu VVU na UKIMWI. tutakwenda kuona kwa ufupi historian a chanzo cha VVU na UKIMWI. hatuwa za maambukizi ya VVU na ukimwi na dalili zake za kuonekana toka kupata maambukizi. Pia hapa utajifunza namna
picha
YAMINYOO NA ATHARI ZAO KIAF

Kupata kitabu hiki download faili la PDF hapo chini na usome bila ya internet.
picha
VIDONDA VYA TUMBO

Kupata kitabu hiki download faili la PDF hapo chini na usome bila ya internet.
picha
DALILI ZA UKIMWI HUONEKANA BAADA YA MUDA GANI

Hapa utajifunza muda mabao dalili za VVU na UKIMWI huonekana, na kwa muda gani mgonjwa ataishi na UKIMWI bila ya kutumia ARV
picha
DALILI KUU 7 ZA MALARIA NA DAWA YA KUTIBU MALARIA

Makala hii itazungumzia dalili za Malaria, athari za kuchelewa kutibu malaria, na matibabu ya malaria
picha
DALILI ZA GONORRHEA - GONORIA

Jifunze dalili za gonorrhea na namna inavyoambukiza, zipi athari za gonori kwa wanawae na wanaume
picha
NI ZIPI DALILI ZA UKIMWI NA NI ZIPI DALILI ZA VVU

Ijuwe historia ya VVu, Dalili zake, tiba na vipimo vyake pia njia za kueneza VVU na UKIMWI
picha
DALILI ZA UTI KWA WANAUME NA WANAWAKE

tambuwa chanzo na dalili za UTI na tiba yake, pamoja na njia za kupambana na UTI
picha
DALILI ZA UKIMWI

Makala hii itaeleza dalili za ukimwi, dalili za VVU, magonjwa nyemelezi na matumizi ya ARV
picha
DALILI ZA HIV NA UKIMWI KWENYE ULIMI NA MDOMO

Dalili za HIV na UKIMWI kwenye mdomo na ulimi utaziomna hapa. hizi zinaweza kuwa ndio za kwanza kwa ambaye hajapima HIV
picha
SABABU NA CHANZO CHA VIDONDA VYA TUMBO

Zijuwe sababu za kutokea kwa vidonda vya tumbo. Sababu kuu za vidonda vya tumbo hizi hapa
picha
MASHARTI YA VIDONDA VYA TUMBO

Haya ni masharti ya mwenye vidonda vya tumbo. Mgojwa wa vidonda vya hatumbo hatakiwi kufanya yafuatayo
picha
DALILI KUU 7 ZA VIDONDA VYA TUMBO

Zijuwe dalili kuu 7 za vidonda vya tumbo, kama kiungulia, tumbo kujaa, maumivu ya umbo..
picha
UGONJWA WA KISEYEYE UPOJE NA NI ZIPI DALILI ZAKE

ugonjwa wa kiseyeye, chanzo chake vipi unatokea na ni zipi dalili zake. Yote haya utayapata hapa
picha
MAUMIVU MAKALI YA TUMBO LA CHANGO WAKATI WA HEDHI NA SABABU ZAKE

Kwa nini unapata maumivu makali wakati wa kuingia hedhi, je unajuwa sababu za maumivu makali ya tumbo la chago.
picha
MARADHI YA MACHO, DALILI ZAKE NA MATIBABU YAKE

Makala hii itakufundisha maradho makuu ya macho, matibabu yake na tiba zake
picha
KIUNGULIA, DAWA YAKE NA NAMNA YA KUZUIA KIUNGULIA

Tambuwa kiungulia, sababu zake, dawa za kiungulia na namna ya kupambana na kiungulia
picha
DALILI ZA MKOJO MCHAFU NA RANGI ZA MKOJO NA MKOJO MCHAFU

Hapautajifunza rangi kuu za mkojo na dalili zako kiafya, mkojo mchafu na dalili zake
picha
PRESHA YA KUSHUKA (HYPOTENSION) DALILI ZAKE NA NJIA YA KUKABILIANA NAYO

Presha ya kushuka ama kitaalamu huitwa hypotension, presha ya kushuka ni hatari kwa afya kama ilivyo presha ya kupanda, maana mwili unakosa nguvu kabisa.
picha
DALILI ZA UGONJWA WA GONORIA (GONORRHEA)

UGONJWA WA GONORIA NA DALILI ZAKE (GONORRHEA)Gonoria (gonorrhea) ni katika maradhi yanayoambukizwa kwa njia ya ngono.
picha
DALILI ZA KWANZA ZA HIV NA UKIMWI KUANZIA WIKI YA KWANZA TOKA KUATHIRIKA

DALILI ZA HIV ZA MWANZO NA DALILI ZA UKIMWI ZA MWANZO Kama ilivyo magonjwa mengi hupitia hatua kadha kadha na kuonyesha dalili kadha katika hatua hizo.
picha
HOMA YA DENGUE, DALILI ZA HOMA YA DENGUE NA NJIA YA KUJIKINGA NAYO

HOMA YA DENGUEHoma ya dengue ni miongoni mwa maradhi hatari ambayo husambazwa na mbu.
picha
HOMA YA MANJANO, DALILI ZA HOMA YA MANJANO NA NAMNA YA KUJIKINGA NA HOMA YA MANJANO

HOMA YA MANJANO (yellow fever)Homa ya manjano ni maradhi yanayosababishwa na virusi na husambazwa na mbu.
picha
MARADHI YA INI NA DALILI ZAKE, NA VIPI UTAJIKINGA NAYO

MAGONJWA YA INI NA DALILIZAKE, NA KUKABILIANA NAYO Ini ni katika viungo vikuu katika mwili wa binadamu.
picha
MATATOZO KATIKA CHOO KIDOGO, MARADHI YA FIGO NA DALILI ZAKE PIA NAMNA YA KUJIKINGA NA MADHRADHI YA FIGO

MATATIZO YA CHOO KIDOGO NA FIGOFigo ni kiungo muhimu sana katika uchujaji wa mkojo, na afya ya mfumo wa utoaji taka mwili.
picha
VIRUSI VYA KORONA AU CORONA (CORONAVIRUS)

Virusi vya korona ni katika aina za virusi ambavyo asili yake ni kutoka kwa wanyama na kuja kwa binadamu.
picha
DALILI ZA HOMA YA BONDE LA UFA (RVFD) NA INAVYOSAMBAZWA.

Homa hii inapatikana katika maeneo ya bonde la ufa barani Afrika na na Mashariki ya kati.
picha
IJUE HOMA YA CHIKUNGUNYA (CHIKV) DALILI ZAKE, TIBA YAKE, CHANJO YAKE, NA MBU ANAYESAMBAZA HOMA HII

Haya ni maradhi ambayo husambazwa kutoka kwa mtu kwenda kwa mtu kwa kupitia mbu.
picha
UGONJWA WA HOMA YA VIRUSI VYA ZIKA (ZIKV) VINAVYO SABABISHWA NA KUNG'ATWA NA MBU

Mnamo mwaka 2016 World Health Organization (WHO) iliitisha kikao cha dharura mnamo mwezi tarehe 1 mwezi wa pili mpaka tarehe 13 mwezi wa nne.
picha
FANGASI, AINA ZAO, DALILI ZAO NA MATIBABU YAO

Fangasi na Aina zao Fangasi wa kwenye kucha Fangasi wa Mapunye Fangasi aina ya candida Fangasi wa Mdomoni na kooni Fangasi wa kwenye uke Fangasi wanaoshambulia mfumo wa damu na ogran kama moyo, figo n.
picha
JE UNAIJUWA UGONJWA WA BAWASIRI

Katika post hii nitakwenda kukujuza kuhusu ugonjwa wa bawasiri
picha
AINA ZA AJALI KWENYE KIFUA,

Post hii inahusu Zaidi aina za ajali kwenye kifua,pamoja na kifua kuwa na sehemu mbalimbali na pia na ajali ambazo utokea Huwa za aina mbalimbali kama tutakavyoona.
picha
FAHAMU AJALI AMBAZO UTOKEA KWENYE KIFUA

Post hii inahusu Zaidi ajalia ambazo utokea kwenye kifua Kwa kitaalamu huitwa chest injury,Kwa kawaida kwenye kifua kua sehemu mbalimbali kama vile mapafu,moyo,koo na sehemu mbalimbali, sehemu hizi uweza kupata ajali na kusababisha madhara makubwa,Kwa hiy
picha
MADHARA YA KUWEPO KWA USAHA KWENYE MAPAFU

Post hii inahusu Zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea Kwa mgonjwa mweye usaha kwenye mapafu.
picha
NJIA ZA KUGUNDUA TATIZO LA KUWEPO KWA USAHA KWENYE MAPAFU

Post hii inahusu Zaidi njia mbali mbali ambazo uweza kitumiwa na wataalamu ili kuweza kugundua tatizo la kuwepo Kwa usaha kwenye mapafu.
picha
DALILI ZA KUWEPO KWA USAHA KWENYE MAPAFU

Post hii inahusu Zaidi dalili za kuwepo Kwa usaha kwenye mapafu, ni dalili ambazo zinaweza kujitokeza Kwa mgonjwa,Kwa hiyo baada ya kuona dalili hizi mgonjwa anapaswa kuwahi hospital mara moja Kwa ajili ya matibabu.
picha
DALILI ZA UKIMWI KWA MWANAUME

Katika post hii utakwenda kujifunza zaidi khusu dalili za ukimwi ama HIV kwa wanaume
picha
DALILI ZA MWANZO ZA UKIMWI KWA MWANAMKE

Katika makala hii utakwenda kuzijuwa baadhi ya dalili za ukimwi ama HIV kwa mwanamke
picha
WALIO KWENYE HATARI YA KUPATA USAHA KWENYE MAPAFU

Post hii inahusu Zaidi watu walio kwenye hatari ya kupata usaha kwenye mapafu, pamoja na kuwepo Kwa sababu zinazopekekea kupata tatizo la kuwepo Kwa usaha kwenye mapafu ila Kuna watu wenye hali Fulani wako kwenye hatari ya kupata usaha kwenye mapafu kama
picha
TATIZO LA MAPAFU KUWA NA USAHA.

Post hii inahusu Zaidi tatizo la kuwepo Kwa usaha kwenye mapafu,ni tatizo ambalo usababishwa na bakteria ambao uingia kwenye mapafu na kusababisha madhara na hatimaye mapafu kuwa na usaha .
picha
DALILI ZA AWALI ZA UGONJWA WA KIZUKARI

ugonjwa wa kisukari ni moja katika magonjwa hatari sana, na mpaka sasa bado hauna matibabu ya kuponya moja kwa moja
picha
NI BAKTERIA GANI HUSABABISHA UGONJWA WA PUMU

Post hii inakwenda kujibu swali linalosema je ni bakteria aina gani husababisha igonjwa wa pumu.
picha
AINA MBALIMBALI ZA MICHUBUKO

Post hii inahusu zaidi aina mbalimbali za michubuko,kwa Sababu michubuko utokea sehemu tofauti tofauti na pia Kuna aina mbalimbali kama tutakavyoona hapo mbeleni.
picha
MAAJABU YA DAMU NA MZUNGUUKO WAKE MWILINI.

Ukistaajabu ya Musa utastaajabu ya Firauni. Haya ni maneno ya wahenga. Sasa hebu njoo u staajabu ya damu
picha
HABARI ZA LEO NDUGU ZANGU MIMI NI DALILI ZIPI HASA ZA AWALI ZINAZOASHIRIA UMEAMBUKIZWA UKIMWI

Anataka kujuwa dalili za awali za kujuwa kuwa umeathirika na UKIMWI
picha
JE UTAWEZA KUAMBUKIZA HIV UKIWA UNATUMIA PREP?

Swali hili limeulizwa na mdau mmoja. Kuwa endapo mtu atafanya ngono zembe na akapata virusi je ataweza kuambukiza.
picha
HETI KAMA MTU KAFANY MAPENZI NA MTU MWE UKIMWI SIKU HIHIYO AKENDA HOSPITALI KAPEWA DAWA KWELI HATAWEZA KUWABUKIZWA

Swali hili limeulizwa na mdau mmoja. Kuwa endapo mtu atafanya ngono zembe na akapata virusi je ataweza kuambukiza.
picha
NINI SABABU YA KUCHUBUKA MIDOMO NA KUWA MYEUPE

Kama una tatizo la midomo kuchubuka na kuwa myeupe ama kuwa na vidonda. Post hii inakwenda kuangalia swala hili.
picha
NAMNA YA KUGUNDUA MTU MWENYE KASWENDE.

Post hii inahusu zaidi njia za kumgundua mgonjwa wa kaswende, njia hizi utumika baada ya kuongea na mgonjwa kuhusu maisha yake hasa kujamiiana na watu mbalimbali.
picha
DALILI ZA UGONJWA WA KASWENDE

Post hii inahusu zaidi dalili za ugonjwa wa kaswende kwa wajawazito, hizi ni dalili ambazo ujitokeza kwa watu wote, kwa sababu ugonjwa huu una dalili ambazo upitia kwa hatua mbalimbali kama tutakavyoona.
picha
FAHAMU UGONJWA WA KASWENDE WAKATI WA UJAUZITO.

Post hii inahusu zaidi ugonjwa wa kaswende wakati wa ujauzito, kaswende inaweza kukaa kwa mtu zaidi ya miaka mingi bila kuleta madhara ya moja kwa moja lakini kadiri ya siku zinavyokwenda madhara utokea hasa wakati wa ujauzito, madhara hayo umwadhiri mtot
picha
JIFUNZE ZAIDI MZUNGUKO WA MFUMO WA DAMU KWA BINADAMU

Posti hii inahusu zaidi mfumo wa mwili ambao huhusika na kusafirisha damu ,virutubisho na takamwili.mfumo huu unajumuisha damu,mishipa ya damu na moyo.moyo husukuma damu kupitia mishipa ya damu na kufika maeneo yote ya mwili.
picha
YAFAHAMU MAGONJWA YA KURITHI NA DALILI ZAKE PIA NA JINSI YA KUJIKINGA NAYO

Posti hii inahusu zaidi magonjwa ya kurithi ambayo hubebwa na vinasaba vya urithi kutoka kizazi kimoja kwenda kingine.magonjwa haya hata hivyo ,si kila kasoro huwa ni ugonjwa kwa mtu mfano ,ualbino na kitoweza kutofautisha rangi kama vile nyekundu na kija
picha
UJUWE UGONJWA WA EBOLA, DALILI ZAKE NA JINSI UNAVYOWEZA KUSAMBAZWA.

Posti hii inahusu sana kuhusu ugonjwa wa ebora. Ugonjwa huu usababishwa na virusi.Virusi hivyo husababisha kutokwa na damu nyingi mwilini kutokana na kupasuka kwa mishipa ya damu
picha
JE?WAJUA NJIA SAFI NA KANUNI ZA KUWEKA MWILI WAKO KWENYE AFYA NZURI?

Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa usafi katika maisha ya mwanadamu au mwili wa binadamu.
picha
NJIA YA KUJIKINGA NA UGONJWA WA VIRUSI VYA VYA UKIMWI NA ATHARI ZAKE

Posti hii inahusisha maambukizi ya virusi vya ukimwi .pia  tutangalia  njia za kujikinga na  ugonjwa wa UKIMWI
picha
MAAMBUKIZI YA MAGONJWA YA NGONO

Posti hii inahusu athari za maambukizi ya magonjwa ya ngono  ambapo magonjwa ya ngono isipokuwa UKIMWI  yanatibika .mgonjwa anashauriwa kuwahi hospitali au kituo chochote cha afya kupata matibabu mara anapoona dalili za magonjwa haya.
picha
TATIZO LA TEZI KOO

Posti hii inahusu zaidi tatizo la tezi koo, ni tatizo ambalo uwapata watu mbalimbali ambapo Usababisha koo kuvimba na mgonjwa huwa na maumivu mbalimbali na pengine mgonjwa upata kikohozi kwa sababu ya kuwepo kwa Maambukizi kwenye koo.
picha
VYANZO VYA MAGONJWA YANAYOTOKEA KWENYE SEHEMU ZA SIRI

Posti hii inahusu zaidi vyanzo vya magonjwa yanayotokea kwenye sehemu za siri,kwa sababu siku kwa siku kuna magonjwa mengi yanayotokea kwenye sehemu za siri ila kuna vyanzo mbalimbali ambavyo usababisha kuwepo kwa magonjwa kwenye sehemu mbalimbali za siri
picha
DALILI ZA MIGUU KUFA GANZI

Posti hii inahusu zaidi dalili mbalimbali ambazo Uweza kujitokeza na kuona kwamba ni Dalili za miguu kufa ganzi, pengine utokea kwa watu wote na pengine huwa ni kwa ghafla
picha
SABABU ZA MIGUU KUFA GANZI.

Posti hii inahusu zaidi sababu mbalimbali,za miguu kufa ganzi,ni tatizo ambalo uwakumba watu wengi na walio wengi hawafahamu kabisa ni sababu zipi ambazo uleta tatizo hili.
picha
DALILI ZA UGONJWA WA VERICOSE VEINI

Posti hii inahusu zaidi dalili za ugonjwa wa vericose veini
picha
VISABABISHI VYA UGONJWA WA VARICOSE VEIN

Posti hii inahusu zaidi visababishi mbalimbali vya ugonjwa wa vericose veini, ni visababishi mbalimbali ambavyo utokea kwenye mtindo wa maisha kama tutakavyoona.
picha
FAHAMU UGONJWA WA VARICOSE VEIN

Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa vericose veini, hili ni tatizo ambalo utokea katika mzunguko wa damu hasa kwenye miguu.
picha
MATIBABU YA VIDONDA VYA TUMBO NYUMBANI

Post hii inahusu zaidi matibabu ya vidonda vya tumbo nyumbani, ni njia ya kawaida ya kujitibu vidonda vya tumbo kama tulivyoona.
picha
DALILI ZA SARATANI YA INI

Posti hii inahusu zaidi dalili za saratani ya ini, ni baadhi ya Dalili ambazo zinaweza kujitokeza na kuona kwamba mtu fulani ana saratani ya ini.
picha
SABABU ZA KUWEPO KWA SARATANI YA INNI.

Posti hii inahusu zaidi sababu mbalimbali za kuwepo kwa saratani ya ini, saratani hii imekuwa tishio kwa wengi ila ni vizuri kujua baadhi ya sababu ambazo uchangia sana kuwepo kwa tatizo hili la saratani ya inni.
picha
WALIO KATIKA HATARI YA KUPATA HOMA YA INNI

Posti hii inahusu zaidi watu walio katika hatari ya kupata homa ya ini,kwa sababu ya hali zao mbalimbali wanaweza kupata ugonjwa huu.
picha
HATUA ZA KUPAMBANA NA UGONJWA WA UTI

Posti hii inahusu zaidi hatua au mbinu za kupambana na ugonjwa wa UTI kwa sababu ugonjwa huu umekuwa tishio kubwa kwa sasa kwa hiyo tunapaswa kutumia njia mbalimbali ili kuweza kupambana na Ugonjwa huu.
picha
MAMBO YA KUFANYA KAMA UNA KIUNGULIA

Posti hii inahusu zaidi mambo ambayo unapaswa kufanya kama una tatizo la kiungulia.
picha
MATIBABU KWA MTU MWENYE KIUNGULIA

Posti hii inahusu zaidi matibabu kwa mtu mwenye kiungulia,ni tiba ambayo mtu anapaswa kutumia kama ana tatizo la kiungulia
picha
CHANZO CHA KIUNGULIA

Post hii inahusu zaidi vyanzo vya kuwepo kwa kiungulia, kiungulia ni kitendo cha kupanda kwa gesi kutoka kwenye tumbo mpaka kwenye mdomo,hali uwasumbua wengi na kusababisha hali isiyo rafiki.
picha
DALILI ZA MOYO KUTANUKA

Posti hii inahusu zaidi dalili mbalimbali ambazo zinaweza kujitokeza na kuonyesha kwamba moyo umetanuka.
picha
ZIJUE SABABU ZA MOYO KUTANUKA.

Posti hii inahusu zaidi sababu za moyo kutanuka, Kuna kipindi ambapo moyo utoka kwenye hali yake ya kawaida na kutanuka hali ambayo usababisha madhara kwa mwenye tatizo hilo, ila Kuna sababu ambazo usababisha moyo kutanuka kama tutakavyoona.
picha
MADHARA YA MAUMIVU KWENYE NYONGA NA KIUNO.

Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea ikiwa matibabu kwenye nyonga na kiuno hayatafanyika.
picha
SABABU ZA WANAWAKE KUWA NA MAUMIVU KWENYE KIUNO

Posti hii inahusu zaidi sababu za wanawake kuwa na maumivu kwenye viungo, ni ugonjwa unaowapata na wanaume ila kwa wanaweza unaowapata sana ukilinganisha na wanaume.
picha
DALILI ZA UGONJWA WA BAWASILI

Posti hii inahusu zaidi dalili za ugonjwa wa Bawasili, ni Dalili ambazo ujitokeza kwa mgonjwa ambaye ana ugonjwa wa Bawasili.
picha
NJIA ZA KUZUIA UWEPO WA UGONJWA WA BAWASILI.

Posti hii inahusu zaidi njia au mbinu ambazo zinaweza kutumika ili kuweza kuepuka kuwepo kwa ugonjwa wa Bawasili kwenye jamii, hizi ni njia za awali za kupambana na kuwepo kwa Ugonjwa wa Bawasili.
picha
BAWASILI USABABISHWA NA NINI?

Posti hii inahusu zaidi visababishi vya ugonjwa wa Bawasili,kuna watu wengi wanapenda kujua kabisa chanzo cha kuwepo kwa ugonjwa wa Bawasili kwenye jamii na kuna maswali mengi yanayoulizwa kuhusu visababishi vya Bawasili.
picha
FAHAMU KUHUSU UGONJWA WA BAWASILI

Posti hii inahusu zaidi juu ya ugonjwa wa Bawasili, ni ugonjwa unaotokea kwenye njia ya haja kubwa hali ambayo upelekea kuwepo kwa uvimbe au nyama ambazo uonekana hadi nje, kwa lugha ya kitaalamu ujulikana kama haemorrhoid au pokea.
picha
DALILI ZA MAAMBUKIZI KWENYE MAGOTI

Posti hii inahusu zaidi dalili ambazo mtu anaweza kupata ikiwa Kuna maambukizi kwenye magoti, kwa sababu mbalimbali ambazo usababisha maumivu au maambukizi kwenye magoti Kuna dalili za mwanzo ambazo zinajitokeza kama tutakavyoona hapo chini
picha
SABABU YA MAUMIVU YA MAGOTI.

Posti hii inahusu zaidi sababu za maumivu ambayo yanasikika kwenye magoti, huu ni ugonjwa ambao umewapata walio wengi na bado ni kilio kwa walio wengi kwa vijana na kwa wazee, Kuna wataalamu mbalimbali ambao wameweza kugundua sababu za maumivu kwenye mago
picha
MATIBABU YA MAUMIVU CHINI YA KITOVU

Post hii inahusu zaidi matibabu ya kutibu ugonjwa wa maumivu chini ya kitovu.
picha
MADHARA YA KUTOTIBU MAAMBUKIZI CHINI YA KITOVU

Posti hii inahusu zaidi madhara ya kutotibu maambukizi chini ya kitovu ni madhara ambayo yanaweza kutokea kwa mgonjwa pale ambapo matibabu yanapokuwa hayatolewi kwa mgonjwa wa maumivu chini ya kitovu.
picha
DALILI ZA ZA KUWEPO KWA MAAMBUKIZI CHINI YA KITOVU

Posti hii inahusu zaidi dalili za kuonyesha kuwa Kuna maambukizi kwenye kitovu hasa hasa chini ya kitovu.
picha
SABABU ZA MWANAMKE KUUMWA TUMBO Y CHINI YA KITOVU.

Posti hii inahusu sababu za mwanamke kuumwa tumbo chini ya kitovu, ni tatizo ambalo limewapata wanawake wengi na pengine sababu ni vigumu kupata au pengine zinapatikana lakini kwa kuchelewa hali ambayo usababisha madhara mbalimbali kwenye mwili.
picha
MADHARA YA MWILI KUJAA SUMU

Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kupatikana ikiwa mwili unaweza kujaa sumu, kwa sababu mwili unapaswa kuwa huru Ili kuweza kufanya vizuri kazi yake ila ikiwa utajaa Sumu Kuna hatari mbalimbali zinaweza kutokea kama vile.
picha
VYANZO VYA SUMU MWILINI.

Posti hii inahusu zaidi vyanzo vya kuwepo kwa sumu mwilini, kwa sababu kuna wakati mwingine tunapata magonjwa na matatizo mbalimbali ya ki afya tunaangaika huku na huko kumbe sababu kubwa ni kuwepo kwa sumu mwilini na vyanzo vya sumu hiyo ni kama ifuatavy
picha
FAHAMU KUHUSU UGONJWA WA UKOMA

Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa ukoma, ni Ugonjwa unaosababishwa na mdudu anayeitwa mycobacterium leprae, mdudu huyu kwa kawaida uathiri sana sehemu za ngozi na sehemu za Neva mbalimbali za mwili
picha
MBINU ZA KUZUIA NA KUEPUKANA NA MARADHI YA UTI WA MGONGO

Posti hii inahusu zaidi njia au mbinu mbalimbali ambazo zinaweza kutumika ili kuweza kuepukana na tatizo la ugonjwa wa homa ya uti wa mgongo.
picha
UGONJWA WA HOMA YA UTI WA MGONGO

Posti hii inahusu zaidi Ugonjwa wa uti wa mgongo, ni ugonjwa unaoshambulia sehemu inayofunika ubongo na pia sehemu ya spinal cord