Katika post hii utajifunza maana ya homa ya ini. Pia utajifunza chanzo kinachosababisha homa ya ini. Makala hii itakuwa endelevu hivyo usikose muendelezo wake.
Homa ya ini, inayojulikana pia kama hepatitis, ni hali inayosababisha uvimbe wa ini. Kuna sababu mbalimbali zinazoweza kusababisha homa ya ini, zikiwemo:
1. Virusi:Hepatitis A, B, C, D, na E ni aina tofauti za virusi vinavyosababisha homa ya ini.Hepatitis B na C ni hatari zaidi kwa sababu zinaweza kusababisha maambukizi ya muda mrefu (chronic hepatitis) ambayo yanaweza kupelekea ugonjwa sugu wa ini, saratani ya ini, au ini kushindwa kufanya kazi.
2. Matumizi ya Dawa za Kulevya:Matumizi ya pombe kwa kiasi kikubwa yanaweza kusababisha homa ya ini ya muda mrefu na kushindwa kwa ini.Matumizi ya dawa za kulevya zisizo halali pia yanaweza kusababisha maambukizi ya ini.
3. Dawa na Sumu:Baadhi ya dawa za hospitalini zinaweza kusababisha uharibifu wa ini kama zitatumika kwa muda mrefu au kwa dozi kubwa.Sumu mbalimbali kutoka kwenye mazingira au chakula pia zinaweza kusababisha homa ya ini.
4. Magonjwa ya Kinga Mwilini:Magonjwa ya kinga mwilini kama autoimmune hepatitis ambapo mfumo wa kinga unashambulia seli za ini.
5. Maambukizi mengine:Magonjwa mengine ya bakteria na vimelea kama malaria, leptospirosis, na schistosomiasis yanaweza kuathiri ini na kusababisha uvimbe.
Ni muhimu kugundua chanzo halisi cha homa ya ini ili kupata matibabu sahihi. Kipimo cha damu kinaweza kusaidia kubaini aina ya virusi au sababu nyingine ya homa ya ini. Matibabu yanaweza kujumuisha dawa za kuzuia virusi, kupunguza matumizi ya pombe, au kubadili aina ya dawa zinazotumiwa.
Katika post inayofuata utajifunza jinsi ya kujikinga na maradhi haya ya ini. Pia katika muendelezo wa mfululizo wa post hizi tutakwenda kusoma aina mbalimbali za maradhi ya ini.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Swali langu: Ukiwa na areji , afu kupata muwasho korodani unapo jikuna unga kutoka nayo fangasi?
Soma Zaidi...Fangasi mdomoni wanaweza kuwa tatizo endapo hawatatibiwa mapema. Wanaweza kuongeza majeraha kwenye kinywa.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dalili za hatari kwa mtoto aliyezaliwa, ni dalili ambazo ujitokeza tu mtoto anapozaliwa kwa hiyo dalili hizi zinapaswa kuzuiwa ili zisilete madhara makubwa.
Soma Zaidi...Saratani ya Koo inarejelea Vivimbe vya Saratani vinavyotokea kwenye koo lako (koromeo), sanduku la sauti (larynx) au tonsils.
Soma Zaidi...Post hii inahusu Zaidi dalili za kuwepo Kwa usaha kwenye mapafu, ni dalili ambazo zinaweza kujitokeza Kwa mgonjwa,Kwa hiyo baada ya kuona dalili hizi mgonjwa anapaswa kuwahi hospital mara moja Kwa ajili ya matibabu.
Soma Zaidi...je na wewe ni mmoja katika wenye maumivu ya tumbo upande mmoja?. Basi post hii ni kwa ajili yako.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi madhara ya Tiba kemikali, ni madhara yanayotokea kwa wagonjwa wa saratani, madhara haya yanayoweza kuwa ni kwa Sababu mbalimbali kama vile kuaribika kwa seli zinazoendelea kufanya kazi kwenye mwili.
Soma Zaidi...Post hii inahusu Zaidi ajalia ambazo utokea kwenye kifua Kwa kitaalamu huitwa chest injury,Kwa kawaida kwenye kifua kua sehemu mbalimbali kama vile mapafu,moyo,koo na sehemu mbalimbali, sehemu hizi uweza kupata ajali na kusababisha madhara makubwa,Kwa hiy
Soma Zaidi...ΓΒ Dalili na ishara za ugonjwa sugu wa figo hukua baada ya muda ikiwa uharibifu wa figo unaendelea polepole.ΓΒ Kupoteza utendakazi wa figo kunaweza kusababisha mrundikano wa majimaji au uchafu wa mwili. Kulingana na jinsi ilivyo kali, upotezaji wa kazi ya
Soma Zaidi...Posti hii inahusu huduma kwa wanawake wenye mahitaji maalum, ni wanawake ambao wana shida ya akili, walionyanyaswa kijinsia, wakimbizi na wote wenye matatizo mbalimbali.
Soma Zaidi...