Posti hii inahusu zaidi dalili za ugonjwa wa vericose veini
1. Dalili ya kwanza ni maumivu ya mishipa ya damu hasa kwenye miguu.
2. Mishipa ya damu kuonekana ya rangi ya kijani sana pamoja na kuvimba hasa kwa watu weupe.
3. Maumivu ya miguu hasa katika eneo lililoadhiriwa na tatizo.
4. Miguu kuwaka moto.
5. Maumivu makali hasa kwenye sehemu iliyo na tatizo.
Je! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa
Mwandhishi Tarehe 2022/07/18/Monday - 11:47:40 am Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 580
Download our Apps
👉1 Kitabu cha Afya
👉2 kitabu cha Simulizi
👉3 Kitau cha Fiqh
👉4 Madrasa kiganjani