Najis nina fangasi nawashwa sehem za sili pia korodan zinawaka kama moto pia nahsi kupungukiwa nguvu

Najis nina fangasi nawashwa sehem za sili pia korodan zinawaka kama moto pia nahsi kupungukiwa nguvu

Najis namimi ninafangasi mana kunabaazi ya dalili ulzo sema ninazo nawashwa sehem za sili pia kunawakat korodan zinawaka kama moto pia nahsi kupungukiwa nguvu za kiume naitaji ushauli namatibabu pia



Namba ya swali 018

Ndio... Huweda kweli ua fangasi. hakikisha unavaa nguo kavu na zilizo safi. Fika duka la dawa tumia dawa ukiwa upo safi, pia usivae nguo nyingi na zenye kutia joto. No vyema ukafika kituo cha afya kwa uangalizi zaidi na matibabu ya uhakika.



Namba ya swali 018

Na kuhusu nguvu za kiume



Namba ya swali 018

Fangasi hawaathiri nguvu za kiume, ila wanaweza kukusababisha usifurahie tendo, huwenda wakakuathiri kisaikolojia na ukajikuta unashindwa kumridhisha mwenzio. Jitahidi kutibu fangasi, huwenda ukaona mabadiliko chanya



Namba ya swali 018

Sawa nitafanya hivyo



Namba ya swali 018

Karibu tena



Namba ya swali 018
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 832

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 Bongolite - Game zone - Play free game    👉4 Simulizi za Hadithi Audio    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana:

Undetectable viral load ni nini?

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu maana ya undetectable viral load

Soma Zaidi...
Ugonjwa wa kuporomoka kwa mapafu (pneumothorax)

Posti hii inazungumzia Ugonjwa wa mapafu ambao hujulikana Kama pafu lililoporomoka (Pneumothorax) hutokea wakati hewa inavuja kwenye nafasi kati ya mapafu yako na ukuta wa kifua. Hewa hii hutoka nje ya pafu lako. Ugonjwa huu unaweza kusababishwa na jera

Soma Zaidi...
Sababu zinazopelekea maumivu ya Matiti.

 Maumivu ya matiti hutokea zaidi kwa watu ambao hawajamaliza hedhi, ingawa yanaweza kutokea baada ya kukoma hedhi. 

Soma Zaidi...
Sababu za mkojo kushindwa kutoka kwenye kibofu.

Post hii inahusu zaidi mkojo kushindwa kutoka kwenye kibofu na kwa kitaalamu huitwa retention of urine.

Soma Zaidi...
Dalili za ugonjwa wa gonoria (gonorrhea)

UGONJWA WA GONORIA NA DALILI ZAKE (GONORRHEA)Gonoria (gonorrhea) ni katika maradhi yanayoambukizwa kwa njia ya ngono.

Soma Zaidi...
Je ugonjwa wa pumu uneweza kusababisha kifo, na nini kifanyike kupunguza madhara?

Ugojwa wa pumu ni hatari na unaweza kutokea ghafla. Lakini je unaweza kusababisha kifo, makalahii itakwend akujibu swali hili

Soma Zaidi...
Dalili za minyoo ya tumbo

Posti hii inaelezea kuhusiana na dalili za minyoo ya tumbo ambapo minyoo hawa husababishwa na mtu kula vyakula vichafu ambavyo havijaiva vizuri au maji machafu pia au bacteria.

Soma Zaidi...
Fahamu mapacha wanavyounganishwa.

Mapacha walioungana ni watoto wawili wanaozaliwa wakiwa wameunganishwa kimwili. Mapacha walioungana hukua wakati kiinitete cha mapema kinapojitenga na kuunda watu wawili. Ingawa vijusi viwili vitakua kutoka kwa kiinitete hiki, wataendelea kushikamana mar

Soma Zaidi...
Chanzo cha kiungulia

Post hii inahusu zaidi vyanzo vya kuwepo kwa kiungulia, kiungulia ni kitendo cha kupanda kwa gesi kutoka kwenye tumbo mpaka kwenye mdomo,hali uwasumbua wengi na kusababisha hali isiyo rafiki.

Soma Zaidi...
Ugonjwa wa homa ya uti wa mgongo

Posti hii inahusu zaidi Ugonjwa wa uti wa mgongo, ni ugonjwa unaoshambulia sehemu inayofunika ubongo na pia sehemu ya spinal cord

Soma Zaidi...