picha

Najis nina fangasi nawashwa sehem za sili pia korodan zinawaka kama moto pia nahsi kupungukiwa nguvu

Najis nina fangasi nawashwa sehem za sili pia korodan zinawaka kama moto pia nahsi kupungukiwa nguvu

Najis namimi ninafangasi mana kunabaazi ya dalili ulzo sema ninazo nawashwa sehem za sili pia kunawakat korodan zinawaka kama moto pia nahsi kupungukiwa nguvu za kiume naitaji ushauli namatibabu pia



Namba ya swali 018

Ndio... Huweda kweli ua fangasi. hakikisha unavaa nguo kavu na zilizo safi. Fika duka la dawa tumia dawa ukiwa upo safi, pia usivae nguo nyingi na zenye kutia joto. No vyema ukafika kituo cha afya kwa uangalizi zaidi na matibabu ya uhakika.



Namba ya swali 018

Na kuhusu nguvu za kiume



Namba ya swali 018

Fangasi hawaathiri nguvu za kiume, ila wanaweza kukusababisha usifurahie tendo, huwenda wakakuathiri kisaikolojia na ukajikuta unashindwa kumridhisha mwenzio. Jitahidi kutibu fangasi, huwenda ukaona mabadiliko chanya



Namba ya swali 018

Sawa nitafanya hivyo



Namba ya swali 018

Karibu tena



Namba ya swali 018

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Views 1534

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 Kitabu cha Afya     👉4 kitabu cha Simulizi     👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉6 web hosting    

Post zinazofanana:

Dalili na ishara za anemia ya minyoo

Posti hii inshusiana na dalili za anemia ya minyoo

Soma Zaidi...
Msaada kwa aliye na uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo.

Posti hii inahusu zaidi msaada kwa aliye na uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo, ni huduma maalumu ambayo utolewa kwa mtu ambaye ana uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo. Zifuatazo ni huduma maalumu kwa mwenye uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo.

Soma Zaidi...
Homa ya ini Nini Nini, na husababishwa na nini

Katika post hii utajifunza maana ya homa ya ini. Pia utajifunza chanzo kinachosababisha homa ya ini. Makala hii itakuwa endelevu hivyo usikose muendelezo wake.

Soma Zaidi...
Ni nini husababisha kuziba kwa Njia ya machozi

Posti hii inaelezea kuhusiana na dalili na sababu zinazopelekea Ugonjwa wa kuziba kwa Njia ya machozi yaani kukosa machozi ambayo husababishwa na maambukizi.

Soma Zaidi...
Dalili za tatizo la nguvu za kiume

Tatizo la nguvu za kiume ni changamoto inayowakumba wanaume wengi duniani, lakini mara nyingi huogopwa kulizungumzia kutokana na aibu au hofu. Hali hii inaweza kuathiri afya ya mwili, akili, na hata mahusiano ya kimapenzi. Kutambua dalili mapema ni hatua muhimu ya kupata matibabu sahihi na kurejesha hali ya kawaida. Katika makala hii, tutachambua dalili kuu za tatizo la nguvu za kiume, sababu zake, pamoja na ukweli muhimu unaopaswa kufahamika

Soma Zaidi...