Post hii inahusu Zaidi dalili za kuwepo Kwa usaha kwenye mapafu, ni dalili ambazo zinaweza kujitokeza Kwa mgonjwa,Kwa hiyo baada ya kuona dalili hizi mgonjwa anapaswa kuwahi hospital mara moja Kwa ajili ya matibabu.
Dalili ambazo ujionyesha Kwa mgonjwa mweye usaha kwenye mapafu.
1. Mgonjwa anaanza kukohoa na pia makohozi uambatana na harufu mbaya pamoja na kuwa na rangi nyeusi, vile vile mgonjwa anatoa harufu mbaya. Haya utokea Kwa sababu ya kuwepo Kwa maambukizi kwenye mapafu .Kwa hiyo mgonjwa akiona dalili kama hizi ni lazima kupata matibabu mara moja ili kuweza kuepuka madhara mengine Zaidi kwenye mfumo wa hewa.
2. Vile vile mgonjwa anaweza kutapika damu hasa sehemu zenye usaha zinapopasuka na kuelekea kwenye mfumo mzima wa upumuaji usababisha mgonjwa kuanza kutapika,Kwa hiyo mara nyingi matapishi hayo uambatana na rangi nyeusi ambayo utoka kwenye mapafu.
3. Pia mgonjwa anaweza kuwa na homa za mara Kwa mara,kutetemeka na kuhisi baridi nyingi,kutokwa na jasho wakati wa usiku,kupumua vibaya na kuwepo na maumivu kwenye mapafu au kwenye kifua hayo yote utokea Kwa sababu ya kuwepo Kwa maambukizi kwenye mapafu.
4. Wakati wa kuangalia mgonjwa Kwa kutumia vifaa mbali mbali unaweza kusikia sauti mbaya pindi mgonjwa anapopumua na Kwa wakati mwingine sauti inakuwa kama vile ya kukoroma ni Kwa sababu ya kuwepo Kwa usaha kwenye pamoja na maambukizi kwenye mapafu.
5. Kwa wakati mwingine mgonjwa anaanza kupumua Kwa shida kubwa au utasikia analalamika kwamba hewa haitoshi ni Kwa sababu ya kutokuwepo Kwa mpangilio mzuri wa mfumo wa upumuaji Kwa sababu ya kuwepo Kwa maambukizi kwenye mapafu.
6. Kwa hiyo tunapaswa kupata tiba mara moja tunapopatwa na tatizo kama hili la kuwepo Kwa usaha kwenye mapafu ili kuokoa maisha ya wagonjwa Kwa sababu hali hii ni hatari.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Post hii inahusu Zaidi aina za ajali kwenye kifua,pamoja na kifua kuwa na sehemu mbalimbali na pia na ajali ambazo utokea Huwa za aina mbalimbali kama tutakavyoona.
Soma Zaidi...Kuharisha ni Hali ya kupitisha kinyesi Cha maji chenye damu au kisicho na damu
Soma Zaidi...je na wewe ni mmoja katika wenye maumivu ya tumbo upande mmoja?. Basi post hii ni kwa ajili yako.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi msaada kwa mtoto mwenye Maambukizi kwenye mifupa, ni huduma anayopewa mtoto mwenye Maambukizi kwenye mifupa.
Soma Zaidi...MATATIZO YA CHOO KIDOGO NA FIGOFigo ni kiungo muhimu sana katika uchujaji wa mkojo, na afya ya mfumo wa utoaji taka mwili.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi kuwepo kwa vipele kwenye midomo na sehemu za siri .Ni ugonjwa ambao kwa kitaalamu huitwa herpes zoster
Soma Zaidi...Manung'uniko ya moyo ni sauti wakati wa mzunguko wa mapigo ya moyo wako kama vile kutetemeka inayotolewa na damu yenye msukosuko ndani au karibu na moyo wako.
Soma Zaidi...Posti hii inaonyesha namna ya kujizuia,Mambo ya Hatari,na na Mambo yanayopelekea Ugonjwa wa ukosefu wa mkojo
Soma Zaidi...Kupata kitabu hiki download faili la PDF hapo chini na usome bila ya internet.
Soma Zaidi...Kuvimbiwa kwa watoto ni shida ya kawaida. Kuvimbiwa kwa watoto mara nyingi huonyeshwa na kinyesi kisicho kawaida au kinyesi ngumu na kavu.
Soma Zaidi...