Post hii inahusu Zaidi dalili za kuwepo Kwa usaha kwenye mapafu, ni dalili ambazo zinaweza kujitokeza Kwa mgonjwa,Kwa hiyo baada ya kuona dalili hizi mgonjwa anapaswa kuwahi hospital mara moja Kwa ajili ya matibabu.
Dalili ambazo ujionyesha Kwa mgonjwa mweye usaha kwenye mapafu.
1. Mgonjwa anaanza kukohoa na pia makohozi uambatana na harufu mbaya pamoja na kuwa na rangi nyeusi, vile vile mgonjwa anatoa harufu mbaya. Haya utokea Kwa sababu ya kuwepo Kwa maambukizi kwenye mapafu .Kwa hiyo mgonjwa akiona dalili kama hizi ni lazima kupata matibabu mara moja ili kuweza kuepuka madhara mengine Zaidi kwenye mfumo wa hewa.
2. Vile vile mgonjwa anaweza kutapika damu hasa sehemu zenye usaha zinapopasuka na kuelekea kwenye mfumo mzima wa upumuaji usababisha mgonjwa kuanza kutapika,Kwa hiyo mara nyingi matapishi hayo uambatana na rangi nyeusi ambayo utoka kwenye mapafu.
3. Pia mgonjwa anaweza kuwa na homa za mara Kwa mara,kutetemeka na kuhisi baridi nyingi,kutokwa na jasho wakati wa usiku,kupumua vibaya na kuwepo na maumivu kwenye mapafu au kwenye kifua hayo yote utokea Kwa sababu ya kuwepo Kwa maambukizi kwenye mapafu.
4. Wakati wa kuangalia mgonjwa Kwa kutumia vifaa mbali mbali unaweza kusikia sauti mbaya pindi mgonjwa anapopumua na Kwa wakati mwingine sauti inakuwa kama vile ya kukoroma ni Kwa sababu ya kuwepo Kwa usaha kwenye pamoja na maambukizi kwenye mapafu.
5. Kwa wakati mwingine mgonjwa anaanza kupumua Kwa shida kubwa au utasikia analalamika kwamba hewa haitoshi ni Kwa sababu ya kutokuwepo Kwa mpangilio mzuri wa mfumo wa upumuaji Kwa sababu ya kuwepo Kwa maambukizi kwenye mapafu.
6. Kwa hiyo tunapaswa kupata tiba mara moja tunapopatwa na tatizo kama hili la kuwepo Kwa usaha kwenye mapafu ili kuokoa maisha ya wagonjwa Kwa sababu hali hii ni hatari.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi sababu za kufanya figo kuharibika.hili ni janga ambalo linawakumba Watu wengi siku hizi na kusababisha kupoteza maisha kwa wagonjwa wa figo hasa hasa kwa wale ambao hawana uwezo wa kulipia hela ya kusafishia figo.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi namna ya kuwasaidia mtoto akiwa na ugonjwa wa UTI.
Soma Zaidi...posti hii inazungumzia kuhusiana na Maambukizi kwenye mfumo wa mkojo ambapo kitaalamu hujulikana Kama UTI(Urinary Tract Infection (UTI)) hufafanuliwa kuwa ni maambukizo ya mfumo wa uzazi ambayo yanahusisha urethra.ΓΒ UTI ni maambukizi ya mfumo wa mkojo, m
Soma Zaidi...Kuzama hufafanuliwa kama mchakato unaosababisha upungufu mkubwa wa kupumua kutokana na kuzamishwa kwenye chombo cha kuogelea (kioevu). Kuzama hurejelea tukio ambalo njia ya hewa ya mtoto huzamishwa kwenye kioevu, na kusababisha kuharibika kwa kupumua.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi magonjwa ya kurithi ambayo hubebwa na vinasaba vya urithi kutoka kizazi kimoja kwenda kingine.magonjwa haya hata hivyo ,si kila kasoro huwa ni ugonjwa kwa mtu mfano ,ualbino na kitoweza kutofautisha rangi kama vile nyekundu na kija
Soma Zaidi...Mbu ni katika wadudu wanaopatikana maeneo yenye joto hususan maeneo ynye hali ya hewa ya kitropik.
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na mifuko midogo midogo, iliyobubujika ambayo inaweza kuunda kwenye utando wa mfumo wako wa usagaji chakula. Wao hupatikana mara nyingi katika sehemu ya chini ya utumbo mkubwa (koloni). Hali hiyo inajulikana kama Divert
Soma Zaidi...Posti hii inaonyesha dalili za ugonjwa wa Vidonda vya kitanda (bed sores)mara nyingi hukua kwenye ngozi ambayo hufunika sehemu za mifupa ya mwili, kama vile visigino, vifundoni, viuno. Vidonda vya kitanda vinaweza kukua haraka na mara nyingi ni vigumu
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea pale ambapo Ugonjwa wa ngiri unaposhindwa kutibiwa mapema.
Soma Zaidi...Post hii Ina onyesha DALILI za Homa ya matumbo (typhoid fever) huenea kupitia chakula na maji machafu au kwa kuwasiliana kwa karibu na mtu aliyeambukizwa. Dalili na ishara kwa kawaida hujumuisha Homa kali, maumivu ya kichwa, maumi
Soma Zaidi...