Post hii inahusu Zaidi dalili za kuwepo Kwa usaha kwenye mapafu, ni dalili ambazo zinaweza kujitokeza Kwa mgonjwa,Kwa hiyo baada ya kuona dalili hizi mgonjwa anapaswa kuwahi hospital mara moja Kwa ajili ya matibabu.
Dalili ambazo ujionyesha Kwa mgonjwa mweye usaha kwenye mapafu.
1. Mgonjwa anaanza kukohoa na pia makohozi uambatana na harufu mbaya pamoja na kuwa na rangi nyeusi, vile vile mgonjwa anatoa harufu mbaya. Haya utokea Kwa sababu ya kuwepo Kwa maambukizi kwenye mapafu .Kwa hiyo mgonjwa akiona dalili kama hizi ni lazima kupata matibabu mara moja ili kuweza kuepuka madhara mengine Zaidi kwenye mfumo wa hewa.
2. Vile vile mgonjwa anaweza kutapika damu hasa sehemu zenye usaha zinapopasuka na kuelekea kwenye mfumo mzima wa upumuaji usababisha mgonjwa kuanza kutapika,Kwa hiyo mara nyingi matapishi hayo uambatana na rangi nyeusi ambayo utoka kwenye mapafu.
3. Pia mgonjwa anaweza kuwa na homa za mara Kwa mara,kutetemeka na kuhisi baridi nyingi,kutokwa na jasho wakati wa usiku,kupumua vibaya na kuwepo na maumivu kwenye mapafu au kwenye kifua hayo yote utokea Kwa sababu ya kuwepo Kwa maambukizi kwenye mapafu.
4. Wakati wa kuangalia mgonjwa Kwa kutumia vifaa mbali mbali unaweza kusikia sauti mbaya pindi mgonjwa anapopumua na Kwa wakati mwingine sauti inakuwa kama vile ya kukoroma ni Kwa sababu ya kuwepo Kwa usaha kwenye pamoja na maambukizi kwenye mapafu.
5. Kwa wakati mwingine mgonjwa anaanza kupumua Kwa shida kubwa au utasikia analalamika kwamba hewa haitoshi ni Kwa sababu ya kutokuwepo Kwa mpangilio mzuri wa mfumo wa upumuaji Kwa sababu ya kuwepo Kwa maambukizi kwenye mapafu.
6. Kwa hiyo tunapaswa kupata tiba mara moja tunapopatwa na tatizo kama hili la kuwepo Kwa usaha kwenye mapafu ili kuokoa maisha ya wagonjwa Kwa sababu hali hii ni hatari.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukuletea sababu za maumivu ya tumbo kitovu i
Soma Zaidi...Maambukizi ya Norovirus yanaweza kusababisha kutapika sana naΓΒ Kuhara. Virusi huambukiza sana na kwa kawaida huenea kupitia chakula au maji ambayo yamechafuliwa na kinyesi wakati wa kutayarisha. Unaweza pia kuambukizwa kwa kuwasiliana kwa karibu na mtu
Soma Zaidi...UGONJWA WA GONORIA NA DALILI ZAKE (GONORRHEA)Gonoria (gonorrhea) ni katika maradhi yanayoambukizwa kwa njia ya ngono.
Soma Zaidi...Post hii itakwenda kuangalia mlo sahihi wa mwenye vidonda vya tumbo. Hata utajifunza ni vyakula vipi hapaswi kula na vipi ana paswa kula.
Soma Zaidi...Posti hii inaonyesha mambo mbalimbali yanayoweza kusababisha Ugonjwa wa kifua kikuu kwa watoto chini ya miaka mitano.
Soma Zaidi...Malengelenge sehemu za siri ni maambukizi ya kawaida ya zinaa ambayo huathiri wanaume na wanawake. Makala ya malengelenge sehemu za siri ni pamoja na maumivu, kuwasha na vidonda katika sehemu yako ya uzazi. Lakini huenda usiwe na dalili au ishara za mal
Soma Zaidi...Posti hii inaelezea kuhusiana na Ugonjwa wa uchovu sugu ni ugonjwa tata unaoonyeshwa na uchovu mwingi ambao hauwezi kuelezewa na hali yoyote ya matibabu. Uchovu unaweza kuwa mbaya zaidi kwa shughuli za kimwili au kiakili, lakini haiboresha kwa kupumzika
Soma Zaidi...Saratani ya Mapafu ni aina ya Kansa inayoanzia kwenye mapafu. Mapafu yako ni viungo viwili vya sponji kwenye kifua chako ambavyo huchukua oksijeni unapovuta na kutoa kaboni dioksidi unapotoa nje.
Soma Zaidi...