Post hii inahusu Zaidi njia mbali mbali ambazo uweza kitumiwa na wataalamu ili kuweza kugundua tatizo la kuwepo Kwa usaha kwenye mapafu.
1. Njia ya kwanza ni Kwa kutumia mionzi ambayo Kwa kitaalamu huitwa x- ray, mgonjwa huingizwa kwenye chumba maalumu na kuweza kuchukua picha kwenye sehemu ya kifua na pia baada ya kuchukuliwa picha uweza kusomwa na wataalamu ili kuweza kugundua kama Kuna tatizo hili la kuwepo Kwa usaha kwenye mapafu.
2. Njia nyingine ni Kwa kutumia kifaa Fulani ambacho Kwa kitaalamu huitwa bronchoscopy,ni kutoa sehemu ya usaha ili kuweza kupima kama Kuna usaha kwenye mapafu,Kwa kawaida kifaa hicho uingizwa kwenye mfumo wa hewa na kuangalia kama usaha upo na upo sehemu gani na hatimaye njia za kupitoa uendelea.
3. Pia kutumia maji maji na damu kutoka kwenye sehemu ya mapafu ili kuweza kuangalia ni mdudu gani ambaye yumo kwenye mapafu Kwa kufanya hivyo inakuwa rahisi kugundua ni mdudu gani aliyeshambulia kwenye mapafu na baada ya kufanya hivyo wanaweza kupata dawa ya kuweza kutibu hao wadudu Kwa kuangalia kama ni virus, bakteria au wadudu wengine wale.
4.vile vile tunaweza kugundua tatizo hili Kwa kutumia damu Kwa kitaalamu full blood picture, unaweza kukuta seli nyeupe za damu ziko juu sana na kuona kwamba hapa Kuna maambukizi.
5. Kwa kutumia kifaaa Kwa kitaalamu huitwa stereoscope ili kuweza kusikiliza sauti kwenye mapafu , mgonjwa kama anapumua vibaya ni wazi kwamba Kuna Maji maji au usahaa usio wa kawaida kwenye mapafu.
6. Tunaweza kutumia pia makohozi ili kuweza kutambua rangi yake,kama rangi ni nyeusi moja Kwa moja tunafahamu kwamba ni usaha kwenye mapafu.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi hatua mbalimbali za Ugonjwa wa Ukimwi, kawaida Ugonjwa huu huwa na hatua kuu nne ila kila hatua huwa na sifa zake kwa hiyo tunapaswa kujua hatua za Ugonjwa huu na kujaribu kuzuia maambukizi yasisambae kabisa.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu madhara ya gonorrhea endapo haitotibiwa
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na dalili na Sababu za Homa ya manjano ya watoto wachanga ni kubadilika rangi kwa manjano katika ngozi na macho ya mtoto mchanga. Homa ya manjano ya mtoto hutokea kwa sababu damu ya mtoto ina ziada ya rangi ya
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na dalili za maambukizi ya sikio kwa watoto.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi namna ya kuangalia sehemu yenye maumivu, hili kugundua mahali mtu anaumia ushirikiano mkubwa unahitajika kati ya mgonjwa na mhudumu.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za vidonda vya tumbo sugu
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi jinsi magonjwa yanavyosambaa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine.
Soma Zaidi...Kisonono ni ugonjwa unaosababishwa na bakteria wa zinaa ambao wanaweza kuwaambukiza wanaume na wanawake. Kisonono mara nyingi huathiri urethra, puru au koo. Kwa wanawake, ugonjwa wa kisonono unaweza pia kuambukiza kizazi.
Soma Zaidi...FIKRA POTOFY KUHUSU VIDONDA VYA TUMBO Vidonda vya tumbo huja na maoni mengi potofu.
Soma Zaidi...