Post hii inahusu Zaidi njia mbali mbali ambazo uweza kitumiwa na wataalamu ili kuweza kugundua tatizo la kuwepo Kwa usaha kwenye mapafu.
1. Njia ya kwanza ni Kwa kutumia mionzi ambayo Kwa kitaalamu huitwa x- ray, mgonjwa huingizwa kwenye chumba maalumu na kuweza kuchukua picha kwenye sehemu ya kifua na pia baada ya kuchukuliwa picha uweza kusomwa na wataalamu ili kuweza kugundua kama Kuna tatizo hili la kuwepo Kwa usaha kwenye mapafu.
2. Njia nyingine ni Kwa kutumia kifaa Fulani ambacho Kwa kitaalamu huitwa bronchoscopy,ni kutoa sehemu ya usaha ili kuweza kupima kama Kuna usaha kwenye mapafu,Kwa kawaida kifaa hicho uingizwa kwenye mfumo wa hewa na kuangalia kama usaha upo na upo sehemu gani na hatimaye njia za kupitoa uendelea.
3. Pia kutumia maji maji na damu kutoka kwenye sehemu ya mapafu ili kuweza kuangalia ni mdudu gani ambaye yumo kwenye mapafu Kwa kufanya hivyo inakuwa rahisi kugundua ni mdudu gani aliyeshambulia kwenye mapafu na baada ya kufanya hivyo wanaweza kupata dawa ya kuweza kutibu hao wadudu Kwa kuangalia kama ni virus, bakteria au wadudu wengine wale.
4.vile vile tunaweza kugundua tatizo hili Kwa kutumia damu Kwa kitaalamu full blood picture, unaweza kukuta seli nyeupe za damu ziko juu sana na kuona kwamba hapa Kuna maambukizi.
5. Kwa kutumia kifaaa Kwa kitaalamu huitwa stereoscope ili kuweza kusikiliza sauti kwenye mapafu , mgonjwa kama anapumua vibaya ni wazi kwamba Kuna Maji maji au usahaa usio wa kawaida kwenye mapafu.
6. Tunaweza kutumia pia makohozi ili kuweza kutambua rangi yake,kama rangi ni nyeusi moja Kwa moja tunafahamu kwamba ni usaha kwenye mapafu.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi namna ya kuzuia uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo,ni njia ambazo mtu anaweza kutumia Ili kuzuia uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo.zifuatazo ni njia zinazoweza kutumika kama mtu amepata uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo.
Soma Zaidi...Mawe kwenye figo yana sababu nyingi na yanaweza kuathiri sehemu yoyote ya njia yako ya mkojo kutoka kwa figo hadi kibofu chako.
Soma Zaidi...Posti hii inaelezea kuhusiana na Ugonjwa wa uchovu sugu ni ugonjwa tata unaoonyeshwa na uchovu mwingi ambao hauwezi kuelezewa na hali yoyote ya matibabu. Uchovu unaweza kuwa mbaya zaidi kwa shughuli za kimwili au kiakili, lakini haiboresha kwa kupumzika
Soma Zaidi...posti hii inazungumzia kuhusiana na Ugonjwa wa kifua kikuu kwa watoto chini ya miaka mitano. Kifua kikuu ni ugonjwa sugu wa kuambukiza na anuwai ya magonjwa ya kliniki yanayosababishwa na Mycobacterium tuberculosis complex.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi Magonjwa ya kuambukiza, ni magonjwa ambayo yanaweza kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine na kuweza kusababisha madhara yale yale kwa mtu aliyeambukizwa au anayeambukiza kwa hiyo Maambukizi yanaweza kuwa ya moja kwa moja au yasi
Soma Zaidi...Mnamo mwaka 2016 World Health Organization (WHO) iliitisha kikao cha dharura mnamo mwezi tarehe 1 mwezi wa pili mpaka tarehe 13 mwezi wa nne.
Soma Zaidi...Malaria husababishwa na vijidudu vidogo parasite wanaojulikana kama plasmodium. Vijidudu hivi hubebwa na mbu aina ya anophelesi. Kuna ina nyingi za plasmodium lakini aina 5 tu ndizo husababisha malaria
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi namna Maambukizi kwenye milija na ovari ambayo yanatokea,Mara nyingi usababisha na bakteria wanaoweza kuingia kupitia sehemu mbalimbali.
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na ugonjwa wa Kidole ambao kitaalamu hujulikana Kama Appendicitis. Kidole tumbo husababisha maumivu kwenye tumbo la chini la kulia. Hata hivyo, kwa watu wengi, maumivu huanza karibu na kitovu na kisha kusonga. Kadiri uvi
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi tatizo la kuwepo kwa asidi nyingi mwilini hali uwasumbua watu wengi na kufikia kiasi cha kusababisha madhara mengine mawilini ikiwamo pamoja na kansa ya koo, ili kujua kama una wingi wa asildi mwilini unapaswa kujua dalili kama ifu
Soma Zaidi...