picha

Njia za kugundua tatizo la kuwepo Kwa usaha kwenye mapafu

Post hii inahusu Zaidi njia mbali mbali ambazo uweza kitumiwa na wataalamu ili kuweza kugundua tatizo la kuwepo Kwa usaha kwenye mapafu.

Njia za kugundua tatizo la kuwepo Kwa usaha kwenye mapafu.

1. Njia ya kwanza ni Kwa kutumia mionzi ambayo Kwa kitaalamu huitwa x- ray, mgonjwa huingizwa kwenye chumba maalumu na kuweza kuchukua picha kwenye sehemu ya kifua na pia baada ya kuchukuliwa picha uweza kusomwa na wataalamu ili kuweza kugundua kama Kuna tatizo hili la kuwepo Kwa usaha kwenye mapafu.

 

 

 

2. Njia nyingine ni Kwa kutumia kifaa Fulani ambacho Kwa kitaalamu huitwa bronchoscopy,ni kutoa sehemu ya usaha ili kuweza kupima kama Kuna usaha kwenye mapafu,Kwa kawaida kifaa hicho uingizwa kwenye mfumo wa hewa na kuangalia kama usaha upo na upo sehemu gani na hatimaye njia za kupitoa uendelea.

 

 

 

3. Pia kutumia maji maji na damu kutoka kwenye sehemu ya mapafu ili kuweza kuangalia ni mdudu gani ambaye yumo kwenye mapafu Kwa kufanya hivyo inakuwa rahisi kugundua ni mdudu gani aliyeshambulia kwenye mapafu na baada ya kufanya hivyo wanaweza kupata dawa ya kuweza kutibu hao wadudu Kwa kuangalia kama ni virus, bakteria au wadudu wengine wale.

 

 

 

4.vile vile tunaweza kugundua tatizo hili Kwa kutumia damu Kwa kitaalamu full blood picture, unaweza kukuta seli nyeupe za damu ziko juu sana na kuona kwamba hapa Kuna maambukizi.

 

 

5. Kwa kutumia kifaaa Kwa kitaalamu huitwa stereoscope ili kuweza kusikiliza sauti kwenye mapafu , mgonjwa kama anapumua vibaya ni wazi kwamba Kuna Maji maji au usahaa usio wa kawaida kwenye mapafu.

 

 

 

6. Tunaweza kutumia pia makohozi ili kuweza kutambua rangi yake,kama rangi ni nyeusi moja Kwa moja tunafahamu kwamba ni usaha kwenye mapafu.

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Views 1531

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
πŸ‘‰1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     πŸ‘‰2 Kitau cha Fiqh     πŸ‘‰3 kitabu cha Simulizi     πŸ‘‰4 web hosting     πŸ‘‰5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     πŸ‘‰6 Dua za Mitume na Manabii    

Post zinazofanana:

Dalili za ugonjwa wa herpes simplex au vipele kwenye midomo na sehemu za siri

Posti hii inahusu zaidi dalili za ugonjwa wa wa vipele kwenye midomo na sehemu za siri ambao kwa kitaalamu huitwa herpes zoster. Kwa hiyo ili kugundua kubwa mtu ana Ugonjwa huu Dalili kama hizi zifuatazo zinaweza kutokea kwa mgonjwa.

Soma Zaidi...
Madhara ya gonorrhea endapo haitotibiwa

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu madhara ya gonorrhea endapo haitotibiwa

Soma Zaidi...
Sababu za Ugonjwa wa Shinikizo la juu la Damu.

Shinikizo la juu la damu ni hali ya kawaida ambapo nguvu ya muda mrefu ya damu dhidi ya kuta za ateri yako ni kubwa vya kutosha hivi kwamba inaweza kusababisha matatizo ya kiafya, kama vile Ugonjwa wa Moyo.

Soma Zaidi...
Magonjwa ya moyo

Posti hii inahusu zaidi magonjwa ya moyo, kwa kawaida watu wakisikia habari za magonjwa ya moyo huwa hawaelewi yanakuwaje kuwaje, Leo nataka niwafahamishe kuhusu magonjwa ya moyo na sehemu mbalimbali zinazoathirika.

Soma Zaidi...
Dalili za Kuvimbiwa kwa watoto

Posti hii inazungumzia kuhusiana Kuvimbiwa kwa watoto ni tatizo la kawaida.Kuvimbiwa kwa watoto mara nyingi kuna sifa ya kupata haja kubwa mara kwa mara au kinyesi kigumu, kikavu. Sababu mbalimbali zinaweza kusababisha kuvimbiwa kwa watoto.Sababu za kawa

Soma Zaidi...
Njia za kupunguza makali ya pressure au shinikizo la damu

Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali za kupunguza ugonjwa wa pressure au shinikizo la damu kwa waliokwisha kupata wanaweza kupunguza na kwa wake ambao hawajapata ni nzuri inawasaidia kuepuka hatari ya kupata ppresha.

Soma Zaidi...