je..! naweza kuambukizwa fangasi kwa kujamiiana na mtu mwenye fangasi?

je..! naweza kuambukizwa fangasi kwa kujamiiana na mtu mwenye fangasi?

Je ukifanya mapenz na mtu mweny aina hi ya fangasi na akawa anayo maambukizi ya ukimwi.

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

je..! naweza kuambukizwa fangasi kwa kujamiiana na mtu mwenye fangasi?

Je ukifanya mapenz na mtu mweny aina hi ya fangasi na akawa anayo maambukizi ya ukimwi.lakin wew ukawa hauna maambukizi unaweza ukaambukinza hao fangasi???



Namba ya swali 060

Aina ipi uliyokusudia



Namba ya swali 060

Ya fangasi wa mdomn ambao huwapata hasa wale weny MAAMBUKIZI YA HIV



Namba ya swali 060

Yes unaweza kupata hawa fangasi. Ila hili halimaanishi utaumwa kama yule aliyekupa. Ni kwa sababu ili fangasi wasababishe madhara lazima wakutane na mazingira wanayoyataka kule wanakokwenda



Namba ya swali 060

Ooh sawa...asante kwakunifahamisha..na pia kama mtu akapatwa natatizo la kolodani moja kuvimba nakujiskia maumivu niugonjwa gani na pia husababishwa nan



Namba ya swali 060

Ok Kwa maimivu hayo sio shida sana kiafya kama sio makali sana kiasi cha kushindwa kufanya shughuli zako, na yataondoka hivi punde. Zifuatazo zinaweza kuwa sababu
1. UTI 2.
Shughuli
3. Kama mishipa i.ejibana hasa wakati wa kulala, ama kufanya shighuli
4. Huyokea pia kama kuna bakteria



Namba ya swali 060

Nilipoend hospital nimepew dawa ya piroxicam zakunya nasindano 5 asa nikawa cjui tatiz limetokana nann na linaitwaje ndoman nikajalibu kufatilia gugo nandpo nilipo pata mawasilian nawwe



Namba ya swali 060
-->

Download Post hii hapa

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 1287

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 Bongolite - Game zone - Play free game   

Post zinazofanana:

Njia za kupambana na fangasi
Njia za kupambana na fangasi

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kupambana na fangasi

Soma Zaidi...
Saratani ya matiti (breasts cancer)
Saratani ya matiti (breasts cancer)

Post yetu inaenda kuzungumzia kuhusiana na Saratani ya Matiti ni Saratani ambayo hutokea katika seli za matiti. Baada ya Saratani ya Ngozi, Saratani ya matiti ndiyo Saratani inayojulikana zaidi hugunduliwa kwa wanawake Mara nyingi. Saratani yaÂ

Soma Zaidi...
Dalili za uvumilivu wa pombe
Dalili za uvumilivu wa pombe

Uvumilivu wa pombe unaweza kusababisha athari za haraka, zisizofurahi baada ya kunywa pombe. Ishara na dalili za kawaida za kutovumilia kwa pombe ni pua iliyojaa na Kuvuta ngozi. Uvumilivu wa pombe husababishwa na hali ya maumbile ambayo mwili hauwezi k

Soma Zaidi...
KISUKARI
KISUKARI

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...
 TIBA YA MINYOO AU DAWA YA MINYOO: praziquantel (biltricide)  mebendazole (vermox, emverm) na albendazole (albenza).
TIBA YA MINYOO AU DAWA YA MINYOO: praziquantel (biltricide) mebendazole (vermox, emverm) na albendazole (albenza).

TIBA YA MINYOO Moja katika sifa za minyoo ni kuwa wanatibika kwa urahisi pindi mgonjwa akipewa dawa husika.

Soma Zaidi...
Dalilili za homa ya matumbo (typhoid fever)
Dalilili za homa ya matumbo (typhoid fever)

Post hii Ina onyesha DALILI za Homa ya matumbo (typhoid fever) huenea kupitia chakula na maji machafu au kwa kuwasiliana kwa karibu na mtu aliyeambukizwa. Dalili na ishara kwa kawaida hujumuisha Homa kali, maumivu ya kichwa, maumi

Soma Zaidi...
Dalili za UTI upande wa wanawake
Dalili za UTI upande wa wanawake

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za UTI upande wa wanawake

Soma Zaidi...
Kushambuliwa kwa moyo na kupumua
Kushambuliwa kwa moyo na kupumua

Post hii inahusu zaidi kuhusu kushambuliwa kwa moyo na kupumua, kushambuliwa kwa moyo na kupumua kwa kitaala huitwa (cardiopulmonary Arrest) ni kitendo Cha kusimama ghafla kwa moyo na kupumua.

Soma Zaidi...
Nini chanzo cha malaria
Nini chanzo cha malaria

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu chanzo cha ugonjwa wa malaria

Soma Zaidi...
 Ugonjwa wa kuporomoka kwa mapafu (pneumothorax)
Ugonjwa wa kuporomoka kwa mapafu (pneumothorax)

Posti hii inazungumzia Ugonjwa wa mapafu ambao hujulikana Kama pafu lililoporomoka (Pneumothorax) hutokea wakati hewa inavuja kwenye nafasi kati ya mapafu yako na ukuta wa kifua. Hewa hii hutoka nje ya pafu lako. Ugonjwa huu unaweza kusababishwa na jera

Soma Zaidi...