Sababu za kuwepo kwa saratani ya inni.

Posti hii inahusu zaidi sababu mbalimbali za kuwepo kwa saratani ya ini, saratani hii imekuwa tishio kwa wengi ila ni vizuri kujua baadhi ya sababu ambazo uchangia sana kuwepo kwa tatizo hili la saratani ya inni.

Sababu za kuwepo kwa saratani ya inni.

1. Sababu ya kwanza ni matumizi ya vyakula vyenye kemikali, 

Kwa sababu ya kubadilika kwa mtindo wa maisha vyakula vya kemikali vinatumika sana siku hizi ambapo unakuta mtu anatumia Chipsi,baga, soda na kuku wa kisasa kama mlo wake wa kila siku na chai ni majani na maziwa ya kwenye kopo na mambo mengine kama hayo hali inayosababisha inni kuchoka wakati wa kuchuja kemikali hatimaye kusababisha saratani ya inni.kwa hiyo ni vizuri kuchanganya chakula na kunywa maji kwa wingi ili kuondoa sumu mwilini.

 

2. Matumizi ya mda mrefu wa dawa zenye kemikali bila ya kunywa maji na kufuata mashariti ya wataalamu wa afya.

Kwa kawaida kuna watu wanaotumia dawa zenye kemikali kama za presha, kisukari, na dawa za kuongeza maisha lakini hawanywi maji na kutumia maziwa , hata kama hakuna maziwa i tumia maji tu kwa hiyo matumizi yakiwa ya mda mrefu bila kunywa maji ya kutosha Usababisha saratani ya inii, jamani watumiaji wa dawa za kila siku tumieni maji mengi ya kunywa.

 

3. Matumizi ya pombe kali.

Kuna wakati mwingine kuna matumizi ya pombe kwa mda mrefu tena ile kali pasipo kula chakula kwa hiyo ni vizuri kabisa kupunguza matumizi ya pombe.

 

4. Kuwepo kwa unene na uzito uliopitiliza.

Kwa kawaida unene usababisha kuwepo kwa kiwango kikubwa cha mafuta mwilini na pia uzito mkubwa ni tatizo kweli.

 

5. Kutokunywa vitu vya kutoa sumu mwilini au kutokunywa maji ni tatizo kweli kwa hiyo jaribuni kwa wale wenye ng'ombe kunyweni maziwa kwa wingi na kama hauna ng'ombe au maziwa kunywa maji kwa wingi kila siku walau Glass nane kwa siku na kojoa.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 1158

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 kitabu cha Simulizi    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 Bongolite - Game zone - Play free game    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

Namna ya kugundua mtu mwenye kaswende.

Post hii inahusu zaidi njia za kumgundua mgonjwa wa kaswende, njia hizi utumika baada ya kuongea na mgonjwa kuhusu maisha yake hasa kujamiiana na watu mbalimbali.

Soma Zaidi...
vidonda vya tumbo

Kupata kitabu hiki download faili la PDF hapo chini na usome bila ya internet.

Soma Zaidi...
Maajabu ya damu na mzunguuko wake mwilini.

Ukistaajabu ya Musa utastaajabu ya Firauni. Haya ni maneno ya wahenga. Sasa hebu njoo u staajabu ya damu

Soma Zaidi...
Aina za ajali kwenye kifua,

Post hii inahusu Zaidi aina za ajali kwenye kifua,pamoja na kifua kuwa na sehemu mbalimbali na pia na ajali ambazo utokea Huwa za aina mbalimbali kama tutakavyoona.

Soma Zaidi...
UGONJWA WA HOMA YA VIRUSI VYA ZIKA (ZIKV) VINAVYO SABABISHWA NA KUNG'ATWA NA MBU

Mnamo mwaka 2016 World Health Organization (WHO) iliitisha kikao cha dharura mnamo mwezi tarehe 1 mwezi wa pili mpaka tarehe 13 mwezi wa nne.

Soma Zaidi...
Ujuwe mlo sahihi kwa mgonjwa wa vidonda vya tumbo

Post hii itakwenda kuangalia mlo sahihi wa mwenye vidonda vya tumbo. Hata utajifunza ni vyakula vipi hapaswi kula na vipi ana paswa kula.

Soma Zaidi...
Dalili za ugonjwa wa Bawasili

Posti hii inahusu zaidi dalili za ugonjwa wa Bawasili, ni Dalili ambazo ujitokeza kwa mgonjwa ambaye ana ugonjwa wa Bawasili.

Soma Zaidi...
MATIBABU YA FANGASI

Karibia fangasi wote hawa wanatibika bila ya ugumu wowote maka mgonjwa atakamilisha dozi.

Soma Zaidi...
AFYA NA MAGONJWA

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...