Sababu za kuwepo kwa saratani ya inni.

Posti hii inahusu zaidi sababu mbalimbali za kuwepo kwa saratani ya ini, saratani hii imekuwa tishio kwa wengi ila ni vizuri kujua baadhi ya sababu ambazo uchangia sana kuwepo kwa tatizo hili la saratani ya inni.

Sababu za kuwepo kwa saratani ya inni.

1. Sababu ya kwanza ni matumizi ya vyakula vyenye kemikali, 

Kwa sababu ya kubadilika kwa mtindo wa maisha vyakula vya kemikali vinatumika sana siku hizi ambapo unakuta mtu anatumia Chipsi,baga, soda na kuku wa kisasa kama mlo wake wa kila siku na chai ni majani na maziwa ya kwenye kopo na mambo mengine kama hayo hali inayosababisha inni kuchoka wakati wa kuchuja kemikali hatimaye kusababisha saratani ya inni.kwa hiyo ni vizuri kuchanganya chakula na kunywa maji kwa wingi ili kuondoa sumu mwilini.

 

2. Matumizi ya mda mrefu wa dawa zenye kemikali bila ya kunywa maji na kufuata mashariti ya wataalamu wa afya.

Kwa kawaida kuna watu wanaotumia dawa zenye kemikali kama za presha, kisukari, na dawa za kuongeza maisha lakini hawanywi maji na kutumia maziwa , hata kama hakuna maziwa i tumia maji tu kwa hiyo matumizi yakiwa ya mda mrefu bila kunywa maji ya kutosha Usababisha saratani ya inii, jamani watumiaji wa dawa za kila siku tumieni maji mengi ya kunywa.

 

3. Matumizi ya pombe kali.

Kuna wakati mwingine kuna matumizi ya pombe kwa mda mrefu tena ile kali pasipo kula chakula kwa hiyo ni vizuri kabisa kupunguza matumizi ya pombe.

 

4. Kuwepo kwa unene na uzito uliopitiliza.

Kwa kawaida unene usababisha kuwepo kwa kiwango kikubwa cha mafuta mwilini na pia uzito mkubwa ni tatizo kweli.

 

5. Kutokunywa vitu vya kutoa sumu mwilini au kutokunywa maji ni tatizo kweli kwa hiyo jaribuni kwa wale wenye ng'ombe kunyweni maziwa kwa wingi na kama hauna ng'ombe au maziwa kunywa maji kwa wingi kila siku walau Glass nane kwa siku na kojoa.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 1125

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Simulizi za Hadithi Audio    👉6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana:

Dalili za mimba changa kutoka

Post hii inaenda kuzungumzia zaidi kuhusiana na mimba zinazoharibika . mimba huweza kuaribika au kutoka anzia miezi 3 na kuendelea .

Soma Zaidi...
Nini husababisha ugonjwa wa kifua na maumivu ya kifua?

Posti hii inazungumzia sababu zinazopelekea kuumwa na kifua.

Soma Zaidi...
Vyanzo vya magonjwa yanayotokea kwenye sehemu za siri

Posti hii inahusu zaidi vyanzo vya magonjwa yanayotokea kwenye sehemu za siri,kwa sababu siku kwa siku kuna magonjwa mengi yanayotokea kwenye sehemu za siri ila kuna vyanzo mbalimbali ambavyo usababisha kuwepo kwa magonjwa kwenye sehemu mbalimbali za siri

Soma Zaidi...
Namna ya kuzuia maambukizi kwenye nephroni

Post hii inahusu zaidi namna ya kuzuia maambukizi kwenye nephroni, ni njia zinazotumika kuzuia maambukizi kwenye nephroni

Soma Zaidi...
Madhara ya kichaa cha mbwa

Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea kama mtu hajatibiwa ugonjwa wa kichaa cha mbwa.

Soma Zaidi...
Dalili za maumivu yanayosababishwa na mtiririko mdogo wa Damu.

Posti hii inazungumzia kuhusiana na maumivu yanayosababishwa na mtiririko mdogo wa damu, kwa kawaida wakati wa mazoezi. Wakati mwingine huitwa upenyo wa vipindi, hali hii kwa ujumla huathiri mishipa ya damu kwenye miguu, lakini upenyo unaweza kuathiri mi

Soma Zaidi...
Dalili za kuvunjika kwa nyonga

Kuvunjika kwa nyonga ni jeraha kubwa, na matatizo ambayo yanaweza kuhatarisha maisha. Hatari ya kupasuka kwa nyonga huongezeka na umri.

Soma Zaidi...
Dalili za hatari kwa mtoto aliyezaliwa

Posti hii inahusu zaidi dalili za hatari kwa mtoto aliyezaliwa, ni dalili ambazo ujitokeza tu mtoto anapozaliwa kwa hiyo dalili hizi zinapaswa kuzuiwa ili zisilete madhara makubwa.

Soma Zaidi...
Fahamu maambukizi ya kwenye mishipa ya Damu.

Posti hii inazungumzia kuhusiana na ugonjwa ambao husababisha kuvimba kwa mishipa ya damu katika mwili wako wote. Ambao kitaalamu hujulikana Kama Behcet .

Soma Zaidi...
Dalili za U.T.I

'UTI (urinary tract infection) no ugonjwa wa maambukizi katika mfumo wa mkojo na maambukizi haya husababishwa na bacteria, fangasi,na virus. Pia unaweza athiri rethra, kibofu Cha mkojo na figo.lakini Mara nyingi UTI huathiri Hadi mfumo wa uzazi na w

Soma Zaidi...