image

Sababu za kuwepo kwa saratani ya inni.

Posti hii inahusu zaidi sababu mbalimbali za kuwepo kwa saratani ya ini, saratani hii imekuwa tishio kwa wengi ila ni vizuri kujua baadhi ya sababu ambazo uchangia sana kuwepo kwa tatizo hili la saratani ya inni.

Sababu za kuwepo kwa saratani ya inni.

1. Sababu ya kwanza ni matumizi ya vyakula vyenye kemikali, 

Kwa sababu ya kubadilika kwa mtindo wa maisha vyakula vya kemikali vinatumika sana siku hizi ambapo unakuta mtu anatumia Chipsi,baga, soda na kuku wa kisasa kama mlo wake wa kila siku na chai ni majani na maziwa ya kwenye kopo na mambo mengine kama hayo hali inayosababisha inni kuchoka wakati wa kuchuja kemikali hatimaye kusababisha saratani ya inni.kwa hiyo ni vizuri kuchanganya chakula na kunywa maji kwa wingi ili kuondoa sumu mwilini.

 

2. Matumizi ya mda mrefu wa dawa zenye kemikali bila ya kunywa maji na kufuata mashariti ya wataalamu wa afya.

Kwa kawaida kuna watu wanaotumia dawa zenye kemikali kama za presha, kisukari, na dawa za kuongeza maisha lakini hawanywi maji na kutumia maziwa , hata kama hakuna maziwa i tumia maji tu kwa hiyo matumizi yakiwa ya mda mrefu bila kunywa maji ya kutosha Usababisha saratani ya inii, jamani watumiaji wa dawa za kila siku tumieni maji mengi ya kunywa.

 

3. Matumizi ya pombe kali.

Kuna wakati mwingine kuna matumizi ya pombe kwa mda mrefu tena ile kali pasipo kula chakula kwa hiyo ni vizuri kabisa kupunguza matumizi ya pombe.

 

4. Kuwepo kwa unene na uzito uliopitiliza.

Kwa kawaida unene usababisha kuwepo kwa kiwango kikubwa cha mafuta mwilini na pia uzito mkubwa ni tatizo kweli.

 

5. Kutokunywa vitu vya kutoa sumu mwilini au kutokunywa maji ni tatizo kweli kwa hiyo jaribuni kwa wale wenye ng'ombe kunyweni maziwa kwa wingi na kama hauna ng'ombe au maziwa kunywa maji kwa wingi kila siku walau Glass nane kwa siku na kojoa.





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 682


Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 kitabu cha Simulizi     👉4 Kitau cha Fiqh    

Post zifazofanana:-

Baadhi ya maradhi yanayosababishwa na hali za maisha
Somo hili linakwenda kukuletea baadhi ya maradhi yanayosababishwa na hali za maisha Soma Zaidi...

Namna ya kuzuia maambukizi kwenye nephroni
Post hii inahusu zaidi namna ya kuzuia maambukizi kwenye nephroni, ni njia zinazotumika kuzuia maambukizi kwenye nephroni Soma Zaidi...

Maambukizi kwenye mrija wa mkojo(urethritis )
Posti hii inahusu zaidi maambukizi kwenye mrija wa mkojo, maambukizi haya usababishwa na virusi na bakteria. Soma Zaidi...

Je utambuzi wa maambukizi ya ukimwi hupatikana mda gani pale mtu anapoambukizwa
Kuna ukimwi na HIV na kila kimoja kina dalili zake na muda wa kuonyesha hizo dalili. Soma Zaidi...

Dalili za Ugonjwa wa kula kupindukia
Ugonjwa wa kula kupindukia ni ugonjwa mbaya wa ulaji ambapo mara kwa mara unatumia kiasi kikubwa cha chakula na kuhisi huwezi kuacha kula. Soma Zaidi...

Walio katika hatari ya kupata homa ya inni
Posti hii inahusu zaidi watu walio katika hatari ya kupata homa ya ini,kwa sababu ya hali zao mbalimbali wanaweza kupata ugonjwa huu. Soma Zaidi...

Sababu za Uvimbe wa tishu za Matiti kwa wavulana au wanaume
posti hii inazungumzia kuhusiana na uvimbe wa tishu za matiti kwa wavulana au wanaume, unaosababishwa na kutofautiana kwa homoni za estrojeni na testosterone. Pia unaweza kuathiri matiti moja au zote mbili, wakati mwingine bila usawa. Watoto wachanga, Soma Zaidi...

NAMNA YA KUGUNDUA VIDONDA VYA TUMBO
NAMNA YA KUGUNDUA VIDONDA VYA TUMBO Ili kugundua vidonda, daktari wako anaweza kwanza kuchukua historia ya matibabu na kufanya uchunguzi wa mwili. Soma Zaidi...

Madhara ya ugonjwa wa ukimwi kwenye jamii.
Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea ikiwa Ugonjwa huu wa ukimwi ukishasmbaa kutoka sehemu moja kwenda nyingine na kuleta madhara makubwa kama ifuatavyo. Soma Zaidi...

Fangasi wa sehemu za Siri
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu fangasi wa sehemu za Siri Soma Zaidi...

Vyakula hatari kwa mwenye vidonda vya tumbo
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu vyakula hatari kwa mwenye vidonda vya tumbo Soma Zaidi...

Maumivu ya tumbo kwa chini upande wa kushoto
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za maumivu ya tumbo chini upande wa kushoto Soma Zaidi...