Sababu za kuwepo kwa saratani ya inni.

Posti hii inahusu zaidi sababu mbalimbali za kuwepo kwa saratani ya ini, saratani hii imekuwa tishio kwa wengi ila ni vizuri kujua baadhi ya sababu ambazo uchangia sana kuwepo kwa tatizo hili la saratani ya inni.

Sababu za kuwepo kwa saratani ya inni.

1. Sababu ya kwanza ni matumizi ya vyakula vyenye kemikali, 

Kwa sababu ya kubadilika kwa mtindo wa maisha vyakula vya kemikali vinatumika sana siku hizi ambapo unakuta mtu anatumia Chipsi,baga, soda na kuku wa kisasa kama mlo wake wa kila siku na chai ni majani na maziwa ya kwenye kopo na mambo mengine kama hayo hali inayosababisha inni kuchoka wakati wa kuchuja kemikali hatimaye kusababisha saratani ya inni.kwa hiyo ni vizuri kuchanganya chakula na kunywa maji kwa wingi ili kuondoa sumu mwilini.

 

2. Matumizi ya mda mrefu wa dawa zenye kemikali bila ya kunywa maji na kufuata mashariti ya wataalamu wa afya.

Kwa kawaida kuna watu wanaotumia dawa zenye kemikali kama za presha, kisukari, na dawa za kuongeza maisha lakini hawanywi maji na kutumia maziwa , hata kama hakuna maziwa i tumia maji tu kwa hiyo matumizi yakiwa ya mda mrefu bila kunywa maji ya kutosha Usababisha saratani ya inii, jamani watumiaji wa dawa za kila siku tumieni maji mengi ya kunywa.

 

3. Matumizi ya pombe kali.

Kuna wakati mwingine kuna matumizi ya pombe kwa mda mrefu tena ile kali pasipo kula chakula kwa hiyo ni vizuri kabisa kupunguza matumizi ya pombe.

 

4. Kuwepo kwa unene na uzito uliopitiliza.

Kwa kawaida unene usababisha kuwepo kwa kiwango kikubwa cha mafuta mwilini na pia uzito mkubwa ni tatizo kweli.

 

5. Kutokunywa vitu vya kutoa sumu mwilini au kutokunywa maji ni tatizo kweli kwa hiyo jaribuni kwa wale wenye ng'ombe kunyweni maziwa kwa wingi na kama hauna ng'ombe au maziwa kunywa maji kwa wingi kila siku walau Glass nane kwa siku na kojoa.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 1233

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh    👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 Bongolite - Game zone - Play free game    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 web hosting   

Post zinazofanana:

Madhara ya minyoo

Posti hii inaonyesha kiufupi kabisa madhara ya minyoo kwenye mwili wa binadamu. Yafuatayo Ni madhara ya minyoo;

Soma Zaidi...
Dalili za saratani (cancer)

Posti hii inahusu zaidi dalili za kansa, ni dalili ambazo utokea kwa mtu Mwenye tatizo la ugonjwa wa Kansa ingawa sio lazima dalili hizi kutokea tukadhani kuwa ni Kansa Ila zilizonyingi huwa ni kweli dalili za kansa.

Soma Zaidi...
Dalili za upotevu wa kusikia

posti hii inazungumzia kuhusiana na Upotevu wa kusikia unaotokea hatua kwa hatua kadri umri unavyozeeka (presbycusis) ni jambo la kawaida. T Kwa wale walio na umri wa zaidi ya miaka 75, idadi ya watu walio na  upotezaji wa kusikia inakaribia 1 kati y

Soma Zaidi...
Maambukizi kwenye mfumo wa usagaji chakula unaotokea kwenye utumbo mkubwa (diverticulitis)

Posti hii inazungumzia kuhusiana na mifuko midogo midogo, iliyobubujika ambayo inaweza kuunda kwenye utando wa mfumo wako wa usagaji chakula. Wao hupatikana mara nyingi katika sehemu ya chini ya utumbo mkubwa (koloni). Hali hiyo inajulikana kama Divert

Soma Zaidi...
Dalili za mkojo mchafu na rangi za mkojo na mkojo mchafu

Hapautajifunza rangi kuu za mkojo na dalili zako kiafya, mkojo mchafu na dalili zake

Soma Zaidi...
Dalili za sukari kupungua mwilini (Hypoglycemia)

sukari kupungua mwilini (Hypoglycemia) huhusishwa kwa kawaida na matibabu ya Kisukari. Hata hivyo, hali mbalimbali, nyingi zikiwa nadra, zinaweza kusababisha sukari ya chini ya damu kwa watu wasio na Kisukari. Kama vile Homa, Hy

Soma Zaidi...
Mambo ya kufanya kama una kiungulia

Posti hii inahusu zaidi mambo ambayo unapaswa kufanya kama una tatizo la kiungulia.

Soma Zaidi...
Dalili na Sababu za homa ya manjano kwa watoto

Posti hii inazungumzia kuhusiana na dalili na Sababu za Homa ya manjano ya watoto wachanga ni kubadilika rangi kwa manjano katika ngozi na macho ya mtoto mchanga. Homa ya manjano ya mtoto hutokea kwa sababu damu ya mtoto ina ziada ya rangi ya

Soma Zaidi...
Jifunze zaidi mzunguko wa mfumo wa damu kwa binadamu

Posti hii inahusu zaidi mfumo wa mwili ambao huhusika na kusafirisha damu ,virutubisho na takamwili.mfumo huu unajumuisha damu,mishipa ya damu na moyo.moyo husukuma damu kupitia mishipa ya damu na kufika maeneo yote ya mwili.

Soma Zaidi...
Dalilili za Ngozi kuwa kavu

Posti hii inazungumzia kuhusiana na Ngozi kuwa kavu si mbaya, lakini inaweza kusumbua na isipendeze, ikitengeneza mistari laini na Mikunjo.

Soma Zaidi...