Post hii inahusu Zaidi aina za ajali kwenye kifua,pamoja na kifua kuwa na sehemu mbalimbali na pia na ajali ambazo utokea Huwa za aina mbalimbali kama tutakavyoona.
1. Kuwepo Kwa hewa kwenye ukuta wa moyo au mapafu.
Kama ajali ikitokea uleta madhara ambapo hewa uingia kwenye Kuta za moyo na mapafu ambazo usababisha kuwepo Kwa maambukizi kwenye sehemu hizo na kuweza kuleta kitu kingine.kwa kitaalamu hali hii huitwa pneumothorax.
2. Kuwepo Kwa damu kwenye Kuta za moyo na mapafu au sehemu yoyote ile iliyozunguka kifua.
Kwa wakati mwingine kunakuwepo na damu kwenye mapafu, moyo au sehemu yoyote ile ambayo uzunguka kifua,Kwa sababu pale mtu akipata ajali usababisha mishipa kupasuka na kuwepo Kwa damu kwenye sehemu za kifua.
3. Kuwepo Kwa mivunjiko midogo midogo kwenye pingingili za kwenye kifua.
Kuna wakati mwingine kwenye kifua panakuwepo na mivunjiko midogo midogo ambayo usababishwa na ajali au kitu chochote ambacho uingia kwenye kifua na Kwa kawaida umfanya mgonjwa kuhisi maumivu Makali.
4. Kuwepo na majeraha kwenye nyama za moyo na pengine kuharibika Kwa mishipa ya artery.
Kwa kawaida ajali ikitokea usababisha kuwepo Kwa mishutuko kwenye sehemu za kifua hasa kwenye nyama nyama za moyo na kusababisha mishipa ya kwenye moyo kupasuka na mtu ambaye amepata ajary uweza kutoa damu kupitia sehemu mbalimbali za mwili kama vile kwenye pua au kwenye mdomo,Kwa hiyo ni vizuri kabisa ukiona ajali imetokea kuangalia Kwa kutumia wataalamu ili kuona ni sahemu gani ambapo damu zibatoka na kuanza matibabu mara moja.
5. Pia kuwepo Kwa majeraaha kwenye sehemu za mapafu.
Kuna wakati mwingine ajali kwenye sehemu za kifua ikitokea usababisha kuwepo Kwa majeraaha kwenye sehemu za mapafu na kusababisha kuwepo Kwa maambukizi ikiwa matibabu hayatatokea mapema na pia na pia usababisha mgonjwa kukohoa na kutoa by mapiovu
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inazungumzia kuhusiana naรย Sarataniรย ambayo hutokea katika aina ya seli nyeupe ya damu inayoitwa seli ya plasma. Seli za plasma hukusaidia kupambana na maambukizo kwa kutengeneza kingamwili zinazotambua na kushambulia vijidudu. Pia husababish
Soma Zaidi...Postii hii inshusiana na dalili na ishara za kujikinga au kuzuia malaria kwa Njia mbalimbali.
Soma Zaidi...Makala hii itaeleza dalili za ukimwi, dalili za VVU, magonjwa nyemelezi na matumizi ya ARV
Soma Zaidi...Swali langu: Ukiwa na areji , afu kupata muwasho korodani unapo jikuna unga kutoka nayo fangasi?
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi ugonjwa wa kuharisha, kuharisha ni kitendo Cha kupitisha kinyesi Cha maji chenye damu au kisichokuwa na damu
Soma Zaidi...mm nahis miguu pamoja na mikono kuishiwa nguvu ni mgongo kuuma ni dalili za ugonjwa gan ?
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mzio na Dalili zake ni Dalili ambazo ujitokeza kwa mtu mwenye mzio, kuna wakati watu wengine ushindwa kutambua kuwa ni mzio au la, lakini leo tunaenda kujua Dalili za mzio kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...Fangasi huweza kuishi na kuathiri maeneo mbalimbali ndani ya mwili.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu Tina ya vidonda vya tumbo na dawa zake
Soma Zaidi...