Navigation Menu



image

Aina za ajali kwenye kifua,

Post hii inahusu Zaidi aina za ajali kwenye kifua,pamoja na kifua kuwa na sehemu mbalimbali na pia na ajali ambazo utokea Huwa za aina mbalimbali kama tutakavyoona.

Ajali kwenye kifua.

1. Kuwepo Kwa hewa kwenye ukuta wa moyo au mapafu.

Kama ajali ikitokea uleta madhara ambapo hewa uingia kwenye Kuta za moyo na mapafu ambazo usababisha kuwepo Kwa maambukizi kwenye sehemu hizo na kuweza kuleta kitu kingine.kwa kitaalamu hali hii huitwa pneumothorax.

 

 

2. Kuwepo Kwa damu kwenye Kuta za moyo na mapafu au sehemu yoyote ile iliyozunguka kifua.

Kwa wakati mwingine kunakuwepo na damu kwenye mapafu, moyo au sehemu yoyote ile ambayo uzunguka kifua,Kwa sababu pale mtu akipata ajali usababisha mishipa kupasuka na kuwepo Kwa damu kwenye sehemu za kifua.

 

 

 

3. Kuwepo Kwa mivunjiko midogo midogo kwenye pingingili za kwenye kifua.

Kuna wakati mwingine kwenye kifua panakuwepo na mivunjiko midogo midogo ambayo usababishwa na ajali au kitu chochote ambacho uingia kwenye kifua na Kwa kawaida umfanya mgonjwa kuhisi maumivu Makali.

 

 

 

4. Kuwepo na majeraha kwenye nyama za moyo na pengine kuharibika Kwa mishipa ya artery.

Kwa kawaida ajali ikitokea usababisha kuwepo Kwa mishutuko kwenye sehemu za kifua hasa kwenye nyama nyama za moyo na kusababisha mishipa ya kwenye moyo kupasuka na mtu ambaye amepata ajary uweza kutoa damu kupitia sehemu mbalimbali za mwili kama vile kwenye pua au kwenye mdomo,Kwa hiyo ni vizuri kabisa ukiona ajali imetokea kuangalia Kwa kutumia wataalamu ili kuona ni sahemu gani ambapo damu zibatoka na kuanza matibabu mara moja.

 

 

 

5. Pia kuwepo Kwa majeraaha kwenye sehemu za mapafu.

Kuna wakati mwingine ajali kwenye sehemu za kifua ikitokea usababisha kuwepo Kwa majeraaha kwenye sehemu za mapafu na kusababisha kuwepo Kwa maambukizi ikiwa matibabu hayatatokea mapema na pia  na pia usababisha mgonjwa kukohoa na kutoa by mapiovu






           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu image Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 743


Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio     👉2 kitabu cha Simulizi     👉3 Kitau cha Fiqh     👉4 Madrasa kiganjani     👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉6 Kitabu cha Afya    

Post zifazofanana:-

Dalili za ugonjwa wa kisonono
Kisonono ni ugonjwa unaosababishwa na bakteria wa zinaa ambao wanaweza kuwaambukiza wanaume na wanawake. Kisonono mara nyingi huathiri urethra, puru au koo. Kwa wanawake, ugonjwa wa kisonono unaweza pia kuambukiza kizazi. Soma Zaidi...

Mie ni mwanamke ninamaumivu chini ya kitovu upande wa kushoto, na nikishika tumbo nahisi kitu kigumu upande huo huo wa kushoto... hii itakua ni nini?
Je unasumbuliwa na maumivuvya tumbo chini ya kitovu upande wa kushito. Post hii itakuletea sababu za maukivubhayo na nini ufanye. Soma Zaidi...

Madhara ya kutotibu ngiri.
Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea pale ambapo Ugonjwa wa ngiri unaposhindwa kutibiwa mapema. Soma Zaidi...

Dalili za saratani ya koo
Saratani ya Koo inarejelea Vivimbe vya Saratani vinavyotokea kwenye koo lako (koromeo), sanduku la sauti (larynx) au tonsils. Soma Zaidi...

Ufahamu ugonjwa wa UTI na dalili zake hasa kwa wajawazito
Wajawazito wanaposumbuliwa na ugonjwa wa UTI, dalili za UTI na namna ya Kujikinga na UTI Soma Zaidi...

Ni zipi dalili za awali za pumu
Kabla ya kubanwa zaidi na pumu, kuna dalili za awali zinzznza kujitokeza, na hapo ndipo utakapoanza kuchukuwa tahadhari. Makala hii itakwenda kukujulisha zaidi kuhusu dalili hizo. Soma Zaidi...

Namna ya kuzuia uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo.
Posti hii inahusu zaidi namna ya kuzuia uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo,ni njia ambazo mtu anaweza kutumia Ili kuzuia uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo.zifuatazo ni njia zinazoweza kutumika kama mtu amepata uvimbe kwenye kibofu Cha mkojo. Soma Zaidi...

Fahamu Ugonjwa wa kipindupindu.
Kipindupindu ni ugonjwa wa bakteria ambao kawaida huenezwa kupitia maji machafu. Kipindupindu husababisha Kuhara na Upungufu wa maji mwilini. Soma Zaidi...

Upungufu wa damu unaosababishwa na minyoo.
Post hii inahusu zaidi upungufu wa damu unaosababishwa na minyoo dalili zake na namna ya kumsaidia mgonjwa mwenye tatizo hilo. Soma Zaidi...

Maambukizi ya magonjwa ya ngono
Posti hii inahusu athari za maambukizi ya magonjwa ya ngono  ambapo magonjwa ya ngono isipokuwa UKIMWI  yanatibika .mgonjwa anashauriwa kuwahi hospitali au kituo chochote cha afya kupata matibabu mara anapoona dalili za magonjwa haya. Soma Zaidi...

Saratani (cancer)
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu maradhi ya cancer/saratani Soma Zaidi...

Dalili za madhara ya figo
Posti hii inahusu dalili za figo.figo husawazisha maji mwilini pamoja na kuchuja mkojo. Soma Zaidi...