picha

Aina za ajali kwenye kifua,

Post hii inahusu Zaidi aina za ajali kwenye kifua,pamoja na kifua kuwa na sehemu mbalimbali na pia na ajali ambazo utokea Huwa za aina mbalimbali kama tutakavyoona.

Ajali kwenye kifua.

1. Kuwepo Kwa hewa kwenye ukuta wa moyo au mapafu.

Kama ajali ikitokea uleta madhara ambapo hewa uingia kwenye Kuta za moyo na mapafu ambazo usababisha kuwepo Kwa maambukizi kwenye sehemu hizo na kuweza kuleta kitu kingine.kwa kitaalamu hali hii huitwa pneumothorax.

 

 

2. Kuwepo Kwa damu kwenye Kuta za moyo na mapafu au sehemu yoyote ile iliyozunguka kifua.

Kwa wakati mwingine kunakuwepo na damu kwenye mapafu, moyo au sehemu yoyote ile ambayo uzunguka kifua,Kwa sababu pale mtu akipata ajali usababisha mishipa kupasuka na kuwepo Kwa damu kwenye sehemu za kifua.

 

 

 

3. Kuwepo Kwa mivunjiko midogo midogo kwenye pingingili za kwenye kifua.

Kuna wakati mwingine kwenye kifua panakuwepo na mivunjiko midogo midogo ambayo usababishwa na ajali au kitu chochote ambacho uingia kwenye kifua na Kwa kawaida umfanya mgonjwa kuhisi maumivu Makali.

 

 

 

4. Kuwepo na majeraha kwenye nyama za moyo na pengine kuharibika Kwa mishipa ya artery.

Kwa kawaida ajali ikitokea usababisha kuwepo Kwa mishutuko kwenye sehemu za kifua hasa kwenye nyama nyama za moyo na kusababisha mishipa ya kwenye moyo kupasuka na mtu ambaye amepata ajary uweza kutoa damu kupitia sehemu mbalimbali za mwili kama vile kwenye pua au kwenye mdomo,Kwa hiyo ni vizuri kabisa ukiona ajali imetokea kuangalia Kwa kutumia wataalamu ili kuona ni sahemu gani ambapo damu zibatoka na kuanza matibabu mara moja.

 

 

 

5. Pia kuwepo Kwa majeraaha kwenye sehemu za mapafu.

Kuna wakati mwingine ajali kwenye sehemu za kifua ikitokea usababisha kuwepo Kwa majeraaha kwenye sehemu za mapafu na kusababisha kuwepo Kwa maambukizi ikiwa matibabu hayatatokea mapema na pia  na pia usababisha mgonjwa kukohoa na kutoa by mapiovu

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2023/11/15/Wednesday - 11:16:59 am Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 1344

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉3 web hosting    👉4 ai web app    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina   

Post zinazofanana:

Njia za kupambana na kuzuia gonorrhea

Somo hili linakwenda kukueleza baadhi ya njia za kupambana na kuzuia gonorrhea

Soma Zaidi...
Maambukizi ya Kawaida ya zinaa (Chlamydia)

maambukizi ya kawaida ya zinaa (STI), Hujulikana Kama Chlamydia. Huenda usijue una Ugonjwa huu kwa sababu watu wengi hawapati dalili au ishara, kama vile maumivu ya sehemu za siri na kutokwa na uchafu kutoka kwa uke au uume. Maambukizi haya huathiri

Soma Zaidi...
Dalili za macho makavu.

Posti hii inahusu zaidi njia za kutambua Dalili za macho makavu, kama tulivyotangulia kuona kubwa macho kuwa makavu Usababishwa na sehemu ya kuzalisha maji kwenye jicho kushindwa kufanya kazi na jicho hilo huwa kavu na Dalili zake ni kama ifuatavyo.

Soma Zaidi...
Dalili za ugonjwa sugu wa Figo.

Ugonjwa sugu wa figo, pia huitwa kushindwa kwa figo sugu, huelezea upotevu wa taratibu wa utendakazi wa figo. Figo zako huchuja taka na Majimaji kupita kiasi kutoka kwa damu yako, ambayo hutolewa kwenye mkojo wako. Ugonjwa sugu wa figo unapofikia hatua

Soma Zaidi...
Dalili za madonda ya koo

Posti hii inahusu zaidi magonjwa ya koo, ni ugonjwa unaoshambulia sana sehemu ya koo la hewa, na na huwa na dalili zake kama ifuayavyo.

Soma Zaidi...
Matatizo yanayosababisha mshtuko wa moyo.

Mshtuko wa moyo hutokea wakati mtiririko wa damu kwa moyo umezuiwa, mara nyingi kwa mkusanyiko wa mafuta, cholesterol na vitu vingine, ambayo huunda plaque katika mishipa inayolisha moyo (mishipa ya moyo). Mtiririko wa damu ulioingiliwa unaweza kuharibu

Soma Zaidi...
Figo ni nini, ni yapi maradhi yake na nitajiepusha vipi na maradhi ya figo

Makala hii itakwenda kukueleza ni nini hasa hizi figo, na ni yapi maradhi yake na ni kwa namna ggani utaweza kujilinda na maradhi ya figo.

Soma Zaidi...
Kiungulia, dawa yake na namna ya kuzuia kiungulia

Tambuwa kiungulia, sababu zake, dawa za kiungulia na namna ya kupambana na kiungulia

Soma Zaidi...
Dalili za upungufu wa maji mwilini.

Upungufu wa maji mwilini hutokea unapotumia au kupoteza Majimaji mengi zaidi ya unayonywa, na mwili wako hauna maji ya kutosha na Majimaji mengine ya kufanya kazi zake za kawaida. Usipochukua nafasi ya Vimiminika vilivyopotea, utapungukiwa na maji.

Soma Zaidi...
Je unaweza kupata ujauzito bila ya kupata hedhi miezi 9 baada ya kujifunguwa?

Baada ya kujifungua mwili wa mwanamke huwa na mabadiliko tofauti na siku za nyuma. Kwa mfano hatapatavtena hedhi, hatoweza kupata ujauzito kwa muda wa mwezi ama zaidi. Endelea na post hii ujifunze zaidi

Soma Zaidi...