picha

Yafahamu magonjwa ya kurithi na dalili zake pia na jinsi ya kujikinga nayo

Posti hii inahusu zaidi magonjwa ya kurithi ambayo hubebwa na vinasaba vya urithi kutoka kizazi kimoja kwenda kingine.magonjwa haya hata hivyo ,si kila kasoro huwa ni ugonjwa kwa mtu mfano ,ualbino na kitoweza kutofautisha rangi kama vile nyekundu na kija

  yafuatayo ni magonjwa ya kurithi    

Anemiaselimundu,hii ni hali ambayo seli nyekundu za damu kubadilika umbile lake la kawaida na kuwa kama mundu au hilali.kwa kawaida, seli nyekundu za damu Tina hemoglobini ambayo hisafirisha oksijeni nankabondayoksaidi ndani ya mwili.umbile la seli nyekundu za damu linapobadilika kuwa kama mundu hupunguza huwezo wa kuzalisha seli nyekundu za damu,pia selimundu zinazozalishwa huishi kwa muda mfupi.hali hizi husababisha upungufu wa gesi ya oksijeni katika seli,kushindwa kuunguza glukosi ya kutosha ili kuzalisha nishati ya mwili.

 

       dalili za ugonjwa wa anemia selimundu:

miongoni mwa dalili za anemia selimundu ni 

1.mwili kukosa nguvu.Hali hii humfanya mgonjwa kuwa dhaifu na kufanya kushindwa kuongea hivyo,kushindwa kutekeleza majukumu mbalimbali.

 

2.kupata maumivu katika sehemu mbalimbali za mwili.sehemu hizo ni mikono,miguu,tumbo,mgongo,kifua na sehemu mbalimbali zenye maungio.

 

3.homa.za mara kwa mara.

4.kuvimba miguu na mikono.

5.kupungukiwa na damu mara kwa mara.

6.kukakamaa sehemu za maungio na kupata maumivu makali sana.

 

7.kukohoa au kupata shida ya kupumua.

8.kupoteza hamu ya kukaa ,kudumaa nabkushambuliwa na magonjwa mara kwa mara.

9.kupoteza fahamu kunakosababishwa na kupungua kwa mzunguko wa oksijeni inayoenda kwenye ubongo.

9.mapigo ya moyo kuongezeka.

 

Dalili hizi zikiendelea kwa mda mrefu husababisha bandama kuathirika na wakati mwingine mgonjwa anaweza kupoteza maisha .mishipa ya damu kwenye ubongo ikipasuka ,mgonjwa kupoteza maisha kwa haraka muno.

 

tahadhari za kuchukua kwa mgonjwa wa anemia selimundu.ni vema kuhakikisha kwamba mgonjwa wa anemia selimundu anakuwa katika uangalizi mkubwa , bahadhi ya mambo ya msingi kuzingatia ni:

1.kumpatia mgonjwa maji ya kutosha au vyakula vya maji maji.

2.kumkinga dhidhi ya magonjwa yanayoweza kumshambulia kwa urahisi.

3.kumpatia matibabu kwa haraka pindi wanapougua.

4.kumpatia lishe bora ili kuijenga afya yake na kuwezesha mwili kujikinga dhidhi ya magonjwa.

5.kumshirikisha kufanya mazoezi mepesi na kumpa muda wa kupumzika hasa siku za joto.

6.kufuatilia kwa karibu jotoridi la mwili na kumpeleka hospitali haraka endapo jotoridi litazidi nyuzi za sentigredi 37.

 

 

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Views 2736

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Dua za Mitume na Manabii     👉2 web hosting     👉3 Simulizi za Hadithi Audio     👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉5 Kitau cha Fiqh     👉6 Madrasa kiganjani    

Post zinazofanana:

Dalili za macho kuwa makavu

posti hii inaelezea kuhusiana na dalilili na Mambo ya hatari ya Macho makavu  hutokea wakati machozi yako hayawezi kutoa unyevu wa kutosha kwa macho yako. Machozi yanaweza kuwa duni kwa sababu nyingi. Kwa mfano, Macho makavu  yanaweza ku

Soma Zaidi...
Madhara ya ugonjwa wa madonda ya koo usipotibiwa

Posti hii inahusu zaidi madhara ya ugonjwa wa madonda ya koo usipotibiwa, ugonjwa huu usipotibiwa unaweza sababisha madhara mbalimbali kama ifuayavyo.

Soma Zaidi...
Dalili za vidonda vya tumbo

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za vidonda vya tumbo

Soma Zaidi...
Dalili za madonda ya koo

Posti hii inahusu zaidi magonjwa ya koo, ni ugonjwa unaoshambulia sana sehemu ya koo la hewa, na na huwa na dalili zake kama ifuayavyo.

Soma Zaidi...
Je unazijuwa dalili za Ukimwi na HIV?

Huwenda ukawa ni moja kati ya watu wanaotaka kujuwa juu ya dalili za ukimwi. Kama wewe ni katika watu hawa tambuwa kuwa kuna dalili za VVU (hiv) na dalili za ukimwi. Makala hii itakwenda kukuletea dalili kuu za mwanzo za VVU na HIV kuanzia wiki tatu za mw

Soma Zaidi...