Menu



Yafahamu magonjwa ya kurithi na dalili zake pia na jinsi ya kujikinga nayo

Posti hii inahusu zaidi magonjwa ya kurithi ambayo hubebwa na vinasaba vya urithi kutoka kizazi kimoja kwenda kingine.magonjwa haya hata hivyo ,si kila kasoro huwa ni ugonjwa kwa mtu mfano ,ualbino na kitoweza kutofautisha rangi kama vile nyekundu na kija

  yafuatayo ni magonjwa ya kurithi    

Anemiaselimundu,hii ni hali ambayo seli nyekundu za damu kubadilika umbile lake la kawaida na kuwa kama mundu au hilali.kwa kawaida, seli nyekundu za damu Tina hemoglobini ambayo hisafirisha oksijeni nankabondayoksaidi ndani ya mwili.umbile la seli nyekundu za damu linapobadilika kuwa kama mundu hupunguza huwezo wa kuzalisha seli nyekundu za damu,pia selimundu zinazozalishwa huishi kwa muda mfupi.hali hizi husababisha upungufu wa gesi ya oksijeni katika seli,kushindwa kuunguza glukosi ya kutosha ili kuzalisha nishati ya mwili.

 

       dalili za ugonjwa wa anemia selimundu:

miongoni mwa dalili za anemia selimundu ni 

1.mwili kukosa nguvu.Hali hii humfanya mgonjwa kuwa dhaifu na kufanya kushindwa kuongea hivyo,kushindwa kutekeleza majukumu mbalimbali.

 

2.kupata maumivu katika sehemu mbalimbali za mwili.sehemu hizo ni mikono,miguu,tumbo,mgongo,kifua na sehemu mbalimbali zenye maungio.

 

3.homa.za mara kwa mara.

4.kuvimba miguu na mikono.

5.kupungukiwa na damu mara kwa mara.

6.kukakamaa sehemu za maungio na kupata maumivu makali sana.

 

7.kukohoa au kupata shida ya kupumua.

8.kupoteza hamu ya kukaa ,kudumaa nabkushambuliwa na magonjwa mara kwa mara.

9.kupoteza fahamu kunakosababishwa na kupungua kwa mzunguko wa oksijeni inayoenda kwenye ubongo.

9.mapigo ya moyo kuongezeka.

 

Dalili hizi zikiendelea kwa mda mrefu husababisha bandama kuathirika na wakati mwingine mgonjwa anaweza kupoteza maisha .mishipa ya damu kwenye ubongo ikipasuka ,mgonjwa kupoteza maisha kwa haraka muno.

 

tahadhari za kuchukua kwa mgonjwa wa anemia selimundu.ni vema kuhakikisha kwamba mgonjwa wa anemia selimundu anakuwa katika uangalizi mkubwa , bahadhi ya mambo ya msingi kuzingatia ni:

1.kumpatia mgonjwa maji ya kutosha au vyakula vya maji maji.

2.kumkinga dhidhi ya magonjwa yanayoweza kumshambulia kwa urahisi.

3.kumpatia matibabu kwa haraka pindi wanapougua.

4.kumpatia lishe bora ili kuijenga afya yake na kuwezesha mwili kujikinga dhidhi ya magonjwa.

5.kumshirikisha kufanya mazoezi mepesi na kumpa muda wa kupumzika hasa siku za joto.

6.kufuatilia kwa karibu jotoridi la mwili na kumpeleka hospitali haraka endapo jotoridi litazidi nyuzi za sentigredi 37.

 

 

 

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea

Ndio     Hapana     Save post
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Views 1534

Share On:

Facebook WhatsApp

Post zinazofanana:

Je pumu inaweza kusababishwa na virusi ama bakteria?

Hapa utakwenda kujifunza jinsi ambavyo pumu inaweza kuwa na mahusiano kwa kuwepo kwa aina flani ya bakteria ama virusi.

Soma Zaidi...
Nini sababu ya kuchubuka midomo na kuwa myeupe

Kama una tatizo la midomo kuchubuka na kuwa myeupe ama kuwa na vidonda. Post hii inakwenda kuangalia swala hili.

Soma Zaidi...
Sababu za wanawake kuwa na maumivu kwenye kiuno

Posti hii inahusu zaidi sababu za wanawake kuwa na maumivu kwenye viungo, ni ugonjwa unaowapata na wanaume ila kwa wanaweza unaowapata sana ukilinganisha na wanaume.

Soma Zaidi...
Walio kwenye hatari ya kupata UTI

Posti hii inahusu zaidi watu walio kwenye hatari ya kupata UTI, ni watu ambao wako kwenye hatari ya kupata ugonjwa wa UTI kwa sababu ya mazingira mbalimbali kama ifuayavyo.

Soma Zaidi...
SABABU ZINAZOPELEKEA KUJAA KWA MATE MDOMONI NA MATIBABU YAKE

Kutokwa na mate mengi mdomoni si ugojwa ni hali inayoweza kutokea kwa mtu yeyote. Mara nyingi hali hii haihitaji matibabu wa dawa, na huondoka yenyewe. Lakini hutokea baadhi ya nyakati ikawa mate yanatoka zaidi mdomoni. Je na wewe ni miongoni mwao? Makala

Soma Zaidi...
Huduma kwa wanawake wenye mahitaji maalum.

Posti hii inahusu huduma kwa wanawake wenye mahitaji maalum, ni wanawake ambao wana shida ya akili, walionyanyaswa kijinsia, wakimbizi na wote wenye matatizo mbalimbali.

Soma Zaidi...
Dalili za UKIMWI

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za UKIMWI

Soma Zaidi...
Dalili za saratani ya kibofu Cha nyongo

Saratani ya kibofu cha nyongo ni Saratani inayoanzia kwenye kibofu cha nyongo. Nyongo yako ni kiungo kidogo, chenye umbo la peari upande wa kulia wa tumbo lako, chini ya ini lako. Kibofu cha nyongo huhifadhi nyongo, Kioevu cha usaga

Soma Zaidi...
Dalili za HIV na UKIMWI kwenye Ulimi na Mdomo

Dalili za HIV na UKIMWI kwenye mdomo na ulimi utaziomna hapa. hizi zinaweza kuwa ndio za kwanza kwa ambaye hajapima HIV

Soma Zaidi...
Sababu zinazopelekea tumbo kujaa gesi

Kiufipi posti hii inaelezea kuhusiana na dalili na sababu zinazopelekea tumbo kujaa gesi

Soma Zaidi...