Yafahamu magonjwa ya kurithi na dalili zake pia na jinsi ya kujikinga nayo

Posti hii inahusu zaidi magonjwa ya kurithi ambayo hubebwa na vinasaba vya urithi kutoka kizazi kimoja kwenda kingine.magonjwa haya hata hivyo ,si kila kasoro huwa ni ugonjwa kwa mtu mfano ,ualbino na kitoweza kutofautisha rangi kama vile nyekundu na kija

  yafuatayo ni magonjwa ya kurithi    

Anemiaselimundu,hii ni hali ambayo seli nyekundu za damu kubadilika umbile lake la kawaida na kuwa kama mundu au hilali.kwa kawaida, seli nyekundu za damu Tina hemoglobini ambayo hisafirisha oksijeni nankabondayoksaidi ndani ya mwili.umbile la seli nyekundu za damu linapobadilika kuwa kama mundu hupunguza huwezo wa kuzalisha seli nyekundu za damu,pia selimundu zinazozalishwa huishi kwa muda mfupi.hali hizi husababisha upungufu wa gesi ya oksijeni katika seli,kushindwa kuunguza glukosi ya kutosha ili kuzalisha nishati ya mwili.

 

       dalili za ugonjwa wa anemia selimundu:

miongoni mwa dalili za anemia selimundu ni 

1.mwili kukosa nguvu.Hali hii humfanya mgonjwa kuwa dhaifu na kufanya kushindwa kuongea hivyo,kushindwa kutekeleza majukumu mbalimbali.

 

2.kupata maumivu katika sehemu mbalimbali za mwili.sehemu hizo ni mikono,miguu,tumbo,mgongo,kifua na sehemu mbalimbali zenye maungio.

 

3.homa.za mara kwa mara.

4.kuvimba miguu na mikono.

5.kupungukiwa na damu mara kwa mara.

6.kukakamaa sehemu za maungio na kupata maumivu makali sana.

 

7.kukohoa au kupata shida ya kupumua.

8.kupoteza hamu ya kukaa ,kudumaa nabkushambuliwa na magonjwa mara kwa mara.

9.kupoteza fahamu kunakosababishwa na kupungua kwa mzunguko wa oksijeni inayoenda kwenye ubongo.

9.mapigo ya moyo kuongezeka.

 

Dalili hizi zikiendelea kwa mda mrefu husababisha bandama kuathirika na wakati mwingine mgonjwa anaweza kupoteza maisha .mishipa ya damu kwenye ubongo ikipasuka ,mgonjwa kupoteza maisha kwa haraka muno.

 

tahadhari za kuchukua kwa mgonjwa wa anemia selimundu.ni vema kuhakikisha kwamba mgonjwa wa anemia selimundu anakuwa katika uangalizi mkubwa , bahadhi ya mambo ya msingi kuzingatia ni:

1.kumpatia mgonjwa maji ya kutosha au vyakula vya maji maji.

2.kumkinga dhidhi ya magonjwa yanayoweza kumshambulia kwa urahisi.

3.kumpatia matibabu kwa haraka pindi wanapougua.

4.kumpatia lishe bora ili kuijenga afya yake na kuwezesha mwili kujikinga dhidhi ya magonjwa.

5.kumshirikisha kufanya mazoezi mepesi na kumpa muda wa kupumzika hasa siku za joto.

6.kufuatilia kwa karibu jotoridi la mwili na kumpeleka hospitali haraka endapo jotoridi litazidi nyuzi za sentigredi 37.

 

 

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 2192

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 Simulizi za Hadithi Audio    👉4 Bongolite - Game zone - Play free game    👉5 Kitabu cha Afya    👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina   

Post zinazofanana:

Dalili za kuaribika kwa mishipa ya retina.

Posti hii inahusu zaidi Dalili ambazo ujitokeza kwa mtu ambaye ana tatizo kwenye mishipa ya retina,ni tatizo ambalo uwakumba wafu wengi wenye matatizo ya kisukari.

Soma Zaidi...
Sababu za mkojo kushindwa kutoka kwenye kibofu.

Post hii inahusu zaidi mkojo kushindwa kutoka kwenye kibofu na kwa kitaalamu huitwa retention of urine.

Soma Zaidi...
Dalili za maumivu yanayosababishwa na mtiririko mdogo wa Damu.

Posti hii inazungumzia kuhusiana na maumivu yanayosababishwa na mtiririko mdogo wa damu, kwa kawaida wakati wa mazoezi. Wakati mwingine huitwa upenyo wa vipindi, hali hii kwa ujumla huathiri mishipa ya damu kwenye miguu, lakini upenyo unaweza kuathiri mi

Soma Zaidi...
Tiba ya vidonda vya tumbo na dawa zake

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu Tina ya vidonda vya tumbo na dawa zake

Soma Zaidi...
Matatizo yanayosababisha mshtuko wa moyo.

Mshtuko wa moyo hutokea wakati mtiririko wa damu kwa moyo umezuiwa, mara nyingi kwa mkusanyiko wa mafuta, cholesterol na vitu vingine, ambayo huunda plaque katika mishipa inayolisha moyo (mishipa ya moyo). Mtiririko wa damu ulioingiliwa unaweza kuharibu

Soma Zaidi...
ATHARI ZA KUTOKUTIBU MINYOO: maumivu ya tumbo, kichwa, kutapika damu, kichefuchefu, miwasho

ATHARI ZA KUTOKUTIBU MINYOO Kukaa na minyoo na kutoitibu kwa muda mrefu kunaweza kusababisha madhara mengi hususani kwenye ini na maeneo mengine ya mfumo wa kumeng’enya chakula.

Soma Zaidi...
Dalili za Saratani ya figo.

Saratani ya Figo ni Saratani ambayo huanzia kwenye figo. Figo zako ni viungo viwili vyenye umbo la maharagwe, kila kimoja kikiwa na ukubwa wa ngumi yako. Ziko nyuma ya viungo vyako vya tumbo, na figo moja kila upande wa mgongo wako.

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu Ugonjwa wa Dengue

Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa Dengue, ni ugonjwa unaosababishwa na virusi ila unasambazwa na mbu kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine mbu anayasambaza Ugonjwa huu kwa kitaalamu huitwa Aedes mosquito .

Soma Zaidi...
Madhara ya ugonjwa wa madonda ya koo usipotibiwa

Posti hii inahusu zaidi madhara ya ugonjwa wa madonda ya koo usipotibiwa, ugonjwa huu usipotibiwa unaweza sababisha madhara mbalimbali kama ifuayavyo.

Soma Zaidi...