Yafahamu magonjwa ya kurithi na dalili zake pia na jinsi ya kujikinga nayo


image


Posti hii inahusu zaidi magonjwa ya kurithi ambayo hubebwa na vinasaba vya urithi kutoka kizazi kimoja kwenda kingine.magonjwa haya hata hivyo ,si kila kasoro huwa ni ugonjwa kwa mtu mfano ,ualbino na kitoweza kutofautisha rangi kama vile nyekundu na kijani


  yafuatayo ni magonjwa ya kurithi    

Anemiaselimundu,hii ni hali ambayo seli nyekundu za damu kubadilika umbile lake la kawaida na kuwa kama mundu au hilali.kwa kawaida, seli nyekundu za damu Tina hemoglobini ambayo hisafirisha oksijeni nankabondayoksaidi ndani ya mwili.umbile la seli nyekundu za damu linapobadilika kuwa kama mundu hupunguza huwezo wa kuzalisha seli nyekundu za damu,pia selimundu zinazozalishwa huishi kwa muda mfupi.hali hizi husababisha upungufu wa gesi ya oksijeni katika seli,kushindwa kuunguza glukosi ya kutosha ili kuzalisha nishati ya mwili.

 

       dalili za ugonjwa wa anemia selimundu:

miongoni mwa dalili za anemia selimundu ni 

1.mwili kukosa nguvu.Hali hii humfanya mgonjwa kuwa dhaifu na kufanya kushindwa kuongea hivyo,kushindwa kutekeleza majukumu mbalimbali.

 

2.kupata maumivu katika sehemu mbalimbali za mwili.sehemu hizo ni mikono,miguu,tumbo,mgongo,kifua na sehemu mbalimbali zenye maungio.

 

3.homa.za mara kwa mara.

4.kuvimba miguu na mikono.

5.kupungukiwa na damu mara kwa mara.

6.kukakamaa sehemu za maungio na kupata maumivu makali sana.

 

7.kukohoa au kupata shida ya kupumua.

8.kupoteza hamu ya kukaa ,kudumaa nabkushambuliwa na magonjwa mara kwa mara.

9.kupoteza fahamu kunakosababishwa na kupungua kwa mzunguko wa oksijeni inayoenda kwenye ubongo.

9.mapigo ya moyo kuongezeka.

 

Dalili hizi zikiendelea kwa mda mrefu husababisha bandama kuathirika na wakati mwingine mgonjwa anaweza kupoteza maisha .mishipa ya damu kwenye ubongo ikipasuka ,mgonjwa kupoteza maisha kwa haraka muno.

 

tahadhari za kuchukua kwa mgonjwa wa anemia selimundu.ni vema kuhakikisha kwamba mgonjwa wa anemia selimundu anakuwa katika uangalizi mkubwa , bahadhi ya mambo ya msingi kuzingatia ni:

1.kumpatia mgonjwa maji ya kutosha au vyakula vya maji maji.

2.kumkinga dhidhi ya magonjwa yanayoweza kumshambulia kwa urahisi.

3.kumpatia matibabu kwa haraka pindi wanapougua.

4.kumpatia lishe bora ili kuijenga afya yake na kuwezesha mwili kujikinga dhidhi ya magonjwa.

5.kumshirikisha kufanya mazoezi mepesi na kumpa muda wa kupumzika hasa siku za joto.

6.kufuatilia kwa karibu jotoridi la mwili na kumpeleka hospitali haraka endapo jotoridi litazidi nyuzi za sentigredi 37.

 

 

 



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Jifunze Fiqh       ðŸ‘‰    2 Madrasa kiganjani offline       ðŸ‘‰    3 Tunakukaribisha kwenye Maktaba yetu       ðŸ‘‰    4 Download App zetu hapa ujifunze zaidi    


Je una maswali, maoni ama ushauri, tutumie sms ✉ bofya hapa hapa, ama wasiliana nasi kwa WhatsApp bofya hapa



Post Nyingine


image Heti kama mtu kafany mapenzi na mtu mwe ukimwi siku hihiyo akenda hospitali kapewa dawa kweli hataweza kuwabukizwa
Swali hili limeulizwa na mdau mmoja. Kuwa endapo mtu atafanya ngono zembe na akapata virusi je ataweza kuambukiza. Soma Zaidi...

image Njia za kuondokana na fangasi
Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali za kuweza kupambana na fangasi za ukeni ili kuweza kujiepusha na madhara mbalimbali kwenye maisha ambayo ni pamoja na ugumba na Maambukizi kwenye via vya uzazi. Soma Zaidi...

image Vyakula vya kusaidia katika matibabu ya kiungulia
PoPosti hii inahusu zaidi vyakula ambavyo unaweza kutumia iwapo umepata tatizo la kiungulia Soma Zaidi...

image Magonjwa ya moyo
Posti hii inahusu zaidi magonjwa ya moyo, kwa kawaida watu wakisikia habari za magonjwa ya moyo huwa hawaelewi yanakuwaje kuwaje, Leo nataka niwafahamishe kuhusu magonjwa ya moyo na sehemu mbalimbali zinazoathirika. Soma Zaidi...

image Je unazijuwa dalili za Ukimwi na HIV?
Huwenda ukawa ni moja kati ya watu wanaotaka kujuwa juu ya dalili za ukimwi. Kama wewe ni katika watu hawa tambuwa kuwa kuna dalili za VVU (hiv) na dalili za ukimwi. Makala hii itakwenda kukuletea dalili kuu za mwanzo za VVU na HIV kuanzia wiki tatu za mwanzo hadi kufikia miezi mitatu. Mwisho wa makala hii utaweza kujifunza mambo yafuatayo:- Soma Zaidi...

image Sababu za mwanamke kuumwa tumbo y chini ya kitovu.
Posti hii inahusu sababu za mwanamke kuumwa tumbo chini ya kitovu, ni tatizo ambalo limewapata wanawake wengi na pengine sababu ni vigumu kupata au pengine zinapatikana lakini kwa kuchelewa hali ambayo usababisha madhara mbalimbali kwenye mwili. Soma Zaidi...

image Dalili za ugonjwa wa vericose veini
Posti hii inahusu zaidi dalili za ugonjwa wa vericose veini Soma Zaidi...

image Fahamu kuhusu kizunguzungu
Posti hii inahusu zaidi tatizo la kizungu Zungu ni tatizo ambalo utokea kwa watu mbalimbali na kwa sababu tofauti tofauti na pengine mtu akipata kizungu sehemu mbaya anaweza kusababisha majeraha au pengine kupata ulemavu Soma Zaidi...

image Dalili ambazo mwanamke hapaswi kufumbia macho
Posti hii inahusu zaidi dalili ambazo mwanamke hapaswi kufumbia macho. Soma Zaidi...

image Nna swali mimi nimefanya Romance na mtu ambaye sijampima kbsa sasa naogopa anaeza kuwa mgonjwa na mm nkaupata
Muulizaji anauliza he kula denda, ama kumbusu ama kufanya romance na muathirika was HIV na wewe uta ambukizwa? Soma Zaidi...