Menu



Ujuwe ugonjwa wa ebola, dalili zake na jinsi unavyoweza kusambazwa.

Posti hii inahusu sana kuhusu ugonjwa wa ebora. Ugonjwa huu usababishwa na virusi.Virusi hivyo husababisha kutokwa na damu nyingi mwilini kutokana na kupasuka kwa mishipa ya damu

Njia za maambukizi ya ebola.

1.Kama tulivyoeleza apo juu kuhusu huu ugonjwa.unaosababishwa na virusi,.ugonjwa huunhuenea kutoka kwa mtu mmoja hadi mwingine kwa njia ya kugusana majimaji ya mwili.majimaji ya mwilini ni kama mate,damu,mkojo,jacho,kamado,na jasho.vilevile ,kujamiana na mtu mwenye virusi vya ebola huleta maambukizi .pia,kugusa taka ngumu au maji taka yaliyotokana na kumhudumia mgonjwa wa ebola ni njia mojawapo ya maambukizi .pia,kugusa maiti ya mtu aliyekufa kwa ugonjwa huu.kugusa wanyama (mizoga na wanyama hai)walioambukizwa kama vile sokwe,popo na swala wa msituni hueneza ugonjwa huu.

  Dalili za ebola.

     Kulinganisha na hapo awali tulivyosema kuhusu ebola.dalili za ugonjwa wa ebola huanza kuonekana kwa mtu aliyeambukizwa baada ya siku mbili hadi 21 tangu kupata maambukizi.dalili za awali za ugonjwa wa ebola ni pamoja na joma kali ya ghafla,uchovu wa mwili,vidonda vya koo,maumivu ya kichwa,tumbo,misuli na viungo vingine.

2.dalili ya pili ni mtu kuwa na iichefuchefu.hii ni mojawapo ya dalili ya ugonjwa wa ebola ambapo mgonjwa anakuwa na kichefuchefu anahisi kutapika.pia mgonjwa huyu wa ebola akiona amekuwa na dalili hio afike haraka kituo cha afya ili asiweze kusambaza huo ugonjwa kwa watu wote .pia ukimgundua mgonjwa ana mojawapo ya hii dalili epuka kukaa nae karibu sana sababu .endapo atapiga chafya alafu na ww uko karibu yake utaweza kupata huu ugonjwa vilevile tulivyosema mwanzo epuka kushika kumgusa mgonjwa wa ebola.

3.kuharisha. hii pia mojawapo ya dalili ya ugonjwa wa ebola .endapo mtu ukiwa na hii dalili wahi kituo cha huduma ili uweze kupata matibabu mapema.pia mgonjwa wa ebola uweza kuharisha kwa mda mrefu mara kwa mara .pia ukiharisha inakuwa unapoteza wingi wa maji mwilini inapelekea virusi vya ebola kushambulia sana sehemu ya seli ndani ya mwili.

4.kupatwa na homa kali.hii ni mojawapo ya dalili ya ugonjwa wa ebola.mgonjwa endapo utapatwa na dalili hii wahi mapema kituo cha afya ili uweze kupata matibabu.ingawa homa ya mara kwa mara ni dalili ambayo ipo kwa magonjwa mengi lakini wewe ukijisikia una dalili hizi wahi kituo cha afya iwezekanavyo .

5.kuvuja damu kwenye pia.kulingana na tulivyoeleza apo mwanzo .kuhusu huu ugonjwa wa ebola kuwa ni tishio sana .miongoni mwao dalili nyingine uwepo au utokwaji wa damu puani .mgonjwa anatokwa na damu nyingi puani pale anapokuwa amepata huu ugonjwa wa ebola.poa kama muhuguzi wa kumsaidia mgonjwa huyu marufuku kumshika mgonjwa wa ebola.lazima uwe umevaa glavu .ambazo uitaukinga na huo ugonjwa .na mhuguzi lazima awe amejifunika sehemu zote za mwili wake. Pia kulingana na damu kuvuja puani inabidi muhuguzi.aweze kutafuta kitambaa safi na salama kwa ajili ya kuzuia damu zisizoke kwa wingi kwa uyo mgonjwa uku akiwa amejiziba sehemu zake zote za mwili.

6.damu kutoka mdomoni.hii ni mojawapo ya dalili ya ebola.kwamba mgonjwa wa ebola damu nyingi hutokea mdomoni .ambapo huweza kumpelekea kupoteza maisha kama hatiweza kumuwaisha hospitalini iwezekanavyo .kama tulivyosema hawali kwamba marufuku kumshika huyu mgonjwa wa ebola .

7.damu kutoka masikioni.kama tulivyoona dalili zingine app awali.na pia hii ni miongoni mwao dalili za ugonjwa wa ebola fika kituo cha huduma kwa mda ipasavyo.ukiangalia ugonjwa huu uweza kupitisha damu kwenye sehemu za binadamu zilizo wazi kama tulivyoona apo mwanzo.kama .mdomo,pua ,masikio,sehemu,ya aja kubwa 

 Pia kutokana na hilo ugonjwa wa ebola athari mojawapo husababisha figo na ini kushindwa kufanya kazi .vilevile ,mara nyingi husababisha kifo .

   Kwahiyo ugonjwa wa ebola unadhibitiwa kwa njia ya watu kupatiwa chanjo.Epuka kuwagusa wanyama kama nyani au popo .kwani wanaweza kuwa wamehathirika na ugonjwa huu.pia epuka kula nyama za wanyamapori.ugonjwa wa ebola unapotokea inashauriwa kuvaaa mavazi rasmi ya kujikinga .pia usimguse mtu aliyeathirika na ebola . Hakikisha ,unanawa mikono kila baada ya shughuli yoyote kwa kutumia sabuni,maji safi na uzumie taulo safi kujikausha

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea

Ndio     Hapana     Save post
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Views 1518

Share On:

Facebook WhatsApp

Post zinazofanana:

Sababu za Ugonjwa wa pumu

Pumu ni ugonjwa wa njia ya upumuaji unaojulikana na kizuizi cha muda mrefu cha njia ya upumuaji. Inahusisha mfumo wa upumuaji unaobana njia ya hewa, Inaweza kuwa ya nje (hii hutokea kwa vijana kutokana na mizio) au ya ndani (hutokea kwa wazee)

Soma Zaidi...
Sababu za Maambukizi kwenye mifupa.

Post hii inahusu zaidi Maambukizi kwenye mifupa ambayo kwa kitaalamu huitwa Osteomyelitis, ni Maambukizi ambayo hutokea kwenye mifupa kwa sababu mbalimbali ambazo usababisha ugonjwa huu.

Soma Zaidi...
Maambukizi ya Kawaida ya zinaa (Chlamydia)

maambukizi ya kawaida ya zinaa (STI), Hujulikana Kama Chlamydia. Huenda usijue una Ugonjwa huu kwa sababu watu wengi hawapati dalili au ishara, kama vile maumivu ya sehemu za siri na kutokwa na uchafu kutoka kwa uke au uume. Maambukizi haya huathiri

Soma Zaidi...
Dalili za madonda ya koo

Posti hii inahusu zaidi magonjwa ya koo, ni ugonjwa unaoshambulia sana sehemu ya koo la hewa, na na huwa na dalili zake kama ifuayavyo.

Soma Zaidi...
Dalili zake mtoto mwenye Ugonjwa wa Maambukizi kwenye koo

Pisti hii inahusu zaidi dalili za mtoto mwenye Maambukizi ya ugonjwa wa Dondakoo, tunajua wazi kuwa ugonjwa huu uwashambulia hasa watoto wadogo ambao wako chini ya miaka mitano, kwa hiyo zifuatazo ni baadhi ya Dalili zinazoweza kujitokeza kwa watoto hawa.

Soma Zaidi...
Aina za kisukari

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu aina za kisukari

Soma Zaidi...
Maumivu makali ya tumbo la chango wakati wa hedhi na sababu zake

Kwa nini unapata maumivu makali wakati wa kuingia hedhi, je unajuwa sababu za maumivu makali ya tumbo la chago.

Soma Zaidi...
Je maumivu juu ya kitovu ni miongoni mwa dalili za mimba?

Dalili za mimba zinaweza kuanzia kuonekana mapema ndani ya wiki ya kwanza, japo sio rahisi nabhakuna uthibitishobwa uhakika juu ya kauli hii. Makala hii itakwebda kujibubswali la msingi la muuulizaji kama maumivu ya tumbo ni dalili ya ujauzito.

Soma Zaidi...
Madhara ya kutotibu maambukizi chini ya kitovu

Posti hii inahusu zaidi madhara ya kutotibu maambukizi chini ya kitovu ni madhara ambayo yanaweza kutokea kwa mgonjwa pale ambapo matibabu yanapokuwa hayatolewi kwa mgonjwa wa maumivu chini ya kitovu.

Soma Zaidi...
Fangasi wa kwenye uke.

Fangasi hawa kitaalamu wanafahamika kama vagina yeast infection na majina mengine ya kitaalamu ni kama vagina candidiasis, u vulvovaginal candidiasis au candidal vaginitis.

Soma Zaidi...