Ujuwe ugonjwa wa ebola,  dalili zake na jinsi unavyoweza kusambazwa.

Ujuwe ugonjwa wa ebola, dalili zake na jinsi unavyoweza kusambazwa.

Posti hii inahusu sana kuhusu ugonjwa wa ebora. Ugonjwa huu usababishwa na virusi.Virusi hivyo husababisha kutokwa na damu nyingi mwilini kutokana na kupasuka kwa mishipa ya damu

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Njia za maambukizi ya ebola.

1.Kama tulivyoeleza apo juu kuhusu huu ugonjwa.unaosababishwa na virusi,.ugonjwa huunhuenea kutoka kwa mtu mmoja hadi mwingine kwa njia ya kugusana majimaji ya mwili.majimaji ya mwilini ni kama mate,damu,mkojo,jacho,kamado,na jasho.vilevile ,kujamiana na mtu mwenye virusi vya ebola huleta maambukizi .pia,kugusa taka ngumu au maji taka yaliyotokana na kumhudumia mgonjwa wa ebola ni njia mojawapo ya maambukizi .pia,kugusa maiti ya mtu aliyekufa kwa ugonjwa huu.kugusa wanyama (mizoga na wanyama hai)walioambukizwa kama vile sokwe,popo na swala wa msituni hueneza ugonjwa huu.

  Dalili za ebola.

     Kulinganisha na hapo awali tulivyosema kuhusu ebola.dalili za ugonjwa wa ebola huanza kuonekana kwa mtu aliyeambukizwa baada ya siku mbili hadi 21 tangu kupata maambukizi.dalili za awali za ugonjwa wa ebola ni pamoja na joma kali ya ghafla,uchovu wa mwili,vidonda vya koo,maumivu ya kichwa,tumbo,misuli na viungo vingine.

2.dalili ya pili ni mtu kuwa na iichefuchefu.hii ni mojawapo ya dalili ya ugonjwa wa ebola ambapo mgonjwa anakuwa na kichefuchefu anahisi kutapika.pia mgonjwa huyu wa ebola akiona amekuwa na dalili hio afike haraka kituo cha afya ili asiweze kusambaza huo ugonjwa kwa watu wote .pia ukimgundua mgonjwa ana mojawapo ya hii dalili epuka kukaa nae karibu sana sababu .endapo atapiga chafya alafu na ww uko karibu yake utaweza kupata huu ugonjwa vilevile tulivyosema mwanzo epuka kushika kumgusa mgonjwa wa ebola.

3.kuharisha. hii pia mojawapo ya dalili ya ugonjwa wa ebola .endapo mtu ukiwa na hii dalili wahi kituo cha huduma ili uweze kupata matibabu mapema.pia mgonjwa wa ebola uweza kuharisha kwa mda mrefu mara kwa mara .pia ukiharisha inakuwa unapoteza wingi wa maji mwilini inapelekea virusi vya ebola kushambulia sana sehemu ya seli ndani ya mwili.

4.kupatwa na homa kali.hii ni mojawapo ya dalili ya ugonjwa wa ebola.mgonjwa endapo utapatwa na dalili hii wahi mapema kituo cha afya ili uweze kupata matibabu.ingawa homa ya mara kwa mara ni dalili ambayo ipo kwa magonjwa mengi lakini wewe ukijisikia una dalili hizi wahi kituo cha afya iwezekanavyo .

5.kuvuja damu kwenye pia.kulingana na tulivyoeleza apo mwanzo .kuhusu huu ugonjwa wa ebola kuwa ni tishio sana .miongoni mwao dalili nyingine uwepo au utokwaji wa damu puani .mgonjwa anatokwa na damu nyingi puani pale anapokuwa amepata huu ugonjwa wa ebola.poa kama muhuguzi wa kumsaidia mgonjwa huyu marufuku kumshika mgonjwa wa ebola.lazima uwe umevaa glavu .ambazo uitaukinga na huo ugonjwa .na mhuguzi lazima awe amejifunika sehemu zote za mwili wake. Pia kulingana na damu kuvuja puani inabidi muhuguzi.aweze kutafuta kitambaa safi na salama kwa ajili ya kuzuia damu zisizoke kwa wingi kwa uyo mgonjwa uku akiwa amejiziba sehemu zake zote za mwili.

6.damu kutoka mdomoni.hii ni mojawapo ya dalili ya ebola.kwamba mgonjwa wa ebola damu nyingi hutokea mdomoni .ambapo huweza kumpelekea kupoteza maisha kama hatiweza kumuwaisha hospitalini iwezekanavyo .kama tulivyosema hawali kwamba marufuku kumshika huyu mgonjwa wa ebola .

7.damu kutoka masikioni.kama tulivyoona dalili zingine app awali.na pia hii ni miongoni mwao dalili za ugonjwa wa ebola fika kituo cha huduma kwa mda ipasavyo.ukiangalia ugonjwa huu uweza kupitisha damu kwenye sehemu za binadamu zilizo wazi kama tulivyoona apo mwanzo.kama .mdomo,pua ,masikio,sehemu,ya aja kubwa 

 Pia kutokana na hilo ugonjwa wa ebola athari mojawapo husababisha figo na ini kushindwa kufanya kazi .vilevile ,mara nyingi husababisha kifo .

   Kwahiyo ugonjwa wa ebola unadhibitiwa kwa njia ya watu kupatiwa chanjo.Epuka kuwagusa wanyama kama nyani au popo .kwani wanaweza kuwa wamehathirika na ugonjwa huu.pia epuka kula nyama za wanyamapori.ugonjwa wa ebola unapotokea inashauriwa kuvaaa mavazi rasmi ya kujikinga .pia usimguse mtu aliyeathirika na ebola . Hakikisha ,unanawa mikono kila baada ya shughuli yoyote kwa kutumia sabuni,maji safi na uzumie taulo safi kujikausha

Download Post hii hapa

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 1609

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

Dalili za Ugonjwa wa ini
Dalili za Ugonjwa wa ini

Posti hii inahusu zaidi dalili za ugonjwa wa inni, hizi ni dalili ambazo ujitokeza kwa mtu Mwenye ugonjwa wa inni, Dalili zenyewe ni kama ifuatavyo.

Soma Zaidi...
 Fahamu Ugonjwa wa upungufu wa Adrenali.
Fahamu Ugonjwa wa upungufu wa Adrenali.

Posti hii inaelezea kuhusiana na Ugonjwa wa upungufu wa Adrenali ni ugonjwa ambao hutokea wakati mwili wako hutoa kiasi cha kutosha cha homoni fulani zinazozalishwa na tezi zako za adrenali. ugonjwa huu hutokea katika makundi yote ya umri na huathiri

Soma Zaidi...
Athari za ugonjwa wa Dondakoo
Athari za ugonjwa wa Dondakoo

Posti hii inahusu zaidi athari za ugonjwa wa Dondakoo,hali hii utokea iwapo ugonjwa haukutibiwa mapema au umetibiwa lakini bado Kuna matokea hasi ambayo yanaweza kujitokeza kama ifuayavyo.

Soma Zaidi...
   Ugonjwa wa kuungua Mdomo (mouth burning syndrome)
Ugonjwa wa kuungua Mdomo (mouth burning syndrome)

Ugonjwa wa mdomo unaoungua ni neno la kimatibabu kwa ajili ya kuwaka moto mara kwa mara mdomoni bila sababu dhahiri. Usumbufu huo unaweza kuathiri ulimi wako, ufizi, midomo, ndani ya mashavu yako, paa la mdomo wako au maeneo yaliyoenea ya mdomo wako wot

Soma Zaidi...
Dalili za gonorrhea
Dalili za gonorrhea

Somo hili linakwenda kukuletea baadhi ya dalili za gonorrhea

Soma Zaidi...
Ugonjwa wa vidonda vya kitanda (bed sores)
Ugonjwa wa vidonda vya kitanda (bed sores)

Posti hii inaonyesha dalili za ugonjwa wa Vidonda vya kitanda (bed sores)mara nyingi hukua kwenye ngozi ambayo hufunika sehemu za mifupa ya mwili, kama vile visigino, vifundoni, viuno. Vidonda vya kitanda vinaweza kukua haraka na mara nyingi ni vigumu

Soma Zaidi...
Dalili za maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo
Dalili za maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo

Posti hii inahusu zaidi maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo,ni dalili ambazo ujionesha kwa mtu akiwa na shida kwenye utumbo mdogo na tumbo la kawaida.

Soma Zaidi...
  Dalili na ishara za Ugonjwa wa akili.
Dalili na ishara za Ugonjwa wa akili.

Posti hii inazungumzia kuhusiana na Ugonjwa wa akili .

Soma Zaidi...
Madhara ya Tiba homoni kwa wagonjwa wa saratani
Madhara ya Tiba homoni kwa wagonjwa wa saratani

Posti hii inahusu zaidi madhara ya Tiba homoni, ni madhara- ambayo utokea kwa mgonjwa anayetumia homoni kama Tiba kwenye kutibu saratani.

Soma Zaidi...
Kiungulia na tiba zake kwa wajawazito.
Kiungulia na tiba zake kwa wajawazito.

Posti hii inahusu kiungulia kwa wanawake wajawazito na tiba yake, ni ugonjwa au hali inayowapata wajawazito walio wengi kwa sababu ya kuwepo kwa mabadiliko ya homoni wakati wa ujauzito.

Soma Zaidi...