picha

Ujuwe ugonjwa wa ebola, dalili zake na jinsi unavyoweza kusambazwa.

Posti hii inahusu sana kuhusu ugonjwa wa ebora. Ugonjwa huu usababishwa na virusi.Virusi hivyo husababisha kutokwa na damu nyingi mwilini kutokana na kupasuka kwa mishipa ya damu

Njia za maambukizi ya ebola.

1.Kama tulivyoeleza apo juu kuhusu huu ugonjwa.unaosababishwa na virusi,.ugonjwa huunhuenea kutoka kwa mtu mmoja hadi mwingine kwa njia ya kugusana majimaji ya mwili.majimaji ya mwilini ni kama mate,damu,mkojo,jacho,kamado,na jasho.vilevile ,kujamiana na mtu mwenye virusi vya ebola huleta maambukizi .pia,kugusa taka ngumu au maji taka yaliyotokana na kumhudumia mgonjwa wa ebola ni njia mojawapo ya maambukizi .pia,kugusa maiti ya mtu aliyekufa kwa ugonjwa huu.kugusa wanyama (mizoga na wanyama hai)walioambukizwa kama vile sokwe,popo na swala wa msituni hueneza ugonjwa huu.

  Dalili za ebola.

     Kulinganisha na hapo awali tulivyosema kuhusu ebola.dalili za ugonjwa wa ebola huanza kuonekana kwa mtu aliyeambukizwa baada ya siku mbili hadi 21 tangu kupata maambukizi.dalili za awali za ugonjwa wa ebola ni pamoja na joma kali ya ghafla,uchovu wa mwili,vidonda vya koo,maumivu ya kichwa,tumbo,misuli na viungo vingine.

2.dalili ya pili ni mtu kuwa na iichefuchefu.hii ni mojawapo ya dalili ya ugonjwa wa ebola ambapo mgonjwa anakuwa na kichefuchefu anahisi kutapika.pia mgonjwa huyu wa ebola akiona amekuwa na dalili hio afike haraka kituo cha afya ili asiweze kusambaza huo ugonjwa kwa watu wote .pia ukimgundua mgonjwa ana mojawapo ya hii dalili epuka kukaa nae karibu sana sababu .endapo atapiga chafya alafu na ww uko karibu yake utaweza kupata huu ugonjwa vilevile tulivyosema mwanzo epuka kushika kumgusa mgonjwa wa ebola.

3.kuharisha. hii pia mojawapo ya dalili ya ugonjwa wa ebola .endapo mtu ukiwa na hii dalili wahi kituo cha huduma ili uweze kupata matibabu mapema.pia mgonjwa wa ebola uweza kuharisha kwa mda mrefu mara kwa mara .pia ukiharisha inakuwa unapoteza wingi wa maji mwilini inapelekea virusi vya ebola kushambulia sana sehemu ya seli ndani ya mwili.

4.kupatwa na homa kali.hii ni mojawapo ya dalili ya ugonjwa wa ebola.mgonjwa endapo utapatwa na dalili hii wahi mapema kituo cha afya ili uweze kupata matibabu.ingawa homa ya mara kwa mara ni dalili ambayo ipo kwa magonjwa mengi lakini wewe ukijisikia una dalili hizi wahi kituo cha afya iwezekanavyo .

5.kuvuja damu kwenye pia.kulingana na tulivyoeleza apo mwanzo .kuhusu huu ugonjwa wa ebola kuwa ni tishio sana .miongoni mwao dalili nyingine uwepo au utokwaji wa damu puani .mgonjwa anatokwa na damu nyingi puani pale anapokuwa amepata huu ugonjwa wa ebola.poa kama muhuguzi wa kumsaidia mgonjwa huyu marufuku kumshika mgonjwa wa ebola.lazima uwe umevaa glavu .ambazo uitaukinga na huo ugonjwa .na mhuguzi lazima awe amejifunika sehemu zote za mwili wake. Pia kulingana na damu kuvuja puani inabidi muhuguzi.aweze kutafuta kitambaa safi na salama kwa ajili ya kuzuia damu zisizoke kwa wingi kwa uyo mgonjwa uku akiwa amejiziba sehemu zake zote za mwili.

6.damu kutoka mdomoni.hii ni mojawapo ya dalili ya ebola.kwamba mgonjwa wa ebola damu nyingi hutokea mdomoni .ambapo huweza kumpelekea kupoteza maisha kama hatiweza kumuwaisha hospitalini iwezekanavyo .kama tulivyosema hawali kwamba marufuku kumshika huyu mgonjwa wa ebola .

7.damu kutoka masikioni.kama tulivyoona dalili zingine app awali.na pia hii ni miongoni mwao dalili za ugonjwa wa ebola fika kituo cha huduma kwa mda ipasavyo.ukiangalia ugonjwa huu uweza kupitisha damu kwenye sehemu za binadamu zilizo wazi kama tulivyoona apo mwanzo.kama .mdomo,pua ,masikio,sehemu,ya aja kubwa 

 Pia kutokana na hilo ugonjwa wa ebola athari mojawapo husababisha figo na ini kushindwa kufanya kazi .vilevile ,mara nyingi husababisha kifo .

   Kwahiyo ugonjwa wa ebola unadhibitiwa kwa njia ya watu kupatiwa chanjo.Epuka kuwagusa wanyama kama nyani au popo .kwani wanaweza kuwa wamehathirika na ugonjwa huu.pia epuka kula nyama za wanyamapori.ugonjwa wa ebola unapotokea inashauriwa kuvaaa mavazi rasmi ya kujikinga .pia usimguse mtu aliyeathirika na ebola . Hakikisha ,unanawa mikono kila baada ya shughuli yoyote kwa kutumia sabuni,maji safi na uzumie taulo safi kujikausha

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2022/08/12/Friday - 10:12:33 am Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 1993

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 web hosting    👉2 Madrasa kiganjani    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 Bongolite - Game zone - Play free game    👉5 Simulizi za Hadithi Audio    👉6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

Dalili za Ugonjwa wa mapigo ya moyo

Mapigo ya moyo ni hisia za kuwa na moyo wa haraka, Kupepesuka au kudunda. Mapigo ya moyo yanaweza kuchochewa na mafadhaiko, mazoezi, dawa au, mara chache, hali ya kiafya. Ingawa mapigo ya moyo yanaweza kuwa ya kutisha, kwa kawaida hayana madhara. Katik

Soma Zaidi...
Fangasi mdomoni ni dalili ya minyoo aina gani

Zipo aina nyingi za fantasy ambazo ni rahisi kuathiri binadamu. Wipe ambao haiathiri mdomo, nyayo, shemu za siri na kwenye ngozi.

Soma Zaidi...
Sababu za vidonda sugu vya tumbo

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za vidonda vya tumbo sugu

Soma Zaidi...
WAJUE FANGASI, AINA ZAKE, DALILI ZAKE NA MATIBABU YAKE

Fangasi huweza kuishi na kuathiri maeneo mbalimbali ndani ya mwili.

Soma Zaidi...
Aina ya Magonjwa ya akili

Unyogovu (Depression ) ni mojawapo ya ugonjwa wa akili ambao unahusishwa na hisia za huzuni, kukosa matumaini, na kupoteza furaha au shauku katika shughuli za kila siku. Huu si tu hisia ya huzuni iliyokatisha tamaa, bali ni hali sugu inayoweza kuathiri mabadiliko ya mwili, mawazo, na tabia ya mtu. Unyogovu unaweza kutokea kwa sababu mbalimbali ikiwa ni pamoja na mabadiliko ya kemikali katika ubongo, maumbile, mazingira, na matukio mbali mbali katika maisha ambayo kupelekea mgonjwa kuwa hivyo.

Soma Zaidi...
Minyoo Ni nini

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu maana ya minyoo

Soma Zaidi...
Mlo kwa wagonjwa wa figo wanaochujwa damu

Posti hii inahusu zaidi mlo kwa wagonjwa wa figo wanaochujwa damu, ni wagonjwa ambao figo zao zimeharibika na zimeshindwa kufanya kazi au pengine kuna uchafu mwingi mwilini ambao uchujwa kwa hiyo kuna vyakula muhimu ambavyo wagonjwa wa figo wanapaswa kutu

Soma Zaidi...
Ugonjwa wa kisonono, sababu zake nanjia za kujilinda.

Kisonono husababishwa na bakteria. Bakteria ya kisonono mara nyingi hupitishwa kutoka kwa mtu mmoja hadi mwingine wakati wa kujamiiana, ikiwa ni pamoja na kujamiiana kwa mdomo, mkundu au uke.

Soma Zaidi...
Dalili kuu za minyoo

Minyoo ni katika viume wanyonyaji, wanaoishi katika miili ya viumbe hai na kujipatia chakula humo. Minyoo wanaweza kuishi kwenye maeneo yenye majimaji kama kwenye maji, ndani ya viumembe hai kama mtu, ngombe, ngure na paka. Minyoo pia wanaweza kuishi kwen

Soma Zaidi...
Walio kwenye hatari ya kupata UTI

Posti hii inahusu zaidi watu walio kwenye hatari ya kupata UTI, ni watu ambao wako kwenye hatari ya kupata ugonjwa wa UTI kwa sababu ya mazingira mbalimbali kama ifuayavyo.

Soma Zaidi...