Ujuwe ugonjwa wa ebola, dalili zake na jinsi unavyoweza kusambazwa.

Posti hii inahusu sana kuhusu ugonjwa wa ebora. Ugonjwa huu usababishwa na virusi.Virusi hivyo husababisha kutokwa na damu nyingi mwilini kutokana na kupasuka kwa mishipa ya damu

Njia za maambukizi ya ebola.

1.Kama tulivyoeleza apo juu kuhusu huu ugonjwa.unaosababishwa na virusi,.ugonjwa huunhuenea kutoka kwa mtu mmoja hadi mwingine kwa njia ya kugusana majimaji ya mwili.majimaji ya mwilini ni kama mate,damu,mkojo,jacho,kamado,na jasho.vilevile ,kujamiana na mtu mwenye virusi vya ebola huleta maambukizi .pia,kugusa taka ngumu au maji taka yaliyotokana na kumhudumia mgonjwa wa ebola ni njia mojawapo ya maambukizi .pia,kugusa maiti ya mtu aliyekufa kwa ugonjwa huu.kugusa wanyama (mizoga na wanyama hai)walioambukizwa kama vile sokwe,popo na swala wa msituni hueneza ugonjwa huu.

  Dalili za ebola.

     Kulinganisha na hapo awali tulivyosema kuhusu ebola.dalili za ugonjwa wa ebola huanza kuonekana kwa mtu aliyeambukizwa baada ya siku mbili hadi 21 tangu kupata maambukizi.dalili za awali za ugonjwa wa ebola ni pamoja na joma kali ya ghafla,uchovu wa mwili,vidonda vya koo,maumivu ya kichwa,tumbo,misuli na viungo vingine.

2.dalili ya pili ni mtu kuwa na iichefuchefu.hii ni mojawapo ya dalili ya ugonjwa wa ebola ambapo mgonjwa anakuwa na kichefuchefu anahisi kutapika.pia mgonjwa huyu wa ebola akiona amekuwa na dalili hio afike haraka kituo cha afya ili asiweze kusambaza huo ugonjwa kwa watu wote .pia ukimgundua mgonjwa ana mojawapo ya hii dalili epuka kukaa nae karibu sana sababu .endapo atapiga chafya alafu na ww uko karibu yake utaweza kupata huu ugonjwa vilevile tulivyosema mwanzo epuka kushika kumgusa mgonjwa wa ebola.

3.kuharisha. hii pia mojawapo ya dalili ya ugonjwa wa ebola .endapo mtu ukiwa na hii dalili wahi kituo cha huduma ili uweze kupata matibabu mapema.pia mgonjwa wa ebola uweza kuharisha kwa mda mrefu mara kwa mara .pia ukiharisha inakuwa unapoteza wingi wa maji mwilini inapelekea virusi vya ebola kushambulia sana sehemu ya seli ndani ya mwili.

4.kupatwa na homa kali.hii ni mojawapo ya dalili ya ugonjwa wa ebola.mgonjwa endapo utapatwa na dalili hii wahi mapema kituo cha afya ili uweze kupata matibabu.ingawa homa ya mara kwa mara ni dalili ambayo ipo kwa magonjwa mengi lakini wewe ukijisikia una dalili hizi wahi kituo cha afya iwezekanavyo .

5.kuvuja damu kwenye pia.kulingana na tulivyoeleza apo mwanzo .kuhusu huu ugonjwa wa ebola kuwa ni tishio sana .miongoni mwao dalili nyingine uwepo au utokwaji wa damu puani .mgonjwa anatokwa na damu nyingi puani pale anapokuwa amepata huu ugonjwa wa ebola.poa kama muhuguzi wa kumsaidia mgonjwa huyu marufuku kumshika mgonjwa wa ebola.lazima uwe umevaa glavu .ambazo uitaukinga na huo ugonjwa .na mhuguzi lazima awe amejifunika sehemu zote za mwili wake. Pia kulingana na damu kuvuja puani inabidi muhuguzi.aweze kutafuta kitambaa safi na salama kwa ajili ya kuzuia damu zisizoke kwa wingi kwa uyo mgonjwa uku akiwa amejiziba sehemu zake zote za mwili.

6.damu kutoka mdomoni.hii ni mojawapo ya dalili ya ebola.kwamba mgonjwa wa ebola damu nyingi hutokea mdomoni .ambapo huweza kumpelekea kupoteza maisha kama hatiweza kumuwaisha hospitalini iwezekanavyo .kama tulivyosema hawali kwamba marufuku kumshika huyu mgonjwa wa ebola .

7.damu kutoka masikioni.kama tulivyoona dalili zingine app awali.na pia hii ni miongoni mwao dalili za ugonjwa wa ebola fika kituo cha huduma kwa mda ipasavyo.ukiangalia ugonjwa huu uweza kupitisha damu kwenye sehemu za binadamu zilizo wazi kama tulivyoona apo mwanzo.kama .mdomo,pua ,masikio,sehemu,ya aja kubwa 

 Pia kutokana na hilo ugonjwa wa ebola athari mojawapo husababisha figo na ini kushindwa kufanya kazi .vilevile ,mara nyingi husababisha kifo .

   Kwahiyo ugonjwa wa ebola unadhibitiwa kwa njia ya watu kupatiwa chanjo.Epuka kuwagusa wanyama kama nyani au popo .kwani wanaweza kuwa wamehathirika na ugonjwa huu.pia epuka kula nyama za wanyamapori.ugonjwa wa ebola unapotokea inashauriwa kuvaaa mavazi rasmi ya kujikinga .pia usimguse mtu aliyeathirika na ebola . Hakikisha ,unanawa mikono kila baada ya shughuli yoyote kwa kutumia sabuni,maji safi na uzumie taulo safi kujikausha

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 1863

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 Dua za Mitume na Manabii    👉3 Simulizi za Hadithi Audio    👉4 Madrasa kiganjani    👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana:

Dalili za saratani (cancer)

Posti hii inahusu zaidi dalili za kansa, ni dalili ambazo utokea kwa mtu Mwenye tatizo la ugonjwa wa Kansa ingawa sio lazima dalili hizi kutokea tukadhani kuwa ni Kansa Ila zilizonyingi huwa ni kweli dalili za kansa.

Soma Zaidi...
Njia za kupambana na kuzuia gonorrhea

Somo hili linakwenda kukueleza baadhi ya njia za kupambana na kuzuia gonorrhea

Soma Zaidi...
Kuhusu HIV na UKIMWI

Somk hili linakwenda kukueleza kuhusu Mambo mbalimbali yahusuyo HIV na UKIMWI

Soma Zaidi...
Fahamu Ugonjwa wa hepatitis A

Hepatitis A ni ugonjwa wa kuambukiza wa ini unaosababishwa na virusi vya Hepatitis A. Virusi ni mojawapo ya aina kadhaa za virusi vya Hepatitis vinavyosababisha kuvimba na kuathiri uwezo wa ini wako kufanya kazi.

Soma Zaidi...
Sababu za kuwa na afya ya akili

Afya ya akili ni hali ya mtu kuwa na akili timamu kiroho,kimwili ,na Kwa mazingira yake yote yaliyomzunguka na anaweza kuamua kitu akiwa katika ukamilifu, zifuatazo ni sababu za kuwa na Afya ya akili.

Soma Zaidi...
Dalili za Dengue.

Posti hii inahusu zaidi dalili za Dengue,ni Dalili ambazo huwa kwenye makundi matatu na kuwepo kwa makundi hayautegemea kuongezeka kwa tatizo kwa sababu tatizo likiongezeka bila kutibiwa na dalili uongezeka na kufikia kwenye sehemu isiyo ya kawaida kwa mg

Soma Zaidi...
Dalili za mawe kwenye kibofu Cha mkono

Mawe ya kibofu ni mkusanyiko mgumu wa madini kwenye kibofu chako. Mawe kwenye kibofu hukua wakati mkojo kwenye kibofu chako unapokolea, na kusababisha madini katika mkojo wako kung'aa.

Soma Zaidi...
Kiungulia, dawa yake na namna ya kuzuia kiungulia

Tambuwa kiungulia, sababu zake, dawa za kiungulia na namna ya kupambana na kiungulia

Soma Zaidi...
Ugonjwa wa bakteria unaoambukizwa na kupe.

Ugonjwa wa bakteria unaoambukizwa na kupe ambao husababisha dalili kama za mafua. Dalili na ishara za Ugonjwa huu ni kati ya kuumwa na mwili kidogo hadi homa kali na kwa kawaida huonekana ndani ya wiki moja au mbili baada ya kuumwa na kupe. Njia bora ya

Soma Zaidi...
Zifahamu sofa za seli

Seli ni chembechembe hai ambazo zimo ndani ya mwili wa binadamu na hufanya kazi mbalimbali kwenye mwili, binadamu hawezi kuishi bila seli.

Soma Zaidi...