MARADHI MAKUU HATARI MATANO (5) YANAYOENEZWA KWA KUNG'ATWA NA MBU (malaria ndio inachukua nafasi ya kwanza)
1.
MARADHI MAKUU 13 YANAYOENEZWA NA MBU
Mbu ni mdudu anayeongoza kwa kusababisha vifo vya watu wengi duniani. zaidi ya watu miliono mia mbili wanaathiriwa na maradhi yaletwayo na mbu kila mwaka duniani. Katika makala hii nitakwenda kukuletea maradhi ambayo yanasambazwa na mbu:- 1. VIRUSI VYA ZIKA (ZIKV)
2. HOMA YA DENGUE
3. HOMA YA CHIKUNGUNYA (CHIKV)
4. MALARIA
5. HOMA YA BONDE LA UFA (RVFD)
6. MENGINEYO
7. KWA NINI MBU HAWEZI KUAMBUKIZA HIV
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉2 web hosting 👉3 Kitabu cha Afya 👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉5 Simulizi za Hadithi Audio 👉6 ai web app
Post zinazofanana:
Dalili za Saratani ya figo.
Saratani ya Figo ni Saratani ambayo huanzia kwenye figo. Figo zako ni viungo viwili vyenye umbo la maharagwe, kila kimoja kikiwa na ukubwa wa ngumi yako. Ziko nyuma ya viungo vyako vya tumbo, na figo moja kila upande wa mgongo wako.
Soma Zaidi...Dalili za Mimba ya Siku 7 kwa Mwanamke
Makala haya yanachunguza ukweli wa kifizikia kuhusu dalili za mimba katika hatua za awali kabisa (wiki ya kwanza baada ya utungisho). Tutafafanua nini kinatokea ndani ya mwili wa mwanamke ndani ya siku 7 na dalili zinazoweza kujitokeza, pamoja na kusisitiza umuhimu wa subira katika kufanya
Soma Zaidi...Dalili za VVU/UKIMWI Ni zipi
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za VVU/ UKIMWI
Soma Zaidi...Mazoea ya utoto na athari zake kwenye afya ya akili ya mtu mzima.
Utoto ni kipindi muhimu cha maendeleo ambapo msingi wa tabia, hisia, na utambuzi huwekwa. Makala haya yanachunguza uhusiano wa kina kati ya uzoefu wa utotoni na ustawi wa kisaikolojia katika utu uzima. Kwa kutumia mtazamo wa kitaalamu, tunachambua jinsi mifumo ya malezi inavyoathiri jinsi mtu anavyojenga mahusiano, anavyokabiliana na msongo wa mawazo, na anavyojiheshimu.
Soma Zaidi...Maradhi ya macho, dalili zake na matibabu yake
Makala hii itakufundisha maradho makuu ya macho, matibabu yake na tiba zake
Soma Zaidi...