Kama una tatizo la midomo kuchubuka na kuwa myeupe ama kuwa na vidonda. Post hii inakwenda kuangalia swala hili.
Hey habar samahani nimeona Google jinsi ulivyo elezea vitamini B. Mm midomo yangu huu wa chini ina weupe kama imebabuka nakosa confidence kabisa siwez toka bila rangi ya mdomo itakuwa upungufu huo wa vitaminiB?
Haloo, pole sana kwa tatizo hilo. Tatizo hilo linaweza kusababishwa na hali nyingi za kiafya. Kwa mfano:
1. Upungufu wa vitamini. Vitamini C kwa B kwa pamoja huwenda ikawa sababu hiyo. Mfano mzuri ni kwamba endapo utakuwa na vidonda kwenye midomo vitamini hvi vinaweza kuwa sababu.
2. Fangasi, yes inaweza kuwa ni dalili ya fangasi kwenye midomo. Hata hivyo angalia kwanza ulimi kma umebadilika rangi kuwa nyeupe huwenda ni fangasi.
3. Matumizi ya dawa kwa muda mrefu. Huenda ikasababishwa na matumizi ya baadhi ya dawa kwa muda mrefu.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Minyoo ni katika viume wanyonyaji, wanaoishi katika miili ya viumbe hai na kujipatia chakula humo. Minyoo wanaweza kuishi kwenye maeneo yenye majimaji kama kwenye maji, ndani ya viumembe hai kama mtu, ngombe, ngure na paka. Minyoo pia wanaweza kuishi kwen
Soma Zaidi...Uchovu wa joto ni hali ambayo dalili zake zinaweza kujumuisha kutokwa na jasho kubwa na mapigo ya haraka, ambayo ni matokeo ya joto la mwili wako. Ni mojawapo ya magonjwa matatu yanayohusiana na joto, huku tumbo la joto likiwa kali zaidi na Kihar
Soma Zaidi...Hapa utajifunza sababu zinzopelekea mdomo kubadilika ladha na kuwa mchungu, ama mchachu.
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za maumivu ya tumbo kitovuni na dalili zake
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dalili za Maambukizi kwenye mifupa, ni dalili ambazo ukionyesha kwa mtu mwenye Maambukizi kwenye mifupa.
Soma Zaidi...Kama tulivyokwisha kuona kuwa malaria inaweza kuambukizwa kwa kung'atwa na mbu aina ya anophelesi.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu watu walio hatarini kupata gonorrhea gonoria
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na tatizo la Kurithi ambapo Damu inatoka kwa muda mrefu wakati au baada ya jeraha bila kuganda.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu dalili za ukosefu wa misuli. ukosefu wa udhibiti wa misuli wakati wa harakati za hiari, kama vile kutembea au kuokota vitu. Ishara ya hali ya msingi, Ataxia inaweza kuathiri harakati, hotuba, harakati za jicho na kumeza.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi namna ya kuzuia maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo, hizi ni njia ambazo zinapaswa kufuatwa ili kutokomeza kabisa maambukizi kwenye tumbo na utumbo mdogo.
Soma Zaidi...