picha

Nini sababu ya kuchubuka midomo na kuwa myeupe

Kama una tatizo la midomo kuchubuka na kuwa myeupe ama kuwa na vidonda. Post hii inakwenda kuangalia swala hili.

Hey habar samahani nimeona Google jinsi ulivyo elezea vitamini B. Mm midomo yangu huu wa chini ina weupe kama imebabuka nakosa confidence kabisa siwez toka bila rangi ya mdomo itakuwa upungufu huo wa vitaminiB? 

 

Haloo, pole sana kwa tatizo hilo. Tatizo hilo linaweza kusababishwa na hali nyingi za kiafya. Kwa mfano: 

1. Upungufu wa vitamini. Vitamini C kwa B kwa pamoja huwenda ikawa sababu hiyo. Mfano mzuri ni kwamba endapo utakuwa na vidonda kwenye midomo vitamini hvi vinaweza kuwa sababu. 

 

2. Fangasi,  yes inaweza kuwa ni dalili ya fangasi kwenye midomo. Hata hivyo angalia kwanza ulimi kma umebadilika rangi kuwa nyeupe huwenda ni fangasi. 

 

3. Matumizi ya dawa kwa muda mrefu. Huenda ikasababishwa na matumizi ya baadhi ya dawa kwa muda mrefu. 

 

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Views 3649

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 ai web app     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉4 Dua za Mitume na Manabii     👉5 Kitabu cha Afya     👉6 Bongolite - Game zone - Play free game    

Post zinazofanana:

Namna ya kuzuia Ugonjwa wa ini

Posti hii inaelezea namna na jinsi ya kujikinga au kuzuia Ugonjwa wa ini.

Soma Zaidi...
Ugonjwa wa kuchelewa kuganda kwa Damu unaojulikana Kama hemophilia.

Posti hii inazungumzia kuhusiana na tatizo la Kurithi ambapo Damu inatoka kwa muda mrefu wakati au baada ya jeraha bila kuganda.

Soma Zaidi...
Madhara ya ugonjwa wa ukimwi kwenye jamii.

Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea ikiwa Ugonjwa huu wa ukimwi ukishasmbaa kutoka sehemu moja kwenda nyingine na kuleta madhara makubwa kama ifuatavyo.

Soma Zaidi...
Visababishi vya maambukizi kwenye milija na ovari

Posti hii inahusu zaidi visababishi vya maambukizi kwenye milija na, ni mambo yanayosababisha maambukizi kwenye milija na ovari.

Soma Zaidi...