Nini sababu ya kuchubuka midomo na kuwa myeupe

Nini sababu ya kuchubuka midomo na kuwa myeupe

Kama una tatizo la midomo kuchubuka na kuwa myeupe ama kuwa na vidonda. Post hii inakwenda kuangalia swala hili.

Jiunge nasi WhatsApp
Upate Update zetu

Hey habar samahani nimeona Google jinsi ulivyo elezea vitamini B. Mm midomo yangu huu wa chini ina weupe kama imebabuka nakosa confidence kabisa siwez toka bila rangi ya mdomo itakuwa upungufu huo wa vitaminiB? 

 

Haloo, pole sana kwa tatizo hilo. Tatizo hilo linaweza kusababishwa na hali nyingi za kiafya. Kwa mfano: 

1. Upungufu wa vitamini. Vitamini C kwa B kwa pamoja huwenda ikawa sababu hiyo. Mfano mzuri ni kwamba endapo utakuwa na vidonda kwenye midomo vitamini hvi vinaweza kuwa sababu. 

 

2. Fangasi,  yes inaweza kuwa ni dalili ya fangasi kwenye midomo. Hata hivyo angalia kwanza ulimi kma umebadilika rangi kuwa nyeupe huwenda ni fangasi. 

 

3. Matumizi ya dawa kwa muda mrefu. Huenda ikasababishwa na matumizi ya baadhi ya dawa kwa muda mrefu. 

 

Download Post hii hapa

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 2362

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 Bongolite - Game zone - Play free game   

Post zinazofanana:

Namna ya kuzuia  ugonjwa wa Homa ya inni.
Namna ya kuzuia ugonjwa wa Homa ya inni.

Posti hii inahusu zaidi namna ya kuzuia ugonjwa wa Homa ya inni, ni njia ambazo utumiwa Ili kuepuka kusambaa kwa ugonjwa wa Homa ya inni kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine,

Soma Zaidi...
Ni Nini husababisha kinjwaa kutoa harufu mbaya?
Ni Nini husababisha kinjwaa kutoa harufu mbaya?

Posti hii inaelezea kuhusiana na sababu zinazosababisha kinjwa au mdomo kutoa harufu mbaya?

Soma Zaidi...
Ugonjwa wa moyo.
Ugonjwa wa moyo.

Posti hii inaelezea kuhusiana na mambo hatari yanayosababisha ugonjwa wa moyo.

Soma Zaidi...
Fahamu Ugonjwa unaohusiana na kuzidi kwa joto  mwilini (anhidrosis) ama heatshock
Fahamu Ugonjwa unaohusiana na kuzidi kwa joto mwilini (anhidrosis) ama heatshock

posti hii inazungumzia kuhusiana na Ugonjwa na Ugonjwa unaohusiana na joto ambao hujulikana Kama Anhidrosis ni kutoweza jasho kawaida. Usipotoa jasho mwili wako hauwezi kujipoza, jambo ambalo linaweza kusababisha joto kupita. wakati mwingine inaweza k

Soma Zaidi...
Dalili za macho makavu.
Dalili za macho makavu.

Posti hii inahusu zaidi njia za kutambua Dalili za macho makavu, kama tulivyotangulia kuona kubwa macho kuwa makavu Usababishwa na sehemu ya kuzalisha maji kwenye jicho kushindwa kufanya kazi na jicho hilo huwa kavu na Dalili zake ni kama ifuatavyo.

Soma Zaidi...
Ugonjwa wa degedege na dalili zake
Ugonjwa wa degedege na dalili zake

Ugonjwa wa degedege ni ugonjwa unaowapata sana watoto chini ya miaka mitano ingawa na watu wazima wanapatwa na ugonjwa huo

Soma Zaidi...
Mambo yanayosababisha kuharisha
Mambo yanayosababisha kuharisha

Post hii inahusu zaidi ugonjwa wa kuharisha, kuharisha ni kitendo Cha kupitisha kinyesi Cha maji chenye damu au kisichokuwa na damu

Soma Zaidi...
Fahamu Ugonjwa wa kisukari aina ya 1 (type 1)
Fahamu Ugonjwa wa kisukari aina ya 1 (type 1)

Kisukari cha Aina ya 1, ambacho wakati mmoja kilijulikana kama Kisukari cha changa au Kisukari kitegemeacho insulini, ni hali sugu ambapo kongosho hutoa insulini kidogo au haitoi kabisa, homoni inayohitajika kuruhusu sukari (glucose) iingie kwenye se

Soma Zaidi...
Namna ya Kuzuia Mtoto mwenye kifua kikuu (TB).
Namna ya Kuzuia Mtoto mwenye kifua kikuu (TB).

posti hii inazungumzia kuhusiana na Ugonjwa wa kifua kikuu kwa watoto chini ya miaka mitano. Kifua kikuu ni ugonjwa sugu wa kuambukiza na anuwai ya magonjwa ya kliniki yanayosababishwa na Mycobacterium tuberculosis complex.

Soma Zaidi...