Mambo ya kufanya kama una kiungulia
Posti hii inahusu zaidi mambo ambayo unapaswa kufanya kama una tatizo la kiungulia.
Mambo ya kufanya kama una kiungulia.
1. Badilisha mfumo wa vyakula achana na vyakula vya sukari na mafuta.
2. Epuka vyakula anavyokula vikaanzisha kiungulia.
3. Achana na vinywaji vyenye caffeine, kahawa na soda au punguza utumiaji.
4. Kula vyakula kwa utaratibu, tafuna vizuri na meza kwa ustaarabu na usishibe sana.
5. Punguza matumizi ya sigara na pombe.
6. Punguza msongo wa mawazo na tumia vizuri mto wakati wa kulala.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
π1 kitabu cha Simulizi π2 ai web app π3 web hosting π4 Kitabu cha Afya π5 Dua za Mitume na Manabii π6 Madrasa kiganjani
Post zinazofanana:
Hedhi isiyo na mpangilio: Chanzo chake na nini cha kufanya?
βMzunguko wa hedhi ni kiashiria muhimu sana cha afya ya mwanamke. Hata hivyo, wanawake wengi hukumbana na changamoto ya hedhi isiyo na mpangilio (irregular periods) katika kipindi fulani cha maisha yao. Makala hii inachambua kwa kina vyanzo vikuu vya kuvurugika kwa mzunguko wa hedhi, kuanzia mabadiliko ya mtindo wa maisha hadi matatizo ya kiafya kama PCOS, na kutoa mwongozo wa hatua za kuchukua ili kurejesha usawa wa mwili wako.
Soma Zaidi...Sababu Zinazoweza Kusababisha Majibu ya Uongo ya HIV
βKupata matokeo ya "positive" (chanya) katika kipimo cha VVU ni jambo linaloweza kuleta hofu kubwa. Hata hivyo, mara chache sana, vipimo vya VVU vinaweza kutoa majibu yanayoitwa false positive (majibu ya uongo), ambapo mtu hana virusi lakini kipimo kinaonyesha anavyo. Makala hii inaelezea mazingira ambayo yanaweza kusababisha hali hii na nini unapaswa kufanya ikiwa utapata matokeo hayo.
Soma Zaidi...Jinsi ya kuondokana na mawazo hasi na kujenga tabasamu.
βJe, unatatizika na mawazo hasi yanayokwamisha maendeleo yako? Jifunze mbinu za kitaalamu za kubadilisha mtazamo, kuondoa msongo wa mawazo, na kujenga tabasamu la kudumu kwa ajili ya maisha yenye furaha na tija.
Soma Zaidi...Dalili za tonsillitis (mafindo mafindo)
Tonsillitis kwa kiswahili hujulikana kama mafundomafundo ambayo hutokea pande mbili karibu na Koo na huwa na uvimbe na zikikaa kwa muda bila matibabu hutoa usaha.Dalili na dalili za ugonjwa wa tonsillitis ni pamoja na
Soma Zaidi...Njia za kupambana na kuzuia gonorrhea
Somo hili linakwenda kukueleza baadhi ya njia za kupambana na kuzuia gonorrhea
Soma Zaidi...