Aina mbalimbali za michubuko

Post hii inahusu zaidi aina mbalimbali za michubuko,kwa Sababu michubuko utokea sehemu tofauti tofauti na pia Kuna aina mbalimbali kama tutakavyoona hapo mbeleni.

Aina mbalimbali za michubuko.

1. Michubuko kwenye ngozi.

Hii ni aina mojawapo ya michubuko ambayo mara nyingi utokea kwenye ngozi ya juu ya mtoto hasa hasa ni kwa sababu ya kuzalisha watoto kwa kutumia vyuma, ambapo michubuko hii utokea kwenye ngozi ya juu ya kichwani , kwa kawaida uweza kugunduliwa na wahudumu wa afya mara tu mtoto akimaliza kuzaliwa, kwa hiyo ikitokea mtoto amevutwa na vyuma ni vizuri kabisa watoa huduma kuwa makini kukagua mtoto kama Kuna sehemu ambayo imeathirika na kuweza kutoa msaada . Pamoja na kazi za wahudumu na wazazi pia wanapaswa kuwa waangalifu katika kuona mabadiliko yoyote kwa mtoto na kutoa taarifa Ili mtoto aweze kuhudumiwa.

 

2. Kwa kawaida michubuko kwenye sehemu za ngozi ya juu ya mtoto mara nyingi haiitaji matibabu zaidi ila kusafishwa na kuiweka sehemu safi na kukausha usaidia sana kupona kwa ngozi hiyo ,vile vile na dawa za kupunguza maambukizi utolewa ambazo dawa hizo kwa kitaamu huiitwa antibiotics. Kwa kawaida mikwaruzo kwenye sehemu ya juu ya ngozi ya kichwa upona mapema na pia wazazi au ndugu hawapaswi kuweka dawa yoyote ambayo ni kinyume na dawa za hospital kwa sababu dawa nyingine uongeza matatizo zaidi kuliko kupona.

 

3. Vile vile aina nyingine ya michubuko kwenye ngozi ni kuvimba kwenye ngozi ya kichwani ambayo Kwa kitaamu huiitwa caput succedaneum,u uvimbe huu utokea kwa watoto hasa pale wanapopambana kutoka kwenye tumbo la mama na kuzaliwa ukutana na obstacles au ukutana na vitu ambavyo umsababishia hali ya kushindwa kutoka vizuri au kutoka kwa shida na kusababisha uvimbe kwenye sehemu ya kichwa , kwa kawaida uvimbe huu uonekana tu baada ya mtoto kuzaliwa na ndani ya siku tatu uvimbe huo uisha taratibu na hatimaye kutoweka kwa hiyo wahudumu wa afya wanapaswa kuwaelimisha wazazi na ndugu kutoweka vitu vyovyote kwenye uvimbe.

 

4. Michubuko kwenye sehemu za misuli.

Kuna wakati mwingine michubuko utokea kwenye sehemu za misuli au kwa kitaamu kwenye muscle ni kutokana na mishipa kupasuka au kukwaruzwa kwa ngozi hasa za kwenye misuli .kwa kawaida misuli inayoshambuliwa Zaid ni misuli ya kwenye shingo ambayo Kwa kitaamu huiitwa Torticollis muscle, hali hii utokea hasa pale mtoto anapozaliwa hasa kama ametanguliza bega au bega katika kuvutwa misuli ya shingoni inawezekana kulegea na kusababisha michubuko kwenye ngozi, kwa hiyo kama mtoto amezaliwa kwa shida ni vizuri kabisa kuangalia sehemu mbalimbali za misuli Ili kuweza kugundua tatizo lolote ambalo linaweza kujitokeza.

 

5. Mikwaruzo kwenye nevu.

Pia Kuna Kipindi ambapo mikwaruzo utokea kwenye nevu na kwa kiwango kikubwa nevu ambazo zinakuwa affected au zinazoathiriwa ni nevu za kwenye uso na pia na nevu za kwenye mabega, mikono,na kwenye vidole, ndio maana unaweza kumkuta mtoto amelemaa mkono,au bega na pia sehemu yote kuanzia kwenye bega na mikono kwa hiyo kama Kuna Neva yoyote ambayo imeathirika ni kuangalia kwa kutumia utrasound au x- ray kwa Sababu huwezi kuona kuaribika kwa Neva kwa macho ila unaweza kutumia dalili ila kufahamu ni Neva gani imeathirika ni kutumia utrasound au x-ray. Kwa hiyo tutaweza kuona nevu Moja badala ya nyingine kama ifuatavyo.

 

6. Nevu za kwenye uso.

Kuna wakati panakuwepo na kuharibika kwa nevu za kwenye uso kwa kitaamu huiitwa facial nevu.

 Kwa kawaida mtoto kama amezaliwa kwa kuvutwa na vyuma au wakati mwingine kuzaliwa kwa shida kwa sababu mbalimbali ambazo uchangia matatizo ya uzazi, Kuna mda mwingine mtoto uzaliwa akiwa na matatizo kwenye nevu za uso kwa sababu pengine zinakuwa zimevutwa hali ambayo usababisha mtoto kuzaliwa akiwa mdomo wazi, macho yanakuwa yamefunguka na mtoto hawezi kuyafumba, hali ambayo usababisha mtoto kushindwa kunyonya au pengine kabisa anashindwa kumeza, kwa hiyo ukimwona mtoto wa hivyo Kuna dawa ambayo Kwa kitaamu huiitwa methyl cellulose usaidia kurahisisha nevu za usoni na kumfanya mtoto kufumba macho na mdomo na kuanza kunyonya kawaida.

 

7. Mikwaruzo kwenye nevu za kuanzia kwenye bega mpaka kwenye mikono ambazo kwa kitaamu huiitwa branchial plexus.

Ni nevu ambazo pamoja na kuhathiri mabega na mikono vile vile uingiliana na uti wa mgongo katika nevu za mbavu ya nane na pia kuelekea kwenye shingo, ndio maana Kuna watoto wanaozaliwa wakiwa na shingo limelegea na pengine kushindwa kulisimamisha shingo kabisa, kwa hiyo watoto wa namna hiyo hawapaswi kufanyiwa mazoezi kiholela kwa lengo la kufanya shingo zao ziwe vizuri ila badala ya kumsaidia unaweza kuleta matatizo zaidi, kwa hiyo ni vizuri watu wa mifupa ndio wawafanyie mazoezi kwa kitaamu huiitwa watu wa physiotherapy,na wenyewe baada ya kutumia utrasound na x-ray na kuangalia mtiririko wa nevu ndipo waanze kazi mara moja.

 

8. Vile vile Kuna kupalalizi kwenye bega na sehemu ya juu ya mikono na sio kwenye vidole.

Kuna wakati mwingine kwa sababu ya michubuko kwenye mikono hali ambayo usababisha mtoto kupalalizi kwenye bega na pia kwenye mikono ya juu, kwa sababu nevu za sehemu ya juu ziliaribiwa wakati wa kuzaliwa inawezekana kabisa ni kwa sababu ya kutumia vyuma wakati wa kuzaliwa au mtoto kushindwa kutoa au kwa sababu ya mtoto kuvutwa sana na hatimaye kuharibika kwa nevu za mkono na bega, pia hali hii kwa kitaamu huiitwa erb;s palsy, kwa matibabu zaidi ni kuwaona wataalamu wa physiotherapy Ili waweze kumfanyia mtoto mazoezi kulingana na jinsi alivyoumia.

 

9.  Vile vile Kuna mikwaruzo ya kwenye nevu za vidole na sehemu ya chini kabisa ya vidole , ambapo unakuta mtoto Kwa upande wa bega na shingo yupo vizuri kabisa ila kwenye vidole na sehemu ya chini amepalalize na hawezi kufanya chochote au kushika chochote, hali hii utokea kwa sababu ya nevu za chini kwenye mikono zinakuwa zimehadhiriwa, kwa hiyo ni vizuri kabisa kuwa waangalifu punde mtoto anapozaliwa Ili kuweza kutambua kama Kuna tatizo lolote linalohusiana na kuharibika kwa nevu kwa sababu mtoto asipoangaliwa mapema anaweza kupata madhara zaidi.

 

 10. Kwa hiyo kazi ya kumfanya mtoto aonekane jinsi alivyo ni kazi ya wataalamu wa afya na pia ikiwa taratibu za kuzalisha mtoto ni nzuri na kugundua mapema hali ya hatari kwa mtoto kabla ya kuzaliwa ni vizuri kabisa kwa sababu ufanya matatizo mbalimbali yasitokee matatizo kama vile kupalalizi na kuondoa ulemavu kwa watoto. Na pengine tatizo linaweza kuwepo ila kama mtoto ameandaliwa mapema na kufanyia uchunguzi mapema mtoto anaweza kupona na kuendelea na hali yake ya Kawaida.

 

 

11. Pia kwa sababu ya kutokuwepo kwa elimu ya kutosha kwa jamii, Kuna tabia ya watu kutumia madawa ya mbalimbali au kuwafanyia mazoezi bila mpangilio hali inayowafanya kuleta madhara badala ya kusaidia , kwa hiyo tatizo hili likitokea ni vizuri kabisa kuwaona wataalamu wa afya na kuweza kuwapa ushauri unaopaswa Ili kuepuka kuleta madhara zaidi.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 1722

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi    👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 Madrasa kiganjani    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana:

Nini husababisha maumivu ya tumbo chini ya kitovu kwa wanawake na wanaume

Somo hili linakwenda kukueleza vitu vinavyosababisha maumivu ya tumbo chini ya kitovu

Soma Zaidi...
Ugonjwa wa pepopunda kwa watoto

Pepopunda ni ugonjwa hatari wa kutishia maisha unaosababishwa na sumu inayojulikana Kama tetanospasmin inayotolewa kwenye majeraha yaliyoambukizwa. Bakteria ya pepopunda huingia kwenye mwili wa mtoto mchanga kupitia kisiki cha kitovu ambacho kimekatwa na

Soma Zaidi...
Dalili za saratani ya ini.

posti inaonyesha dalili mbalimbali za Saratani ya ini. Saratani ya ini ni Saratani inayoanzia kwenye seli za ini lako. Ini lako ni kiungo cha ukubwa wa mpira wa miguu ambacho kinakaa sehemu ya juu ya kulia ya tumbo lako, chini ya diaphr

Soma Zaidi...
Dalili za upungufu wa maji mwilini.

Upungufu wa maji mwilini hutokea unapotumia au kupoteza Majimaji mengi zaidi ya unayonywa, na mwili wako hauna maji ya kutosha na Majimaji mengine ya kufanya kazi zake za kawaida. Usipochukua nafasi ya Vimiminika vilivyopotea, utapungukiwa na maji.

Soma Zaidi...
Dalili za Ugonjwa wa mapafu.

posti hii inahusu dalili za ugonjwa wa mapafu.ambapo kitaalamu hujulikana Kama Ugonjwa wa Acute Respiratory Distress Syndrome (ARDS) hutokea wakati Majimaji yanapojaa kwenye vifuko vidogo vya hewa nyororo (alveoli) kwenye mapafu yako. Majimaji mengi kw

Soma Zaidi...
Viungo vinavyoathiriwa na malaria

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu baadhi ya viungo vinavyoathiriwa na ugonjwa wa malaria

Soma Zaidi...
Typhoid husabisha mwili kuchoka na maumivu ya kichwa pamoja na joint za miguu kuchoka

Dalili za typhid zinapasa kuangaliwa kwa umakini. Bila vipimo mtu asitumie dawa za tyohod, kwanu dalili za tyohid hufanana na daliki za maradhi mengi.

Soma Zaidi...
Jifunze zaidi mzunguko wa mfumo wa damu kwa binadamu

Posti hii inahusu zaidi mfumo wa mwili ambao huhusika na kusafirisha damu ,virutubisho na takamwili.mfumo huu unajumuisha damu,mishipa ya damu na moyo.moyo husukuma damu kupitia mishipa ya damu na kufika maeneo yote ya mwili.

Soma Zaidi...
Fangasi wanaojulikana kama Blastomyces

Fangasi wanaojulikana kama Blastomyces, hawa ni fangasi wanaosababisha maradhi yajulikanayo kama blastomycosis.

Soma Zaidi...