Posti hii inahusu zaidi vyanzo vya magonjwa yanayotokea kwenye sehemu za siri,kwa sababu siku kwa siku kuna magonjwa mengi yanayotokea kwenye sehemu za siri ila kuna vyanzo mbalimbali ambavyo usababisha kuwepo kwa magonjwa kwenye sehemu mbalimbali za siri
1. Kuna matumizi ya njia za uzazi wa mpango kwa kutumia vitanzi.
Kwa kawaida kwenye njia ya via vya uzazi hapatakuwi kitu chochote kuwepo isipokuwa kama kuna mimba na mfumo mzima wa mzunguko wa damu ila kwa matumizi ya njia za uzazi wa mpango kama vile kuwepo kwa vitanzi ambayo vina kemikali mbalimbali ambazo uzuia mimba kutungwa, kwa sababu ya kuwepo kwa kemikali hizo usababisha kiasi kikubwa cha kuwepo kwa magonjwa mbalimbali kwenye sehemu za siri.kwa hiyo katika matumizi ya vitanzi ni vizuri kuwasiliana na wataalamu wa afya ili kuweza kupata matumizi sahihi.
2. Kubadilisha wapenzi mara kwa mara.
Kuna tabia ya watu wanaobadilisha wapenzi mara kwa mara , kumbuka wapenzi hao kila mtu ana ugonjwa wake kwa hiyo katika matumizi ya wapenzi hao bila kutumia kinga usababisha kuwepo kwa magonjwa ya siri.
3. Kwa hiyo ni vizuri kabisa kuwa na mpenzi mmoja kama haujaolewa au ukiamua kuchepuka ni lazima kutumia kinga ili kuweza kuepukana na magonjwa ya siri kwa hiyo ni vizuri kabisa kupata hata matibabu na ushauri kutoka kwa wataalamu wa afya ili kuweza kuepukana na madhara ya kuwepo kwa magonjwa kwenye sehemu za siri.
4. Matumizi ya bidhaa za marashi na aina yoyote ya vipodozi kwenye sehemu za siri.
Kuna tamaduni au utaratibu ambao unagundulika kila siku ambapo wanawake wanapenda kuweka mafuta na maradhi kwenye sehemu za siri ili kuweza kuwa kufurahisha wanaume zao, haya manukato na marashi usababisha kuua bakteria walio wazuri na kusababisha kuwepo kwa Ugonjwa kwenye sehemu za siri.
5. Kunyonywa kwenye sehemu za siri.
Kwa sababu ya maendeleo ya sayansi na teknolojia kuna kila aina ya vitu vinaibuka kila siku ambapo wanaume wengi wanapofanya ngono au wanapojamiiana mwanaume umnyonya mwanamke ili kuweza kusisimua hisia ,kwa hiyo mwanaume uweka bakteria wa mdomo wake kwenye uke ambapo Usababisha kuwepo kwa bakteria wa mdomo kwenye uke na kusababisha magonjwa kwenye sehemu za siri.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inazungumzia kuhusiana na Maambukizi kwenye figo (pyelonephritis) ni aina mahususi ya maambukizi ya njia ya mkojo (UTI) ambayo kwa kawaida huanza kwenye urethra au kibofu chako na kusafiri hadi kwenye figo zako.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi njia ambazo utumiwa Ili kuweza kuzuia kuwepo ugonjwa wa kisonono, kwa kufuata njia hizi ugonjwa huu wa kisonono unaweza kupungua kwa kiasi au kuisha kabisa.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu za maambukizi kwenye nephroni, ni vitu vinavyosababisha mabukizi kwenye nephroni.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi watu walio kwenye hatari ya kupata UTI, ni watu ambao wako kwenye hatari ya kupata ugonjwa wa UTI kwa sababu ya mazingira mbalimbali kama ifuayavyo.
Soma Zaidi...Ukistaajabu ya Musa utastaajabu ya Firauni. Haya ni maneno ya wahenga. Sasa hebu njoo u staajabu ya damu
Soma Zaidi...Mvurugiko katika mfumo wa chakula mwilinivunaweza kusababisha maumivu ya tumbo, kuharisha, kutapika na kuchoka pia. Lakini zipo sababu nyingine kama kuwana ujauzito. Nini ufanye endapo unasumbuliwana hali hii
Soma Zaidi...Kifua kikuu ni ugonjwa sugu wa kuambukiza na anuwai ya magonjwa ya kiafya yanayosababishwa na Mycobacterium tuberculosis complex. Kwa binadamu sababu ya kawaida ni Mycobacterium tuberculosis.
Soma Zaidi...posti hii inazungumzia kuhusiana na uvimbe wa tishu za matiti kwa wavulana au wanaume, unaosababishwa na kutofautiana kwa homoni za estrojeni na testosterone. Pia unaweza kuathiri matiti moja au zote mbili, wakati mwingine bila usawa. Watoto wachanga,
Soma Zaidi...