picha

Vyanzo vya magonjwa yanayotokea kwenye sehemu za siri

Posti hii inahusu zaidi vyanzo vya magonjwa yanayotokea kwenye sehemu za siri,kwa sababu siku kwa siku kuna magonjwa mengi yanayotokea kwenye sehemu za siri ila kuna vyanzo mbalimbali ambavyo usababisha kuwepo kwa magonjwa kwenye sehemu mbalimbali za siri

Vyanzo vya magonjwa yanayotokea kwenye sehemu mbalimbali za mwili.

1. Kuna matumizi ya njia za uzazi wa mpango kwa kutumia vitanzi.

Kwa kawaida kwenye njia ya via vya uzazi hapatakuwi kitu chochote kuwepo isipokuwa kama kuna mimba na mfumo mzima wa mzunguko wa damu ila kwa matumizi ya njia za uzazi wa mpango kama vile kuwepo kwa vitanzi ambayo vina kemikali mbalimbali ambazo uzuia mimba kutungwa, kwa sababu ya kuwepo kwa kemikali hizo usababisha kiasi kikubwa cha kuwepo kwa magonjwa mbalimbali kwenye sehemu za siri.kwa hiyo katika matumizi ya vitanzi ni vizuri kuwasiliana na wataalamu wa afya ili kuweza kupata matumizi sahihi.

 

2. Kubadilisha wapenzi mara kwa mara.

Kuna tabia ya watu wanaobadilisha wapenzi mara kwa mara , kumbuka wapenzi hao kila mtu ana ugonjwa wake kwa hiyo katika matumizi ya wapenzi hao bila kutumia kinga usababisha kuwepo kwa magonjwa ya siri.

 

3. Kwa hiyo ni vizuri kabisa kuwa na mpenzi mmoja kama haujaolewa au ukiamua kuchepuka ni lazima kutumia kinga ili kuweza kuepukana na magonjwa ya siri kwa hiyo ni vizuri kabisa kupata hata matibabu na ushauri kutoka kwa wataalamu wa afya ili kuweza kuepukana na madhara ya kuwepo kwa magonjwa kwenye sehemu za siri.

 

4. Matumizi ya bidhaa za marashi na aina yoyote ya vipodozi kwenye sehemu za siri.

Kuna tamaduni au utaratibu ambao unagundulika kila siku ambapo wanawake wanapenda kuweka mafuta na maradhi kwenye sehemu za siri ili kuweza kuwa kufurahisha wanaume zao, haya manukato na marashi usababisha kuua bakteria walio wazuri na kusababisha kuwepo kwa Ugonjwa kwenye sehemu za siri.

 

5. Kunyonywa kwenye sehemu za siri.

Kwa sababu ya maendeleo ya sayansi na teknolojia kuna kila aina ya vitu vinaibuka kila siku ambapo wanaume wengi wanapofanya ngono au wanapojamiiana mwanaume umnyonya mwanamke ili kuweza kusisimua hisia ,kwa hiyo mwanaume uweka bakteria wa mdomo wake kwenye uke ambapo Usababisha kuwepo kwa bakteria wa mdomo kwenye uke na kusababisha magonjwa kwenye sehemu za siri.

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Views 2546

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 Simulizi za Hadithi Audio     👉3 Kitabu cha Afya     👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉5 Dua za Mitume na Manabii     👉6 Madrasa kiganjani    

Post zinazofanana:

Jinsi ya Kutambua Mimba Bila Kipimo

Wakati njia ya uhakika zaidi ya kutambua mimba ni kutumia kipimo cha mkojo (test kit) au kupima damu hospitalini, kuna dalili mbalimbali za kimwili ambazo mwanamke anaweza kuzihisi katika hatua za mwanzo za ujauzito. Makala hii inaelezea ishara hizi za awali ambazo mwili hutoa ili kukuashiria kuwa kuna mabadiliko ya kibaolojia yanayoendelea ndani ya mfumo wako wa uzazi.

Soma Zaidi...
Jinsi ya Kumfurahisha Mwenza Wako

Mahusiano yenye furaha hayajitokezi kwa bahati; yanajengwa kupitia juhudi za makusudi. Posti hii inatoa mwongozo wa mbinu rahisi lakini zenye nguvu za kumfanya mwenza wako ajihisi anathaminiwa, anapendwa, na anafurahia maisha ya pamoja nawe.

Soma Zaidi...
Maandalizi ya kisaikolojia na kimwili kabla ya kubeba mimba.

Kupanga kupata mtoto ni uamuzi mkubwa na wa furaha katika maisha ya mtu. Hata hivyo, safari hii haihitaji tu matamanio, bali inahitaji maandalizi ya kina. Makala hii inaangazia misingi ya kujiandaa kisaikolojia na kimwili ili kuhakikisha afya ya mama na mtoto, na kuimarisha utayari wa kuwa mzazi katika kipindi chote cha ujauzito

Soma Zaidi...
Maambukizi ya ngozi (Cellulitis): Dalili na tiba ya hospitalini.

Ufafanuzi: Ugonjwa wa dharura wa maambukizi ya bakteria kwenye tabaka za ndani za ngozi.Maeneo Yanayoathiriwa Zaidi: Mara nyingi hutokea kwenye miguu, ingawa unaweza kuathiri sehemu yoyote ya mwili ikiwemo uso na mikono.Dalili Kuu: Ngozi kuwa nyekundu, kuvimba, kuhisi joto kali, maumivu makali, na kutoa malengelenge au michirizi myekundu.Tiba ya Hospitalini: Matumizi ya viuavijasumu (antibiotics) vya kumeza au vya kuwekewa kwenye mishipa ya damu (Intravenous) kulingana na ukali wa maambukizi.Matatizo: Isipotibiwa, inaweza kusababisha maambukizi kwenye damu (sepsis), uharibifu wa tishu (necrotizing fasciitis), au maambukizi kwenye mifupa (osteomyelitis).

Soma Zaidi...
Maumivu ya shingo na mabega kutokana na kazi za ofisini.

Msongo wa mawazo (stress) ni hali ya kawaida ya kisaikolojia na kimwili inayotokana na shinikizo la maisha. Ingawa kiasi kidogo cha msongo kinaweza kuchochea ubunifu na utendaji, msongo wa muda mrefu ni hatari kwa afya ya mwili na akili. Makala haya yanachunguza kwa kina dalili za msongo wa mawazo—kuanzia mabadiliko ya kihisia, kimwili, hadi kitabia—pamoja na mikakati ya kitaalamu ya kuyatambua na kuyadhibiti mapema ili kuzuia madhara ya kudumu.

Soma Zaidi...
Walio kwenye hatari ya kupata UTI

Posti hii inahusu zaidi watu walio kwenye hatari ya kupata UTI, ni watu ambao wako kwenye hatari ya kupata ugonjwa wa UTI kwa sababu ya mazingira mbalimbali kama ifuayavyo.

Soma Zaidi...