Posti hii inahusu zaidi vyanzo vya magonjwa yanayotokea kwenye sehemu za siri,kwa sababu siku kwa siku kuna magonjwa mengi yanayotokea kwenye sehemu za siri ila kuna vyanzo mbalimbali ambavyo usababisha kuwepo kwa magonjwa kwenye sehemu mbalimbali za siri
1. Kuna matumizi ya njia za uzazi wa mpango kwa kutumia vitanzi.
Kwa kawaida kwenye njia ya via vya uzazi hapatakuwi kitu chochote kuwepo isipokuwa kama kuna mimba na mfumo mzima wa mzunguko wa damu ila kwa matumizi ya njia za uzazi wa mpango kama vile kuwepo kwa vitanzi ambayo vina kemikali mbalimbali ambazo uzuia mimba kutungwa, kwa sababu ya kuwepo kwa kemikali hizo usababisha kiasi kikubwa cha kuwepo kwa magonjwa mbalimbali kwenye sehemu za siri.kwa hiyo katika matumizi ya vitanzi ni vizuri kuwasiliana na wataalamu wa afya ili kuweza kupata matumizi sahihi.
2. Kubadilisha wapenzi mara kwa mara.
Kuna tabia ya watu wanaobadilisha wapenzi mara kwa mara , kumbuka wapenzi hao kila mtu ana ugonjwa wake kwa hiyo katika matumizi ya wapenzi hao bila kutumia kinga usababisha kuwepo kwa magonjwa ya siri.
3. Kwa hiyo ni vizuri kabisa kuwa na mpenzi mmoja kama haujaolewa au ukiamua kuchepuka ni lazima kutumia kinga ili kuweza kuepukana na magonjwa ya siri kwa hiyo ni vizuri kabisa kupata hata matibabu na ushauri kutoka kwa wataalamu wa afya ili kuweza kuepukana na madhara ya kuwepo kwa magonjwa kwenye sehemu za siri.
4. Matumizi ya bidhaa za marashi na aina yoyote ya vipodozi kwenye sehemu za siri.
Kuna tamaduni au utaratibu ambao unagundulika kila siku ambapo wanawake wanapenda kuweka mafuta na maradhi kwenye sehemu za siri ili kuweza kuwa kufurahisha wanaume zao, haya manukato na marashi usababisha kuua bakteria walio wazuri na kusababisha kuwepo kwa Ugonjwa kwenye sehemu za siri.
5. Kunyonywa kwenye sehemu za siri.
Kwa sababu ya maendeleo ya sayansi na teknolojia kuna kila aina ya vitu vinaibuka kila siku ambapo wanaume wengi wanapofanya ngono au wanapojamiiana mwanaume umnyonya mwanamke ili kuweza kusisimua hisia ,kwa hiyo mwanaume uweka bakteria wa mdomo wake kwenye uke ambapo Usababisha kuwepo kwa bakteria wa mdomo kwenye uke na kusababisha magonjwa kwenye sehemu za siri.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi dalili za ugonjwa wa kichaa cha mbwa ,kwa kawaida Ugonjwa huu utokea kuanzia kwenye wiki ya pili mpaka mwaka mmoja na hapo Ugonjwa unakuwa bado haujaonesha Dalili na Dalili zikishaonekana ni vigumu kutibika.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dalili ambazo mtu anaweza kupata ikiwa Kuna maambukizi kwenye magoti, kwa sababu mbalimbali ambazo usababisha maumivu au maambukizi kwenye magoti Kuna dalili za mwanzo ambazo zinajitokeza kama tutakavyoona hapo chini
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu athari za kutokutibu fangasi
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mzio na Dalili zake ni Dalili ambazo ujitokeza kwa mtu mwenye mzio, kuna wakati watu wengine ushindwa kutambua kuwa ni mzio au la, lakini leo tunaenda kujua Dalili za mzio kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na tatizo la damu kutokufikia tishu baada ya kutokea jeraha kwenye tishu ambao hujulikana Kama gangrene inahusu kifo cha tishu za mwili kutokana na ukosefu wa mtiririko wa damu au maambukizi ya bakteria. Ugonjwa wa gangre
Soma Zaidi...post hii inazungumzia kuhusiana na kuvimba kwa utando wa pua unaoonyeshwa na mchanganyiko wa dalili zifuatazo: Kupiga chafya Msongamano wa pua Muwasho wa kiwambo cha sikio Kuwasha kwa pua na koromeo Uvimbe huu hutokea ikiwa mashambulizi ya kupiga chafya,
Soma Zaidi...DAWA MBADALA ZA VIDONDA VYA TUMBO Dawa za kukabiliana na zaidi ambazo zina calcium carbonate (Tums, Rolaids), zinaweza kusaidia kutibu vidonda vya tumbo lakini hazipaswi kutumiwa kama matibabu ya msingi.
Soma Zaidi...Muda gani ukimwi huweza kuonekana mwilini ama kugundulika kama umeathirika, ni dalili zipo hujitokeza punde tu utakapoathirika
Soma Zaidi...Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote
Soma Zaidi...