MATIBABU YA FANGASI
Karibia fangasi wote hawa wanatibika bila ya ugumu wowote maka mgonjwa atakamilisha dozi.
MATIBABU YA FANGASI
Karibia fangasi wote hawa wanatibika bila ya ugumu wowote maka mgonjwa atakamilisha dozi. Zipo dawa za kupaka kama losheni, dawa za kunywa za vidonge. Pia zipo dawa za kupewa kwa njia ya sindano. Muone sasa daktari kama una tatizo, kwa hakika utapona kwa msaada wa Mwenyezi Mungu.
Dozi hizi pia zinaweza kuchukuwa muda mpaka miezi mitatu kulingana na ukubwa wa tatizo. Hata ukijihisi umepona hakikisha unamaliza dozi. Hakikisha pia unajiweka katika afya njema muda wowote na usafi wamavazi, malazi na mwili.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉3 web hosting 👉4 Dua za Mitume na Manabii 👉5 ai web app 👉6 kitabu cha Simulizi
Post zinazofanana:
Maumivu makali ya tumbo la chango wakati wa hedhi na sababu zake
Kwa nini unapata maumivu makali wakati wa kuingia hedhi, je unajuwa sababu za maumivu makali ya tumbo la chago.
Soma Zaidi...Kiasi gani cha maji kinatakiwa kunywa kwa siku?
Kunywa maji ya kutosha ni nguzo kuu ya afya bora, lakini swali la "ni kiasi gani hasa?" limekuwa likileta utata kwa muda mrefu. Makala haya yanachunguza sayansi nyuma ya mahitaji ya maji mwilini, ikivunja dhana potofu ya "glasi nane kwa siku," na kutoa mwongozo wa kitaalamu kulingana na umri, jinsia, kiwango cha mazoezi, na mazingira ya hali ya hewa.
Soma Zaidi...Madhara ya fangasi.
Posti hii inahusu zaidi madhara ya fangasi za ukeni kwa kawaida tunajua kubwa fangasi zikiingia kwenye uke usababisha madhara mbalimbali ambayo mengine yanaweza ya kudumu na mengine ya mda kama yametibiwa mapema.
Soma Zaidi...Upungufu wa madini ya chuma mwilini: Dalili zake.
Upungufu wa madini ya chuma mwilini (Iron Deficiency) ni miongoni mwa changamoto kubwa zaidi za kilishe duniani, inayopelekea ugonjwa wa upungufu wa damu (Iron Deficiency Anemia - IDA). Makala haya ya kitaalamu yanaangazia kwa kina dalili kuu na za nadra za hali hii, ikiwa ni pamoja na uchovu sugu, kupauka kwa ngozi, na matamanio ya vitu visivyo vya chakula (pica). Aidha, yanajadili makundi yaliyo katika hatari kubwa, mbinu za kisayansi za utambuzi wa kimaabara kupitia viwango vya ferritin na hemoglobin, pamoja na mikakati ya kuzuia na kutibu tatizo hili kupitia lishe bora na virutubisho kwa mujibu wa miongozo ya Shirika la Afya Duniani (WHO).
Soma Zaidi...Je vvu inaweza sababisha mate kujaa mdomoni
Je kujaa kwa mate mdomoni ni dalili ya kuwa na VVU, na je ni zipi dalili za Virusi Vya Ukimwi (VVU) mdomoni?
Soma Zaidi...