picha

Aina ya Magonjwa ya akili

Unyogovu (Depression ) ni mojawapo ya ugonjwa wa akili ambao unahusishwa na hisia za huzuni, kukosa matumaini, na kupoteza furaha au shauku katika shughuli za kila siku. Huu si tu hisia ya huzuni iliyokatisha tamaa, bali ni hali sugu inayoweza kuathiri mabadiliko ya mwili, mawazo, na tabia ya mtu. Unyogovu unaweza kutokea kwa sababu mbalimbali ikiwa ni pamoja na mabadiliko ya kemikali katika ubongo, maumbile, mazingira, na matukio mbali mbali katika maisha ambayo kupelekea mgonjwa kuwa hivyo.

Unyogovu au Kwa kitaalamu depression ni hali ya kiakili inayoweza kuathiri njia ambavyo mtu anafikiri, anavyojihisi, na anavyofanya kazi katika maisha yake ya kila siku mara nyingi hali hii mtu ukumbana nayo kwenye mazingira ya Kila siku sio kwamba anazaliwa nayo.

Hapa kuna maelezo ya kina juu ya dalili za unyogovu au depression ambazo zinaweza kuonekana Kwa mtu na pia zinaweza zikaonekana Kwa mtu mara moja au zikatumia mda kuonekana kutokana na hali ya mtu.

 Dalili za Kihisia

mtu anaweza kubadilikw taratibu kutoka kwenye tabia yake ya kawaida akaanza kuwa na huzuni inayoendelea ambayo haiwezi kabisa kutoweka,Kutokuwa na matumaini,Hisia ya kukosa matumaini kuhusu maisha au hali ya baadaye,Kukata Tamaa: Mtu anaweza kuhisi kama hakuna chochote cha maana au kizuri kinachoweza kutokea,Wasiwasi au Kukasirika Mara nyingi watu wanahisi wasiwasi, hasira, au ukosefu wa utulivu kujiweka Kando.

.Dalili za Kimwili

Mabadiliko ya Kula  kupita kiasi au kupoteza hamu ya kula. Hii inaweza kusababisha kupoteza uzito au kuongeza uzito Kwa Wakati Mrefu Ndan Kuwepo kwa uchovu wa mara kwa mara bila sababu ya kimwili,maumivu Yasiyo na Sababu, Kuumwa kwa mwili kama vile maumivu ya kichwa, mgongo, au misuli ambayo hayawezi kueleweka,Usingizi Mzito au Watu wanaweza kukumbana na matatizo ya usingizi, kama vile kushindwa kulala au kulala kupita kiasi.

4. Dalili za Kijamii na Kitendo

Kukosa Hamu ya Shughuli Kupoteza hamu ya shughuli ambazo mara nyingi zilikuwa na furaha,Kujiondoa katika Mahusiano,Kutoroka kutoka kwa urafiki na familia, au kukwepa shughuli za kijamii,Mabadiliko katika Utendaji, Kushindwa kufanya kazi vizuri katika kazi, shule, au katika majukumu mengine ya kila siku.

5. Dalili za Wazo na Hisia

Mawazo ya Kufa,Watu wengine wanaweza kuwa na mawazo ya juu kuhusu kifo au kujiua, ambao ni dalili nzito ambazo zinahitaji msaada Zaidi,Kwa hiyo mtu mwenye depression anapaswa kutafutiwa tiba ipasayo baada ya kuona dalili ambazo zinampelekea kutaka kujiu.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Salvatory image Tarehe: 1970-01-01 03:33:45 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 356

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya    👉2 Dua za Mitume na Manabii    👉3 Madrasa kiganjani    👉4 Simulizi za Hadithi Audio    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

Namna ya kuzuia virusi vya ukimwi

Posti hii inaelezea kuhusiana na kujikinga au kuzuia virusi vya ukimwi.

Soma Zaidi...
Namna ya kugundua mtu mwenye kaswende.

Post hii inahusu zaidi njia za kumgundua mgonjwa wa kaswende, njia hizi utumika baada ya kuongea na mgonjwa kuhusu maisha yake hasa kujamiiana na watu mbalimbali.

Soma Zaidi...
Sababu za maumivu ya tumbo kitovuni

Somo hili linakwenda kukuletea sababu za maumivu ya tumbo kitovu i

Soma Zaidi...
Dalili na Ishara za upungufu wa muunganisho wa macho.

posti hii inaonyesha dalili za upungufu wa muunganisho wa macho. Upungufu wa muunganisho hutokea wakati macho yako hayafanyi kazi pamoja unapojaribu kuangazia kitu kilicho karibu nawe. Unaposoma au kutazama kitu kilicho karibu, macho yako yanahitaji k

Soma Zaidi...
Sababu za maumivu ya matiti na chuchu

Maumivu ya matiti yanaweza kuanzia kidogo hadi makali. Inaweza kukuathiri siku chache tu kwa mwezi, kwa mfano kabla tu ya kipindi chako, au inaweza kudumu kwa siku saba au zaidi kila mwezi. Maumivu ya matiti yanaweza kukuathiri kabla tu ya kipindi chako

Soma Zaidi...
Viungo vinavyoathiriwa na malaria

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu baadhi ya viungo vinavyoathiriwa na ugonjwa wa malaria

Soma Zaidi...
Dalili za ukimwi za kwenye ulimi na mdomo

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za ukimwi za kwenye ulimi na mdomo

Soma Zaidi...
Dalili za kuwepo Kwa usaha kwenye mapafu

Post hii inahusu Zaidi dalili za kuwepo Kwa usaha kwenye mapafu, ni dalili ambazo zinaweza kujitokeza Kwa mgonjwa,Kwa hiyo baada ya kuona dalili hizi mgonjwa anapaswa kuwahi hospital mara moja Kwa ajili ya matibabu.

Soma Zaidi...
Maradhi yatokanayo na fangasi

Somo hili linakwenda kukuletea baadhi ya maradhi yatokanayo na fangasi

Soma Zaidi...
Namna ya kuzuia ugonjwa wa Homa ya inni.

Posti hii inahusu zaidi namna ya kuzuia ugonjwa wa Homa ya inni, ni njia ambazo utumiwa Ili kuepuka kusambaa kwa ugonjwa wa Homa ya inni kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine,

Soma Zaidi...