Aina ya Magonjwa ya akili

Unyogovu (Depression ) ni mojawapo ya ugonjwa wa akili ambao unahusishwa na hisia za huzuni, kukosa matumaini, na kupoteza furaha au shauku katika shughuli za kila siku. Huu si tu hisia ya huzuni iliyokatisha tamaa, bali ni hali sugu inayoweza kuathiri mabadiliko ya mwili, mawazo, na tabia ya mtu. Unyogovu unaweza kutokea kwa sababu mbalimbali ikiwa ni pamoja na mabadiliko ya kemikali katika ubongo, maumbile, mazingira, na matukio mbali mbali katika maisha ambayo kupelekea mgonjwa kuwa hivyo.

Unyogovu au Kwa kitaalamu depression ni hali ya kiakili inayoweza kuathiri njia ambavyo mtu anafikiri, anavyojihisi, na anavyofanya kazi katika maisha yake ya kila siku mara nyingi hali hii mtu ukumbana nayo kwenye mazingira ya Kila siku sio kwamba anazaliwa nayo.

Hapa kuna maelezo ya kina juu ya dalili za unyogovu au depression ambazo zinaweza kuonekana Kwa mtu na pia zinaweza zikaonekana Kwa mtu mara moja au zikatumia mda kuonekana kutokana na hali ya mtu.

 Dalili za Kihisia

mtu anaweza kubadilikw taratibu kutoka kwenye tabia yake ya kawaida akaanza kuwa na huzuni inayoendelea ambayo haiwezi kabisa kutoweka,Kutokuwa na matumaini,Hisia ya kukosa matumaini kuhusu maisha au hali ya baadaye,Kukata Tamaa: Mtu anaweza kuhisi kama hakuna chochote cha maana au kizuri kinachoweza kutokea,Wasiwasi au Kukasirika Mara nyingi watu wanahisi wasiwasi, hasira, au ukosefu wa utulivu kujiweka Kando.

.Dalili za Kimwili

Mabadiliko ya Kula  kupita kiasi au kupoteza hamu ya kula. Hii inaweza kusababisha kupoteza uzito au kuongeza uzito Kwa Wakati Mrefu Ndan Kuwepo kwa uchovu wa mara kwa mara bila sababu ya kimwili,maumivu Yasiyo na Sababu, Kuumwa kwa mwili kama vile maumivu ya kichwa, mgongo, au misuli ambayo hayawezi kueleweka,Usingizi Mzito au Watu wanaweza kukumbana na matatizo ya usingizi, kama vile kushindwa kulala au kulala kupita kiasi.

4. Dalili za Kijamii na Kitendo

Kukosa Hamu ya Shughuli Kupoteza hamu ya shughuli ambazo mara nyingi zilikuwa na furaha,Kujiondoa katika Mahusiano,Kutoroka kutoka kwa urafiki na familia, au kukwepa shughuli za kijamii,Mabadiliko katika Utendaji, Kushindwa kufanya kazi vizuri katika kazi, shule, au katika majukumu mengine ya kila siku.

5. Dalili za Wazo na Hisia

Mawazo ya Kufa,Watu wengine wanaweza kuwa na mawazo ya juu kuhusu kifo au kujiua, ambao ni dalili nzito ambazo zinahitaji msaada Zaidi,Kwa hiyo mtu mwenye depression anapaswa kutafutiwa tiba ipasayo baada ya kuona dalili ambazo zinampelekea kutaka kujiu.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Salvatory image Tarehe: 1970-01-01 03:33:45 Topic: magonjwa Main: Afya File: Download PDF Views 286

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 web hosting    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 Bongolite - Game zone - Play free game   

Post zinazofanana:

Habari nasumbuliwa na tumbo upande wakilia adi nikikojoa mkojo wa mwisho uwa wa kahawia tiba take nini?

Maumivu ya tumbo yanaweza kusababishwa na mambo mengi ikiwemo typhod, vidonda vya tumbo na shida nyingine kwenye mfumo wa chakula.

Soma Zaidi...
Dalili kuu 7 za vidonda vya tumbo

Zijuwe dalili kuu 7 za vidonda vya tumbo, kama kiungulia, tumbo kujaa, maumivu ya umbo..

Soma Zaidi...
Saratani ya matiti (breasts cancer)

Post yetu inaenda kuzungumzia kuhusiana na Saratani ya Matiti ni Saratani ambayo hutokea katika seli za matiti. Baada ya Saratani ya Ngozi, Saratani ya matiti ndiyo Saratani inayojulikana zaidi hugunduliwa kwa wanawake Mara nyingi. Saratani yaÂ

Soma Zaidi...
AINA ZA MINYOO: tapeworm, livefluke, roundworm, hookworm, flatworm

AINA ZA MINYOO Minyoo ambao wanaweza kuishi ndani ya mwili wa binadamu wapo aina nying, lakini hapa nitakueleza aina kuu tatu za minyoo hawa.

Soma Zaidi...
Dalilili za homa ya manjano

posti hii inahusu dalili za Homa ya Manjano ni maambukizi ya virusi yanayoenezwa na aina fulani ya mbu. Maambukizi hayo ni ya kawaida zaidi na kuathiri wasafiri na wakazi wa maeneo hayo.

Soma Zaidi...
Sababu za maumivu ya tumbo kitovuni

Somo hili linakwenda kukuletea sababu za maumivu ya tumbo kitovu i

Soma Zaidi...
Ugonjwa wa kisonono

Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa kisonono, ni ugonjwa unaosababishwa na mdudu ambaye kwa kitaalamu huitwa Neisseria gonococcal.

Soma Zaidi...
Fahamu Ugonjwa wa kifaduro kwa watoto chini ya miaka mitano

post hii inazungumzia kuhusiana na Ugonjwa wa kifaduro ambao hujulikana Kama Pertussis pia inajulikana kama kifaduro ni maambukizi ya bakteria ambayo huingia kwenye pua yako na koo.

Soma Zaidi...
Dalili za UTI upande wa wanawake

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za UTI upande wa wanawake

Soma Zaidi...
Dalili za mkojo mchafu na rangi za mkojo na mkojo mchafu

Hapautajifunza rangi kuu za mkojo na dalili zako kiafya, mkojo mchafu na dalili zake

Soma Zaidi...