Posti hii inahusu zaidi sababu mbalimbali,za miguu kufa ganzi,ni tatizo ambalo uwakumba watu wengi na walio wengi hawafahamu kabisa ni sababu zipi ambazo uleta tatizo hili.
1. Kupungua kwa virutubisho mbalimbali kwenye mwili,
Kwa kawaida mwili huwa na virutubisho mbalimbali ambavyo ufanya kazi tofautitofauti na vikiongezeka na pia uweza kuleta matatizo na vikipungua na penyewe uleta matatizo na kusababisha miguu kufa ganzi kwa hiyo kama kuna upungufu wa vitamini,B complex usababisha kuwepo kwa ganzi kwenye miguu kwa hiyo ndio maana watu wenye tatizo hili upewa dawa za vitamini B complex ili kuweza kupunguza kiwango cha ganzi mwilini.
2. Pengine kuna tatizo la matumizi ya dawa.
Matumizi ya dawa mbalimbali nazo usababisha kuwepo kwa matatizo ya kwa ganzi kwenye miguu, kwa sababu ya matumizi ya mda mrefu uweza kuleta matatizo kwa mfano kwa matumizi ya dawa za kurefusha maisha kwa wanaozitumia kwa mda mrefu usababisha kuwepo kwa ganzi kwenye miguu na pia kwa wale wanaotumia dawa za kifua kikuu nao pia wana tatizo la kuwepo kwa ganzi kwenye miguu, kwa hiyo wakishagundua tatizo hilo wanapaswa kuwahi kwa daktari ili kuweza kupata matibabu na kuendelea na hali yao ya kawaida.
3. Kuwepo kwa uzito mkubwa wa mwili.
Kuna wakati mwingine kunakuwepo na tatizo la kuwepo kwa uzito mkubwa wa mwili ambapo mwili uelemewa na jinsi ya kusafirisha damu huwa kwa shida hali ambayo Usababisha miguu kufa ganzi.
4. Kuwepo kwa Ugonjwa wa kisukari.
Kwa namna moja au nyingine kuna kipindigonjwa wa kisukari hasa wa siku nyingi upatwa na tatizo la kuwepo kwa ganzi mwilini hii ni hali ya kawaida kwa wagonjwa wa kisukari kwa hiyo wakipatwa na tatizo kama hili ni vizuri kabisa kupata matibabu ili kuweza kuendelea na maisha ya kawaida.
5. Pia na wagonjwa wenye shinikizo la damu huwa matatizo mbalimbali ambayo Usababisha pia miguu kufa ganzi kwa hiyo ni vizuri kabisa wagonjwa wa hivi wakishapata tatizo kama hili ni kujitahidi kabisa kumwona daktari ili waweze kupata msada zaidi.
6. Hili tatizo lipo na linatibika kwa hiyo ni vizuri kabisa kuwaona wataalamu wa afya ili kuweza kupata msaada zaidi na kuepukana na tatizo hili.
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Ugonjwa wa pumu ni moja katika magonjwa hatari yanayoweza kutokea kwa ghafla, na endapo itacheleweshwa kudhibitiwa inaweza sababisha athari mbaya zaidi
Soma Zaidi...Watoto wachanga ni watoto wenye umri chini ya miaka mitano, watoto hawa hushambulia na maginjwa mara kwa mara na kusababisha ukuaji wao kuwa dunk,
Soma Zaidi...Kiharusi cha joto ni hali inayosababishwa na joto la juu la mwili wako, kwa kawaida kama matokeo ya kufichuliwa kwa muda mrefu au bidii ya mwili katika joto la juu. Aina hii mbaya zaidi ya jeraha la joto, kiharusi cha joto kinaweza kutokea ikiwa joto
Soma Zaidi...ugonjwa wa kiseyeye, chanzo chake vipi unatokea na ni zipi dalili zake. Yote haya utayapata hapa
Soma Zaidi...Posti hii utokea huduma ya kwanza kwa mtu aliye na shida ya kushindwa kupitisha mkojo kutoka kwenye kibofu Cha mkojo,
Soma Zaidi...Ni muda gani nitaanza kuona dalili za HIV na kilimo kitaonyesha kuwa nimeathirika?
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi sababu za kufanya figo kuharibika.hili ni janga ambalo linawakumba Watu wengi siku hizi na kusababisha kupoteza maisha kwa wagonjwa wa figo hasa hasa kwa wale ambao hawana uwezo wa kulipia hela ya kusafishia figo.
Soma Zaidi...Sikio ni mojawapo ya milango ya fahamu inayotumiwa kwa ajili ya kusikia, Kuna wakati mwingine hushambulia na bakteria na virusi
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi vyanzo vya kuwepo kwa kiungulia, kiungulia ni kitendo cha kupanda kwa gesi kutoka kwenye tumbo mpaka kwenye mdomo,hali uwasumbua wengi na kusababisha hali isiyo rafiki.
Soma Zaidi...